CHENJA KALI, MAMA YANGU MAMA,LETE STORY, STORY YA MWAMEDI KUTOKA KWA PANYA MSELA ASKARI WA F.F.U

#FahamuZaidi #RackaRhymes #PanyaMsela #MaishaYetu #PanyaMselaMamaMjane #Chenja #Mchakamchaka #jogging #mabio #mwamedi #mohamed #Jkt #jakata #Kikosi #FieldForceUnit #KikosiChaKutulizaGhasia #DarubiniKaliMedia #barakamaherithestoryteller #BongoSwahiliMedia #viral
chenja kali,chenja kali za jeshi,chenja kali za kijeshi,chenja kali za jkt,chenja kali,chenja kali za jeshi audio,chenja kali za jeshi mp3 download,chenja kali za mabio,chenja kali za nyimbo za mchakamchaka jeshi
‪@Bandidutv‬ ‪@millardayoTZA‬ ‪@Wasafi_Media‬ ‪@FAFANUOMEDIA‬ ‪@dplatnumz‬

Пікірлер: 327

  • @LUCIACHARLES-s9s
    @LUCIACHARLES-s9s27 күн бұрын

    Namkubali sana huyu jamaa napenda kusikiliza nyimbo zake zina vibe big up sana brooo 👏👏👏

  • @MarwaJoseph-yc4jx

    @MarwaJoseph-yc4jx

    26 күн бұрын

    😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊000000000000000000000000000000000

  • @BongoSwahiliMedia

    @BongoSwahiliMedia

    26 күн бұрын

    Tunashukuru sana kwa maoni Yako Ni muhimu sana kwa ajili ya kuboresha channel Yetu, WEWE ni shabiki Yetu wa damu tunakuhaidi hatutakuangusha 🔥 🔥 #BongoSwahiliMedia

  • @LUCIACHARLES-s9s

    @LUCIACHARLES-s9s

    26 күн бұрын

    kwa hizo nyimbo unaweza kimbia miaka buku na usichoke salute kwako kamanda😃😃

  • @geraldmathew5426

    @geraldmathew5426

    5 күн бұрын

    Huyuu ana balaa nimekutana naye kwenye mbio za mwenge!!! Mwamba ana hatarii sanaa

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Жыл бұрын

    Du huyu Mwamba noma Sana mistari inatoka kama yuko studio kaandika kumbe anatoa kichwani Live. Big up mwamba.

  • @magangadashina2176

    @magangadashina2176

    10 ай бұрын

    😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @vestinamsoma3359

    @vestinamsoma3359

    9 ай бұрын

    👍

  • @nelsonbyabato7686

    @nelsonbyabato7686

    7 ай бұрын

    Aa

  • @daudhenry6212

    @daudhenry6212

    6 ай бұрын

    😂😂😂

  • @MsamaliaFrank

    @MsamaliaFrank

    18 күн бұрын

    ​@@nelsonbyabato7686aaaaaaaaaaaaaaàaàaààa

  • @ammyskills5588
    @ammyskills5588 Жыл бұрын

    Huyu jamaa wa kwanza ana pumzi sana nimemkubali kwa hilo 🔥💪

  • @user-lu7vs8wd8v
    @user-lu7vs8wd8vАй бұрын

    Mungu nilindie hawa watu ni muhimu sana kwa taifa letu

  • @magrethcostantine9223
    @magrethcostantine9223 Жыл бұрын

    Afande uko vizuri, unanikumbusha mbali Sana, wimbo wa mama safi Sana💞💞💞

  • @HappyBassGuitar-ul2jy

    @HappyBassGuitar-ul2jy

    2 ай бұрын

    Ni hatar

  • @assadymadenge2657
    @assadymadenge265719 күн бұрын

    Chenjaa kaliii mwamba Anajuwa niko viziri ila pumzika hyo sina. Sema Avuti sigara ndo maana

  • @noelimafwele602
    @noelimafwele6029 ай бұрын

    nikisikia hiii ngoma namkumbuka mwamba bugalama popote ulipo ishi Sana kaka huko Mbeya

  • @adnanbabuhahe2256

    @adnanbabuhahe2256

    7 ай бұрын

    Yeah Mwamba ana chenja hatari respect to Bugarama.

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Жыл бұрын

    Afande uko.vizuri pumzi imesimama vizur hongera sana

  • @user-dt9uv3hj6n
    @user-dt9uv3hj6n11 ай бұрын

    MAMA ULINGEEEEEEEEEE KAMANDAAAAAAAAAAAA SAFI SANA HONGERENI SANA MAKAMANDA.

  • @scopy0428
    @scopy0428 Жыл бұрын

    Kama unawakubal hawa MAKAMANDA Gonga like 👍 yako hapa ili tujuane tunaowaunga mkono Makomando

  • @gasparyephraimmwakatuma9542
    @gasparyephraimmwakatuma9542 Жыл бұрын

    Wamenikumbusha JKT nyakati zile, safi sana

  • @Niko-pg4jl
    @Niko-pg4jl Жыл бұрын

    Mpangilio uko good sana na sauti imefunguka. Ongera sana

  • @somaquran3900
    @somaquran39003 ай бұрын

    Yaani hapo unaweza kuzunguka TANZANIA Nzima bila kuhisi uchovu

  • @BongoSwahiliMedia

    @BongoSwahiliMedia

    3 ай бұрын

    Ahsante sana Kwa kutuamini na kufuatilia video zetu usisahau ku like na kushare video hizi wewe ni shabiki yetu wa damu hatutakuangusha @BongoSwahiliMedia 🔥🔥

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu2 ай бұрын

    Ananikumbusha Bwana mmoja Mzaramo kwa jina Bashiri 842KJ OP Miaka 50 ya Muungano. Anaweza kuimba lisaa peke yake 🔥

  • @jigwafrankie9420
    @jigwafrankie9420 Жыл бұрын

    "Nitakutoa lindo nikuweke masijara...."😄😄🙌🏾🙌🏾

  • @adnanbabuhahe2256

    @adnanbabuhahe2256

    10 ай бұрын

    Ha ha ha ha

  • @samweljulius1478

    @samweljulius1478

    10 ай бұрын

    Hahaha u mstari umekawaa sawa 1:04

  • @LUCIACHARLES-s9s
    @LUCIACHARLES-s9s26 күн бұрын

    nice voice and song Gog blees him🙏🙏

  • @LUCIACHARLES-s9s

    @LUCIACHARLES-s9s

    26 күн бұрын

    Niko njaa ata siwezi taranda, hoe hae shaghara bagala, nipo tayari kulipa gharama sito simama maovu ya kiutawala🤔🤔🤔🤔

  • @djcobrasumu2730
    @djcobrasumu2730 Жыл бұрын

    Yaani nimependa sana kamanda nimeamini kipaji popote mtoto wangu mmoja lazima awe FFU

  • @SkilledBoe

    @SkilledBoe

    9 ай бұрын

    kuw ww ucsubir mtot awe FFU

  • @Zitan_tz
    @Zitan_tz Жыл бұрын

    watoto wa 833KJ oljoro chugarliee💪💪 ni vile tulikuw na vibez dadeqqq✅✅✅✅mamaeeeeeeeeeeeeee

  • @andrewbilali9706
    @andrewbilali9706 Жыл бұрын

    Safi sana nyimbo za morali

  • @adilikwesi-uo3ye
    @adilikwesi-uo3ye Жыл бұрын

    Huyuu mwamba anajua kuimba chenja😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌huezi choka aiseeee😄

  • @stn4873
    @stn4873 Жыл бұрын

    J.3 C coy pltn no.2 kuna mwanetu wa kuitwa SUDI mkali wa hizi kazi🙌🏾

  • @shukurugongo1427
    @shukurugongo1427 Жыл бұрын

    Nakubali Sana unapumz Sana bonge la song

  • @kidedeatv
    @kidedeatv10 ай бұрын

    Nimeikubali sana hyo sehemu ya WEKA HIP HOP 😀😀

  • @mwakalukwalakin3396
    @mwakalukwalakin3396 Жыл бұрын

    Always Field Force Unity💪💪💪💪💪💪💪💪

  • @georgemakere9220
    @georgemakere9220 Жыл бұрын

    Anajuaaa jamaaa nikikaaa nae watu hawachokii kazi nzuri mjubaaa

  • @mchungulekegwalaone4797
    @mchungulekegwalaone4797 Жыл бұрын

    Nawakubar sana makamanda kwa chenje nzuri

  • @twahamwela2158
    @twahamwela2158 Жыл бұрын

    Ebhn huyu afande yupo vzur Sana ila kipande ambacho kamueleza MAMA dah kauwa Sana hiko Safi afande

  • @user-hw7sr7mf4u
    @user-hw7sr7mf4u4 ай бұрын

    Kuna mda pumzi inakaa level aipungui aingezeki Kuna watu wanaelewa

  • @1988kessanta

    @1988kessanta

    Ай бұрын

    Very nice 👍👍 Misha ya jeshi ❤❤❤❤

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 Жыл бұрын

    Kazi za majeshi ni morale tu ! Pamoja sana

  • @alinaalina5044
    @alinaalina5044 Жыл бұрын

    Kazi nzuri sauti imenogesha wimbo

  • @edsonmpagaze5453
    @edsonmpagaze5453 Жыл бұрын

    Nc xana ,field for lyf💪

  • @blackyonkou6004
    @blackyonkou6004 Жыл бұрын

    Hongereni sana makamanda!! Mungu awape nguvu na utashi kulinda raia na mali

  • @zuenamwita2384

    @zuenamwita2384

    Жыл бұрын

    Safiiiiii moral juuuu hamna namna acha tuitumikie nnchi

  • @aristidessebastiantibaijuk6511
    @aristidessebastiantibaijuk6511 Жыл бұрын

    Hilo neno la kumsifia mama nimependa sana

  • @heri6585
    @heri6585 Жыл бұрын

    Bigup sana naona unajila kwa ajili ya jeshi safi sana full molary umetukumbuka mbali kipindi ukuruti 👍👍👍😀😀😀

  • @samwelkessy9129
    @samwelkessy9129 Жыл бұрын

    Huyo kamanda wa kwanza ametisha sana hahahah.. mistari kwenzi sana.. kama vpi aingie studio.. goma kali sana.., morali kama yote

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 Жыл бұрын

    Huyu Jamaa Anaimba Sana😂😂🙌🙌🙌🙌

  • @expert5898
    @expert5898 Жыл бұрын

    Jamaa ana pumzi sana!!

  • @abubakaryduma5374
    @abubakaryduma5374 Жыл бұрын

    Jamaa wametisha sanaa... Chenja kama hizo kuchoka utakusikia utakapo maliza route...

  • @lddibakarishekilango

    @lddibakarishekilango

    11 ай бұрын

    tena nilikuwa doja sana lkn wakati wachenja lazma niende route

  • @uswegemwalyambwile5348
    @uswegemwalyambwile5348 Жыл бұрын

    Love those songs

  • @deogratiasntanga1473
    @deogratiasntanga1473 Жыл бұрын

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hizi nyimbo zilitufanya jeshi kuliona kama nyumba

  • @martinmichael6057

    @martinmichael6057

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-jt7rk6hc1z

    @user-jt7rk6hc1z

    9 ай бұрын

    Sahihi

  • @ramboiddrambo3056
    @ramboiddrambo3056 Жыл бұрын

    jamaa anaweza sana saluti kwake

  • @hidayaramadhan9243
    @hidayaramadhan9243 Жыл бұрын

    Love this 💕

  • @Michael-ig6oi
    @Michael-ig6oi Жыл бұрын

    Song zuri Molari , makamanda safi

  • @sajdaissa2811
    @sajdaissa2811 Жыл бұрын

    Ndoto yangu kuwa afsa na ipo siku nitakuwa na kulindaa

  • @crazy.didrissa1633
    @crazy.didrissa1633 Жыл бұрын

    Bila ya iki kitu kozi nicngetoboa kiukweli 🥰🥰

  • @BongoSwahiliMedia

    @BongoSwahiliMedia

    Жыл бұрын

    Pamoja sana mkali

  • @barakamwandambo6956
    @barakamwandambo695610 ай бұрын

    Huyu ni mwamba kweli kweli

  • @deusmsugulu8543
    @deusmsugulu8543 Жыл бұрын

    Bonge la chenjaamae jeshiiiii

  • @abdalahamisi7316
    @abdalahamisi7316 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣hela zote kahongaa unanikumbusha mama amina

  • @mackjr5291
    @mackjr5291 Жыл бұрын

    Umetisha sana

  • @husnandumbala5214
    @husnandumbala52146 ай бұрын

    Kaka upo vizur sana,

  • @BongoSwahiliMedia

    @BongoSwahiliMedia

    6 ай бұрын

    Tunashukuru sana kwa maoni Yako Ni muhimu sana kwa ajili ya kuboresha channel Yetu, WEWE ni shabiki Yetu wa damu tunakuhaidi hatutakuangusha 🔥 🔥 #BongoSwahiliMedia

  • @owenchimela4527
    @owenchimela4527 Жыл бұрын

    Nilikua naimba chenja 821kj back then lakini huyu mwamba🤛

  • @ernestrevocatus-mi9mt

    @ernestrevocatus-mi9mt

    3 ай бұрын

    Op gani

  • @BongoSwahiliMedia

    @BongoSwahiliMedia

    3 ай бұрын

    Ahsante sana Kwa kutuamini na kufuatilia video zetu usisahau ku like na kushare video hizi wewe ni shabiki yetu wa damu hatutakuangusha @BongoSwahiliMedia 🔥🔥

  • @arthurmagwagu7689

    @arthurmagwagu7689

    2 ай бұрын

    Mwenyewe nimesalute man, nagonga chenja lkn Kwa huyu mwamba nimesalenda kamanda

  • @noelakataraiha6692

    @noelakataraiha6692

    2 ай бұрын

    Jaman nlikua 821kj op miaka 50 ya JKT!!

  • @shebbyconscious277
    @shebbyconscious277 Жыл бұрын

    Atali sana songi bomba

  • @sarahdenc
    @sarahdenc6 ай бұрын

    Nakupenda kaka wa chenja niweke ndan uache ubachelaaa😅😅😅

  • @BongoSwahiliMedia

    @BongoSwahiliMedia

    6 ай бұрын

    Tunashukuru sana kwa maoni Yako Ni muhimu sana kwa ajili ya kuboresha channel Yetu, WEWE ni shabiki Yetu wa damu tunakuhaidi hatutakuangusha 🔥 🔥 #BongoSwahiliMedia

  • @user-wp9ts1ub2p
    @user-wp9ts1ub2p4 ай бұрын

    Uyuu jamaa anajuaa mpakaa anajuaa tenaa aniii daaah nmtaman gaflaaa kuaa kamanda❤

  • @BongoSwahiliMedia

    @BongoSwahiliMedia

    4 ай бұрын

    Tunashukuru sana kwa maoni Yako Ni muhimu sana kwa ajili ya kuboresha channel Yetu, WEWE ni shabiki Yetu wa damu tunakuhaidi hatutakuangusha 🔥 🔥 #BongoSwahiliMedia

  • @MartybungeKhaday

    @MartybungeKhaday

    18 күн бұрын

    Jamani na mm nataman niwe ffu

  • @BongoSwahiliMedia

    @BongoSwahiliMedia

    18 күн бұрын

    @MartybungeKhaday Asante Sana kwa kutuamini na kufatilia video zetu, usisahau ku subscribe na ku share video hizi, wewe ni shabiki Yetu wa damu tunakuhaidi hatutakuangusha @BongoSwahiliMedia🔥 🔥 🔥

  • @BongoSwahiliMedia

    @BongoSwahiliMedia

    18 күн бұрын

    @MartybungeKhaday Tunashukuru sana kwa maoni Yako Ni muhimu sana kwa ajili ya kuboresha channel Yetu, WEWE ni shabiki Yetu wa damu tunakuhaidi hatutakuangusha 🔥 🔥 #BongoSwahiliMedia

  • @AdelaMusa-ut5mx
    @AdelaMusa-ut5mx3 ай бұрын

    Nakumbuka 2021 ndani ya 821kj bulombora kigoma

  • @AugustinoAmandus
    @AugustinoAmandus3 ай бұрын

    Unanikumbusha 833kj.2021

  • @BongoSwahiliMedia

    @BongoSwahiliMedia

    3 ай бұрын

    Ahsante sana Kwa kutuamini na kufuatilia video zetu usisahau ku like na kushare video hizi wewe ni shabiki yetu wa damu hatutakuangusha @BongoSwahiliMedia 🔥🔥

  • @BarrackMwisomba-gs1zk
    @BarrackMwisomba-gs1zk Жыл бұрын

    This amazing

  • @CrispoMgaya-sn3dz
    @CrispoMgaya-sn3dz11 ай бұрын

    Kaka kipajiii unachooo nimekubalii

  • @mikidadimchangi6796
    @mikidadimchangi67969 ай бұрын

    Anatisha Sana mwamba hapo hata km 100 pow tu

  • @user-cq7wl5gj9e
    @user-cq7wl5gj9e4 ай бұрын

    Duuuh 🤔🤔..bro much respect 👊👊.. umetishaaaa

  • @femmywillium5013
    @femmywillium5013 Жыл бұрын

    Kaka unaeimba nakupenda aiseeeee

  • @maryhaule154
    @maryhaule154 Жыл бұрын

    Maamamaaaaaaa Lete story Weka Chenja

  • @user-yy3bv4ik2e
    @user-yy3bv4ik2e11 ай бұрын

    Nakubali sana hii kazi

  • @DrMbonea
    @DrMboneaАй бұрын

    Hahahahahahaha Paul namfahamu vyema anadali keko Kkkt ni mwimba kwaya ya vijana mshkaji sana huyu

  • @OctavianMutalemwa-zc7zr
    @OctavianMutalemwa-zc7zrАй бұрын

    Sana kak uliupiga mwingi ikiwezekan tunga chenja zajeshi tu

  • @omarymganga3518
    @omarymganga3518 Жыл бұрын

    So cool

  • @Senetalkim
    @Senetalkim Жыл бұрын

    Kuna mwenzenu huko kashakiwasha🤣🤣🤣

  • @Marthagaya
    @Marthagaya2 ай бұрын

    😂😂 afandeee unajuaa Enzii zetu uko mjibu wa sheria

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka6404 Жыл бұрын

    Kamanda yuko vizuri sna

  • @rajivbabu36
    @rajivbabu3611 ай бұрын

    Kila cku naskiliza 🔥

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Жыл бұрын

    kazi kazi pamoja sana

  • @RoswitaKilulu
    @RoswitaKilulu2 ай бұрын

    Daah wamenikumbusha enzi zile jkt mmetisha sana

  • @sophiatety-vd3bo
    @sophiatety-vd3bo Жыл бұрын

    Jambo Afande 💝💝

  • @raymondmassawe9291
    @raymondmassawe9291 Жыл бұрын

    Nakubali chenja ase, hapo morali mpka bas

  • @mohameditondo3371
    @mohameditondo3371 Жыл бұрын

    Safi kamanda

  • @CreatureIey-eh8nh
    @CreatureIey-eh8nh2 ай бұрын

    Nakubali sana wanang

  • @hellenjohn9865
    @hellenjohn9865 Жыл бұрын

    Chenjaa🥰

  • @officialtaslima5409
    @officialtaslima5409 Жыл бұрын

    Raha sana

  • @isaacyoung8388
    @isaacyoung8388 Жыл бұрын

    Ni nomaaaa🔥🔥

  • @user-dg2jd6ef3m
    @user-dg2jd6ef3m Жыл бұрын

    Nakubali kazi brother

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Жыл бұрын

    Yupo safi afande 👍👍👍

  • @EliaHaule-eb3tp
    @EliaHaule-eb3tpАй бұрын

    🎉🎉🎉hakunaaaaaaaa hakunaaa hongera sana

  • @fanuelmandari9163
    @fanuelmandari9163 Жыл бұрын

    Chenja kali sana

  • @asiahasani159

    @asiahasani159

    Жыл бұрын

    Kaka umetisha ukovizuli

  • @chmkongi41

    @chmkongi41

    Жыл бұрын

    @@asiahasani159 q

  • @chmkongi41

    @chmkongi41

    Жыл бұрын

    Qqqqqq

  • @chmkongi41

    @chmkongi41

    Жыл бұрын

    @@asiahasani159 qq

  • @chmkongi41

    @chmkongi41

    Жыл бұрын

    @@asiahasani159 qq

  • @josephbrooklyn4097
    @josephbrooklyn40972 ай бұрын

    Noma sana mistari yanguvu

  • @thomasjohn7176
    @thomasjohn7176 Жыл бұрын

    Safi sana hii....

  • @meckdadyzzo3192
    @meckdadyzzo3192 Жыл бұрын

    Aaah jamaa anaimba uyu👏🏼👏🏼👏🏼

  • @BongoSwahiliMedia

    @BongoSwahiliMedia

    Жыл бұрын

    Tunashukuru sana kwa maoni yako, ni muhimu sana katika kuboresha channel yetu!! Tutayafanyia kazi ili tuendelee kuwa bora zaidi 🔥 🔥 #DarubiniKaliMedia

  • @JAMALMWAKILEMBE-wn2os
    @JAMALMWAKILEMBE-wn2os2 ай бұрын

    Big up commender

  • @doreenmashele8975
    @doreenmashele8975 Жыл бұрын

    Ase ...hongera saana unapumxi ase

  • @user-jp3uv2hd3m
    @user-jp3uv2hd3m6 ай бұрын

    Good afande kwa chenja nzur

  • @salcle9702
    @salcle9702 Жыл бұрын

    Afu kuna dwaf wamepataje kazi hao🤩🤩

  • @pris_jimsband
    @pris_jimsband Жыл бұрын

    Singeli ya FFU

  • @user-sh9if3bk3b
    @user-sh9if3bk3b8 ай бұрын

    Waooo mama mungu akulinde uishi maisha marefu

  • @marceltimoth3775
    @marceltimoth37757 күн бұрын

    I love it

  • @doreenmashele8975
    @doreenmashele8975 Жыл бұрын

    Big up

  • @user-gq9zm5dn5o
    @user-gq9zm5dn5o6 ай бұрын

    Waziiiiii kamanda 🤜👉💯

  • @BongoSwahiliMedia

    @BongoSwahiliMedia

    6 ай бұрын

    Tunashukuru sana kwa maoni Yako Ni muhimu sana kwa ajili ya kuboresha channel Yetu, WEWE ni shabiki Yetu wa damu tunakuhaidi hatutakuangusha 🔥 🔥 #BongoSwahiliMedia

  • @user-nt8dt3md2z
    @user-nt8dt3md2z7 ай бұрын

    Dah mi naimba chenja lakin kwa hapa saluti

  • @BongoSwahiliMedia

    @BongoSwahiliMedia

    7 ай бұрын

    mfollow tiktok anaitwa #Panyamsela16

  • @rajivbabu36
    @rajivbabu3611 ай бұрын

    Sema mwanangu unajua

  • @justinengogo
    @justinengogo Жыл бұрын

    Safi kamanda bonge singeli

  • @deogratiasvilima8253
    @deogratiasvilima8253 Жыл бұрын

    daah hii ngoma irekodiwe wazee au vp

  • @robertmosha6801
    @robertmosha68018 ай бұрын

    Daah uyu mwamba kipaji sana

Келесі