naona kama MB zimepata pa kwendaaaaaaaaaaaaa OG wapi wana TIA like zenu
@harunamrangi31503 жыл бұрын
Katishaaa💪🏾 hawa ndo marapa tuliokuwa tunawasubiri sasa
@charlesjoseph17353 жыл бұрын
Mwanang KonKod umetisha🔥
@juliusngowi9523 жыл бұрын
Kuanzia dakika ya 8 na sekunde 44 Umetambaa utam sana kijana..big Up sana 🔥🔥👏👏👏
@official_saidkijeshi42013 жыл бұрын
Daaaaaa dogo ni fundi sana yaani daaaa kipaji binafsi ukipiga msuli unaweza kufika mbali mzee baba big up kwako
@habaryrashid77743 жыл бұрын
Aiseee yuko vizuri kijana
@jamesv.ndyambi51933 жыл бұрын
Fresh sana, ila mbona ya Gran Geezy hamjaipandisha maana alitisha sanaaaaaaaaa.... Fanyeni michakato dakika 10 za Gran Geezy nazo zipande
@stonerstoner86893 жыл бұрын
Real talent .... big up from the 254
@popotetv59373 жыл бұрын
Nakubar jamaa hanaegonga midundo mpaka MCs hamefanya poa sana hongeleni kwakutokuwa na roho mbaya kwakunyanyua vipaji vyao mungu hawajaze imani awapunguze mihoyo ya mataa napesa ndogo ndogo za wasanii wachanga msiwe kama mariango mgeta ahsanten nyoote
@kenedysinko45723 жыл бұрын
Makiiiin kaka unajuuua
@davisthabiti8573 жыл бұрын
Umeweza kaka ni 🔥🔥🔥
@kelvinthomas45793 жыл бұрын
Daaah jamaa anajuaaa🙌🙌🙌🙏🙏
@mullerrbn48522 жыл бұрын
Jamaa nomaaa sema upepo ndio kidogo unapungua ila jamaaa anajua mnoooooooooooooo
@chakuboyofficial97203 жыл бұрын
Brother una weza sanaa ❤️❤️❤️❤️💕💕 Kali sanaaaaa mmmmmm nomaaa sanaaaaaaaa
@DjSczoOfficial3 жыл бұрын
aiiiiii huyo dogo ana mistari aiseeee
@fredykitaly80103 жыл бұрын
Noma sana kijana
@hidoxtz35593 жыл бұрын
Uwezo mzee🙌🙌🔥🔥🔥🔥
@novathpanga82163 жыл бұрын
Mb zangu nimetumia vizuri,jamaa yuko fresh san 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Пікірлер: 195
naona kama MB zimepata pa kwendaaaaaaaaaaaaa OG wapi wana TIA like zenu
Katishaaa💪🏾 hawa ndo marapa tuliokuwa tunawasubiri sasa
Mwanang KonKod umetisha🔥
Kuanzia dakika ya 8 na sekunde 44 Umetambaa utam sana kijana..big Up sana 🔥🔥👏👏👏
Daaaaaa dogo ni fundi sana yaani daaaa kipaji binafsi ukipiga msuli unaweza kufika mbali mzee baba big up kwako
Aiseee yuko vizuri kijana
Fresh sana, ila mbona ya Gran Geezy hamjaipandisha maana alitisha sanaaaaaaaaa.... Fanyeni michakato dakika 10 za Gran Geezy nazo zipande
Real talent .... big up from the 254
Nakubar jamaa hanaegonga midundo mpaka MCs hamefanya poa sana hongeleni kwakutokuwa na roho mbaya kwakunyanyua vipaji vyao mungu hawajaze imani awapunguze mihoyo ya mataa napesa ndogo ndogo za wasanii wachanga msiwe kama mariango mgeta ahsanten nyoote
Makiiiin kaka unajuuua
Umeweza kaka ni 🔥🔥🔥
Daaah jamaa anajuaaa🙌🙌🙌🙏🙏
Jamaa nomaaa sema upepo ndio kidogo unapungua ila jamaaa anajua mnoooooooooooooo
Brother una weza sanaa ❤️❤️❤️❤️💕💕 Kali sanaaaaa mmmmmm nomaaa sanaaaaaaaa
aiiiiii huyo dogo ana mistari aiseeee
Noma sana kijana
Uwezo mzee🙌🙌🔥🔥🔥🔥
Mb zangu nimetumia vizuri,jamaa yuko fresh san 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ebana Konkodi sikudai mzee
Og konkod upotei kwa biti 🔝
Oyae Dogo noma aisee naomba arudishwe tena
konkodi sumuu mamaaee
Mzee ongeza bdii unajua kwsbb unajua kpangilia vnaa
the best rapper, huchoki kumsikiliza!!
Kauwa kuliko woteeee waliopga daika 10
Jamaa htri sana
Nakubaliiiiii konkod mwanang umeharibu
Mwana anajua sana tu alafu punch line zake ziko tafauti na wengine✌
@imalabani9948
3 жыл бұрын
👊
Nakubaliiii Shujaiiii Big up Brodah
Tishaaa classmatee.....
Ebwana kabla yakusikiliza mauaji Mimi nadondosha comment kuwa jamaa ameua tunaofanya Ivo dondosha comment apa say YES
@shenamtukufu1224
3 жыл бұрын
Yes
Jamaa anaweza sana
Aminia man
Unatisha brooo konkod
Shkamo kaka 🙌🙌🙌🙌🙌
Aliona huyu jamaa anaflow tofaut agonge like
Waaaaaaaa Ni Konkkodi Kweli 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Team Concord 🙏🙏✊✊✊
Afu Tia kuna wasanii wengi sana asee...umetisha konkodi
Konkodi nakubali sana p1
Saf sana mwanangu mdudu a.k.a konkod
Konkod kazikaaaa wazee,, anajua sana,, mwana n mnyama
Konkodi🔥🔥🔥🔥🔥🔥pachi zake zikotofauti sana ndo vitu tunavohitaji hvo
Pumziiii teee ila anaweza
Nakubal Sana mwenu2 unaweza kaza Ninja wang
Okkkk nice one
😎🤘anajua sana tena san
Konkodi anajua sana
Show za diamond
Mwan sana mzee konkod Umevunja kinoma
Yule presenter mwingine alikua anawapa mizuka sana wachanaji
Anajua
Mucheki jiva ana ngoma kali sana
Jina linasadifu yaliomo, umetisha broo konkod
I just love how planet bongo provides a good platform for the upcoming artists,,,mob respek +254love
Nakubr home boy
Umeua🔥🔥🔥🔥
Hatar sana broo mwamba anajua sana
you kill it my gee💥💥
@Inno-qz2ec
3 жыл бұрын
Nlijua sikukosi mzee
Unaweza
🦅🙌konkod🔥
Flow kali,na jamaaaa yupoo tofautii Sana... Great
Uyo konkodi niatari
Konkodi Tisha Sana mwamba
Konkod upo vizuri pambana
Duuuuuu gat na words to add up
The__virage__boy___from___kinna
Fresh sana asee Dulla nahitaji mawasiliano yako nije niharibie dakika kumi za maangamizi
Noma sana jamaa
Kak dullah this time umemlet chum ametish sana uyo mwanetu sarut kwake
Aloooooo uyuu muhuni real ni konkodi kachafuaaaaaaaaaa mby
safi dogo
Rap kama nyimbo za dini yaaani wanahip hop wanaongea ukweli saluti konkodi
Uko vizuri mzee
God blessing konkodi
Rapa gharama Sana huyu 💪
Katisha sana dogo
Atucheki na wakuda SALUTE KONKODI
Kabla sijamaliza ngoja ni comment, kijana upo good
Walio rudia rudia gonga like
Mbona u live kama hatuupati na mnachelewa kurusha kipindi, maangamizi ya leo tunaweza tukayaona wiki mbili zijazo !!!?
Umetishaaaa
Mwanangu mdudu umeua
Nakubal
Jamaaa ni konkod kweli kwenye michano
Noma sanaaaa 👊
Makini
Jamaa katishaa saaana
Dogo yuko vzr mnoooo
nakuona mbali sana sana g nako wa pili huyu dogo
kipaji hiki jamaa anajuwa sana
@pastorymziba1683
3 жыл бұрын
Konko boy
T.I.A on Top gee💥💥💥
Nani kaona anaimba profesa Jay😎
@babukongwee7186
3 жыл бұрын
Co km khaligraf kwl..!?
Dah! Anastail flani tamu kama akina bandago
Hatari 👏👏👏👏👏
Konkod nomaaa
Noma sana npenda flow
Ametisha sana
Dogo mkali 🔥🔥👏👏👏
💥💥💥💥💥💫 #TechBetteringLives