DIAMOND kawashika pabaya wanaijeria na KOMASAVA,kawazidi wote mpaka sasa hawana international Hit..
Ойын-сауық
Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz
Пікірлер: 122
Huku Mozambique mimi chabiki number 1 wa diamond platnumz wa muda wote🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tunahitaji international album kutoka Kwa simba
@muksinimbaruku1233
Ай бұрын
Hawez kuandaa album kwa mziki wake wa ujanjaujanja
@user-ty9jb7mo2v
Ай бұрын
Apo sasa
Yani nakukubali sana diamond ❤
Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen
Aaaaahaaaaa diamond sio wa kawaidaaa..
Wcb wasafi tujuane apooh ndugu zanguni 🙏😍😍😍😍
Daaah adi sioni vizuri uyu diamond platnumz ninoma babaweeeeeeee simba❤
Uku kwetu Congo tunaitaji album kutaka kwa haujue
Huyo ndo simbaaaa dagote ❤❤❤🎉🎉
Middle simba cd4music wp
Dangote big up🎙️
Simbaaaaaa
Wewe unae msema vibaya diamondi nishoga au nikuma kwanza unapo lisema jina la damondi inakupasa uwe naakili yakutosha napia uwe na leseni yakutosha,
Comasvaaa❤❤❤❤❤❤❤❤
Iyo ngoma inajuikana kweli, na inapendwa❤. Moçambique, wengui tunampenda DIAMOND PLATNUMZ. Mungu azidi kummbariki
Very nice,from Mozambique, nimeipenda iyo,❤
mond ni moto wa kuotea mbali🎉❤
Attention sana hii 🔥🔥🔥🔥🔥 Excellent
Simbaaaa❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉
Hili dude ukimaliza saa nzima mtandaoni na usilisikie labda uzime data😂😂
@MoneyKey247-fk4oy
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@rosemahenge9071
Ай бұрын
@@MoneyKey247-fk4oy Linatembea siyo mchezo
@eliaskassim8321
Ай бұрын
Ogopaa😂😂😂
Anajuwa sn
🦁 weeeee 🧟♀️ HAUJUI💨💨💨☄️☄️☄️☄️☄️⏰
Mondi kaza baba ututowe aibu , mana wanageria wanajiona kama wamungu wamiziki wa Africa
simbaa the goat forever❤🎉
Mond hakunawakumueza kimusic yan Burundi tunamuheshim sana❤❤❤
Simbaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 zombie❤❤❤
middle simba cd4music wp
simbaaaaa
On fire 🔥 diamond 💎 platinum
Mukumbushe harmonize level zake ni IBRA
@user-oy1sd1py7f
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Ngoma imetulia ata ukiplay kwenye pkpk
❤
simba wewe ni li simba waka nyage kanyaga kanyaga wa kanyage kweli koma sava dunia
❤❤
Hatari🔥🔥🔥🔥
Simɓa la masimba
Ni kweli diamond anafanya vizuri. Ila Bado kukimbiza kuawa zidi hao wote .unadanganya hao uliowataja hawaja toa Bado Kaz mpya . nakazi zao za nyuma zime kanya vizuri sana, comasava ina hitaji muda Bado wakufanya vizuri zaidi kuwa kama city boy, unavailable, hizo zote Spotify zina zaid ya million 100, comasava haijafika hata million 5. Usidanganye, wanahabari wa bongo munaendekeza uchawa nasio fact, Yani wengi ni udaku udaku, Munazingua kiukweli. Diamond nimsanii mkali sana na atafikatu level za kiduni ila Bado kunakazi ya kufanya.
Huu mwaka tukose Grammy .... weeeeeh
www unaenda mindi ni mchawincio bure
Wambie waelewe mond at all is on fire
Simba kama Simba
🔥🔥🔥🔥🔥
Simba 👍
🔥🔥🔥💐💐💐💐
Oya mziki mguma baba saii emapia tu but utabadilika uwone watu wanavyo pata tabu tena😂!...
Hata Mmakonde na Disconnect amekalishwa
🙌🙌🙌
💯💥💯
clap hand for him❤
Ataree
Huy asilinganishwe na mtu yyt hap tz
Watanzania muwe nahacha kujichanganya wenzake awana kazi mpya je mtawalinganisha aje je wakishatowa atawafikia Diamond ni mtoto sana
Yani middle simbaaaa unanikoshaga sana ukimzugumzia diamond platnumz simbaaaaa 😂😂😂
Ile disconect ya wa makonde, kkkkk
Haujuiiiii 🔥🙌🏆
Nyie jidanganyen TU lakin BET au Grammy mtasubil xana Niko pale Kwa nyimbo gan comasava ndo ufananixhe na hao wapopo
Sisi haoo
Wezombi haujui Simba wamasimba dangote 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Diamonde pratinamz is the king of African
Nakukubali fara simba together as one
Nice one.
Amewapiga kimoja cha moto😁
Wewe pambana, waache hawo wasio jiamini nakuwaokopa wa Nigeria , mwanaume kujiamini na asie penda kushindana basi huyo hawezi kuwa mshindi
Kuna watu wata bisha ila ni ukweli wa nigeria wamesha poa ni muda wetu sasa 🎉🎉🎉
Middle simba ivi ulikuwaga wap sku zote izo ulikuwa kimya sana
Huyu simba anafaa kutengenezewa sanamu lake
Naona cris na davido wanataka kulizma komasava
simbaaaa🎉🎉🎉🎉
Jitaidi kuona pande zote
ilo jini 🔥
Diamond platnumz 🎉🎉 namkubali sana toka dogo janja salute
Mseng unakubali sana diamond
We zombie
kaka mond yupo vizuri kwa hit songs lakini hao wote kipaji ambaye anacho ni wizkid maana wizkid anajua sana Amna kinacho mshinda
Yoo
Mnaota bro
♥️♥️♥️♥️♥️
🔥🔥🔥🔥💣💣💣💣💣🛫
Unyama🚴🏽🚴🏽🚴🏽😊
Hayo maneo umeongea wew shabiki yake
Mond 🇹🇿
Ukiona ivyo ujue s2kis awamkamat maprodiser inamaanisha anazid kupenya tusimsifu tu mondi japo mondi n noma noma na nzima
Ngoma gan jaman iyo
WEWE HAUNA AKILI DAIMOND FOLLOWS WAKE NI WA KKKKK NAKUTUMIYA MA EX MA WWNA WAKE BURNA BOY , DAVIDO, WASZIKI WA NA MUZICI WANAJAZA TURN ARENA WEWE UTABAKIYA PUMBAFUUUU😂😂😂😂
Kwan bonge yupo wap number moja kuvuta bangi😆😆😆😆
Burna? Bro😂
@rashidingole1588
Ай бұрын
Elewa alichosema middle Simba, yaani kwa mwaka huu Hakuna Hit song Nigeria kuizidi commasava ki international
Huyu middle simba ni chawa promax wa baba levo bila shaka 🙄
Musoma na wenzake mnasikia takuimu hiyo
mwaka wa2024 watamutambuwa kwamba yy nn
Tatizo ni shirikisho siange Fanya pekeake tukaona ubingwa wake mondi
Chawalization forever
@hoseanobocka7140
Ай бұрын
Mashabiki wa kistuli wanaumia sana Middle Simba sijui unaljua Hilo et mtoto aliefundshwa kupenga kamasi sahv anataka ashndane na baba yake, ndo mana alialikwa siku ya album uchwara mliman City Simba hakwenda hafu manager wa kistuli analalamika et Diamond ana roho mbaya, mwaka huu hakuna kupeana kiki Kila mtu atembelee upepo wake, hivi hyo album imefka nchi Gani mashabiki wa kistuli mnakarbshwa kwa majibu
😂😂😂😂 yaani umeunganisha wote
Munauwa wasani Huko wakati hana uwezo waule mutu unasema
Wezombie haujui
Mm ananiuzi nyimbo kali video haitoi Aaagh😩
@gideon9454
Ай бұрын
Yes anachelewa sana
Endelea kuota😂😂😂
😂😂
Wewe ni chawa wa mondi tunajua hilo
@ramayonline2281
Ай бұрын
Cyo dhambi
@ziggertv3185
Ай бұрын
Wew kawe chawa wa naijeria