DINI YA KWELI YA MANABII NA MITUME NI IPI?

Join this channel to access its benefits:
/ @biblianuruyadunia

Пікірлер: 290

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam1865 Жыл бұрын

    Hakuna msomaji mzuri duniani Afrika kama Paulo Mungu akutie nguvu ❤️

  • @tuliaalimasi6404

    @tuliaalimasi6404

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa ndugu yangu...yaani combination ya mwalimu francis ndacha na mwalimu wangu Paul hassan inatisha sana katika ulimwengu wa kiislam msomaji wa kwanza(Paul hassan)pia na mwalimu ndacha ( anajuwa kujenga hoja kama yy in Africa)Anatisha wahislamu Barikiwa sana mwalimu. 🙏

  • @denniswasai2668

    @denniswasai2668

    Жыл бұрын

    Ameeeeeeeeen

  • @denniswasai2668

    @denniswasai2668

    Жыл бұрын

    @@tuliaalimasi6404 Ameeeeeeeeen

  • @issafaquedalaura8279

    @issafaquedalaura8279

    Жыл бұрын

    Ni Hamido, na marehemo Yahaya

  • @ezekielmwamba9106
    @ezekielmwamba9106 Жыл бұрын

    Mwalimu Ndacha na Paul hongera Mungu awabariki na Roho wa Mungu ako nanyi na wengi dunia nzima wataongoka.

  • @alexfadhili.
    @alexfadhili. Жыл бұрын

    Hakika leo nimeamini Sasa kauli ya mwalimu Francis ndacha ya kwamba: katika dunia hii hakuna mwislamu yeyote anayewezana na hoja za wakristo...Amiiinn!

  • @jumarobertonyancha8605

    @jumarobertonyancha8605

    Жыл бұрын

    Alex ukweli mtupu ni ukristo

  • @fahadbabuy

    @fahadbabuy

    Жыл бұрын

    Ukipata neno ukristo ndani ya biblia basi itakuwa ukweli😂

  • @rehemafredrick7794
    @rehemafredrick7794 Жыл бұрын

    Mwalimu wa ukweli ni Ndacha 👏 jeshi la mtu mmoja mwenye kueleweka ila hao wengine wabadilishana kama viatu ila mabongo lala waimbi wa taarab wakakojoe wakalale

  • @johnbaraka4715
    @johnbaraka4715 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mwalimu Frances ndacha kwa KAZI nzuri ya mungu unanyo Fanya,.....

  • @mwanashagladys4581

    @mwanashagladys4581

    Жыл бұрын

    Ukiandika jina la Mungu uandike na herifu kubwa ndugu🇰🇪

  • @user-ro8xx9pq6q

    @user-ro8xx9pq6q

    10 ай бұрын

    Mnadanganywa tu na uyo ndacha

  • @alicekatsutsu6345
    @alicekatsutsu6345 Жыл бұрын

    Mungu wa mwalimu ndacha ni mungu wa kweli unaona vile neno lisivyo pingika

  • @lilwilson6283
    @lilwilson6283 Жыл бұрын

    Ndacha mungu hakubariki mwalimu ,,, na hapo Tanzania 🇹🇿 baki hata weeek mbili wa ☪️ ni wengi sana hapo wanao hitaji funzooo,,,,

  • @frednyakundi2862

    @frednyakundi2862

    Жыл бұрын

    Mbaka mazinge akaanza vitisho wakati shindano ilingia

  • @josephshauri3154
    @josephshauri3154 Жыл бұрын

    Nabarikiwa pamoja nanyi ni kiwa mombasa

  • @andreanicholaus1696
    @andreanicholaus1696 Жыл бұрын

    Barikiwa sana ndacha na pauro Mungu awalinde sana mazinge na mbogo tunawafwatilia wanaluka maandiko kwasababu waisilamu hawasomi wapo kwaushabikitu Nichawatu

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 Жыл бұрын

    Mwalimu Ndacha na mwalimu Paul Mungu awabariki awape afya awajaze wingi wa siku kwaajili ya KUUJENGA UFALME WA MUNGU ALIE HAI.YESU KRISTO MWOKOZI anajivunia ninyi. Waislamu wanaelewa wanaona aibu tu kutoka katika hiyo njia ya jehanam, sijuwi watapataje kupona ?? Bwana ingilia kati mana hupendi awae yote apotee 🙌😭have Mercy O Lord🛐

  • @petergoyandi5699
    @petergoyandi5699 Жыл бұрын

    Ndacha na Paul hasan mungu awalindeni na changamoto yeyote mtakoyo kutananayo Mungu awabariki sana sana

  • @alexfadhili.
    @alexfadhili. Жыл бұрын

    Hakika leo nimecoment nyuma sana kabisa mana majira ni tofauti sana kabisa, Mungu wa Ibrahim, Isaac, na yakobo awawezeshe zaidi na zaidi walimu wangu... Francis ndacha pamoja na mwalimu Paul Hassan.. Leo nimeamini Sasa kama mwalimu Francis ndacha hakuna wanaomuweza.USA California.

  • @peternyambura104

    @peternyambura104

    10 ай бұрын

    Huyo kwa neno mwache kwa hakika ni mwalimu

  • @alexfadhili.
    @alexfadhili. Жыл бұрын

    Mwalimu wangu Paul Hassan mungemuacha nae Amfundishe ndugu yangu Amidu...mana namuamini Sana pia mwalimu Paul Hassan...

  • @estherwamboi7683
    @estherwamboi7683 Жыл бұрын

    Waaaah i thank God am Christian lkn Muslim sio njia ya kufuata hata kidogo yaaani waalimu wa Muslim hawaelewi chochote haki kwa uungu ni maswala ya kiroho lkn Muslim wote wako kimwili Jehovah okoa hizi nafsi zapotea

  • @shabanbareh3824

    @shabanbareh3824

    Жыл бұрын

    Kwn yesu alikuja kiroho ama kimwili

  • @mutimbanahashon5133

    @mutimbanahashon5133

    Жыл бұрын

    Where did God instruct people to be Christians?

  • @mariammakau2435
    @mariammakau2435 Жыл бұрын

    Kwakweli hawa watu kuelewa ni ngumu sana...Eeh Mungu waongoze na uzidi kuwatumia Kwa kazi yako uliowabariki kuzidi kuelimisha na kutangaza neno Lako...Christian Forever Amen 🙏...wataelewa tu

  • @salimobeid1470

    @salimobeid1470

    Жыл бұрын

    Mariam makau tafakari na alau kurasa moja soma quran utajikuta ukweli unauona

  • @sephrozagatyo5502
    @sephrozagatyo5502 Жыл бұрын

    Ila kwakweli Ndacha tunasema kwamba umeupiga mwingi hongera sana kama watakataa kumfuata Yesu basi Jehanamu inawasubiria asilimia 100% kabisa

  • @johnngige5794
    @johnngige5794 Жыл бұрын

    Mazinge eti ni professor, shida apo. Hana hoja analeta jokes tu kwa stage kufurahisha wamama apo

  • @gatekanene5753
    @gatekanene5753 Жыл бұрын

    Mwalimu wangu Ndacha Mungu akubariki na akulinde wewe pamoja na mwalimu Paul Hassan hakika Mungu anazidi kuwatumiya kwenye kazi ya kumtangaza BWANA WETU YESU KRISTO ubarikiwe san

  • @froline5209
    @froline5209 Жыл бұрын

    Mungu akuangazie nuru yake milele mtumishi Ndacha.

  • @jacksonkilonzo1439
    @jacksonkilonzo1439 Жыл бұрын

    KILA LA KHERI PAUL KWA MADA YA KESHO MUNGU AKUONGOZE TUNAKUPENDA SANA PAMOJA NA MWALIMU WAKO FRANCIS NDACHA , HUU MKUTANO KILE NIMEGUNDUA NI USHABIKI TUU NDIO MAANA MWALIMU WAO AKIONGEA WANASHANGILIA TU BUT UZURI UJUMBE WAMEFIKISHIWA, KINGINE MAZINGE HANA HOJA HATA MOJA KILE ALICHO NACHO NI U COMEDIAN TUPU

  • @callennyabonyi5580

    @callennyabonyi5580

    Жыл бұрын

    Kweli

  • @themessage3508

    @themessage3508

    Жыл бұрын

    Ukweli mtupu

  • @eunicebaya1378

    @eunicebaya1378

    Жыл бұрын

    Ukweli kbisa brother

  • @jamesombaso9493
    @jamesombaso9493 Жыл бұрын

    God keep you long ndacha to do work of God

  • @imakubari6786

    @imakubari6786

    Жыл бұрын

    Jaman mmmm

  • @shabanbareh3824

    @shabanbareh3824

    Жыл бұрын

    Ya shetani hio

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 Жыл бұрын

    Apa kama Kuna waisilam Wana comment aky ya Mungu mazinge anawapoteza

  • @alicekatsutsu6345
    @alicekatsutsu6345 Жыл бұрын

    Kiboko yao ameingia.God bless u all

  • @jakuabdull34
    @jakuabdull34 Жыл бұрын

    Mashaakah wahaziri wa kiislam nyunyi kazi yenu ni kuwahubilia kuwaongoza ni kazi ya mungu wametia pamba kwenyemashikio hawataki kuujua ukweli

  • @samwelilulandala2384
    @samwelilulandala2384 Жыл бұрын

    Mazinge okoka acha kupoteza watu mbona ukweli unajulikana hapo acha kujizima data na kujifanya tahira

  • @mjombawallace4966

    @mjombawallace4966

    10 ай бұрын

    Kabisa

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 Жыл бұрын

    Ndacha akosawa kabisa juu anaenda xawa na mada

  • @eunicebaya1378
    @eunicebaya1378 Жыл бұрын

    Mazinge hauna chochote drama tu hata hauko kwenye mada rudi kwa vitabu

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 Жыл бұрын

    Kila mada mazinge anawadhalilisha wanachuoni wa kiisilam, sasa mazinge fanya bidii uandike kitabu chako ili kiwe sawa wenzako wawe waongo mnafiki mkubwa mazinge

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 Жыл бұрын

    Huyu mazinge namuhurumia sana kwa kupoteza kondoo wa Mungu ole wako

  • @fahadbabuy

    @fahadbabuy

    Жыл бұрын

    Pole

  • @davidmnyela2459
    @davidmnyela2459 Жыл бұрын

    Paul hassan kameza maandiko mpaka nukta 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙏

  • @jimpaserics9359
    @jimpaserics9359 Жыл бұрын

    Sijawahi kuona akili nyingi namna hii Kwa mtu mmoja.May God bless you ndacha

  • @dannyosolo2752
    @dannyosolo2752 Жыл бұрын

    Yesu ndiye Mwokozi wa ulimwengu wote!!! Siwezi kumuaacha Yesu kamwe!!! JESUS IS LORD ROMANS 14:11-13

  • @leonardadd
    @leonardadd Жыл бұрын

    Mazinge anadanganya wenzake na yeye anaenda Kanisani usiku😂😂

  • @chanawana7610

    @chanawana7610

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @benson4546
    @benson4546 Жыл бұрын

    Maulana awape neema na hekima na busara ya kuwapa neno waislam na kuutetea ukristo. Leo naomba likes zenu tafadhali.

  • @samwelmwasomola2457
    @samwelmwasomola2457 Жыл бұрын

    Huyo ndio Ndacha ukimwona mwingine ujue ni mwizi

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 Жыл бұрын

    Amen

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 Жыл бұрын

    Mungu akubariki mtumishi ndasha akika jia yakweli ni yesu kristo

  • @isaiahonyapidi5662
    @isaiahonyapidi5662 Жыл бұрын

    Ni kama Mungu katokea Ndacha si kawaida.

  • @peternduati8877

    @peternduati8877

    Жыл бұрын

    Ndacha alitamani kumjua Mungu nae Mungu akampa alichomuomba kwa roho yake.

  • @deogratiaskarugendo9864

    @deogratiaskarugendo9864

    Жыл бұрын

    Watajuwa hawajui mwaka huu!!!

  • @Nolithajack12

    @Nolithajack12

    Жыл бұрын

    Ndacha ni mwarimu kabisa jameni

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547 Жыл бұрын

    Leo iLikuwa Kali kulikon Jana ,kuacha unafiki,waislamu wamefundishwa Ila wa kuelewa ameelewa

  • @petermgonja8547

    @petermgonja8547

    Жыл бұрын

    Ila muislamu Kama wewe uko sawa kamsidie mazinge,ni,Sheri ya mbogo,kulikon mazinge,huyo wa Mombasa ndo hewa Kama huamini fuatilia utaamini tu

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 Жыл бұрын

    Mazinge ni comedian maswali hawezi kujibu, akiuliza anajibiwa.Bwana Yesu awahurumie waislamu mnaelekea Jehanam vichekesho vya Mazinge na Mbogo haviwezi kuwaokowa

  • @martinmurithi211
    @martinmurithi211 Жыл бұрын

    Mwalimu kazi nzuri👏

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 Жыл бұрын

    Ndacha amejibu poa Sana

  • @smithbunyasi9474
    @smithbunyasi9474 Жыл бұрын

    Mazinge...wahitaji yesu akuokoe

  • @asumptamwende1941
    @asumptamwende1941 Жыл бұрын

    Huyu mazinge anapoteza watu wengi sana badala ya kujibu swali vilivyo anangeuza na Ujanja wake,you can't change the holy word of God kwa unafiki wako answer the question probably and set people free,congratulations mwalimu ndacha your words are straight from the word sio kubaatisha

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Жыл бұрын

    Ndacha namba ya mitandao ya Tz tukusuport maji

  • @haidar438
    @haidar438 Жыл бұрын

    Kwanin msijadili mada ya ndoa - yaani ni aya gani ktk Qur-an waisilamu wameruhusiwa kuoa na ni aya gani ktk Bibilia wakiristo wameruhusiwa kuoa?

  • @johnngige5794
    @johnngige5794 Жыл бұрын

    Sindano imekuwa chungu sana kwa mashekhe na waislamu. Lakini lazima dawa wameze hata kama ni chungu

  • @johnbaraka4715
    @johnbaraka4715 Жыл бұрын

    Mtumishi ndacha ninataka kuokoka kupitia hii channel yenye mafunzo ya kweli je yawezekana.

  • @BIBLIANURUYADUNIA

    @BIBLIANURUYADUNIA

    Жыл бұрын

    Ndio kabisa

  • @johnbaraka4715

    @johnbaraka4715

    Жыл бұрын

    Mimi Niko Mombasa Kenya na ninataka kuokoka sahii ,mana ya dunia ya menichosha ,Niko tayari kufata njia yakweli ambayo yesu ndiwe njia yakweli na uzima.bwana yesu asifiwe sana milele na milele.

  • @elizabethsidi5574

    @elizabethsidi5574

    Жыл бұрын

    @@johnbaraka4715 karibu sana kwenye ukristo mungu akubariki

  • @alexntahiraja2974

    @alexntahiraja2974

    Жыл бұрын

    @@johnbaraka4715 ndugu John Baraka. Hongera sana kwa uamzi wa busara. Mimi ningependa kukupa zawadi ya Biblia. Naomba unipe namba yako ya whatsap.

  • @Arishafa547

    @Arishafa547

    Жыл бұрын

    Hasa w mkiristo unataka kuingia ukiristo kuna ukiristo ngapi au unataka kudanganya kwamba john baraka ni muislam acheni upuuzi wakijinga

  • @jeanpaulkwizera3216
    @jeanpaulkwizera32169 ай бұрын

    Mazinge aca Comedie mucukuwe Yesu ndiy atakupereka mbinguni

  • @Amirak254
    @Amirak254 Жыл бұрын

    best video quality alll your videos

  • @user-gt3us2kk2i
    @user-gt3us2kk2i10 ай бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @newlightmoviesproduction3598
    @newlightmoviesproduction3598 Жыл бұрын

    Yohane 14:6 yesu akajibu mimi ndie njia,na uzima na ukweli mazinge kwisha.

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 Жыл бұрын

    Ndacha kaa Tanga mwezi nauhakika utaokoa waisilamu wengi sana yaan wako kimya

  • @lilhydon452
    @lilhydon4527 ай бұрын

    Swali zuri sana....walio kuwa walevi kabla ya admau😂😂....ameshindwa kujibu hapo....Ndacha Mungu akupe ulinzi wake....na sisi wakristo tuguswe ili tukwezeshe ununue vifaa na uwe unapata nauli ya kutosha ....kwa maana Ibada unayoifanya ni hatari

  • @mosesbarnaba7851
    @mosesbarnaba7851 Жыл бұрын

    Nawapata mwalimu ndacha MUNGU awabariki sana

  • @mjombawallace4966

    @mjombawallace4966

    10 ай бұрын

    Wakali sana Hawa vijana

  • @magdalenemutua1742
    @magdalenemutua1742 Жыл бұрын

    Mazinge kazi yke ni kuokota sandaka tu

  • @alicekatsutsu6345
    @alicekatsutsu6345 Жыл бұрын

    Surely mazinge unasema nn🤣🤣

  • @boscojohnny8980
    @boscojohnny8980 Жыл бұрын

    Huyu Ndacha namuombea kwa Mungu aishi myaka 200 atembee nchi zote za Dunia akitangaza ujumbe wa Christo Yesu...hoja zake ni nzito sana

  • @Arishafa547
    @Arishafa547 Жыл бұрын

    ALLAHU AKBAR WAISLAM NI KAMA JENGO 1TOFALI JUU YA TOFALI UNAPATA UKUTA BEGA KWA BEGA MKONO KWA MKONO MPAKA PEPONI INSHALLAH 🤝 LAILAHAILLAH MOHAMMAD RASULLULLAH ❤️ MPAKA KIAMA KINA SIMAMA SIWEZ KUACHA JANNATFIRDAUS NIENDE MOTON SUBUTU

  • @jumarobertonyancha8605

    @jumarobertonyancha8605

    Жыл бұрын

    Uslimu ni jasba tu, hawana LA msingi

  • @Rashid-vm1fk

    @Rashid-vm1fk

    7 ай бұрын

    Yesu anakupenda

  • @pasteurstephanoakilimalifr4416
    @pasteurstephanoakilimalifr4416 Жыл бұрын

    Ndacha ubarikiwe sana

  • @user-ro8xx9pq6q
    @user-ro8xx9pq6q10 ай бұрын

    Huyu ndacha ukweli anaujua " Kama uislamu ndio dini ya haki " kitu pekee kinachomueka uko ni pesa tuuh ... hakun chengine

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547 Жыл бұрын

    Kuna ndugu ameandik sms nying hap,duuu Naye tumuombeen

  • @bettyflavour
    @bettyflavour Жыл бұрын

    Mungu azidi kuwabariki na kuwatia nguvu

  • @issackabdi7001
    @issackabdi7001 Жыл бұрын

    الله اكر ولله الحمد

  • @tabbygocho4127
    @tabbygocho4127 Жыл бұрын

    From U$ hakika Mungu ni mwema

  • @reutthemoabite
    @reutthemoabite Жыл бұрын

    😊😊 aki uislam ni comedy tupu hawana hoja 🙏🙏Mungu wakubuke 😭😭

  • @sriprobhu557
    @sriprobhu557 Жыл бұрын

    Mazinge hananga point hata mm naeza simama na yeye kumbe.Ako na sarakasi nyingi tu kutoa watu kwa mada

  • @ezekielmwamba9106
    @ezekielmwamba9106 Жыл бұрын

    Dawa ya Mazinge ni Ndacha

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 Жыл бұрын

    Mazinge nivichekesho tu

  • @Arishafa547
    @Arishafa547 Жыл бұрын

    Hamidu mungu akupe umri mrefu na mazinge or mbogo na wahaziri wengine

  • @matabarohm3167
    @matabarohm3167 Жыл бұрын

    Eti hakuna andiko inasema njia ya uzima ni YESU😂😂 JOHN 14:6 Jesus answered, “I am the way and the truth and the life. No one comes to the Father except through me. Mazinge nakupa haya all the way from 🇨🇦

  • @Nolithajack12
    @Nolithajack1210 ай бұрын

    Mwalimu kabisa balikiwa 👋

  • @RubanAbdalah-ty4jn
    @RubanAbdalah-ty4jn11 ай бұрын

    Kwa kweri siwezi kuwa mwisilaam naomba mnisamehe na dini yenu. Yesu ni yote katika yote. Ni kufata mafundisho ya yesu na si kua muisilaam

  • @leonardadd
    @leonardadd Жыл бұрын

    Yaani vichwa tatu za kiislam hakuna ile inaelewa mada,, enyewe Muhammad anadanganywa na haya ma kanzu😂😂jehanamu qualifications

  • @charity3978
    @charity3978 Жыл бұрын

    1Wakorintho 15:20 Inasema hivi '' Lakini sasa Kristo amefufuka katika wafu, limbuko lao waliolala.''

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa7248 Жыл бұрын

    Nimeshinda kusema na bado narudia,ipo wakati Mazinge atapanda jukwaani na kulia kama mbuzi;meeeeeeeeee! Kisha aweke microphone chini kama ameanza kupiga gita kwa kutumia mdomo,mtakubaliana nami.

  • @BIBLIANURUYADUNIA

    @BIBLIANURUYADUNIA

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @peternduati8877

    @peternduati8877

    Жыл бұрын

    Mazinge 😂😂😂hatalia meeeeee,,atawashangaza akina ndugu kinyogori akiwatangazia Ukristo ndio njia ya kweli 😅😅😅😅😅atî atalia meeeeeeeee jmeni.

  • @petromachanga5538

    @petromachanga5538

    Жыл бұрын

    Mazinge kafili mla punda

  • @issackabdi7001
    @issackabdi7001 Жыл бұрын

    When you have final book and final universal messenger no need to listen humanbeing from kenya ....no day ndacha will allow

  • @georgelugaliki1307
    @georgelugaliki1307 Жыл бұрын

    Hahahaha watu watatubu hapa

  • @bettygesare5948
    @bettygesare5948 Жыл бұрын

    Kweli Leo mumekumbali yesu praise be to God Muslim Ndacha baptism them

  • @jeanpaulkwizera3216
    @jeanpaulkwizera32169 ай бұрын

    mazinge is Mr Been

  • @nancyjematian2358
    @nancyjematian2358 Жыл бұрын

    waislamu mna kimbarua.tulieni mfunzwe na mwalimu dacha

  • @hannah7722
    @hannah7722 Жыл бұрын

    Yaan waisilmu hamna ufunuo ata kidogo

  • @issackabdi7001
    @issackabdi7001 Жыл бұрын

    Ndacha angekaa mombasa only 2 years ....

  • @raphaelcharles4949
    @raphaelcharles4949 Жыл бұрын

    Mazinge amechemka, kwani Adam na Nuhu nani aliyetangulia?

  • @benjaminjohnny3651
    @benjaminjohnny365111 ай бұрын

    Ndaca❤❤❤❤❤

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam1865 Жыл бұрын

    Pastor plz mchukue ukambaaatize huyu awe mkristo

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam1865 Жыл бұрын

    Mwalimu ndacha wafunze

  • @emmanuelokengo
    @emmanuelokengo Жыл бұрын

    Jesus Christ is the way to the Father . Happy to be a strong christian . Christ is the way ,wow!!!...watu waokoke...

  • @hillarymithika5002
    @hillarymithika5002 Жыл бұрын

    Waislamu ukiwashinda kwa hoja huwa wanataka vita

  • @gatekanene5753
    @gatekanene5753 Жыл бұрын

    Nauliza kwa upole uyo mzee Mazinge ambaye ni mufuasi wa marehemu muhammad mbona wanamuita professional wa vitabu lakini akija kwenye jukwua lazime aje na vikaratasi? Kwani uwo mwiaka yote hiyo hajaweza kukariri Quran kwenye kicwua cake? Daah ama kweli MUNGU anajuwa aibisha wale wanao jiweka juu kama kina mazinge

  • @navokisembo

    @navokisembo

    Жыл бұрын

    Umenichekesha kweeli

  • @jumamsambillah4392
    @jumamsambillah4392 Жыл бұрын

    Tatu eti 25/12 dicember nisiku ambayo yesu kazaliwa nao wanassherekea haya ukiwauliza iyo tarehe IPO wapi kwenye bibilia hakuna nimambo tu walioweka wangu kama walivyo waekea mzungu Alie igiza movie kwenye rozali nao wakaamini yule wakanunua wakavaa

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 Жыл бұрын

    KWAKWELI WAISLAM NI MBUMBU NA HAWATAELEWA MPAKA MUNGU ASHUKE

  • @aliyyuhibu3561
    @aliyyuhibu3561 Жыл бұрын

    Safi mazinge

  • @saimonsimiyu840
    @saimonsimiyu840 Жыл бұрын

    Hi yaleo ni moto,mazinge hawezani nayo

  • @user-ro8xx9pq6q
    @user-ro8xx9pq6q10 ай бұрын

    Uyu ndacha ukweeli anaujua Kama " dini ya kweeli ni uislamu " kitu kinchomueka uko ni pesa tuh ....

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Жыл бұрын

    Waislamu hamna lolote hasa msomaji kama vile ana makini anahangaika sana na Pepo msaidieni hamumuwezi Ndacha hata mukileta wasomi kiboko yenu Ndacha na Paul

  • @issackabdi7001
    @issackabdi7001 Жыл бұрын

    Mazinga mbna hivyo

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын

    Ilaa ndachaa hutaki kutuambia ukweli kuwaa dini ya manabii ni ipii,,unaweka maelezoo tuu,,mbona waislm wezetuu,,wnatoa Aya za kueleweka,,kwann naww usitupe Aya Kama waoo,, au hamna Aya zakuonesha dini za manabii ,,bola utwambiee siyo tunakusklza lkn Aya Wala hutupi,,SS,,mbona mashkh wabkiislam wanatoa ayaa

  • @joelmsiki2000
    @joelmsiki2000 Жыл бұрын

    Duuuuhhh, yaani Mazinge ameishiwa,,, anatuaibisha waislam

  • @opujejoshmahjoshmah1432

    @opujejoshmahjoshmah1432

    Жыл бұрын

    Kaka wewe usimfwate fata Ukweli

  • @leonardadd
    @leonardadd Жыл бұрын

    Ndacha Sasa ngoja Muhammad umpeleke Kanisani😂😂