Lissu Aponda Uamuzi wa Rais JPM Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Atabiri Hali Kama ya Zimbabwe
Tundu Lissu, Mbunge Singida Mashariki, ameucharukia uamuzi wa rais Magufuli wa kuzuia mchanga wa dhahabu kwenda nje ya nchi, akieleza kwamba kitendo hicho kimeua kabisa diplomasia ya kiuchumi.
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe kzread.info
Akizunguza bungeni mjini Dodoma leo, amesema yeye alianza kuzipigania rasilimali za taifa hili kabla hata hajaingia bungeni. Akaongeza kwamba wabunge washangiliaji na wapiga debe ndiyo walioifikisha nchi hapa ilipofika.
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe kzread.info
Lissu amesema kwamba kitendo hicho, kitasababisha nchi itengwe na mataifa yanayosaidia nchi zinazoendelea, hali itakayosababisha hali ya kimaisha izidi kuwa ngumu zaidi. Lissu mara kwa mara alikuwa akiwananga wabunge wa CCM kwamba huwa wanashangilia mambo wasiyoyajua.
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe kzread.info
Akaendelea kueleza kuwa alichokifanya Magufuli, ni kinyume na sheria, kinyume na mikataba na hali ikiendelea hivi Tanzania itakuwa kama Zimbambwe.
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe kzread.info
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
kzread.info
kzread.info
kzread.info
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: Globalpublishers/
TWITTER: GlobalHabari
INSTAGRAM: globalpublishers
Пікірлер: 200
Lissu Kichwa sana, ila nasikitika hichi ndicho kilichopelekea yeye kuumizwa na watu wasiojulikana. Mungu amuepushe na maadui
Nc tunakubali San ukweli unawoo semaa 💯💯❤️🤝
Tundu lisu ni mpinzani tu hatoi hoja ya kulinda nchi
wale wapiga dili sasa hali mbaya..huu wakati wa magufuli sio....
@ramadhanisadiki5638
3 жыл бұрын
Madin xaxa hv ni vp
wakati wa dili ume kwisha
@jacobsumaye8560
3 жыл бұрын
Umesema kweli ndg yangu
Mungu na awajalie watoto wako wawe na akili kama hizi za kwako.
Upinzani uko vizuri sana, maana ingekua sio upinzani hata ccm isingebadilika, tukumbuke ccm ilikua imehama reli, Rais ndie alieifufua ccm, baada ya kupita kule wapinzani walipokua wanapigia kelele, lakn hata hivyo Rais anastahili pongezi kwa kazi kubwa aliyoifanya,,, kama sio upinzani ccm wangeendelea kujisahau,,, wapinzani wanatakiwa waendelee kuwepo,,, wapigepige kelele siku zisogee,,
Huu utabir utatimia liniii!??
Kenge
Uliyasema haya mh lisuu miaka 6 nyuma wakakupiga risasi leo wale wale ndo wanaona madhara ya kile ulichokisema
With due respect I will refute or oppose Mh. Lissu's argument on TZ laxity on diplomatic relations with the rest of the world, particularly China. China could be in close ties with Kenya but in essence of the amount invested to major infrastructures we see today in Kenya. As a result, huge amount is sitting as debt tht the country can't even pay. They are now strategizing of confiscating her port which is the critical source of her economy. Look at Zambia today, half of ger land is now owned by China. Who in her right sense wants tht? Magufuli is doing the right thing so far; investing in the major infrastructures using the natives pocket n the small difference he takes loans from super powers of the world. Unless I don't understand Mh. Lissu.
ha ha hah ha lisu bhana eti naongea na wanaoelewa kwel achana na maboya hayo lisu
yan kati ya sehemu ambazo lissu ameonekana kilaza ni hapa
We don't know nothing?🤔 ooh no! no! no! 😂😂😂😂
Hapandipo Lisu alipoanzakupotelea halafu baadae anautaka Urais 😀😂😂😂😂😂
Kwa maneno ya lissu Leo sijui atasemaje kuhusu madini ...JPM Baba lao
@johnndahani7810
4 жыл бұрын
Hana
sijaona mbunge jasiri kama lissu kamwe...
Jinga kweli hili. Litauza nchi.
@helencyprian8745
6 ай бұрын
Tumeahastakiwa zamani sana
I miss u so much brother ,,,your great indeed,,Whom our country is blessed
@thomastarimo
Жыл бұрын
Asante sana mweshimiwa lisu
Mbona hatujaona haya unayoyasema sas
hivi lisu amelishwa nini mbona hataki kabisa kuzungumzia upande wa pili kwa maana kama ni kweli mchanga ule una kiwango kikubwa cha dhahabu kuliko wanachokilipoti,kuorodhesha madini ya Aina Tatu tu na kuachwa mengine, kujaza tani nyingi kwenye kontena kuliko kawaida, haya hayaoni anaona mikataba misaada na dipromasia ivi kumbe vibaraka bado wapo OK! wanasheria si watu wa kuwaamini hata kidogo jiulizeni mtu anaweza kumuua ndugu yako hadharani lakini mwanasheria akipewa fedha anamtetea, mwezi jana Kuna mtu akulipa kodi na akadanganya pale Bandarini kwamba kabeba mitumba akakamatwa lakini lisu ndiye mtetezi wake, tusimshangae anatetea tumbo Lake, mwanasheria YOYOTE husimuhamini wengi wapo kwa maslai.
Yaani ni mbwa mkubwa kabisa
ww la hovyo kabisa kumbe ni kondoo usipende maneno maneno
jizi hili
kweli ww ni kichwa box.endelea tu kulamba viatu vya hao watu wako unafikiri watakujar.hawa ndo wale waliowauza waafrika wenzao enzi zile
@peterregy6660
6 жыл бұрын
Man educated spika anaomba atumie lugha za kibunge hajui kiswahili
@thomaskonga1067
5 жыл бұрын
Jinga ww
@leonardjohnson2058
5 жыл бұрын
Edward msaso ssa hv nan ni kichwa box ssa hv???
Mungu hamfinyi mnafiki leo unasimama wapi na unafiki wako wa kuwatetea mabeberu wako? Mwizi wewe uliyetumwa na mabwana zako aibu kwako mjinga lissu wewe
Unazani Jpm ni zwazwa kama wewe ? Jpm ni kichwa kingine kabisa leo tunaona faida yake mambo yananyooka mambo mpeto TANZANIA yasonga mbele na JPM
Haimpasi kumtukana Lissu...anatoa ushauri mzuri sana....anachosema ni sheria mbovu na mikataba mibovu tuliyoingia wazima wazima ambayo kwa vitendo vya JPM tutaula wa chuya...hekima ni kuchukua mawazo ya Lissu na kuyafanyia kazi na si kumtukana...ili nchi iendelee lazima kuwepo na mawazo tofauti.Tujifunze kuheshimu ukosoaji
Lengo la wazungu afrika iendelee kua ombaomba ndio maana wanawapenda watu dizaini ya lissu.. Leo afrika nzima imeona na kuelewa maamuzi mazuri ya Tanzania kutoka kwa viongozi bora wakiongozwa na Amir Jeshi Mkuu John Joseph Pombe Magufuli
Leo Kenya ni slave wa mchina JPM oyeeeeeeeeeeeeeeee Fanya kazi baba maneno sio mkuki
Una akili za kutawaliwa
sasa tukubali tuibiwe??? watanzania tunataka makubaliano yenye faida kwa pande zote. ..sasa kama hao wachina, wamarekani, europeans, canadians watakasirika sisi itatusaidiya vipi! ! wakati hao hao tuliowaamini kufanya biashara nao ni wezi, laghai, waongo etc ...tunataka viongozi jasiri siyo FISI.....
@tariqothman5872
7 жыл бұрын
wee lisu utakuwa unabanduliwaa na wa zungu choko weee sio kwa ujinga huo unao uongea
@yohanaleopord8191
5 жыл бұрын
Yutakukumbuka
@chaomadedo
5 жыл бұрын
Ni hatari kuwasogeza wachina kwetu. Wachina ni wajanja kuliko vitu tujuavo; very strategic. Kenya wanaambiwa watoe bandari yao sasa hivi ili iwe njia yakulipa madeni yao yanayosuasua. Kenyatta anahangaika kuomba pesa Europe na America kuwalipa amekosa
Elimu yako ni bure kabisa ww lissu nenda ukouko kwa mabwana zakotuache na nchi yetu...
Sawa
Hahahahaa washangiliaji wanataka kuja juu.
God bless lisu. huyu mzee mtamkumbuka
@chaomadedo
5 жыл бұрын
This is not true in his argument. Atasema china wako karibu sana na Kenya ki diplomacia, lakini ni vile wameekeza pesa nyingi mno kule kwa njia ya mikopo...Kenyatta alienda juzi hapa marekani akakaa na Trump kumuomba mkopo ili awachane na China akisema marekani wao watakuwa wapole kulipwa. Trump akamuambia pole sie hatuna pesa. China wanaambia Kenya, vile mnachelewa kulipa tupeni bandari yenu..na iwe for 99 lease term to operate any way we want. Sasa nani atakubali toa bandari yake na nchi ibaki hivi hivi na vile ndo inaongezea kipato nchi kwa %50...no way. Lissu hapo hana facts kwa kweli. Hez talking the opposite of what should be done. To deploy his facts n suggestion will put our nation into a pit full stop..
@issackchalahani1235
4 жыл бұрын
Huo ndio ukweli japo kuna wasio kubali ukweli.
@plachidiusrenatus5834
4 жыл бұрын
ndo tumeshaanza kumkumbuka sahiv
@zenassylvester125
3 жыл бұрын
Leo tunamkumbuka kwa ujinga wake na aibu kwake kiko wapi sasa kama sio kuabika kwake.? Atakumbukwa Magufuli daima aliyoyafanya ni zaidi ya miaka 30 iliyopita
Wabunge wangekuwa wanapewa mitihani
2021
I miss u bro ...
Kwaiyo ulitaka mchanga uende huko watuachie mashimo?kama mchanga hauna madini kwann wasiende kuchukua baharini?nambona wameenda ikulu kusaini mikataba Mipya?kaa kimya lisu🤐
@peterrhagite5097
3 жыл бұрын
Leo mchanga umeenda wap?
Sikia maiti hiyo
Diplomasia yakuibiwa we mmbwa.
@godblessjrtz.8652
2 жыл бұрын
Hujui kitu zero brain
Jambo muhimu na la upendo na la ukweli na mzalendo au kidogo unao uzalendo ni maneno ya dhati ni alieongea kiongozi wake na yeye lissu bado anapinga umuoni bado wa ajabu Mimi nampa Sana big up mh rais na jopo lake ila lissu atufahi katika jamii hii yetu na Kama taifa hili la watanzania wakati wa hewala bwana ushapita kwa watanzania lissu ok
Wapiga debe tu🤣🤣
leo upo wapi
Nakubali
Kuanzia hapa ndipo nilipoona wewe haufai kuongoza Tanzania
Duuuuh God bless you lissu wherever you are
Nice
Mzee chizi uyu
@stevensimon6158
3 жыл бұрын
Mambo
Gwajima kasema kweli Huyu lissu karogwa. Mie naona karogwa na uchawi WA kizungu uitwao USD. Wampiga na dollar iliawe mtetezi wao.vita vyovyote havikosi wasariti. Huyu Ni msariti WA vita vya kiuchumi
@leonardjohnson2058
5 жыл бұрын
John B vip ssa hv je amepona??? Na huyo Gwajima yupo wap
Hahahahah🎉🎉🎉🎉🎉🎉 lisu big up
Lisu nimpumbavu sana silipendi
@lucassailevu275
3 жыл бұрын
Lisu Kila Kona uko viziri na ndiyi maana mungu amekuponyesha
lisu anaumwa.
@erickbeneth4518
4 жыл бұрын
yang
Hahahaha!!!! Kwa asiekuwa na akili atamuona bonge la msomi kumbe unatia mikwara kwa kingereza cha kuokota dah!! We Yuda uliwalisha sana sumu watanzania ila tumekusamehe tunamuomba mungu akusamehe na akuongoze wherever you are!!
@saidramadhan5961
3 жыл бұрын
Vp ww cyo yuda
Dah lissu ni kichwa Sana.Kila anacho ongea hutokea
Ndo kazuia, au ndo kafungua mlango wa wezi kuiba vizur
kwahyo bora tuubuwe ili tulinde mahusuano mazuru
lisu ni mbabaishaji tu. anapiga kelele. toa hoja za msingi siyo chuki zako. kwani wewe tu ndo unayejua sheria!!! JPM songa mbele wenye vyeti halali tuko nyuma yako.
@chaomadedo
5 жыл бұрын
Kweli..Lissu anachosema kitatuumiza kama kitafwata..Kenya wanahangaika saa hii
Mhe kavurugwa vibaya mnoo
ninachofahamu kitu cha kwanza anachoangalia muwekezaji ni upatikanaji wa bidhaa anayoihitaji...waache wasiwekeze leo na kesho na mali zetu zibaki baadae watakuja kuwekeza wengine wataohitaji kuliko kuogopa kumpoteza muwekezaji ambae kiundani si muwekezaji ni mwizi
@chaomadedo
5 жыл бұрын
Safi sana David. Maana Kenya wanalia saa hii. Bandari inataka kuchukuliwa na mchina maana wamesuasua kuwalipa madeni yao. Zambia nayo hivohivo...walivokuja TZ wakashindwana na Magufuli maana mikataba yao mingi amekataakusaini
Haya manyumbu yaliyokuwa yanamuunga mkono huyu mpumbavu yangerudi yasikilize alichotetea huyu bogas na hali halisi hv sasa kuhusu ule mgogoro na acacia
Tunakusubir uongre baada ya ripoti ya pili
Huyu mwehu hakustahili kuwa hai mpaka leo hii kwa maslahi mapana ya tanzania..
wewe kuna rwashwa una pokea
Lissu, sisi hatutishiki na hao wazungu wako.Tunawasubiri waje ili tuwakamate kwa kosa la wizi.
@leonardjohnson2058
5 жыл бұрын
Leonard Choma hv wameshakamatwa hee
@ramadhanashibai870
3 жыл бұрын
Ndugu ulijuaje,maana umesema ukweli kabisa wazungu wenyewe wamekubali kama walikuwa makosani
We do not know nothing
Missing you sana mbeba maono
Huna lolote, unaropoka tu
@nassorsaid2331
7 жыл бұрын
Felix Mrisho nyie ndo wapiga debe anao sema lissu hamjui mnaropoka tu
lisu nilikuwa namwamini lkn naanza kuwa na mashaka naye nakama anatazamia nchi yetu itaingia kwenye shida asahau milele Tanzania tumepewa na Mungu lisu yeye kama anawaogopa wazungu wachina sisi hatumuogopi mtu tunayemuogopa ni Mungu tu aliyetupa rasiliamali lazima tuitetee na kuiombea nchi yetu na raisi wetu sio kuanza kusema nchi itaingia kwenye shida hiyo tunakataa kwa jina la Yesu
Hujaona mbunge kama lisu kibaraka wa wazungu tungempa nchi huyu alikuwa anaturudisha ukolonikufungwa minyororo
@twalibsalehe9745
2 жыл бұрын
Hilo halina lolote
Mi huwa napenda anavosema SISI TUNAOJUA
Kweli wewe, ulienda shule Ukaicha shule shuleni Jinga kabisaa wewe
Pamoja na hayo yote, bado tulitakiwa kufanya jambo, sasa tutafanyaje? Tusaidie wewe kama Mtanzania halisi, take action on this, get chance to talk to Raisi na Waziri wa mambo ya Nje. Wasaidie kupata mbinu za kuondoka na hili jambo kubwa. Ili tupite na tubaki na mchanga wetu. Kweli Sheria imevunjwa - tunatokaje?
@davidmushi6770
7 жыл бұрын
Esther Mushi hilo ndilo lililotakiwa kama kweli na yeye haridhiki kuibiwa angepongeza basi kwanza then kwa ustaarabu amfate hata waziri amueleze namna ya kuliweka sawa huu haukua muda wa kuongea aliyoyaongea tena ndani ya muhimili mkuu wa nchi unaofatiliwa almost the whole world..hiyo ndiyo inayofanya watu waone kashalishwa vya kulishwa sina hakika kama lisu asili yake ni hii nchi kwakweli ni kama hana uchungu kwa tulivyoibiwa ila anauchungu na mikataba
@davidmushi6770
7 жыл бұрын
inasikitisha sana badala ya kutumia muda wake kujadili nini kifanyike kujitoa huko anazidi kuwapa nguvu upande wa pili
@ngwanafabian7532
4 жыл бұрын
@@davidmushi6770 alilipwa ili tushindwe lakini Mungu alikuwa upande wetu tumeshinda na zaidi ya kushinda na corona chali kwa jina la Yesu
raisi tundu lisu.
Mpumbavu huyo. Wazungu wanamfira huyo.
Yajayo yanafuraisha
wewe usio mtanzania rudi kwenu Congo watu lipe haki zetu
@leonardjohnson2058
5 жыл бұрын
Ramadhan Ndemeye hv tumeshalipwa??? Ushabiki ni mbaya sana
Huyu ni wakili,hata kama mtu ametenda kosa akiajiriwa lazima amtetee huyo mtu! Kwa hiyo Lissu kalipwa ili atupe hofu ili tuogope kumuunga mkono jemedari wetu,raisi wetu Magufuli.
@fadhililihinda6491
5 жыл бұрын
edmund makoye Mkuu bado unao msimamo huo huo wa kumpinga huyu jamaa? Nasikia kuna kesi tayari huko London, nimesikia Zitto akisema
@mosesedwardmagembe9657
5 жыл бұрын
Najaribu kuendelea kupitia mambo ya hovyo hovyo ya huyu jamaa ambayo amekuwa akitetea njaa yake. Mla rushwa huyu yupo wazi kabisa. Alipewa pesa ili kuwatisha watanzania wenzake. Sasa yupo nchi za watu akiendeleza upuuzi wake kwa aliokuwa akiwatetea. Kwa wale wasioelewa kitu wanaendelea kum-support kwa comment. Wanadhani kama akisikilizwa na wazungu na kuyafanyia kazi malalamiko yake watamsaidia kitu gani ambacho hakitawadhuru Watanzania? Yaweza kuwa silaha watu wauane.. Aidha vikwazo vya kiuchumi. Mtu huyu ni wakuogopa kama ukoma.
@abbasmapfa5445
11 ай бұрын
Mkuu, Leo yametimia kesi zote za madini, Hatukupata hata mia mbovu ndege zetu kila siku zinakamatwa. Watanzania tunafikiria umbali wa PUA
kila siku lisu lisu ? waandishi wameishiwa swaga
@raphaelsamwel2640
4 жыл бұрын
Wakufuate wewe una nini kichwani??? Kengeee
Uyujamaa nimashine
Mpumbavu Lissu haya sasa tuambie leo kimetokea nini?
@mr.kigomaujiji6122
4 жыл бұрын
We ndoo fara kwel
@ngwanafabian7532
4 жыл бұрын
@@mr.kigomaujiji6122 wewe ni mpumbavu kama Lissu hatuwezi kuongozwa na jitu oga kama huyo shoga mwenzenu alisema tutashitakiwa haya sema tumeshitakiwa wapi? Wapumbavu kama nyie kamwe hamna nafasi Tanzania.
huyu lisu mbona anaongea pumba
@barbranabakooza9589
3 жыл бұрын
Shule wewe una wache walioenda shule waongee
Acha samaki wewe mjinga lazima kila kitu kiwe na mwanzo na mwisho
Huyu spika alikuwa vizuri ndo mana walimtumbua wakamweka yule mfupi wa ccm
Leo tunagawana 50 kwa hamsini mshenzi lisu ulikuwa unatetea tumbo lako fala kweli
@ericksamwel1657
4 жыл бұрын
Kwenye huo mgawo ww umepata kiasi gani????
@vladiminlenin8883
4 жыл бұрын
@@simonalmas9614 sidhan kama unachokisema ni sahihi
@chugachugambuli8879
4 жыл бұрын
SIMON ALMAS ww na lisu wote hamjielewi kabisa akili zenu zimeinamishwa kama kondoo anayetembea kwenda marishoni
@ngwanafabian7532
4 жыл бұрын
@@simonalmas9614 mwongo mkubwa ina maana wewe tu ndiyo mwenye ufahamu wengine hatujui kilichoafikiwa!?
wewe sio mwana ume una tete meka sana na siku uki pewa uraisi uta gawa zahabu yote bure
@nurujoni1964
5 жыл бұрын
Nuru
lisu we piga debe sisi tunasafiri tumesha panda bas we baki kituoni upige debe maana ndio kazi yako siyo siasa ,kila kitu unapinga hauna la kusema unaropoka tu bora unyamaze maana wewe ndo waajabu
Mlinga ww huna lolote talifa kwalisu lisu siyo saizi yako talifa katoe kwawanao
TEN PERCENT HIZO ASISAHAU BAADHI YA WAHUSIKA ALIWAPOKEA KWA MBWEMBWE
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍.
Tundu Lisu, Dah!! yaani hiyo Silk road (China One Belt, One Road Initiative) haijui kabisa, anaongea pumba. Kujifanya kujua kwingi mbele giza......ndo mana anaonekana anapewa hela. Pumbavuuuuu.
@chaomadedo
5 жыл бұрын
Wachina ni wajanja sana. Ku implement anachosema lisu tutaumia. Magufuli ndo mjanja hataki urafiki na mchina maana watamchukulia maeneo nyeti ya nchi yake. Kenya sasa wanacheza mziki wao..bandari yao iko mezani kwa mahojiano kati yao na China. Mchina anaitaka Ile bandari maana wamesuasua kuwalipa mikopo yao mingi walochukua. Zambia inamilikiwa nusu na mchina..mmmh mie sijui
Daaah hii ni mashine
😅😅
Hivi sasa akiiangalia hii clip hajishtukii kweli?
@johnsonkisamba7797
4 жыл бұрын
uyo nin'gombe Sasa mbona wametulipa
@johnsonkisamba7797
4 жыл бұрын
uyo nin'gombe Sasa mbona wametulipa
@ngwanafabian7532
4 жыл бұрын
Wakala wa shetani hashitukagi sababu amefungwa ufahamu wake
@calabash4221
4 жыл бұрын
@@ngwanafabian7532 umenena ukweli mtupu
@boazshalili8890
3 жыл бұрын
Wewe ndiyo unatakiwa uje uiangalie comment yako
Geneurs lissu
Lisu ana mkataba gan na wazungu?
@assiaamiri5645
4 жыл бұрын
A N huna akili maana hata babako hana hamfikii kwa lolote lisu nyoko ww
Katika machozi huyu mambamoja
kumbuka samaki wa magufuli waligharimu inch kwa maamuzi yakukuripa kwa serikari!
Mikataba ndio itaamua
@chaomadedo
5 жыл бұрын
Mikataba nimibaya sana especially from China. Sasa Kenya wanakaribia kunyanganywa bandari yao. Zambia nusu ya nchi inamilikiwa na wachina...why? Hawawezi kulipa madeni