DAMU YA YESU NI UFUNGUO WA KUFUNGUA MALANGO.BY BISHOP FJ KATUNZI
Endelea kufuatilia vipindi mbalimbali na Mahubiri kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Bishop fj katunzi ambae ni Mwalimu wa Neno la Mungu, Mhubiri wa Injili, Mwandishi wa vitabu na mtafiti wa historia ya Kanisa. Pia amekua akiongoza safari za mafunzo katika nchi za ki-Biblia Israel, Misri, Uturuki na Jordani.
⚫️ SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
⚫️ VISIT LIVE IBADA: kzread.info?list...
⚫️ WASILIANA NA MARANATHA ONLINE TV: ( +255 754 367 826 )
⚫️ Email: faithtrustees40@gmail.com
*** OUR PLAYLISTS***
⚫️ HABARI MCHANGANYIKO: kzread.info?list...
⚫️ BISHOP FJ KATUNZI IBADA: kzread.info?list...
⚫️ MAFUNDISHO: kzread.info?list...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: kzread.info?list...
⚫️ UCHUMI: kzread.info?list...
⚫️ IJUE ISRAEL NA KANISA: kzread.info?list...
⚫️ SIMULIZI ZA KUFUNGULIWA: kzread.info?list...
⚫️ IFAHAMU CITY CENTER CHURCH: kzread.info?list... SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
⚫️ VISIT LIVE IBADA: kzread.info?list...
Пікірлер: 28
Asante sana mtumishi
Amina mtu wamungu
Amina 🙏
Kazi iendelee
Amen amen
Amina Pastor
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu na balikiwa sana na mafundisho yako na kuongezeka kiimani mungu akubariki sana
Mungu endelea kuwalinda watumishi wako wa kweli Amen
Milango ya kheri ikufungukie mtumishi
Mungu azidi kukutia nguvu Baba mtumishi wa kweli ili tupone ubarikiwe sana
Asante mtumishi natamani nifike Dar kwenye kanisa lako uzidi kutukizwa
Ubarikiwe sana mtumish.Mungu akakustawishe zaid
Bariki wa mtumishi
napenda sana mahubir yako mtumish nakuonea wivu na shauku heri ya tumbo lilolokuzaa
AMEN, AMEN, AMEN, 💯💪
Barikiwa Baba kwa Ujumbe Mzuri
Ubarikiwe sana mchungaji
Ubarikiwe baba yangu
Ubarkiwe sana mkuuu
Jina la Bwana liinuliwe
Haleluya🙏🙏
AMINA
Ameeeen pastor 🙏🙏🙏🙏
Amen pastor God bless you
@marianguli7994
10 ай бұрын
Amen
Mchungaji naomba maombi yako napitia changamoto kubwa
Asante sana mtumishi