CHEGE NA TEMBA WAFUNGUKA : ASLAY HANA ADABU, MBOSSO ANAFANYA VIZURI

Ойын-сауық

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 20

  • @BAHATIKIBA-ul6wx
    @BAHATIKIBA-ul6wx7 ай бұрын

    Eti Aslay Ahan Adabu , Mnasmsifiy Mbosso Kisa Mnasak Collaboration Ila Wote Wanafany Pw 🎉🎉🎉🎉😅😅😅

  • @user-hg2js8hm7r
    @user-hg2js8hm7r7 ай бұрын

    Top artist

  • @FatumaShabani-mp9vt
    @FatumaShabani-mp9vt7 ай бұрын

    Atantie amna adabu pia ewezi kumwamvia mtu ana adabu wakati ata nyie amna adabu

  • @saidbakari2408
    @saidbakari24087 ай бұрын

    Nimefurahi saana sana leo nime enjoy saana maana hii interview imekuja kuonyesha watu wazima wenye busara wapo mjengoni 😅😅😅 bando langu sijalijutia kabsaa

  • @ayshamahariq6665

    @ayshamahariq6665

    3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @wilhelmibaganisa5493
    @wilhelmibaganisa54937 ай бұрын

    Boresheni studio iweze kumanage kubeba watu hata 5 Kwa wakati mmoja ! Inaboa 🎤 3 TU studio !! Angalieni hata Kwa wenzenu kuiga siyo zambi #EFM NI MFANO MZURI TZ KWA KUWA NA BEST STUDIO ZA RADIO!! PIA TBC FM NAO WAKO JUU STUDIO ZAO!! Space ndogo san ya studio kuwasimamisha watu waziama ni noma , wasanii sku hizi wanatembea na cruu zao kwny interviews!! Mfano chino na VIJANA wake

  • @user-kk6sn2si8o

    @user-kk6sn2si8o

    7 ай бұрын

    kwer kbx

  • @user-qm6lq7ud9p
    @user-qm6lq7ud9p7 ай бұрын

    aslay hana adabu sana,amesahau temba akimshika mkono na kumwambia 'karibu kwenye huu mchezo'

  • @nyandichearts
    @nyandichearts7 ай бұрын

    Mtu akijielewa tu Hana adabu munataka munyonye tu nyie vigagulaaaaa😂 kuishiwa huko😅

  • @lesbbosstz1530
    @lesbbosstz15307 ай бұрын

    Wasije Ku bomoka tena tume wa miss sana drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @hamisijumanne4137
    @hamisijumanne41377 ай бұрын

    Chege umeongea prenti sana mzee

  • @matyboymtanzaniano
    @matyboymtanzaniano7 ай бұрын

    Wametisha mabroo

  • @richardgodfrey9020
    @richardgodfrey90207 ай бұрын

    Wanangu sana

  • @user-xp9sh6wc7x
    @user-xp9sh6wc7x7 ай бұрын

    ilaaa nature atawasalt uyo inaonekana mnamfoce tu

  • @user-vz2cw6iz4j

    @user-vz2cw6iz4j

    7 ай бұрын

    Nature apendi usneech

  • @sophdenis3471
    @sophdenis34714 ай бұрын

    Sijawahi kutana na msanii mwenye zalau kama huyo dogo kifupi anae bisha afanye nae biashala utamjua vizur alivyo

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo217 ай бұрын

    Mbona siku zote nature haonekani?

  • @elizabethchabluma-zw5qz

    @elizabethchabluma-zw5qz

    7 ай бұрын

    Huyu nae kibri alafu pesa Hana wangemtoa tuu

  • @user-vz2cw6iz4j

    @user-vz2cw6iz4j

    7 ай бұрын

    Hawa Jamaa wenyewe wanamtenga nature kwa chuki zao tu

  • @sophdenis3471
    @sophdenis34714 ай бұрын

    Jaman wasemalo nikweli kabisa tena sana anae bisha jua hajawahi fanya kazi na aslay dogo anazalau sana unaweza mlipa hell ya show nabado akakupa usbufu sana

Келесі