Chama Tawala Uingereza Chaangukia Pua, Aliyekuwa Waziri Mkuu Sunak Ajiuzulu Uongozi Conservatives

Jana Julai 4, 2024 raia wa Uingereza walipata fursa ya kushiriki kwenye uchaguzi wa kuchagua wawakili wao. Matokeo ya mwisho uliohusisha majimbo ya uchaguzi 650 yamekamilika kutolewa ambapo kilichokuwa chama chama cha upinzani Labour Party kimeibuka kidedea kwa kupata ushindi wa viti 412 huku kilichokuwa chama tawala kiambulia viti 121.
Ushindi huu unamaanisha kuwa Labour Party ndio watakaounda Serikali na kutoa Waziri mkuu ambaye ni ndio kiongozi Mkuu wa Serikali kwa utamaduni wa nchini Uingereza.
Wabunge hawa 650 waliochaguliwa ndio huingia katika chombo kikuu cha utungaji sheria cha Uingereza kinachofahamika kama House of Commons.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 3

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey13 күн бұрын

    KIMYA

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge679415 күн бұрын

    Are you sure kuhusu unalo ongelea kuwa Labour Party wameangukia pua ? Wewe ni mtangazaji ni mpuuzi wa kupindukia SISI TUNAISHI HAPA WEWE HAUJUI LOLOTE! WEWE ONGELEA CCM NA NJAA ZINAZOSUMBUA TANZANIA 🇹🇿

  • @jaquelinevictorv9690

    @jaquelinevictorv9690

    12 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

Келесі