Chadema yamvua nyadhifa zote za uongozi Mh. Zitto Kabwe na wenzie wawili.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimemvua nyadhifa zote za uongozi naibu katibu mkuu wa chama hicho Mh. Zitto Kabwe na wenzie wawili kufuatia vitendo walivyofanya vya kukihujimu chama hicho na kupewa siku kumi na nne za kujieleza kimaandishi kwanini wasichukuliwe hatua za kinidhamu ikiwemo kuvuliwa uwanachama.

Пікірлер: 15

  • @nyandonashon7429
    @nyandonashon742910 жыл бұрын

    Safi sana CHADEMA... HAO WANAFIKI HAWAFAI... ZITTO KABWE ALISHAONESHA DALILI TANGIA ZAMANI... ZILE HARAKATI ALIZO ANZA NAZO KIPINDI ANA ANAINGIA BUNGENI ALIZIACHA BAADA YA KUONGWA NA HAO CCM

  • @dct4lif

    @dct4lif

    10 жыл бұрын

    Kama ni kuhongwa Mbowe naye anahongwa sana na CCM miaka 20 CHADEMA kelele nyingi bungeni rushwa na ufisadi ndio unazidi. Angalia wakenya walivyo fanya waliungana wakiangusha KANU, Uhuru naye akaanzisha coalition ya vyama leo raisi. Zitto anaweza kua na makosa lakini umaarufu wake sio wakudharau bila Zitto kanda ya ziwa CHADEMA wasahau. Kuna udiktator kwenye uongozi wa CHADEMA na hadi sasa sioni kama wako serious kuchukua nchi.

  • @williamkirway5074
    @williamkirway50743 жыл бұрын

    Namwona slaa baba wa chadema,ilikuwa chama makini nayenye umakini.

  • @romansuzana46
    @romansuzana4610 жыл бұрын

    Safi sana CHADEMA tulikua tunasubiri kwa hamu kuchukuliwa hatua hao wasaliti.

  • @langatouch4677
    @langatouch46773 жыл бұрын

    Safi l Rais. Tundu lissu naabiii

  • @tesiustheonest1592
    @tesiustheonest15929 жыл бұрын

    Kwa pamoja tunapaswa kukilinda na kuilinda heshima ya chama chetu, tukiwa pamoja na UKAWA

  • @dct4lif
    @dct4lif10 жыл бұрын

    Hawa ndio wataweza kuwaangusha CCM kweli ?

  • @renaldakamugishazeramulake940
    @renaldakamugishazeramulake9407 жыл бұрын

    mmm nyie wanachama mboe na lisu ni vibaraka hivi hamjui. ni serikali hao wanawachota akili.

  • @charitytemu8398
    @charitytemu839810 жыл бұрын

    chadema pigeni kazi zito asiwatishe kwni yeye nani..wasliti wote waondolewe nasifu kamati cc.hapana chezea chadema

  • @pancrasiahlaswai9353
    @pancrasiahlaswai935310 жыл бұрын

    Me nafikiri wanaweza kupewa nafasi ya pili ukizingatia kuna watu wamekuwa wafuac wa chadema kwa kuvutiwa nao. There is always a second chance!

  • @hoseaemanuel3528
    @hoseaemanuel352810 жыл бұрын

    chama kilikuepo hata kabla ya zito hivyo hata si chochote msaliti huyo

  • @mabubambassa2333
    @mabubambassa23333 жыл бұрын

    Hivi hawa nyumbu wanakumbuka haya?? Eti leo wanadanganyana kuaminiana? Kweli?? Yetu macho.

  • @mabenzimabenzi4348
    @mabenzimabenzi43483 жыл бұрын

    Leo hii lisu ndio kaja kuu chama

  • @josephkigosi7781
    @josephkigosi778110 жыл бұрын

    Hata hivyo wamechelewa kulishughulikia hili swala. Dalili zilishakuwepo hata kabla.

  • @josephjakobo5270

    @josephjakobo5270

    6 жыл бұрын

    Magufuli m

Келесі