COY AMPA MAKAVU LIVE JOL MASTER BAADA YA KUMRUDISHA CHEKA TU “SIJAZALIWA TUMBO MONA NA WEWE”
Жүктеу.....
Пікірлер: 150
@katomondorashid9673 жыл бұрын
Wangapi wamependa jolly kurudi tena cheka tyu tujuane tafadhali
@michaelgwimo18593 жыл бұрын
Coy yupo sahihi 100% humbleness is one among of tougher lesson but it pay alot.
@nasraabdallah8502 жыл бұрын
Ila sjapenda ulicho fanya coy uwoni km nikumtia haya mwenzio kumbuka anafamily uyo mama baba wadog ata ndg. Mchumba sio pow mara nyingine coy angalie namahali yakuzungumzia tofaut zenu si kila sehem nisahihi tu. Atakama mmembeba sio sahihi kuadhirishana mbele zawatu. Atakuchekeo uson uwezi juwa ndani yamoyo wake anajiskia vp.
@lwamihorombo7093 жыл бұрын
Coy, wewe ni Mtu mzima usietumia Akili. Huwezi ongea maneno kama hayo mbele ya watu wote wale. Umetuboa wahudhuriaji unatoa hasira zako mpaka kwa mashabiki. Acha ujinga. Sio Group la kwanza kuvunjika. Nakushauri kama kijana mdogo, next time tumia busara ukiwa unatafuta unaongea, Jua sehemu ya kuongelea shida zako. Ulichokifanya umeonekana hujakuwa kiakili.
@augustinomariano1764
3 жыл бұрын
Coy u-star haweziii
@mwasimbega87123 жыл бұрын
Huy7 coy mpumbavu kweli
@ericklibaba11983 жыл бұрын
Kumbe Diamond Yupo hapo... Basi tushaelewa hili igizo limemlenga nani... Maigizo Haya 💥
@japhetbarton82683 жыл бұрын
Very painful kuangalia hii kitu basi tu Jol master ni very strong
@barakaamosalex9161
3 жыл бұрын
Yaan ni more than pain....imagine ni wewe alafu kesho tena urud kweny stage ile ile kuwachekesha watu walewale ambao ulisemwa mbele yao..
@rachelsilvester7901
2 жыл бұрын
He is very strong
@zimudaniel40013 жыл бұрын
Mzungu mwenyew anajua joh master ni mwamba mbona wengine hawaangaikiii
@mcwaya13 жыл бұрын
Huo ujumbe si wa Jol Master, kuna mtu kalengwa
@fredrickmsomba4123
3 жыл бұрын
😂😂😂
@dorisfabian37033 жыл бұрын
Kha huyu coy nae anajionaa anajuaaa huku walioondoka ndo wanajuaaa
@sijalikifunyo9123 жыл бұрын
Coy tatizo si mtu kumwambia ukweli, tatizo ni mahali gani na wakati gani, Kama unampenda kweli ungejali wanaomheshime kama kaka yao kama mtoto wao hata kwa mke au mchumba. Kumwambia karubuniwa mbele za halaiki kama hiyo maana hawezi kujisimamia mwenyewe, Je unadhani walokuwa wanamheshimu watafanya hivyo tena? Hayo ilibidi umwambie private sio kuanika as if wewe ndo kila kitu kwake. Halafu tafuta maana ya unyenyekevu kabla hujazungumza mbele za watu. Jifunze.
@mcheshcomedy5809
3 жыл бұрын
Yes
@janethmandari6787
3 жыл бұрын
Well said
@nasraabdallah850
2 жыл бұрын
Kweli kbs coy kakosea sn
@franksteven14363 жыл бұрын
Coy mnafiki huyu...yeye amemuuzia diamond cheka tu bila kuwaambia wenzake
@namelessunknown1377
3 жыл бұрын
.......
@samsonbabalao4158
3 жыл бұрын
Kipindi anauza wew ulikuwepo au unajiongelesha tu
@seifzongo320
3 жыл бұрын
Du kweli au
@daveme9180
3 жыл бұрын
Hahaha hatar
@upendotarimo9324
3 жыл бұрын
@@samsonbabalao4158 hata kama kusoma hujui picha hauoni?
@Manomacho3 жыл бұрын
umezingu coy
@ibnahmad6073 жыл бұрын
Huyo anayesemwa Sasa😂😂 Ila hilo ni dongo kwa Konde Boy.
@barakanatus5676
3 жыл бұрын
Konde ni mtu mwingine usifananishe issue
@beatusjackson3638
3 жыл бұрын
Acha kuchanganya mambo
@ibnahmad607
3 жыл бұрын
@@barakanatus5676 Uelewa wako ndio umeishia hapo
@ibnahmad607
3 жыл бұрын
@@beatusjackson3638 Uelewa wako ndio umeishia hapo.
@barakaisrael257
3 жыл бұрын
Konde boy gani tena jamani 😂😂😂
@lulumbwilo73023 жыл бұрын
Let comedy be comedy on show, na siasa au uongozi uwe uongozi sehemu husika. Honest mliharibu show ilikuanzuri mlipoingiza hii ishu in the middle of show na ilikua hot. Kuna watu wengi waliboreka
@edsonerasto39513 жыл бұрын
Mkumbuke Coy Ni mhaya
@salumuandrew6775
3 жыл бұрын
Hahahaaa
@emxsimba4025
3 жыл бұрын
😅😅😅
@kpetres2872
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@evamwambapa5251
5 ай бұрын
Sio muhaya uyo ni mkulya
@ushindimbwilo13983 жыл бұрын
Kiukweliii cop hayafanya vizuri kumusema hivyo kwa watu.! Mm ninavyojua kizuri kinajisema chenyewe na kibaya kinatambulika...!! Duuh maisha haya..
@upendotarimo9324
3 жыл бұрын
Hapo ni igizo la mond vs kondeboy
@muniraahmed6243 жыл бұрын
Jolly ndo mwenye cheka2 akitok mayo inakufa😁😁😁
@innocentherman5101
3 жыл бұрын
Umefeli, wakati cheka tu inaanza ikiwa na comedian mmoja tu(coy mzungu) jol master alikuwa anasoma secondary huko!!! Na fuatilia vizuri.
@freddieelice63773 жыл бұрын
Umezinguwa. Design kama ume mdhalilisha jamaaa
@mikadanniel19523 жыл бұрын
Kwani alishindwa kumwambia huko pembeni? vitu vingine vinahitaji hekma huko ni kujitetea tu na kumtishia kijana
@kalufunyangenyakinyungu5087
3 жыл бұрын
Hiyo nayo ni comedy hujajua tu mzee babaa..?
@Kal-Mary
3 жыл бұрын
iyo ni comedy uoni byeny muambiwa iko anafanya
@frankemson
3 жыл бұрын
😂😂😂😂 huo ni utani tu, bro don't take it serious
@lamecktv42693 жыл бұрын
Umenena vema brother Coy Hata kama una kipaji u have to be humble.
@jacksonnassoro60453 жыл бұрын
sema Jol n kichaa nyny mnaona kma jamaa ajapafom ila Kwang ata apo jamaa alikua kazn 😂
@nickluhende
3 жыл бұрын
Nimependa
@salumualoyce5620
3 жыл бұрын
Hahahaha
@kpetres2872
3 жыл бұрын
Sure🤣🤣🤣🤣
@dinnocelestin18943 жыл бұрын
Mbona huyu jamaa anaongea kama vile yeye ndio kashamaliza vile!! Nadhan hiyo humbleness angeanza kuionesha yeye hapo mbele ya halaiki. Namwona kama mtu anayetaka kuabudiwa na kuwa juu ya wengine tu
@georgeigogo9259
3 жыл бұрын
Nifala tuu
@georgeigogo9259
3 жыл бұрын
Kuchekesha kwenyewe hajui
@gwajetheentertainer363
3 жыл бұрын
Muhaya huyo
@mcheshcomedy5809
3 жыл бұрын
@@gwajetheentertainer363 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙄🙄🙄🙄
@eliabeliud4903 жыл бұрын
Ngoja niongeze comment moja ziwe 112 like yangu Apo Sasa naitaji like zangu🧐🧐🧐🧐🧐🧐🧐🧐🧐🧐
@BenCheck-jx9lo3 жыл бұрын
Mbona amechekesha wakati amesema hajaja kuchekesha, yani ukimuona tu lazima ukumbuke vituko vyake.
@britonngale66443 жыл бұрын
Jol master kichaa kweli
@papafikiri3 жыл бұрын
Umemsema sana na kwa kweli mimi ni shabiki yako ila sijapenda kabisa hiyo approach. Hakukuwa na haja yabkumsema mtu mbele ya halaiki kuna wanaompenda zaidi ya wanavyokupenda wewe na kuna watakaokupenda kwa vile utakavyomheshimu yeye huyo. UMETUSIKITISHA SANA jukwaa lijalo litumie kuomba radhi
@samsonjacob3365
3 жыл бұрын
Kafanya vizuri, unajuwa asinge weka ukweli, watu wangeanza kusema coy kamnyonya joh master ndo maana kakimbia, bora kuweka ukweli wazi apo kwa mtu yeyote mwenye ufahamu mzuri atakuwa kaisha muelewa, ndo maana mpaka leo hii diamond anaonekana mbaya, kwamba walikuwa wana mnyonya harmonize, kwasababu tu, ajawai weka mambo azalani, so mpaka leo inaonekana harmoniz hana makosa, maisha ndivyo yalivyo watu wanaokushauri sio kila mtu anamalengo na ww, wengine wanataka wakupoteze, mueshimu sana mtu alie weza ona dhahabu iliyopo ndani yako na kujitoa kwa ajili yako wakati huna kitu, na waliokuzunguka walizalau, lakini yeye kakiona icho kitu.
@rajabuzaituni421
3 жыл бұрын
@@samsonjacob3365 uko sahihi kabisa
@tedymwandara5480
3 жыл бұрын
Huo ni ukweli kabisa, vijana wanavimba wakifanikiwa.
@ilomogold1715
3 жыл бұрын
@@rajabuzaituni421 sio yy ni haonize huoni kuna action hapo
@derickydeniz5833 жыл бұрын
Kweli kuna watu wanapoteza wenzao wasifikie ndoto zao.. ila discpline ndo kila tu Well said coy mzungu
@johnicejordan72753 жыл бұрын
Yes be humble, hashimu ulikotoka ckuzote
@keamikel19133 жыл бұрын
Kashindwa kuyawaliza ofisini mpumbavu mmoja tuu
@hezronmanjegeka29783 жыл бұрын
Naye huyu anajikutaaa
@LumolaSteven3 жыл бұрын
Coy na wewe upo chini ya nani? Kila mtu ana riziki yake. Sikuona haja ya kumsema mbele za watu huyo Kijana
@erickelly763
3 жыл бұрын
Yupo chini ya Cley.. ndiye anamlea
@bundukitv13223 жыл бұрын
Yafahamu Makosa 10 wanayoyafanya watu wenye KZread channel👇👇 www.mrbunduki.com/2021/01/makosa-10-usiyafanye-kama-una-unataka.html?m=1#more
@cmantz88373 жыл бұрын
Coy wapumbavu wapumbavu wakizingua achana nao
@mohamedhaidar80403 жыл бұрын
Huyu jamaa taarabu zimezid..
@joanminde79052 жыл бұрын
Jaman yaan huyo Joel master yaan Ni kichaa. Quoted;sis Bado wadogo we have nothing Joel:Yes🤷
@kabitotv13023 жыл бұрын
Hapo ndo patamu sasa atakuwa ameelewa
@robertmolila75453 жыл бұрын
Sasa siumeshawabariki siuwache waende! No need to speak of them!
@barakaamosalex91613 жыл бұрын
Coy anaongea fact sanaaaa
@victoronesmo22513 жыл бұрын
Hiyo mond vs konde boy,muelewe ni just igizo tu
@davidjoseph9776
3 жыл бұрын
Una akili sana wew jamaa
@chrispinkiponda88623 жыл бұрын
Maisha haya ( maskini)
@peetahluzwilo65603 жыл бұрын
Mkanye mtoto hadharani kamwe sio sirini
@dukecriss49103 жыл бұрын
Comedy ni comedy anachkesh kwa vitend 🤣🤣
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
Kumbe ndyo maana mondi kakupa zawadi 😂😂😂
@victorjoseph50393 жыл бұрын
da coy mzungu alimaindi sanaa
@kilinakoshengelo29443 жыл бұрын
First time Coy naona umezingua kwa leo,
@allybobo10143 жыл бұрын
Big up
@MS.independent89343 жыл бұрын
Uyo jamaaa noma sana
@enockrwehumbiza35553 жыл бұрын
Asipige kelele tu kama alivyokuwa😅
@mwasimbega87123 жыл бұрын
WAMEPANGA WAMSEME HARMO KIJANJA🤣
@samsonbabalao4158
3 жыл бұрын
Mwasi wew nae wew apo Kuna hom au apo tunaangaloa cheka ti wew unaleta ten mambo ya hom
@MctMct-tt4rq
3 жыл бұрын
UMEONA HAKUNA JENGINE WANSJIFANYA USANII WA KUINGEA
@tonychazzyhanger3 жыл бұрын
Huyu jmaa jol😀😀😀😀
@youngsimbawcb18143 жыл бұрын
#FACT✊🏿✊🏿✊🏿✊✊✊✊✊
@vivianalex85012 жыл бұрын
Harmonize anajua hajui😅😅😅
@shaluissa31843 жыл бұрын
Kumbe alitoka huyu CHEKA tu
@kpetres28723 жыл бұрын
Dogo alijua anajua anataka awe na jiko lake
@danieldaudi16313 жыл бұрын
nyinyi hamjui alijua anaambiwa harmonise
@user-un3df1sl2h3 жыл бұрын
Una lolote apo unamsema amonaizi
@locomedelocomede8053 жыл бұрын
😭😭😭
@mr.machange13773 жыл бұрын
Hii haikuwa cheka tu
@victoronesmo22513 жыл бұрын
Cyo kitu real
@aham53503 жыл бұрын
coy aje apitie comments huku aone vile tumechukia alichofanya kwa jol master yaan kwa kifupi kamuharibia mwenzake siku
@SIMULIZIZONE3 жыл бұрын
Hawa jamaa ni balaa
@emanuelmcharo39113 жыл бұрын
Maneno mazito sana jamaa kaongea.
@peculiaronlinetv9113 жыл бұрын
😂😂😂😂jolly jmn
@hyasintndimbo29983 жыл бұрын
KWANI ALIFANYEJE ETI AD Aambiwe HVYO
@godfreybahitwa4798
3 жыл бұрын
Aliondoka(Ga) Cheka Tu.
@emmahngadima11933 жыл бұрын
Mtoto wa dada koma!! 😂 😂
@nadhraabdulaziz9193
3 жыл бұрын
Koma mtt wa dada
@kmotivation11303 жыл бұрын
Wahaya bhna,ndo maana wachagga tu wazidi kwenye biashara ,watakuja kumkimbia wote
@erickmichaelmugele2107
3 жыл бұрын
Biashara gani mnazotuzidi?
@kmotivation1130
3 жыл бұрын
@@erickmichaelmugele2107 hamjui misifa mingi na washamwacha acheni sifa za kijinga,sasa nyie mnaweza shindana na wachagga nyie jisifuni,
@KatuniDigital3 жыл бұрын
Asa anaambia mashabiki ili iweje! Kha
@youngmariootz3 жыл бұрын
@jolmaster
@mwinjanavil3 жыл бұрын
wangapi wamegundua huyu coy mzungu anamkopi mc pilipili uongeaji mpaka moves on stage tujuane
@KukuVillage3 жыл бұрын
I will come back for comments, but i just want to know what happened ?
@eyumededu2948
3 жыл бұрын
Alifukuzwa cheka tu
@nuruyusuf3237
3 жыл бұрын
Ilikuaje akafukuzwa
@sabasshayo8414
3 жыл бұрын
Hakufukuzwa aliondoka Cheka Tu baada ya Coy ku sign na Diamond na wao wakaona kuwa deal haikua inawanufaisha wao so wakatoka
@musaalfani93033 жыл бұрын
Inatosha sasa mpaka unaboa
@witneywilly3 жыл бұрын
Anayesemwa sasa🤣🤣🤣🤣
@khanafrica223 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/d5V2yKqCZsW8Zso.html Wengine wamekaza tu na wametoboa kwani Beighali?
@goodlucksoldierboy6553 жыл бұрын
Hey guys kwan hii ishu ni serious or walikuwa wanatania
@sylivestermwasile4203
3 жыл бұрын
Kuna mtu kalengwa hata sio huyo jamaa kumbuka Kuna mondi ndani hapo nadhani ushaelewa tunamaajisha nn
@goodlucksoldierboy655
3 жыл бұрын
Ahh ouky mekupata lakini kumbuka chibu anamkubali jol master kinyama ani
@calvinleonard73683 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Jol master we nii fuuck sanaaaa
@DAVID-wp4vc3 жыл бұрын
Ahhhahhahahaha yaani anaonekana bado anachekesha
@solemba5953 жыл бұрын
Ndio maana ktk makampuni kunakuwa na kitengo compliance, lazima kiongozi ajue anaewaongoza Wana matatizo gani? Sio rahisi mtu kulalamikia bila sababu, hamble ni suala Moja ña transparent ni suala jingine. Huwezi kutengeneza mazingira yatakayopelezea wengine kuona kuna tatizo, let's be honest, solution yakweli inapatikana kwenye mazungumzo na mashauriano....
@barakahyoungmaster39903 жыл бұрын
Weee naeee miladayo unashobo Sana acha za kwani hii? Show si ilikua inazaminiwa na wasafi media Sasa wewe shobo za Nini kupost na Kama ndio hivyo mbona hujapost vingine jitahidi sana kubalansi shobo please
@petermushi24
3 жыл бұрын
Daaah.... ungebaki usubiri uangalie kwa wasafi media Mwache mwamba afanye kazi yake iliyokufanya wewe uangalie
@upendotarimo9324
3 жыл бұрын
@@petermushi24 Kweli
@kingshiyneshiyneboy11203 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ioOgzZSzhNSsmqQ.html king shiyne 🌟 anawaomba support yenu Sana🙏🙏🙏kwani nmetoa nyimbo nzur yenye maadili na inazungumzia maisha ya sasa ambayo tuna yaishi na dada zetu embu twenden wote KZread kuitazama nyimbo nzur yenye madini yake 🙏 love Sana nawapenda Sana
@dinnocelestin18943 жыл бұрын
Mbona huyu jamaa anaongea kama vile yeye ndio kashamaliza vile!! Nadhan hiyo humbleness angeanza kuionesha yeye hapo mbele ya halaiki. Namwona kama mtu anayetaka kuabudiwa na kuwa juu ya wengine tu
@samsonjacob3365
3 жыл бұрын
Ulisha wai fuatilia churchill show, kasema kweli. CHEKA TU bado ni changa wanaitaji waikuze sana tena sana, ndo kwanza stand up comedy TZ ndo imeanza mda c mrefu, leo hii wakishaanza tamaaa za kutengana ili wapate pesa, iyo inakuwa ngumu kukuza vipaji vya stand up comedy wanaitajika wakuwe, na waweze kuakikisha wana fanya Festival kubwa ya kuzunguka ata mikowa 20, wakisha anza kujitenga mwisho wa siku TZ itaonekana aina stand up comedy, na kuwaita wakina erik omond, kioko. wakati TZ wakina. joh master wanasifa zote na wanaitajika wapate mafanikio wakiwa TZ motherland
Пікірлер: 150
Wangapi wamependa jolly kurudi tena cheka tyu tujuane tafadhali
Coy yupo sahihi 100% humbleness is one among of tougher lesson but it pay alot.
Ila sjapenda ulicho fanya coy uwoni km nikumtia haya mwenzio kumbuka anafamily uyo mama baba wadog ata ndg. Mchumba sio pow mara nyingine coy angalie namahali yakuzungumzia tofaut zenu si kila sehem nisahihi tu. Atakama mmembeba sio sahihi kuadhirishana mbele zawatu. Atakuchekeo uson uwezi juwa ndani yamoyo wake anajiskia vp.
Coy, wewe ni Mtu mzima usietumia Akili. Huwezi ongea maneno kama hayo mbele ya watu wote wale. Umetuboa wahudhuriaji unatoa hasira zako mpaka kwa mashabiki. Acha ujinga. Sio Group la kwanza kuvunjika. Nakushauri kama kijana mdogo, next time tumia busara ukiwa unatafuta unaongea, Jua sehemu ya kuongelea shida zako. Ulichokifanya umeonekana hujakuwa kiakili.
@augustinomariano1764
3 жыл бұрын
Coy u-star haweziii
Huy7 coy mpumbavu kweli
Kumbe Diamond Yupo hapo... Basi tushaelewa hili igizo limemlenga nani... Maigizo Haya 💥
Very painful kuangalia hii kitu basi tu Jol master ni very strong
@barakaamosalex9161
3 жыл бұрын
Yaan ni more than pain....imagine ni wewe alafu kesho tena urud kweny stage ile ile kuwachekesha watu walewale ambao ulisemwa mbele yao..
@rachelsilvester7901
2 жыл бұрын
He is very strong
Mzungu mwenyew anajua joh master ni mwamba mbona wengine hawaangaikiii
Huo ujumbe si wa Jol Master, kuna mtu kalengwa
@fredrickmsomba4123
3 жыл бұрын
😂😂😂
Kha huyu coy nae anajionaa anajuaaa huku walioondoka ndo wanajuaaa
Coy tatizo si mtu kumwambia ukweli, tatizo ni mahali gani na wakati gani, Kama unampenda kweli ungejali wanaomheshime kama kaka yao kama mtoto wao hata kwa mke au mchumba. Kumwambia karubuniwa mbele za halaiki kama hiyo maana hawezi kujisimamia mwenyewe, Je unadhani walokuwa wanamheshimu watafanya hivyo tena? Hayo ilibidi umwambie private sio kuanika as if wewe ndo kila kitu kwake. Halafu tafuta maana ya unyenyekevu kabla hujazungumza mbele za watu. Jifunze.
@mcheshcomedy5809
3 жыл бұрын
Yes
@janethmandari6787
3 жыл бұрын
Well said
@nasraabdallah850
2 жыл бұрын
Kweli kbs coy kakosea sn
Coy mnafiki huyu...yeye amemuuzia diamond cheka tu bila kuwaambia wenzake
@namelessunknown1377
3 жыл бұрын
.......
@samsonbabalao4158
3 жыл бұрын
Kipindi anauza wew ulikuwepo au unajiongelesha tu
@seifzongo320
3 жыл бұрын
Du kweli au
@daveme9180
3 жыл бұрын
Hahaha hatar
@upendotarimo9324
3 жыл бұрын
@@samsonbabalao4158 hata kama kusoma hujui picha hauoni?
umezingu coy
Huyo anayesemwa Sasa😂😂 Ila hilo ni dongo kwa Konde Boy.
@barakanatus5676
3 жыл бұрын
Konde ni mtu mwingine usifananishe issue
@beatusjackson3638
3 жыл бұрын
Acha kuchanganya mambo
@ibnahmad607
3 жыл бұрын
@@barakanatus5676 Uelewa wako ndio umeishia hapo
@ibnahmad607
3 жыл бұрын
@@beatusjackson3638 Uelewa wako ndio umeishia hapo.
@barakaisrael257
3 жыл бұрын
Konde boy gani tena jamani 😂😂😂
Let comedy be comedy on show, na siasa au uongozi uwe uongozi sehemu husika. Honest mliharibu show ilikuanzuri mlipoingiza hii ishu in the middle of show na ilikua hot. Kuna watu wengi waliboreka
Mkumbuke Coy Ni mhaya
@salumuandrew6775
3 жыл бұрын
Hahahaaa
@emxsimba4025
3 жыл бұрын
😅😅😅
@kpetres2872
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@evamwambapa5251
5 ай бұрын
Sio muhaya uyo ni mkulya
Kiukweliii cop hayafanya vizuri kumusema hivyo kwa watu.! Mm ninavyojua kizuri kinajisema chenyewe na kibaya kinatambulika...!! Duuh maisha haya..
@upendotarimo9324
3 жыл бұрын
Hapo ni igizo la mond vs kondeboy
Jolly ndo mwenye cheka2 akitok mayo inakufa😁😁😁
@innocentherman5101
3 жыл бұрын
Umefeli, wakati cheka tu inaanza ikiwa na comedian mmoja tu(coy mzungu) jol master alikuwa anasoma secondary huko!!! Na fuatilia vizuri.
Umezinguwa. Design kama ume mdhalilisha jamaaa
Kwani alishindwa kumwambia huko pembeni? vitu vingine vinahitaji hekma huko ni kujitetea tu na kumtishia kijana
@kalufunyangenyakinyungu5087
3 жыл бұрын
Hiyo nayo ni comedy hujajua tu mzee babaa..?
@Kal-Mary
3 жыл бұрын
iyo ni comedy uoni byeny muambiwa iko anafanya
@frankemson
3 жыл бұрын
😂😂😂😂 huo ni utani tu, bro don't take it serious
Umenena vema brother Coy Hata kama una kipaji u have to be humble.
sema Jol n kichaa nyny mnaona kma jamaa ajapafom ila Kwang ata apo jamaa alikua kazn 😂
@nickluhende
3 жыл бұрын
Nimependa
@salumualoyce5620
3 жыл бұрын
Hahahaha
@kpetres2872
3 жыл бұрын
Sure🤣🤣🤣🤣
Mbona huyu jamaa anaongea kama vile yeye ndio kashamaliza vile!! Nadhan hiyo humbleness angeanza kuionesha yeye hapo mbele ya halaiki. Namwona kama mtu anayetaka kuabudiwa na kuwa juu ya wengine tu
@georgeigogo9259
3 жыл бұрын
Nifala tuu
@georgeigogo9259
3 жыл бұрын
Kuchekesha kwenyewe hajui
@gwajetheentertainer363
3 жыл бұрын
Muhaya huyo
@mcheshcomedy5809
3 жыл бұрын
@@gwajetheentertainer363 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙄🙄🙄🙄
Ngoja niongeze comment moja ziwe 112 like yangu Apo Sasa naitaji like zangu🧐🧐🧐🧐🧐🧐🧐🧐🧐🧐
Mbona amechekesha wakati amesema hajaja kuchekesha, yani ukimuona tu lazima ukumbuke vituko vyake.
Jol master kichaa kweli
Umemsema sana na kwa kweli mimi ni shabiki yako ila sijapenda kabisa hiyo approach. Hakukuwa na haja yabkumsema mtu mbele ya halaiki kuna wanaompenda zaidi ya wanavyokupenda wewe na kuna watakaokupenda kwa vile utakavyomheshimu yeye huyo. UMETUSIKITISHA SANA jukwaa lijalo litumie kuomba radhi
@samsonjacob3365
3 жыл бұрын
Kafanya vizuri, unajuwa asinge weka ukweli, watu wangeanza kusema coy kamnyonya joh master ndo maana kakimbia, bora kuweka ukweli wazi apo kwa mtu yeyote mwenye ufahamu mzuri atakuwa kaisha muelewa, ndo maana mpaka leo hii diamond anaonekana mbaya, kwamba walikuwa wana mnyonya harmonize, kwasababu tu, ajawai weka mambo azalani, so mpaka leo inaonekana harmoniz hana makosa, maisha ndivyo yalivyo watu wanaokushauri sio kila mtu anamalengo na ww, wengine wanataka wakupoteze, mueshimu sana mtu alie weza ona dhahabu iliyopo ndani yako na kujitoa kwa ajili yako wakati huna kitu, na waliokuzunguka walizalau, lakini yeye kakiona icho kitu.
@rajabuzaituni421
3 жыл бұрын
@@samsonjacob3365 uko sahihi kabisa
@tedymwandara5480
3 жыл бұрын
Huo ni ukweli kabisa, vijana wanavimba wakifanikiwa.
@ilomogold1715
3 жыл бұрын
@@rajabuzaituni421 sio yy ni haonize huoni kuna action hapo
Kweli kuna watu wanapoteza wenzao wasifikie ndoto zao.. ila discpline ndo kila tu Well said coy mzungu
Yes be humble, hashimu ulikotoka ckuzote
Kashindwa kuyawaliza ofisini mpumbavu mmoja tuu
Naye huyu anajikutaaa
Coy na wewe upo chini ya nani? Kila mtu ana riziki yake. Sikuona haja ya kumsema mbele za watu huyo Kijana
@erickelly763
3 жыл бұрын
Yupo chini ya Cley.. ndiye anamlea
Yafahamu Makosa 10 wanayoyafanya watu wenye KZread channel👇👇 www.mrbunduki.com/2021/01/makosa-10-usiyafanye-kama-una-unataka.html?m=1#more
Coy wapumbavu wapumbavu wakizingua achana nao
Huyu jamaa taarabu zimezid..
Jaman yaan huyo Joel master yaan Ni kichaa. Quoted;sis Bado wadogo we have nothing Joel:Yes🤷
Hapo ndo patamu sasa atakuwa ameelewa
Sasa siumeshawabariki siuwache waende! No need to speak of them!
Coy anaongea fact sanaaaa
Hiyo mond vs konde boy,muelewe ni just igizo tu
@davidjoseph9776
3 жыл бұрын
Una akili sana wew jamaa
Maisha haya ( maskini)
Mkanye mtoto hadharani kamwe sio sirini
Comedy ni comedy anachkesh kwa vitend 🤣🤣
Kumbe ndyo maana mondi kakupa zawadi 😂😂😂
da coy mzungu alimaindi sanaa
First time Coy naona umezingua kwa leo,
Big up
Uyo jamaaa noma sana
Asipige kelele tu kama alivyokuwa😅
WAMEPANGA WAMSEME HARMO KIJANJA🤣
@samsonbabalao4158
3 жыл бұрын
Mwasi wew nae wew apo Kuna hom au apo tunaangaloa cheka ti wew unaleta ten mambo ya hom
@MctMct-tt4rq
3 жыл бұрын
UMEONA HAKUNA JENGINE WANSJIFANYA USANII WA KUINGEA
Huyu jmaa jol😀😀😀😀
#FACT✊🏿✊🏿✊🏿✊✊✊✊✊
Harmonize anajua hajui😅😅😅
Kumbe alitoka huyu CHEKA tu
Dogo alijua anajua anataka awe na jiko lake
nyinyi hamjui alijua anaambiwa harmonise
Una lolote apo unamsema amonaizi
😭😭😭
Hii haikuwa cheka tu
Cyo kitu real
coy aje apitie comments huku aone vile tumechukia alichofanya kwa jol master yaan kwa kifupi kamuharibia mwenzake siku
Hawa jamaa ni balaa
Maneno mazito sana jamaa kaongea.
😂😂😂😂jolly jmn
KWANI ALIFANYEJE ETI AD Aambiwe HVYO
@godfreybahitwa4798
3 жыл бұрын
Aliondoka(Ga) Cheka Tu.
Mtoto wa dada koma!! 😂 😂
@nadhraabdulaziz9193
3 жыл бұрын
Koma mtt wa dada
Wahaya bhna,ndo maana wachagga tu wazidi kwenye biashara ,watakuja kumkimbia wote
@erickmichaelmugele2107
3 жыл бұрын
Biashara gani mnazotuzidi?
@kmotivation1130
3 жыл бұрын
@@erickmichaelmugele2107 hamjui misifa mingi na washamwacha acheni sifa za kijinga,sasa nyie mnaweza shindana na wachagga nyie jisifuni,
Asa anaambia mashabiki ili iweje! Kha
@jolmaster
wangapi wamegundua huyu coy mzungu anamkopi mc pilipili uongeaji mpaka moves on stage tujuane
I will come back for comments, but i just want to know what happened ?
@eyumededu2948
3 жыл бұрын
Alifukuzwa cheka tu
@nuruyusuf3237
3 жыл бұрын
Ilikuaje akafukuzwa
@sabasshayo8414
3 жыл бұрын
Hakufukuzwa aliondoka Cheka Tu baada ya Coy ku sign na Diamond na wao wakaona kuwa deal haikua inawanufaisha wao so wakatoka
Inatosha sasa mpaka unaboa
Anayesemwa sasa🤣🤣🤣🤣
kzread.info/dash/bejne/d5V2yKqCZsW8Zso.html Wengine wamekaza tu na wametoboa kwani Beighali?
Hey guys kwan hii ishu ni serious or walikuwa wanatania
@sylivestermwasile4203
3 жыл бұрын
Kuna mtu kalengwa hata sio huyo jamaa kumbuka Kuna mondi ndani hapo nadhani ushaelewa tunamaajisha nn
@goodlucksoldierboy655
3 жыл бұрын
Ahh ouky mekupata lakini kumbuka chibu anamkubali jol master kinyama ani
🤣🤣🤣 Jol master we nii fuuck sanaaaa
Ahhhahhahahaha yaani anaonekana bado anachekesha
Ndio maana ktk makampuni kunakuwa na kitengo compliance, lazima kiongozi ajue anaewaongoza Wana matatizo gani? Sio rahisi mtu kulalamikia bila sababu, hamble ni suala Moja ña transparent ni suala jingine. Huwezi kutengeneza mazingira yatakayopelezea wengine kuona kuna tatizo, let's be honest, solution yakweli inapatikana kwenye mazungumzo na mashauriano....
Weee naeee miladayo unashobo Sana acha za kwani hii? Show si ilikua inazaminiwa na wasafi media Sasa wewe shobo za Nini kupost na Kama ndio hivyo mbona hujapost vingine jitahidi sana kubalansi shobo please
@petermushi24
3 жыл бұрын
Daaah.... ungebaki usubiri uangalie kwa wasafi media Mwache mwamba afanye kazi yake iliyokufanya wewe uangalie
@upendotarimo9324
3 жыл бұрын
@@petermushi24 Kweli
kzread.info/dash/bejne/ioOgzZSzhNSsmqQ.html king shiyne 🌟 anawaomba support yenu Sana🙏🙏🙏kwani nmetoa nyimbo nzur yenye maadili na inazungumzia maisha ya sasa ambayo tuna yaishi na dada zetu embu twenden wote KZread kuitazama nyimbo nzur yenye madini yake 🙏 love Sana nawapenda Sana
Mbona huyu jamaa anaongea kama vile yeye ndio kashamaliza vile!! Nadhan hiyo humbleness angeanza kuionesha yeye hapo mbele ya halaiki. Namwona kama mtu anayetaka kuabudiwa na kuwa juu ya wengine tu
@samsonjacob3365
3 жыл бұрын
Ulisha wai fuatilia churchill show, kasema kweli. CHEKA TU bado ni changa wanaitaji waikuze sana tena sana, ndo kwanza stand up comedy TZ ndo imeanza mda c mrefu, leo hii wakishaanza tamaaa za kutengana ili wapate pesa, iyo inakuwa ngumu kukuza vipaji vya stand up comedy wanaitajika wakuwe, na waweze kuakikisha wana fanya Festival kubwa ya kuzunguka ata mikowa 20, wakisha anza kujitenga mwisho wa siku TZ itaonekana aina stand up comedy, na kuwaita wakina erik omond, kioko. wakati TZ wakina. joh master wanasifa zote na wanaitajika wapate mafanikio wakiwa TZ motherland