Davido aongelea beef yake na Diamond Platnumz

Ойын-сауық

Davido ni msanii wa Nigeria ambaye ujazo wa jina lake ulizidi kuongezeka Tanzania baada ya kufanya 'number one rmx' na Diamond Platnumz, wawili hawa walitaja kuwa kwenye beef baada ya Davido kuandika sentensi tata baada ya Tanzania kutangazwa mshindi wa shindano la BBA 2014.

Пікірлер: 59

  • @makangangereza2522
    @makangangereza25229 жыл бұрын

    Kaka angalia biashara I mean we umejiajiri so mambo yanayokupa followers wengi ndo maisha yako hakuna anayebisha kwamba diamond pltnmZ kaiteka all Africa na watu wengi wanataka kusikia habari zake au siyo. So watu wasikuchezee kabisa na kazi yako, Kwa ajili ya kupost habari za diamond,umekuwa miongoni mwa blogs nne bora east African na unakuwa kwa kasi, Keep it up broo, Diamondz are forever """"

  • @bobwangwe748
    @bobwangwe7487 жыл бұрын

    It seems Davido recognized his mistake and repented accordingly. That's how it should always be. Nice!

  • @mankaraphael2860
    @mankaraphael28609 жыл бұрын

    I alwz c Good in U Millard..hongera

  • @killingmleke1810
    @killingmleke18108 жыл бұрын

    Napenda sana music wako kiba una kipaji

  • @evaevance5932
    @evaevance59326 жыл бұрын

    Kwa Mara y kwanz naona interview nzuri hivi between Millary n diamo

  • @hamidarashid8424
    @hamidarashid84249 жыл бұрын

    Asante sana kwa habari moto moto.

  • @abedinegostephano2329
    @abedinegostephano23299 жыл бұрын

    big up, bro but can i have your E-MAIL?

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika48516 жыл бұрын

    Misimamo ndiyo inayokufanya uzidi kuwa juu.

  • @douglasmodrax4608
    @douglasmodrax46083 жыл бұрын

    Wimbo unaoanza kwenye ilo tangazo inaitwaje jaman au kaomba Nani?

  • @twahiraliy3382
    @twahiraliy33826 жыл бұрын

    Mm naisi hakuna haja ya kugombana kwa ajili ya m2 kukuzarau wakati yeye mwenyewe so mkalifu aiseè mm sijui kukasilika hata m2 akinikwaza na nacho jua mm yeye amenikosea na haina haja ya m2 kujiwekaga nyuma eti kisa anatafuta k2 flani nyinyi nyote muko kwenye mishe 1 ya nn kugombana mufike pahali mujitambuwe kama muna tafututa kila 1 wenu nimuhitaji kwa mwenzake weww bila yeye hamna k2 na yeye bila wewe hamna k2 kazi njema.

  • @faridkibavu2028
    @faridkibavu20289 жыл бұрын

    big up ayo tv

  • @sakinakondo9989
    @sakinakondo99899 жыл бұрын

    Thnx habar motomoto

  • @philipolawrence1573
    @philipolawrence15738 жыл бұрын

    millad nakukubali sana ndugu yangu

  • @Bakame0701
    @Bakame07019 жыл бұрын

    It's always about Diamond, kila news Diamond. Davido says he's going to do a collabo na Ali Kiba, so Millard why usimtafute Ali Kiba nae atwambie kuhusu Collabo? Anyway, U're doing a great job, keep it up.

  • @annlove501

    @annlove501

    9 жыл бұрын

    Very true! Tz media revolves around him, media blackout to other artists!

  • @millardayo6828

    @millardayo6828

    9 жыл бұрын

    Bakame West Thanks for watching Bakame, hata hiyo ya Davido kusema kuhusu kolabo na Ali Kiba imeanzia hapa, he did an exclusive interview with me.

  • @ndeshijoseph3199

    @ndeshijoseph3199

    9 жыл бұрын

    Bakame West hahahha cause he is the best in east africa at the moment...its like people always beefing with drake in USA so that they can a air time...diamond is the people's champion

  • @salimmussa9719

    @salimmussa9719

    9 жыл бұрын

    Nafikiri nyny wenyewe ndo mupo busy sana kufuatilia habar za Diamond wakat hamumpend, so munajiumiza moyo bure.. Kwnye channel hii ya Millard ayo kuna videos nyng sana za wasanii mbali mbali sijui kama munaangalia.. Maana zina views chache sana ukicompare na za Diamond.. Achen upumbavu musilazimishe media waache kuandika habar za Diamond, huo ni uchawi wa maendeleo... +bakame West

  • @hubertmselem1530

    @hubertmselem1530

    9 жыл бұрын

    Bakame West alfu we bakame mwanaume but kma mwanamke we video za alikiba au davido akiongelea collabo na alkiba hujaiona humu n sasa unatak apost za alikiba huyo alikuwepo south alikuwepo cku ya tuzo alikuwa nominated paka na yy atajwe alfu isitoshe hii ni channel ya mtu ana haki ya kupost chochote ila ww ndo unahaki ya kuchagua ipi ya kuichek ipi ya kuacha...unaforce mfupa kuwa nyau au co,huyo msanii wenu local artist na atabki kuw hvo hvo alfu linazidi kuzeeka lenyew halijijui tu

  • @goliathmker3335
    @goliathmker33357 жыл бұрын

    Swahili people speak quick man

  • @berthatz

    @berthatz

    Жыл бұрын

    😂

  • @denniskalisti2570
    @denniskalisti25706 жыл бұрын

    Davido uwa anafanana na ommy dimpoz

  • @ayoubmwalyawa2824
    @ayoubmwalyawa28246 жыл бұрын

    Huyu mondi anajitahidi sana yaani

  • @renardjelemia8807
    @renardjelemia88079 жыл бұрын

    Cool

  • @pollylazmartins9690
    @pollylazmartins96908 жыл бұрын

    hongera millard!

  • @josephmunna8577
    @josephmunna85777 жыл бұрын

    very Gud Mond 🙌✌

  • @gaxorn_gr5630
    @gaxorn_gr56309 жыл бұрын

    hongera sana kaka kwa hatua kubwa ulopiga

  • @chao3979
    @chao39799 жыл бұрын

    Its like u keeping too much effort on one artist but why don't you give them credit all yaani I mean one love.its ok u love diamond but don't show it so openly but I respect your decision keep the fire burning

  • @robertkellybergakifuvwesha3335
    @robertkellybergakifuvwesha33356 жыл бұрын

    one love 🤘

  • @azizayassin3623
    @azizayassin36238 жыл бұрын

    safi

  • @christinetimothy5805
    @christinetimothy58056 жыл бұрын

    Millad ayo nilikua natisheti moja nimeiprint ayo tv baada yakuona nawewe umejiunga nawapuuzi wamjini kutomwandika aukutoa habari yeyote ya babatee, dimond nakaamua kuichana Kama umerudi basipoa nitaprint nyingine maana mm nijilani yako hapa msewe

  • @berthatz

    @berthatz

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @saidimazengo484
    @saidimazengo4843 жыл бұрын

    Davido,anamiliki,shingapi

  • @shafdaudarobert6960
    @shafdaudarobert69607 жыл бұрын

    Davido

  • @ommynizbaby7047
    @ommynizbaby70477 жыл бұрын

    Ommy like simbaaaaaaaaa

  • @damydee5278
    @damydee52787 жыл бұрын

    yani kiba ni zuzu kweli

  • @saidwilson6529
    @saidwilson65297 жыл бұрын

    okey lakini diamond kiswahili gani nilimkuta hayupo wewe ur tanzanian

  • @mussaagrey5679

    @mussaagrey5679

    6 жыл бұрын

    said wilson ndo unachosikiliza ikiwa unajitambua, wazia mapungufu yako

  • @pollylazmartins9690
    @pollylazmartins96908 жыл бұрын

    challenges ndo sinasongesha music mbele

  • @billkalolo6836
    @billkalolo68368 жыл бұрын

    simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @mayengamarco7932
    @mayengamarco79327 жыл бұрын

    hayaaa tuhuusuu

  • @paulothomas7270
    @paulothomas72708 жыл бұрын

    ok I thing utaenda sawa ucja man..........

  • @congera6617
    @congera66178 жыл бұрын

    that nigha burundian check that mane shot.

  • @vidaluisjoesph1021
    @vidaluisjoesph10217 жыл бұрын

    gostei

  • @ramadhanmusa2878
    @ramadhanmusa28784 жыл бұрын

    Davidoo domo lifunge utameza mainzi

  • @jabirimdoe313
    @jabirimdoe3138 жыл бұрын

    JB boy

  • @danielwilson8820
    @danielwilson88206 жыл бұрын

    Tumeyasikia baba tiffah

  • @jkissjuma9425
    @jkissjuma94256 жыл бұрын

    Simba namkubar

  • @sarahmwaluko2480
    @sarahmwaluko24807 жыл бұрын

    😂😂😂😃😃baba tifah namkuta hayupo 😂😂😂

  • @alfredylameck4627
    @alfredylameck46279 жыл бұрын

    millard tatzoooo nn unapost ktuu hakunaa daah umenkwazaa san

  • @mahsnirmohammed2493
    @mahsnirmohammed24937 жыл бұрын

    Lazima mtu ajiamini hamna kuogopa

  • @barakalugata5050
    @barakalugata50506 жыл бұрын

    Uko poa bro

  • @martinvavatu5167
    @martinvavatu51676 жыл бұрын

    Namkuta hayupo

  • @daudkipusa6890
    @daudkipusa68903 жыл бұрын

    domo lako hulingan na davdo

  • @azizayassin3623
    @azizayassin36238 жыл бұрын

    haaaaaahaaaa simba simbaaaaaa

  • @faridkibavu2028
    @faridkibavu20289 жыл бұрын

    big up ayo tv

Келесі