MAOMBI YA KUPIGA WALIO KUPIGA - BY BISHOP FJ KATUNZI.
Endelea kufuatilia vipindi mbalimbali na Mahubiri kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Bishop fj katunzi ambae ni Mwalimu wa Neno la Mungu, Mhubiri wa Injili, Mwandishi wa vitabu na mtafiti wa historia ya Kanisa. Pia amekua akiongoza safari za mafunzo katika nchi za ki-Biblia Israel, Misri, Uturuki na Jordani.
⚫️ SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
⚫️ VISIT LIVE IBADA: kzread.info?list...
⚫️ WASILIANA NA MARANATHA ONLINE TV: ( +255 754 367 826 )
⚫️ Email: faithtrustees40@gmail.com
*** OUR PLAYLISTS***
⚫️ HABARI MCHANGANYIKO: kzread.info?list...
⚫️ BISHOP FJ KATUNZI IBADA: kzread.info?list...
⚫️ MAFUNDISHO: kzread.info?list...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: kzread.info?list...
⚫️ UCHUMI: kzread.info?list...
⚫️ IJUE ISRAEL NA KANISA: kzread.info?list...
⚫️ SIMULIZI ZA KUFUNGULIWA: kzread.info?list...
⚫️ IFAHAMU CITY CENTER CHURCH: kzread.info?list... SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
⚫️ VISIT LIVE IBADA: kzread.info?list...
Пікірлер: 31
Aaamina mtumishi,nimelipata somo kwawakati sahihi.barikiwa saana.
Mungu ni mwema na akutangulie katika kazi yake
Amen baba barikiwa sana wote waliokula haki zangu wataliwa,wote wanaotesa maisha yangu watakuwa mateka,kila gereza lililofunga maisha yangu liharibike na maisha yangu yawe huru
Amina mtumishi wa mungu nabarikiwa sana na mahubiri Yako
Barikiwa sana mtumishi' Mungu akuzidishie mwanga' uzd kutumrikia Amina!! 23:19
Huu ni mwaka wangu wa kuinuliwa, wasionitaka wataniona nikitoka, kila Gereza linavunjwa Kwa Jina la Yesu, by Power by force in name of Hesus
Huu mwaka wa 2024 ni mwaka wangu wakuinuliwa kiroho, kiafya, na kiuchumi kila gereza leo lazima liniachie kwa jina la yesu.
Amen Baba ubarikiwe sana
Amen barikiwa sana
Ameeen
Amina.
Amen
Ubarikiwe sana pastor kwa ujumbe mzuri umenibarik
Asante baba napokea manake natukanwa matusa makubwa na mZAZ MWENZANGU
Amen amen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe mtumish
@elizabethnanyaro4322
Жыл бұрын
Mungu akanisaidie kwenye KAZI yangu kupitia maombi ya leo
Amen amen ! !?
WOTE WALIONITESA WAKAYAPOKEE MATESO YANGU LEO WALIWE LEO
Mwaka 2007 ulinihubiri nikaokoka Mungu akutie nguvu baba
Mtumishi ubarikiwe
nimevuka mahali kupitia mafundisho haya ya ajabu kwa kweli
Ameeni
Mungu atosha !!?
Amina
Naam nataka inuliwa baba askofu
My
@benuatngalunda9943
Жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi
@benuatngalunda9943
Жыл бұрын
Mtumishi ubarikiwe Sana hili somo linanibaeiki sana
@gloryvicent813
Жыл бұрын
Katapila la bwana yesu nampenda sana
Amen