COY MZUNGU:DIAMOND/ INAWEZEKANA NI KWELI NILIWAPIGA MPUNGA/WALIANZA KUNITAFUTA MMOJA MMOJA
Ойын-сауық
𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 123
Nimevutiwa na interview yahuyu brother! Hi is very smart in brain!! Inabid nifatilie kaz zake
You are talking true bro I am with you Wasafi fm 📻 4life I love you guys 🇹🇿🇹🇿 wapi like zetu za Wasafi fm 📻
@stuartkudeba
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/m4qImJJsoZiqgKQ.html
Coy aiseee Man..ur so smart bro ...u got the next level mindset
Kama unamkubali Coy kwakipind cha CHEKA TU gonga like
Koy is a great man, with great vision I love that ❤️❤️
Levels za kujiamini nimezielewa💪💪 ni kipawa sio kitu unaeza fundishwa popote. He got balls
@TM.Sullusi
3 жыл бұрын
Kabisaa
Makonda ni Former RC yani Regional Commissioner ( Mkuu wa Mkoa) Siyo Former DC yani District Commissioner ( Mkuu wa Wilaya)
Thanks & praises
Duuh huyo jamaa anaongea mmh
Jamaa yupo sahihi kabisaaa
Nimekurewa sana
Ndugu zangu waTanzania mshikeni mkono Coy Mzungu. He is your next Churchill wa Kenya. Ona vile Kenya tuko no.1 Africa kwa comedy! Shikeni Coy mkono atawapeleka mbali
@harounjc6550
3 жыл бұрын
True brother
COYO WW NI MASTER
Mchz Yuko pwa saana kwnye kujieleza big up💪💪💪💪
Akili mingi Coyo
Coy master all along from St. Lawrence from Ug
@stuartkudeba
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/m4qImJJsoZiqgKQ.html
Smart brain
Nimekufatilia toka first time MPAKA LEO NAKUBALI TAENDELEA KUKUBALI BROTHER COY KUNDANBWOI FROM CAPE TOWN 🇿🇦🇹🇿
EX RC NOT DC...OL IN OL U AR SO SMART
Mpaka na comedians wana mambo yakibongo fleva
@marechojohn4289
3 жыл бұрын
Hamna wale madogo ni Tamaa tu kama ukiwasikiliza interview zao utaona ni Tamaa tu...na kutaka umaaruf wa haraka
I like it
Safi sana
Nakubal
@stuartkudeba
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/m4qImJJsoZiqgKQ.html
Coy mzungu hatariiii Sana
Achana nao vipaji ni vingi
Kizazi
Nouma sanaaaaa
@stuartkudeba
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/m4qImJJsoZiqgKQ.html
X DC ndo nn yan?
Nenda kaangalie Interview Clouds then upime muuzani afu utulie
HIVI UNAWEZAJE KUTENGENEZA PLATFORM NA WENZIO UNAINGIA MIKATABA WW UNASAHAU WENZIO WAKIONDOKA UNAWAPONDA
Hakuna atakayerudi kama unafanya interview kama hii kwenye Media. Ungetulia tu lazima wangerudi ila hivi kuongea kwenye Media uonekane mtu mwenye hekima na busara ni bure kabisa. Unatafuta public sympathy kwa kuharibu images za watu. Cheka tu Kupata Airtime Wasafi isikupe mushkeli.
@Greysonthis
3 жыл бұрын
@Hot Media Hujasikia baadhi ya vitu ambavyo ameongea mfano walivyoenda kwa RC
@tonywilliams8819
3 жыл бұрын
@@Greysonthis you are very right friend !
@elrachum3866
3 жыл бұрын
COY , alianza pese yake, WALE WATUBBAKI WALITAKIWA KUWA NA HEKIMA YAKUSULUHISHWA... BINADAMU HUKOSEA... NA HUREKEBIKA...
@narrissajackson3869
2 жыл бұрын
Siyo lazima warudi
Coy mbn km anakariri phrase kila interview n maswali ni yale yale hapotezi neno hata 1 The Jol master kasema hajawafata mlimfata nyie kumuomba kweny ile shoo😅😅 tuwaelewaje afu joly alikuwa Tambaza sasa mwanza kulikuwa na Tambaza au😂
Sina neno mana n siri ya kambi tupo nje kwel n ndani
nyimbo yang inaenda kwa jina la "JEURI"nimemshirikisha Phd hemed n support yenu watanzani kwa kuiangalia 👇👇👇👇👇👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/fYdsxdmmga7blbQ.html
X-Rc Not Dc Au Tangu Alipokua Kinondoni Alipokua Dc...!!
Ommy anasisitiza ex-RC yule, siyo ex-DC.
@clauschristopher1538
3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
Point tupu
ILA PIGA UA WALE NI WATOTO WA CHEKA TU... NA CHEKA TU ITABAKI KUWA ICON IMARA.
Nalo hili liwe funzo kwa mababa ambao hawaangalii watoto wao 😭.
X-RC not DC
Dah kwenye maisha bhn utakutana na binadamu wakila aina wakuchelewesha na kuzuiya haki . haki ya MTU utaichelewesha ila hauwezi kuizuiya kamwe😂😂
Wangapi tuko hapa baada ya interview ya watubaki jana cloudsfm😁😁
Unamleta
@stuartkudeba
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/m4qImJJsoZiqgKQ.html
Farao kma Farao 😁
Vijana wengi ni wapumbavu wanataka kufanikiwa kirahisi, hawataki kutumika kwenyekazi, tafuta watu wako siriaz na kazi
@phiniasntem244
3 жыл бұрын
Brother tafta interview ya upande wa pili ndo utapima ukwel
Ongea kiswahili achana na DC wala rc Sena mkuu wa w au mkuu wa mkoa
Haya mambo bwana dah,,,ukitafta interview ya upande wa pili y watu Baki ndo utaelewa haya yote
@karimchindema9823
3 жыл бұрын
Hahahaha kweli... Na wao wanapoints za kutosha
RC DSM/sio DC
@TM.Sullusi
3 жыл бұрын
Hata hvo aliwahi kuwa DC wa Kinondoni😂😂😂😂. Ila Coy alitaka kumaanisha Ex RC Kama ulivosema
Ni RC sio DC
kzread.info/dash/bejne/gJqqmddycbeWnrQ.html Karibu kutazama wimbo wa CHIDDYMENTARY #KIBUTI HOPE UTAFRAHIA USISAHAU *KU SUBSCRIBE* *KU COMMENT* *NA KUSHARE*
Ina maana Coy ajui maana ya DC na RC....!
@jamsonjames3618
3 жыл бұрын
Nashukuru umenisaidia,yaan jamaa anarekebishwa ila haelewi
Kajamaa kashamba Sana haka, kanataka kuwaonyesha wenzake wabaya
@narrissajackson3869
2 жыл бұрын
Halafu wale hawana nia mbaya walivyosema
Jamaa muongo huyu mbona wapo wanapiga kaz kivyao
huyu jamaa mwenyewe ni genious ,sasa huyo genious wake atakuaje ?
@jut1161
3 жыл бұрын
Yaani wee acha tu
Kama umenuelewa coy kua anawachonganisha washikaji na makonda ngola like apa🤣🤣
ila kwnn wakija apo wasafi wanalazimishwa kumtaja diamond
@mrunboxing8886
3 жыл бұрын
Natamani kujua wanalazimishwa kivipi?
@afterfull-time1348
3 жыл бұрын
Wanalazimishwa vipi? Ivi kweny sanaa ya hapa Tz utamkwepa vip mond
@neemamgona3164
3 жыл бұрын
Wew ndo unaona hivo huna akili wew
*Ni rahisi sana **_kutazama_** WhatsApp Inbox ya mpenzi wako* 👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/iW1lqZeEf5bbgNo.html
@ibrahimkanuto3514
3 жыл бұрын
Hatutaki kuharbu ndoa
Milioni 700 ni approximately dollar 340000 kwa tafiti zako bro Kevin hart asafiri mpaka Kuja bongo kwa dollar laki Tatu na arobaini you can't be serious kabisa.... He is making millions of dollars per one stand up comedy show
@worldtv9145
3 жыл бұрын
Still Kevin Hart kwa content zake bongo wengii itakua wrong audience.
@TM.Sullusi
3 жыл бұрын
@@worldtv9145 Atajikuta hamna mtu anacheka😂😂😂
@babylonyNgwembe
3 жыл бұрын
@@worldtv9145 Hakuna kisichowezwkana kwny kwanini maono yako
@shamteahmedy3665
3 жыл бұрын
Broooo unaongea sana kifupi too Broo mwenye mpini awezi porwa kisu ata siku moja so pambana wale vburi wote wapeazabu na mikataba ili kesho wakiondoka basi wailipe kapun maana tunaenda kwenye mfumo Wa kampun so tunaita kukuza biashara yetu
@innocentherman5101
3 жыл бұрын
Inawezekana kabisaaaa. Japo sio rahisi
Brother unaongopa sana mbaka una boa
Support yenu wadau kwngu link kzread.info/dash/bejne/iomKtJRvYc_Jirw.html
Kassim Mganga Harusi yangu Video kzread.info/dash/bejne/ZIOLzZeMibLZqs4.html
Coy communication skills ni F kabisa it's fact
Coy anashindwa kutofautisha kati ya dc na rpc
@anthonykamkolwe5766
3 жыл бұрын
DC & RC
@innocentherman5101
3 жыл бұрын
Makonda pia ashawahi kuwa DC kabla hajawa RC japo coy Hilo hakulifahamu.
kzread.info/dash/bejne/gJqqmddycbeWnrQ.html Karibu kutazama wimbo wa CHIDDYMENTARY #KIBUTI HOPE UTAFRAHIA USISAHAU *KU SUBSCRIBE* *KU COMMENT* *NA KUSHARE*
Kassim Mganga Harusi yangu Video kzread.info/dash/bejne/ZIOLzZeMibLZqs4.html
Ongea kiswahili achana na DC wala rc Sena mkuu wa w au mkuu wa mkoa
kzread.info/dash/bejne/gJqqmddycbeWnrQ.html Karibu kutazama wimbo wa CHIDDYMENTARY #KIBUTI HOPE UTAFRAHIA USISAHAU *KU SUBSCRIBE* *KU COMMENT* *NA KUSHARE*