BREAKING: Sam wa Ukweli amefariki Dunia, chanzo?

Пікірлер: 304

  • @paulinapaschal8008
    @paulinapaschal80086 жыл бұрын

    Doooooo Sam !!! Mungu akulaze pema boy Wang inauma Sana'a!!!

  • @deogratiaskatabwa5230
    @deogratiaskatabwa52306 жыл бұрын

    uchawi upo kama mtu anaweza kuiba nyota yako atashindwa kukupa ngoma rip broo

  • @mr.agastrobert9157
    @mr.agastrobert91576 жыл бұрын

    Ntakukumbuka sana sam, hasa kwa mstari wako "nisipo kuona sina rahaaaaà Ee naumia nawazoo!!! R.I.P sam waukweli

  • @fatmanasornasor9047

    @fatmanasornasor9047

    4 жыл бұрын

    Back kama unampenda sana nenda kakae pale kaburini pake japo Siku mojatu

  • @milkamugomomugenimgomo6824
    @milkamugomomugenimgomo68246 жыл бұрын

    Imeniuma sana bado nashanga kweli dunia mapito pumzika kwa amani Sam

  • @kimwanababy1739
    @kimwanababy17396 жыл бұрын

    Mungu amlaze pahala pema sam😢😢😢..kazi ya mugu haina makosa anatoa ana chukua..ila watu wengi wame guswa sana na kifo chake!

  • @ntopangonyani6964
    @ntopangonyani69646 жыл бұрын

    Huyu mwanaume kwa maelezo kweli alikuwa HIV/AIDS positive, jamani kuna kushindwa kazi kwa matibabu kutokana na kuto ambatana na mpango wa matibabu kikamilifu au kuambukizwa virusi ambavyo mwathirika wake wa awali alikuwa katika daraja la pili la matibu ukiachilia daraja la kwanza ambao wengi wanao au kuambukizwa mara ya pili virusi vilivyo katika daraja la pili la matibabu. Nadhani elimu inahitajika, hivyo yawezekana aliacha kutumia matibabu kwa kuhisi kuwa amelogwa.

  • @floramise7495

    @floramise7495

    6 жыл бұрын

    ntopa ngonyani true

  • @antoineakimanayase5996

    @antoineakimanayase5996

    6 жыл бұрын

    ntopa ngonyani Naam! Elimu ndogo katika jamii

  • @hadijashabani2686
    @hadijashabani26866 жыл бұрын

    😢😢🙏hivi kweli uchawi upo👏👏ya Allah tunusu waja wako☝juuu kwetu👇chini kwetu tuishi duniania km wapita njia 👣🙏💔pumzika kwa aman sam allah akupunguzie adhabu ya kabri🙏😭R.I.P

  • @tendatanzania8358
    @tendatanzania83586 жыл бұрын

    Imetosha kusema R.I.P NAIKEMEA iyo ROHO ya mauti Kwa Jina la yesu Kristo.

  • @abuuhafsah9630

    @abuuhafsah9630

    6 жыл бұрын

    Andrew John ...kwa hiyo hutaki watu wafe.....

  • @beatricedatsan271

    @beatricedatsan271

    6 жыл бұрын

    Andrew John amen

  • @sadathahmada9066
    @sadathahmada90666 жыл бұрын

    Huu mwaka sio mzuri sna kwa upande wa sanaa!!! Maana wasanii wengi wanapukutika sana. R.I.P bro. Wasanii tubadilike na tupate somo.

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Жыл бұрын

    Mm ninavyojua kwa sababu nimeshauguza sana watu wa ukimwi,,,mtu akiwa na hya mardhi hya ukimwi huwa wanahis km wamelogwa ,yaan akili yao mda wote ni kwamba nimelogwa,,oky all in all pumzika kwa aman safar ya wote

  • @malkiaelizabethmhongole115
    @malkiaelizabethmhongole1156 жыл бұрын

    Dahh kweli hapa duniani tunapita, r. I. P. Sam wa ukweli

  • @richardmnkande1130
    @richardmnkande11306 жыл бұрын

    Nadhani Busara ingetumika katika kuzungumza Ugonjwa uliomuua marehemu..... Hilo ni swala la kifamilia zaidi, sidhani kama ni busara Producer kueleza marehemu amekufa na ugonjwa gani!!!! Nafikiri lilikuwa ni jukumu la familia zaidi.... Ikumbukwe hata angekufa na Malaria isingekuwa busara Producer kueleza ugonjwa wa marehemu..... Je! Msiba ndio huo umetokea au Sam ndio hivyo tena hayupo ila kwa Maelezo ya Producer unafikiri amemweka Mke wa marehemu katika hali gani mbele ya jamii hii????? Jamii ambayo Mgonjwa wa ukimwi anaonekana si kitu mbele za watu!!!! Huu si msiba mwingine kwa Mke wa marehemu?????? Ni vizuri kila MTU atambue miaka yake ili mambo kama haya yasitokee.

  • @kelvinpapaayawarembo1786

    @kelvinpapaayawarembo1786

    6 жыл бұрын

    Richard Mnkande baba dunia imekwisha..vp watakaoanza kumuwinda mke wa Sam??,,ukimwi sio ishu tena km unavyodhan wewe

  • @richardmnkande1130

    @richardmnkande1130

    6 жыл бұрын

    Kelvin Papaa Ya Warembo Ni kweli kabisa Dunia imefika katika hatua hiyo ila nadhani amejipa jukumu kubwa sana ambalo limemshinda! Kuna interview nyingine amefanya anazungumzia marehemu tulimvisha pempers.... Ni sawa kweli kuzungumzia hayo katika jamii???????

  • @kelvinpapaayawarembo1786

    @kelvinpapaayawarembo1786

    6 жыл бұрын

    hakuna siri tena mwanangu..ni vema pia jamii kujua iwe funzo kwa tuluobaki

  • @evarestatarimo2953

    @evarestatarimo2953

    6 жыл бұрын

    Richard Mnkande , huyu mtoa maelezo kamkosea sana marehemu kutoa siri za ugonjwa wake

  • @edwintaitaz6147

    @edwintaitaz6147

    6 жыл бұрын

    Richard Mnkande .broo jamaa kaulizwa swali mana yy ndoalikuwa na marehem dk ya mwisho acha aseme ukweli2 mana ukimwi ni2 cha kawaida cku hizi hyo familia inawezekana ata wao hawakujua tatzo la ndugu yao..so ucmhukumi huyu jamaa

  • @asilaalhabsi6481
    @asilaalhabsi64816 жыл бұрын

    Innalillah wainaillah rajiuun kapumzike Salam ndio njia yetu wote mbele yetu nyuma yako jmn tuacheni machafu ya dunia mapito

  • @hamisinanyata1237
    @hamisinanyata12376 жыл бұрын

    Pumzika kwa aman brother Sam

  • @relaxchinese4103
    @relaxchinese41036 жыл бұрын

    Acheni kumkufuru mwenyezi mungu kazi ya mungu haina makosa

  • @abdalahmjomba471
    @abdalahmjomba4716 жыл бұрын

    Acheni kuponda wadau kabla hujafa hujaumbika ukimwi ata kama sio wewe mke yupo,mchumba,mpenzi so tumuombee mungu tuache upuuzi oky.

  • @jaffarsimai9258
    @jaffarsimai92586 жыл бұрын

    Reace in peace Sam. Hakuna ubaya wowote kusema ugonjwa wa marehemu. Muhimu kujifunza kutokana kwa sisi wengine

  • @dharaksharkh6915
    @dharaksharkh69156 жыл бұрын

    Dah inauma sana bado kijana kabsa yani aise tusijidanganye na dunia mfano ni kama maji ukiyaywa unaenda kukojoa R. I. P samu

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili2416 жыл бұрын

    Innalila wainnarajun mbele yke nyuma yetu uchai upo lkn ucuweke moyoni utakumaliza

  • @abouhafswah

    @abouhafswah

    6 жыл бұрын

    Mwanaisha Mbili AHSANTI♧

  • @mtumwashaali88
    @mtumwashaali886 жыл бұрын

    R IPbroo mungu amlaze Pahala Pema

  • @rahmaninoh7434
    @rahmaninoh74346 жыл бұрын

    Innalilah wainnalilah rajiun Allah amlaze mahala pema pepon ameen mbele yake nyuma yetu 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @zennakailo8106
    @zennakailo81066 жыл бұрын

    Jaman nmestuka sana nilivyosikia huyu kaka nikimuona kama kaka yangu 😭😭😭

  • @seifzongo320
    @seifzongo3206 жыл бұрын

    rip Sam WA ukweli ,jaman ukimwi WA kurogwa upo na unatibika,yaan unarogwa shetan anayezalisha vvu ,ndo maana kuna wengne huombewa na wanapona kabisa ...all in all mungu ndyo anayejua yote RIP SAM WA UKWELI

  • @khadijakhadija6547
    @khadijakhadija65476 жыл бұрын

    Kka nakusikiliza huku nabubujikwa na machozi Jamn

  • @abouhafswah

    @abouhafswah

    6 жыл бұрын

    khadija khadija Usilie Mwaya Mtt #MZURI♡ Nahilipia LITAPITA tu♧

  • @khadijakhadija6547

    @khadijakhadija6547

    6 жыл бұрын

    Abou Hafswah Inshallah

  • @zinbormdan9813

    @zinbormdan9813

    6 жыл бұрын

    Innalilah waina ilah rajighun

  • @amiriramadhan7753

    @amiriramadhan7753

    6 жыл бұрын

    khadija khadija Pole my nimipango ya mola

  • @antoniamos8358
    @antoniamos83586 жыл бұрын

    siokulogwa ukimwihuoo.umendanae vidongevimedunda nanyinyi.wachangiaji mnaosema mungu amlaze mahalipema.mungu hasomi maoniyenu nakilemtu.apandacho atavuna

  • @saumyusuf2025
    @saumyusuf20256 жыл бұрын

    Innah lillahi waina ileyhi rajiun poleni sana watanzania

  • @munisidaprince5338
    @munisidaprince53386 жыл бұрын

    ss zote ni njia Moja pumxika kwa amani ndugu ye2 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rebecatimothy8067
    @rebecatimothy80676 жыл бұрын

    Sijui Kwann bado dunia haiamini kuhusu ugonjwa wa ukimwi..ina mana mpk Leo watu wanaamini ktk kulogwa?? Tena kulogewa ukimwi?? Jmn ukimwi upo na unaua,, tena Iko very serious... By the way..rest in peace bro..tulobaki tuwe makini sana...Mungu tusaidie na turehemu

  • @hechihechie5558
    @hechihechie55586 жыл бұрын

    Huna hekima unaelezea dunia nzima siri za marehemu ili iweje?mbona akiwa hai ulinyamaza??pumzika kwa Amani Sam

  • @isakabaragomwa296

    @isakabaragomwa296

    6 жыл бұрын

    Duuuuu,

  • @iddihmashono7306

    @iddihmashono7306

    6 жыл бұрын

    kwel cyo vzur

  • @amadmenserpolelisumunguata1818
    @amadmenserpolelisumunguata18186 жыл бұрын

    R.I.p Sam mungu aiweke roho yako mahali pema pepon na poleni sana ndugu na marafiki

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92186 жыл бұрын

    R.I.P. brother sam mungu akupokee salama

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti67346 жыл бұрын

    Roho imeniuma kweli,mngemkimbiza hospital baada tu ya kumpeleka toilet mana hyo ilikuwa hali ya hatari tayari

  • @abeilmkandawile2065
    @abeilmkandawile20656 жыл бұрын

    Rest Internal Peace.. #sam wa kwel.. We are on the way to follow you.. Bro

  • @faridayahya4919
    @faridayahya49196 жыл бұрын

    Innalillah wa innalillah rajiunih Allah akupumzikishe salam

  • @samuelpeter5807
    @samuelpeter58076 жыл бұрын

    pumzika kwa Amani brother

  • @nyotastar766
    @nyotastar7666 жыл бұрын

    Ima miss him💯his music was mad lit!!

  • @wemakalam8696
    @wemakalam86966 жыл бұрын

    mweenyezi mungu ampe pumziko la milele ammeen.

  • @salmamustapher6021
    @salmamustapher60216 жыл бұрын

    Tumeumbiwa maradh na umauti so Hakuna Mwenye Hti miliki katika hii Dunia.

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili2416 жыл бұрын

    Atacamini jamani sam kweli mungu akulaze pema

  • @godiphreydomitionbkbkwetut3
    @godiphreydomitionbkbkwetut36 жыл бұрын

    Dah! ciamini ckutegemea basanimpango wamungu A-I-P samu

  • @mariamswee7442
    @mariamswee74426 жыл бұрын

    Nime umia sana but mungu ndo mpangaji wa yote pumzika kwa amani sam sote wasafiri akuna wa kubaki

  • @sareeskye3623
    @sareeskye36236 жыл бұрын

    duh! 😐mungu ailaze roho yake pema peponi

  • @eliaspunga7559
    @eliaspunga75596 жыл бұрын

    daa jamani inauma xana pumzika kwa amani samu Wa ukwel

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ6 жыл бұрын

    Nafkiri ili kuleta maana ya anachoongea huyu producer ni autoe huo wimbo waliourekodi siku hiyo kama ulivyo, vinginevyo itakuwa ni stori tu.

  • @ramseytheog0014
    @ramseytheog00146 жыл бұрын

    Ramsey from KENYA R.I.P..Sam ..........nilipenda ile song kweli sina raha

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert94896 жыл бұрын

    Ati ukimwi wa kulogwa? Only in Tanzani. Mtaendelea kufa kwa kukosa uelewa. Jitembeze upate ukimwi kisha utafute mchawi. Ndiyo matukio ya mauaji ya kukisia watu wachawi yanaanzia kwenye story kama hizi. Maana hapo tayari a innocent person ashashutumiwa mchawi basi hakutajwa hapa.

  • @paulokilenga8025

    @paulokilenga8025

    6 жыл бұрын

    true wasanii wa bongo n wahuni masogange na yeye vivyo hivyo report ya daktari ilivyosema sam n the same hakuna uchawi apa wachani uhuni

  • @blessdgurl

    @blessdgurl

    6 жыл бұрын

    Meaning masogange had HIV?

  • @amiriramadhan7753

    @amiriramadhan7753

    6 жыл бұрын

    Paulo Kilenga you are not seriously are you mean even masogange she was die because of HIV??

  • @mkaliwenuoriginalpleasesub9297
    @mkaliwenuoriginalpleasesub92976 жыл бұрын

    R.I.P bro sam

  • @hajranandonde4316
    @hajranandonde43166 жыл бұрын

    Hakurogwa huyu sema kinga yake ilikuwa ndogo ...rip sam😧

  • @jimymalila4210
    @jimymalila42106 жыл бұрын

    Polesana inauma sana nimeumia sana navyo sikia kifo cha Sam waukweli

  • @khalidunited5978
    @khalidunited59786 жыл бұрын

    Innalilahi wainna ilayho rajiun

  • @tendatanzania8358
    @tendatanzania83586 жыл бұрын

    TANGAZO tangazo... Anaye sumbuliwa na magojwa ya kulogezewa yupo Dr. Anatibu. Nenda EAGT CITY CENTER Kwa mchg. Fj Katunzi anapatikana pale.

  • @coolcool7330
    @coolcool73306 жыл бұрын

    Innalillah wainnaillaih rajuun.

  • @mpsanga2914
    @mpsanga29146 жыл бұрын

    Acheni imani hakuna ukimwi wa kulogwa tatizo mkiwa wazima mnajisahau mkishaukwaa mnasingizia kulogwa

  • @kibabrowntvkiba3218
    @kibabrowntvkiba32186 жыл бұрын

    duuuh amekweli kifo cha kaka yetu kime tuuma sis kama wadogo zake R.I.P

  • @felixombagi2336
    @felixombagi23366 жыл бұрын

    Lala salama Sam we will miss you even in Kenya bro

  • @janepopular889
    @janepopular8896 жыл бұрын

    Daaah jaman inaumaa saana !!!! R. I. P!!!! Hata kwetu wapo!!

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow13236 жыл бұрын

    Ukimwi wa kulogezewa upo na mm nimeona unaenda kupima unakutwa unao lkn sasa ukinywa dawa za kupunguza makal ndy unaongeza na uchuw round unaiacha dunia

  • @christmasmachele5589
    @christmasmachele55896 жыл бұрын

    Jamani hilo neno "kulogezewa" ndio nalisikia leo

  • @anneamor6192
    @anneamor61926 жыл бұрын

    R.i.p tutakukumbuka bro mbele yako nyuma yetu....my sincere condolences to the family ..... pamoja....+254 tunalia nanyi na mungu awape faraja ipitayo faraja ya wanadamu.... again r.i.p

  • @qaboossaid2259
    @qaboossaid22596 жыл бұрын

    Hakuna ukimwi wa kurogwa,ameutafuta mwenyewe bana,mbona ajarogwa fulani anae wasababishia watanzania hali ngumu ya maisha.

  • @rajabamir6586

    @rajabamir6586

    6 жыл бұрын

    Qaboos said 😂😂akili zko zinakutosha mwenyew

  • @hezronbarageth7274

    @hezronbarageth7274

    6 жыл бұрын

    Kwani hukusikia anatembea na hirizi shingoni na kiunoni..?

  • @gabrielutou20

    @gabrielutou20

    6 жыл бұрын

    Qaboos said naomba nitengue kauli UKIMWI ni kifupi cha upungufu wa kinga mwilini ndo maana yake ambapo huo upungufu wa kinga mwilini unaweza kuletwa pia na magonjwa kama vile saratani kisukari lishe duni na hata Virusi vya upungufu wa kinga mwilini (UKIMWI) na hivi virusi si ndo ambavyo vinaua noo niagonjwa nyemelezi yanayokuja baada ya kinga ya mwili kushuka hivyo bado hakuna anaefahamu kilichopelekea kifo chake.

  • @subirajohn728
    @subirajohn7286 жыл бұрын

    Yaani inauma lakini hamna jinsi maana sisi ni waja tu kwake tutarejea. R.I.P Sam wa Ukweli

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan13656 жыл бұрын

    Innalilah wainnailah rajiun *Sam*

  • @khadijakhadija6547
    @khadijakhadija65476 жыл бұрын

    Siamin vile daah najikuta nalia sielew kwa kilichotokea 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @muyasalo4880

    @muyasalo4880

    6 жыл бұрын

    Pole dia me pia imeniuma sana

  • @amiriramadhan7753

    @amiriramadhan7753

    6 жыл бұрын

    khadija khadija Pole Dada ndo ivo basi

  • @albertmtagaba6729

    @albertmtagaba6729

    6 жыл бұрын

    khadija khadija usilie dada angu njia yetu ni moja hamna jinsi

  • @DEGESTAR
    @DEGESTAR6 жыл бұрын

    R.i.p sam Achiyeni hiyo nyimbo ya ma jonzi

  • @hawabakari2561
    @hawabakari25616 жыл бұрын

    inshaallah umekufa mwwzi mtukufu

  • @simonmanyama6877
    @simonmanyama68776 жыл бұрын

    R.I.P

  • @piarasendeu2335
    @piarasendeu23356 жыл бұрын

    mmmmmhhh Sam!!!?jmn daaaaahh inauma cn aiseeeeee R.i.p sam

  • @batulajama4171
    @batulajama41716 жыл бұрын

    Nice

  • @dashuusaalim8882
    @dashuusaalim88826 жыл бұрын

    إنا لله وإنا إليه راجعون Allah amrehemu

  • @rosealoyce5937
    @rosealoyce59376 жыл бұрын

    Rest in peace

  • @ayubuhenry5426
    @ayubuhenry54266 жыл бұрын

    R.I.P. tunakuja nasi huko

  • @kevinelaar4485
    @kevinelaar44856 жыл бұрын

    may God rest ur soul in peace Sam wa ukwely.

  • @sophiatesha9696
    @sophiatesha96966 жыл бұрын

    sam jamani sitaki kuamini ila kazi ya mungu haina makosa R.I.P

  • @deusmauka9626
    @deusmauka96266 жыл бұрын

    Marehemu nae alikuwa kavurugwa na ujinga ujinga.

  • @bibiejumaa6850
    @bibiejumaa68506 жыл бұрын

    Ni kawaida tu ila masogange mlificha alichokua amefarki nacho unasema pumu ila baba yke alikataa sio pumu au sama ulipita kwa maso R. I. P. Sama

  • @nayrinekakuni9046
    @nayrinekakuni90466 жыл бұрын

    Jamani poleni sana.

  • @johnlazaro1009
    @johnlazaro10096 жыл бұрын

    Dah R. I. P KAKA MBELE YETU NYUMA YAKO

  • @misalabacharles2728
    @misalabacharles27286 жыл бұрын

    Ama kweli hii Dunia niwapitaji tu R. I. P Sam wa ukweli

  • @jastinimyoka4915
    @jastinimyoka49156 жыл бұрын

    R.I.P ndugu sam wa ukweli tulimpenda duh mungu kampenda zaid

  • @esthermnyasenga1808

    @esthermnyasenga1808

    6 жыл бұрын

    ukimw unarigwa

  • @carolynemwende6239
    @carolynemwende62396 жыл бұрын

    Rip sam shine on your way😭😭

  • @kimnanaa6197
    @kimnanaa61976 жыл бұрын

    Rest in peace SAM.... Innalillah wainna ilayhi rajiun.

  • @amiriramadhan7753
    @amiriramadhan77536 жыл бұрын

    Nakumbuka ule mstali wako kwenye ile ngoma ulosema, nazitafuta mjini kwa jasho ili nile na wewe, daah bro kale kavesi kalinigusa sana ,ulale salama Mzee baba!!

  • @nancy6888
    @nancy68886 жыл бұрын

    PUMZIKA KWA AMANI Kaka😢🙏

  • @chrisajing
    @chrisajing6 жыл бұрын

    kurogwa ukimwi? That's a first.

  • @joanahtestimony794
    @joanahtestimony7946 жыл бұрын

    R.I.P Sam, dunia mapito Kweli😭😭😭😭😭😭😭.

  • @nasrahussein8408
    @nasrahussein84086 жыл бұрын

    Wachawi mubgu anawaonaaa😎😎

  • @salumjuma8926
    @salumjuma89266 жыл бұрын

    R.I.P Sam mungu alaze mahali pema peponi amin

  • @Kidoson1
    @Kidoson16 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilaih rajiunn

  • @hyasintakundy3257
    @hyasintakundy32576 жыл бұрын

    Pumbavu sana ameshatangulia mbele za haki maneno mengi ya nini hamna ajuae kesho atakufaje!acheni nyenyeee na siyo kila kitu ukiambiwa lazima useme,, apumzike kwa amani ndio nachoweza kusema, japo siamini kama kweli mshikaji kasepa mbona juzi tuu katoa wimbo wake wa milele alikua fresh daaah

  • @hawazinga1852

    @hawazinga1852

    6 жыл бұрын

    hyasinta Kundy

  • @husnamchinjita754

    @husnamchinjita754

    6 жыл бұрын

    R.I.p Sam waukweli mbele yako nyuma yetu

  • @justymachuma6554
    @justymachuma65546 жыл бұрын

    Pole sana

  • @ahmadajamal7524
    @ahmadajamal75246 жыл бұрын

    Ni muislam kisha ndan ya ramadhani unatoa nyimboo

  • @agcreatedit
    @agcreatedit6 жыл бұрын

    imeniuma sana yani siamini!! RIP

  • @carolgithigi4623
    @carolgithigi46236 жыл бұрын

    I can't believe this.......RIP sam

  • @japhetmasunga6327
    @japhetmasunga63276 жыл бұрын

    jmn siamin hichi kwel sam ukwel R.I.P😭😭😭😭

  • @karimissa763
    @karimissa7636 жыл бұрын

    Inalilah wainnalilahi rajiun

  • @husnamarandu8380
    @husnamarandu83806 жыл бұрын

    Jaman kma ni kwel bac wachawi tuoneeni huruma bana

  • @yohanahalingatv8865
    @yohanahalingatv88656 жыл бұрын

    daar aisee kama kilichos3mwa hakipo inauma sana R.l.p

  • @celinelawrence3417

    @celinelawrence3417

    6 жыл бұрын

    duuuuuh

  • @geradikweka2191
    @geradikweka21916 жыл бұрын

    R. I. P bro SAM We were love you but god love you more.

  • @ngulathfundikira4205
    @ngulathfundikira42056 жыл бұрын

    Inalilah wainalilah rajiun

  • @mwasitially1030
    @mwasitially10306 жыл бұрын

    Dah poleni xana