Diamond aonesha mguu wa kuku (silaha) anayomiliki akiwa na Zuchu

Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...

Пікірлер: 66

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz6 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤zuchu na diamond

  • @kakusankukabaraka
    @kakusankukabaraka6 ай бұрын

    Diamond

  • @paulmorice5363
    @paulmorice53636 ай бұрын

    Sema waandishi wa sikuizi miyeyusho, amna content, Yaani mnaposti vitu vya hajabu, hamuuwezi kukua kwa kuandika ujinga ujinga.

  • @Duanny-jm8fr
    @Duanny-jm8fr6 ай бұрын

    SIMBAAAA🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪

  • @user-wi6uk1vz1h
    @user-wi6uk1vz1h6 ай бұрын

    ZUCHUUUUU forever ❤️❤❤️💯💯💯👍

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa38426 ай бұрын

    Nampa maua yake maana so kizembe

  • @user-wh3pv1ui5j
    @user-wh3pv1ui5j6 ай бұрын

    Sasa hivi unyamwezi wa kimarekan ushaingia bongo bado uharifu tu mana hayo mambo yanaanzaga kama utani mwishowe wanaanza kuuwana kweli na mabifu mazito yanaibukaga

  • @baloziwamamtukuna5722

    @baloziwamamtukuna5722

    6 ай бұрын

    Kabisa sahivi kuna uhuru flani sio kama enzi za kitambo

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g6 ай бұрын

    Safi sana enjoy my dear zuchu ni wakati wako

  • @user-fr4um2tn8g
    @user-fr4um2tn8g6 ай бұрын

    ila huyu jamaa kama vile ameanza kujitambua mdogo mdogo ameanza kueleweka kwenye mahusiano yake

  • @stevenclaud6648
    @stevenclaud66486 ай бұрын

    Hata Mimi waga sipendi nguruwe yeyote alete chokochoko kwa mwanamke wangu Diamond uko sahihi brother

  • @issakamangila4143
    @issakamangila41436 ай бұрын

    Lava Lava Lava aache ivyo beer 🍺 inataka kwenda mbali ss

  • @jeremychriss
    @jeremychriss6 ай бұрын

    Huyo mnyam anawez kumilik at kifaru😂🔫🔫

  • @SophlaJackson-nt1nc
    @SophlaJackson-nt1nc6 ай бұрын

    Mondi ukija South Africa niambie nikuongeze mbili zabulee 😂😂😂😂

  • @komasavatz
    @komasavatz6 ай бұрын

    Mmh mbona kama Toi 😅

  • @isaacelijah6516
    @isaacelijah65166 ай бұрын

    Its just plastic gun guys 😂😂😂. Dont try 2 put him in trouble

  • @ThetrueBoy-jo9mq
    @ThetrueBoy-jo9mq6 ай бұрын

    Nahap ipo 😊😊😊

  • @mrsinia3064

    @mrsinia3064

    6 ай бұрын

    😂😂😂

  • @romakoko2292
    @romakoko22926 ай бұрын

    Ni jakaya kikwete

  • @user-ki5cq5do1v
    @user-ki5cq5do1v6 ай бұрын

    Simba kama. Simba

  • @lebelgross2656
    @lebelgross26566 ай бұрын

    Nahapa ipo but sio Ile genuine ameshika toy zombie la mazombie

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d6 ай бұрын

    eenhee sasa Simba La Masimba anamtoa mtu utumbooo!! NA HAPA IPO duuu! Mwijaku kaa mbali na TAJIRI atakuuwa muda sio mrefu 🤣🤣🤣🤣

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed6 ай бұрын

    Upuzi .....unajua hii nisilaha Wala sio gazeti labagamoyo kuiweka hadharani unless itakua nifake gun

  • @eliakejijoseph1422
    @eliakejijoseph14226 ай бұрын

    He was drank 😂😂😂

  • @Lina4285baby

    @Lina4285baby

    6 ай бұрын

    Are you sure is drank ?😂

  • @Chagha_lee_69
    @Chagha_lee_696 ай бұрын

    Ok

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu16596 ай бұрын

    Hatakama ilikuwa toy mtasema yenyewe kwa kuwa yeye ni Diamond

  • @ThomasMagoti-it4ty

    @ThomasMagoti-it4ty

    6 ай бұрын

    Bas hana

  • @patrickmulonda9710
    @patrickmulonda97106 ай бұрын

    hata Harmonize anayo.

  • @karimjuma4019

    @karimjuma4019

    6 ай бұрын

    Tena jeshi anayo mda sana

  • @josephstephen2047
    @josephstephen20476 ай бұрын

    Kick za kufungia mwaka

  • @joycekaguo8476

    @joycekaguo8476

    6 ай бұрын

    Ata mm nimenona

  • @cndeboe11

    @cndeboe11

    6 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉❤❤😂😂

  • @karimjuma4019

    @karimjuma4019

    6 ай бұрын

    Kabisa

  • @antonywilliama2868

    @antonywilliama2868

    6 ай бұрын

    mnademaga hvo

  • @babubabz4507
    @babubabz45076 ай бұрын

    Yani kuna vitu unafanya mpka unaonekana mshamba sasa hiyo ndio nini watu wako na zaidi ya hizo me niko nayo sio msani wala sio tajiri

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe90426 ай бұрын

    Sasa mlizani mondi hana ??? Mngejichanganya muone tena anaweza kuwa nazo hata nne

  • @mrsinia3064
    @mrsinia30646 ай бұрын

    Mbona kama za kuchezea watoto 🙄🙄

  • @peterkimati7003
    @peterkimati70036 ай бұрын

    😂😂😂

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe6 ай бұрын

    Zuchu kampa nini Mondi maana hayuko tena ready to take bullets for Zuchu anajiandaa ku take murder case. 😂😂😂😂😂😂 ila maisha haya ukute Zuchu anamuacha Mondi for the other big fish.

  • @ibrahimhassan4120
    @ibrahimhassan41206 ай бұрын

    Bastola Ghani hii😂😂😂

  • @moudys

    @moudys

    6 ай бұрын

    Weka kiuno upigwenayo, ndio utaelewa

  • @minanifreddy6969
    @minanifreddy69696 ай бұрын

    Kama Toy la kichina nenda ukamvumia akuvunje kidevu wala so kukuuwa

  • @misanamohamedi8438
    @misanamohamedi84386 ай бұрын

    mbona anamiliki kitambo Saana. wasanii wengi tu wanazo

  • @wessdj8753
    @wessdj87536 ай бұрын

    😂😂😂em acheni upuuzi mnaijua bastora nyie ?

  • @vickykapama8386
    @vickykapama83866 ай бұрын

    😂😂😂😂 eti bastola ama toy la kichina😅😅

  • @malkavoice2570
    @malkavoice25706 ай бұрын

    Kawaida sana kwa msanii kama mondi kumiliki hata smg

  • @baloziwamamtukuna5722

    @baloziwamamtukuna5722

    6 ай бұрын

    😂😂😂 Ety SMG

  • @malkavoice2570

    @malkavoice2570

    6 ай бұрын

    @@baloziwamamtukuna5722 unajua SR au snoper gun?

  • @kinyamal8201

    @kinyamal8201

    6 ай бұрын

    Nadhani pia anamiliki sms😂😂😂

  • @malkavoice2570

    @malkavoice2570

    6 ай бұрын

    @@kinyamal8201 sms su sns?

  • @geoufo2858

    @geoufo2858

    6 ай бұрын

    ​@@baloziwamamtukuna5722ndio walinzi wa nyumbani kwake Wana smg

  • @ABDULShq-wv6st
    @ABDULShq-wv6st6 ай бұрын

    Bado mna muona Obama kakosea wenzao wako busy na muziki wenyewe busy na Kiki Kiki Kiki nonsense

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat63526 ай бұрын

    Kwa utajiri alionao anastahili kumiliki hata bomu😂😂😂

  • @JacobMaganga-re9ji

    @JacobMaganga-re9ji

    6 ай бұрын

    😂😂

  • @negoboy1359

    @negoboy1359

    6 ай бұрын

    Sihitaji kuendelea kusoma comment za wengine Hii comment ndo imenivutia

  • @abuukamanda.s.mkenga6687
    @abuukamanda.s.mkenga66876 ай бұрын

    Mguu wa kuku? Kwa Nini mguu wa kuku?😊

  • @neemanyove9130

    @neemanyove9130

    6 ай бұрын

    Bastola

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv11676 ай бұрын

    Hana lolote zaidi yakula unga, hata jeshi anauwawaka na akiwa na salaa mkononi mwake. unawezakuwa na bastola na mwenzio akakuwai

  • @karimjuma4019

    @karimjuma4019

    6 ай бұрын

    Kabisa ili teja kwisha kazi

  • @kenrifambi

    @kenrifambi

    6 ай бұрын

    Wewe una nini? That niggah is a millionaire bro

  • @FestoReonadi-kq8kp

    @FestoReonadi-kq8kp

    6 ай бұрын

    Nyinyi ndo mateja hamuwezi kuhum mtu alafu bila kujua ukweri

  • @JumanneFaustin

    @JumanneFaustin

    6 ай бұрын

    Kwani ni msukule huyo

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    6 ай бұрын

    Machoko kweli nyie yani midume mizima mnakaa kumuongelea uchoko mwanaume mwenzako tena aliekuzidi kila kitu pambana na maisha yenu mtunze familia zenu

  • @ruu6592
    @ruu65926 ай бұрын

    It looks fake

  • @user-wi6uk1vz1h

    @user-wi6uk1vz1h

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

Келесі