Eti Aslay Ahan Adabu , Mnasmsifiy Mbosso Kisa Mnasak Collaboration Ila Wote Wanafany Pw 🎉🎉🎉🎉😅😅😅
@user-hg2js8hm7r7 ай бұрын
Top artist
@FatumaShabani-mp9vt7 ай бұрын
Atantie amna adabu pia ewezi kumwamvia mtu ana adabu wakati ata nyie amna adabu
@saidbakari24087 ай бұрын
Nimefurahi saana sana leo nime enjoy saana maana hii interview imekuja kuonyesha watu wazima wenye busara wapo mjengoni 😅😅😅 bando langu sijalijutia kabsaa
@ayshamahariq6665
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@wilhelmibaganisa54937 ай бұрын
Boresheni studio iweze kumanage kubeba watu hata 5 Kwa wakati mmoja ! Inaboa 🎤 3 TU studio !! Angalieni hata Kwa wenzenu kuiga siyo zambi #EFM NI MFANO MZURI TZ KWA KUWA NA BEST STUDIO ZA RADIO!! PIA TBC FM NAO WAKO JUU STUDIO ZAO!! Space ndogo san ya studio kuwasimamisha watu waziama ni noma , wasanii sku hizi wanatembea na cruu zao kwny interviews!! Mfano chino na VIJANA wake
@user-kk6sn2si8o
7 ай бұрын
kwer kbx
@user-qm6lq7ud9p7 ай бұрын
aslay hana adabu sana,amesahau temba akimshika mkono na kumwambia 'karibu kwenye huu mchezo'
@nyandichearts7 ай бұрын
Mtu akijielewa tu Hana adabu munataka munyonye tu nyie vigagulaaaaa😂 kuishiwa huko😅
@lesbbosstz15307 ай бұрын
Wasije Ku bomoka tena tume wa miss sana drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@hamisijumanne41377 ай бұрын
Chege umeongea prenti sana mzee
@matyboymtanzaniano7 ай бұрын
Wametisha mabroo
@richardgodfrey90207 ай бұрын
Wanangu sana
@user-xp9sh6wc7x7 ай бұрын
ilaaa nature atawasalt uyo inaonekana mnamfoce tu
@user-vz2cw6iz4j
7 ай бұрын
Nature apendi usneech
@sophdenis34714 ай бұрын
Sijawahi kutana na msanii mwenye zalau kama huyo dogo kifupi anae bisha afanye nae biashala utamjua vizur alivyo
@johnmichaellukindo217 ай бұрын
Mbona siku zote nature haonekani?
@elizabethchabluma-zw5qz
7 ай бұрын
Huyu nae kibri alafu pesa Hana wangemtoa tuu
@user-vz2cw6iz4j
7 ай бұрын
Hawa Jamaa wenyewe wanamtenga nature kwa chuki zao tu
@sophdenis34714 ай бұрын
Jaman wasemalo nikweli kabisa tena sana anae bisha jua hajawahi fanya kazi na aslay dogo anazalau sana unaweza mlipa hell ya show nabado akakupa usbufu sana
Пікірлер: 20
Eti Aslay Ahan Adabu , Mnasmsifiy Mbosso Kisa Mnasak Collaboration Ila Wote Wanafany Pw 🎉🎉🎉🎉😅😅😅
Top artist
Atantie amna adabu pia ewezi kumwamvia mtu ana adabu wakati ata nyie amna adabu
Nimefurahi saana sana leo nime enjoy saana maana hii interview imekuja kuonyesha watu wazima wenye busara wapo mjengoni 😅😅😅 bando langu sijalijutia kabsaa
@ayshamahariq6665
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Boresheni studio iweze kumanage kubeba watu hata 5 Kwa wakati mmoja ! Inaboa 🎤 3 TU studio !! Angalieni hata Kwa wenzenu kuiga siyo zambi #EFM NI MFANO MZURI TZ KWA KUWA NA BEST STUDIO ZA RADIO!! PIA TBC FM NAO WAKO JUU STUDIO ZAO!! Space ndogo san ya studio kuwasimamisha watu waziama ni noma , wasanii sku hizi wanatembea na cruu zao kwny interviews!! Mfano chino na VIJANA wake
@user-kk6sn2si8o
7 ай бұрын
kwer kbx
aslay hana adabu sana,amesahau temba akimshika mkono na kumwambia 'karibu kwenye huu mchezo'
Mtu akijielewa tu Hana adabu munataka munyonye tu nyie vigagulaaaaa😂 kuishiwa huko😅
Wasije Ku bomoka tena tume wa miss sana drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Chege umeongea prenti sana mzee
Wametisha mabroo
Wanangu sana
ilaaa nature atawasalt uyo inaonekana mnamfoce tu
@user-vz2cw6iz4j
7 ай бұрын
Nature apendi usneech
Sijawahi kutana na msanii mwenye zalau kama huyo dogo kifupi anae bisha afanye nae biashala utamjua vizur alivyo
Mbona siku zote nature haonekani?
@elizabethchabluma-zw5qz
7 ай бұрын
Huyu nae kibri alafu pesa Hana wangemtoa tuu
@user-vz2cw6iz4j
7 ай бұрын
Hawa Jamaa wenyewe wanamtenga nature kwa chuki zao tu
Jaman wasemalo nikweli kabisa tena sana anae bisha jua hajawahi fanya kazi na aslay dogo anazalau sana unaweza mlipa hell ya show nabado akakupa usbufu sana