Ilivyokuwa studio Sam wa Ukweli akirekodi wimbo wake kabla ya kifo
Producer Steve aliyetaarisha wimbo wa marehemu Sam wa Ukweli kaendelea kuadithia historia ya wimbo huo ambao marehemu alikuwa akirecord mpka mauti kumkuta ambapo amesema Sam alikuwa akirecord wimbo huo huku akiimba kwa hisia sana mpaka machozi kumtoka kitu kilichowafanya waliokuepo studio wasimuangalie.
Пікірлер: 837
kama unaangalia mwanzo wa mwaka mapema kabisa 2024 gonga like tumkukumbuke sam
Kama kweli ulimpenda msanii huyu gonga like
@leornadrichard461
27 күн бұрын
Mungu amlaze mahali pema
@clintonobegi8458
18 күн бұрын
Kwan alikufa
Kama ulimpenda Sam basi gonga like tumkumbuke pamoja😢😢😢😢🙁😢
@justinemwenda2467
6 жыл бұрын
Dah inaum sanaaaa$ R.I.P sam
@almasmanal8382
6 жыл бұрын
R.I.P
@naomyemmanuely6515
6 жыл бұрын
R. I. P. SAM.
@abdul-wakiilhassani4582
6 жыл бұрын
kwer sio walimwengu duuh Dunia watu
@scorajoshua8021
6 жыл бұрын
Daah! inauma sana R.I.p sam
Kama nawewe unaamin ipo siku utakufa kama sam wa ukweli gonga like yako tuungane kwa hili kumuombea ndugu yetu r.i.p sam wa waukweli
@cmsa1r
6 жыл бұрын
wilonja hatua tumwombeaje wakati amekufa?
@cmsa1r
6 жыл бұрын
Tuache kumchezea Mungu. He is dead. No prayer is gonna help him
@khadijaomar7015
6 жыл бұрын
Rip Sam mungu akuweke pema pepon kwa kweli nyimbo zako ni nzur nikisikiaga wimbo wako wa sina raha nakumbukaga mbali sana..... Rip Sam......
@alvinchamsela7891
6 жыл бұрын
*R.i.p* MshikAji wangu😅 mbele yako, Nyuma yEtU siE
@khadijasaid4265
6 жыл бұрын
Pumzika kwa aman. Wimbo nzr sana
Kama uwimbo umekuliza gonga like 😪😪😪😪😪😪😪😢😢😢😢😭
@rytherkazaula9881
6 жыл бұрын
Duuuuuh 😭😭😭😭😭😭
@alicesospiter7625
Жыл бұрын
Nimkono wa mtu so bure
my favorite artist of bongo flavor R.I.P SAM WA UKWELI ....MISS U MAEN
Jamani maskini Sam, sisi wakenya tulizipenda nyimbo zake kwa sana....will miss him alot although we loved him and in our hearts you'll remain forever Sam,nalia nalia mimi aaii kifo mbona hivi jamani......vijana wetu wanaisha mola tusamehe pale tulipokosea
@nyash2542
6 жыл бұрын
Triple A hatuja kosea ila ndio haki njia ya wakweli na yakila mmoja wetu sahihi kujiandaa mapema R.i.p Sam
Salum Mohamed (Sam wa ukweli) you are the best umeenda ila sauti yako umetuachia tutaendelea kusapoti mziki wako BORA WALI NYAMA KULIKO WALIMWENGU great message R. I. P BRO safari yetu sote tutonana tu
Dah sam . Leo nimekukumbuka sana baada ya kumpoteza mama yangu mdogo . Alikua mpenz sana wa nyumbo zako mimi pia . Dah sam unaniliza .
Dah jamn nyimbo ilikuwa nzur R.I.P BRO SAM
@vickymusiq6920
6 жыл бұрын
mungu akuweke mahali poa tutakukumbuka sam
@peterjohanes7811
6 жыл бұрын
daaaaaa pumzika sum
@yasintairafay8853
6 жыл бұрын
mungu ailaze roho take Mahalia pema
Good interview ,,jamaa kajua kumuelezea vizuri Sana,,God rest him in a good Paradise
Duuuuuh jamani Sam wa ukweli kama vile ulitabili kifo chako,daaah tumeumia saana,mbele yako nyuma yetu,R.I.P
Ulikuja na kaz nzur kwetu, Umeondoka umetuacha na kaz nzuuuur kwetu,,,,,,, Saut yako na ujumbe wako havitafutika milele ktk njia zetu,,,,,,, safar ni yetu sote,,, tangulia Broo, tu nyuma yako. So 😔. Rest in peace #sam
great job. ..... mungu akupumpuze kw amani mkubwa wa kazi
huyu producer Ameogopa don't worry good boy Mungu alikusudia ujifunze kwa kuona kabisa....God bless you...
Kila mtu ataondoka kwa siku na saa na mahala alipopangiwa kuonfokea, kutopelekwa hosp mapema ni kwamba ilikua afe hapo alipofia kwa wakati ule kwahiyo ni mipango ya mola haina makosa. Ina lillahi waina ilaihi rajuun. Mola ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia na alifanye kaburi lake kuwa ni kiwanja cha pepo. AMIN
pumzka kwa aman Sam wimbo wako unahisia sana kaz ya mungu ainamakosa❤😘😘
DUUU.kaacha ujumbe mkubwa sana, mwenye masikio asikie,Kuzimu yipo na Pepo ipo,Jamani....Tuishi kwaku muogopa Mungu.
Kazi mungu haina makosajamani hadi nimelia Yaraab 😢😢😢😢
@merrynessbabwanga5120
6 жыл бұрын
duuuuh jaman,wimbo mzuri.R.in Peace Sam
@user-gn3cx2fq1q
6 жыл бұрын
Mche Allaah
@silviamwende7210
2 жыл бұрын
😭😭😭
My favourite artist ,rip sam
Poleni sana huku kenya tulimpenda sana
daah!!!! Sam uliacha sisi na nyimbo wenye funzo kubwa😭😭😭😭😭leo nakumbuka siku zako za uhai humu duniani😭😭😭
Utafikiri aliandika kumbe alikuwa anakwenda na free style tu dah! You were talented 'Sam' rest in peace.
May your soul rest in internal piece juz tu nilikuwa naangalia nyimbo zako na nikacoment leo umelala????? Daaaaaa MUNGU asante kwakila kitu 🙏🙏🙏😢😢😢
RIP Sam ,,shabiki wako hapa kutoka 254,take heart my brothers from Tz
R.I.P. Sam wa Vkweli, Nasi tupo nyuma yako. Mungu akulaze mahari pema
PUMZIKA KWA AMANI KIJANA WETU - sisi tunakupenda ila mungu kakupenda zaidi...... HAKIKA WIMBO WAKO NI FIMBO KWETU WALIMWENGU "Kuna Mema na Mazuri"
Duh!😭😭😭😭😭😭😭😭Kweli wimbo aliimba kwa huzuni 😭😭 #RIP_SAM
@magedalenamfano4304
6 жыл бұрын
jamani alikuwa analia alikuwa anaona kifo chake😢😭😭
@christinahongraxnakaka1573
6 жыл бұрын
Bettie Joy -Mtoto Wa Mama inauma kwa kweli jamani
Mungu anaxiri nzitoxana kikubwa ibada2 Allah kareem
"Kuna kosa na dhambi..na kuna mazuri na wema...unaweza kutenda mazuri ila ukawa hujatenda wema" daaa😢😢...you've gone forever Sam...may your soul rest in peace
Upendo wa Mimi na wewe uko WAPI? Watu tunasahau kama kunakifo Mitandao inatumaliza Bora umetuachia wimbo tena wenye maana...halisi....Duh.....God Bless you Sam.
aaaahh!! Sam mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kabri akuepushe na moto Wa jahanam RIP kaka sam
@joanesbarnabar9776
6 жыл бұрын
pale wafiwa na mashabiki
It's true.. Sisi walimwengu wengi wetu tuna unafiki...bro Sam.. Have a good time on your way.. Rest in peace. We are behind you.... 😥😥😥😥😫😫😫😫
Rip...young man...alikufa akitenda kazi yake mungu kipaji chake aliompa. ...painful. ..
@muhsiniripende953
6 жыл бұрын
Brigid Mua rip sam
Allah akurehem ikiwa umefanyiwa kweli wamechukua dhambi zako baba uwende upo mweupe msafi huna dhambi wamechukua mabaya yako mingu akurehe uendapo kakupenda nakukuchukua hakutaka uteseke saana kwa maumivu allah aweke roho yako mahala pema pepon amiin
@salmanurdin1358
6 жыл бұрын
inalillah wsinalillah rajiun
@hosianmsemwa4518
5 жыл бұрын
Da sam mung akulaze mahar pema pepon
"Yawezekana umetenda mazuri na hujatenda wema" Ujumbe mzito kwelikweli. R.I.P BRO SAM
Naomba muitoe tu hiyo nyimbo mumpelekee riziki familia yake, it’s very nice song
R.l.P SAM we miss U 🥺😭 Sana'a brother 🙌 from Australia 2021
Mbele wewe Nyuma sisi Bro Sam, Pumzika kwa Amani kaka 😭😭😭😭 +1
Mungu akumbuke wema wako ana akusamehe makosa ya Sammy
Nimekuwa shocked but this is the work of Allah Every soul shall test the death
Pole broo.mungu atakupa subra kwa kifo cha rafiki yako. Mungu amlaze mahala pema. Nasi tulimpenda pia. Allah kampenda zaidi.
Daah! kifo huwa kinanifanya nimuogope sana Muumba wangu,kwamba mimi si chochote nimetoka mavumbini,nitarudi mavumbini. Rest In Peace Sam
Kweli sam kaugua na kweli marafiki na walimwengu ubadirika! Dah inaniuma sana! Mungu akulaze kwema kaka RIP #afadhali wali nyama kuliko walimwengu
pole sana family Sam. ss wote tuliundwa kwa udongo na tutarudi kwa udongo
Daaah kazi ya Mungu haina makosa, hakika ujumbe nmeupata,,RIP Sam wa ukwel
da! RIP, bro sam wa ukweli, wapenda ngono na wachaw sio kwenu tu hata kwetu waapo. unanikumbusha mbali sana r,I,p bro. my way is one
Daah kweli bora walinyama kuliko walimwengu R.I.P Sam
@michealmapogha7831
6 жыл бұрын
Aloyce Steven Dah inauma sana mbeleyako nyuma Yetu pumzika kwa amani ndugu yetu
@nafisamohamad3182
6 жыл бұрын
Aloyce Steven 😀😁😁😁kwa kweli wali nyama unakupa shibe lkni walimwengu unatupa shida
@zaharasagamiko9945
4 жыл бұрын
Aloyce Steven daah
Soo touching ooooh my😭😭😭😭😭bora wali nyama kuliko walimwengu...am soo emotional.... Rip Sam jamani😭😭😭😭😭
@yussufdjroo1446
4 жыл бұрын
Ndy hvy yani
mungu aiweke Riho ya sam wa ukweli mahali pema patulivu 😢😢RIP.kweli bora walinyama kuliko walimwengu...
Kweli wimbo wenyewe una great message...Rip sam
😭😭😭😭😭😭Jaman hio nymbo inatia chungu mumgu musamehe kaka yetu sama makosa yake yuilaze roho yake mahal pema palpo NA wema pepni inshallah 🙏🙏🙏🙏
Huu wimbo ni mzuri sana aise..M/mungu nmjuzi anaye jua yalio fichikina na yalio dhahiri...poleni wana familia na marafiki wote mungu awape subra kwakweli kifo Cha sam kime wangusa wengi 😭😭😭
Kweli Bora wali nyama..kuliko walimwengu....mungu akusamee...akujalie mahali pema pepon
mbele yake nyuma yetu samu wa ukweli. nikiwa sina raha naupenda kweli wimbo huo.
Inauma sana namkumbuka broo wangu samu mungu akulaze pema ulinifundisha kuimba bado napambana
Wangeuzindua na uanze kuuzwa siku ya mazishi yake R I P Sam wetu mwana Singida mwenzangu 😭😭
Allah akujalie kauli thabit huko uendako R.I.P Sam
Daaah! ujumbe mzito sana eeeh Mungu mpokee Sam safari yetu ni moja
Jaman eeeeh Mungu Wang tujalie mwisho mwemah😓😓...R.I.P Sum daaaah😢😢
wallah msiba mungu awaongoze kaka zetu wakiislam mwez wa ramadhani mtu yupo studio anaimba mpaka mauti yanampata allah ahusamehe kifo chatosha kua mawaida
@mankaeziron986
6 жыл бұрын
asma binti kiwasha R I P
Du ! Mungu akuwa tunze kuna wema na daa kuna dhambi na kosa aisee Kuna namna ulitazama jamaa maisha tunayoishi Mambo ni Mengi tumtegemee Mungu
polen saana mungu amtangulie
Watu habar ya msiba eti wanalike
Aman ya ya mungu idumu kwetu. Idumu na kwa wengine wote pia Ya ya mungu yawabariki kwa kuuweka Wimbo huu uwe kumbukumbu kwa vizazi vyetu katika kuyajua ya kwetu ya kuishi kiutu kwa taratibu za kimungu
Kikubwa ni dua tu jaman kwa ndugu yetu ili m. Mungu mabaya yake amsamehe na mazur yke bac m.mungu amlipe inshaallah
Yani hadi chozi lanindondoka sam upumzike pema wallah nafikiri guy wangu alivyo kuwashabiki wa nyimbo zko poleni familia mungu awape subra
bora wali nyama kuliko walimwengu! hahahahaah sijawahi kuona utunzi kama huu so amaizing! RIP SAM WA UKWELI!
Daaa nimelia Sana baada ya kuisikiliza huo wimbo yaani ni Kama move Kama alivyosema mdogo wangu small Jobiso, ni huwezi amini kilichotokea na inaogopesha lkn yote ni Siri ya Allah sote ni njia moja innalilah wainalilah rajuun Sam
dah!mpaka machozi yamenitoka. R.I.P Sam
Ni kweli bora wali nyama kuliko walimwengu,alitubembeleza sana nakutufariji kwa nyimbo zake zuri .sasa basi yu mavumbi nasi tupo nyuma yake,RIP
21/07/2019 R.l.p Sam tutakimix sana
Allah amsamehe mazambi yake
daaah jamn 😭😭😭 sam allah akutangulie
Pumzika Kwa amani Sam wa kweli Dah! Mungu mkubwa jamni kuna maono aliyaona huyu kaka Sam .Ee bwana mpe mwisho ulio mwema.
daa umeniliza sana huu wimbo MUNGU akulaze peponi kaka
Jamani R. I. P Sam huo wimbo umebifanya nilie yani kama alikua anajua kama anakufa dah. 😭😭😭😭😭sema na nyinyi msije mkaisahau familia yake mana wabongo ahadi zao ziko kama upepo unavuma lakini hauonekani jitahidini sana kumuezi kwa kumtunza mwanae kama sio mkewe hii ni kwako jobiso na meneja wake nawasanii wote kwaujumla
@vanessadahnilly8551
6 жыл бұрын
Yani weachatu nduguyangu kajiimbia lemi kifooo kifo kifo hakina huruma Music Gul
@saimonezekiel481
6 жыл бұрын
Mngu aiweke mahaki pema pepon logo yake amen
daaaah R. I. P SAM nahisi ulitambua kuwa umauti unakukalibia Maana wimbo huu ulikuwa unaimba kwa hisia kali sana
Daah bonge ya ngoma aisee halafu sauti ilikua iko OK kabisa huwezi dhania Kama alikua anaumwa chochote. RIP bro
Owesome Touching song God rest him in peace and forgive him
Jaman nyimbo nasikiliza ila sikujua Nani kaimba dah R.l.P Kaka Machozi yananilenga jaman
innalillah wainnailah rajiun.🙏🙏
da Sam umezima kama mshumaa turikupenda lakini mungu amekupenda zaid wimbo wako umeuimba Kama ulijuwa da Sam nilikuwa nakupenda nakumbuka ulivoanza kuimba nyimbo zako sina laha ulikuja kufanya show kitaan da Leo aupo tena 😥😥
Daahhhhh sam uruma sana mwenyezi mungu akurehemu kaka tutakukumbuka
Allah amlaze mahali pema pema peponi.lnshaallah
Mungu akupumuzishe vyema Kaka
Sam jaman 😭😭😭 Allah akujalie kauli thabiti yarb nymbo imeniliza za kwakwel naumia sana nenda salama Kkangu😭😭😭😭
The best Artist ever
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi apumuzike kwa aman
😭😭😭😭🙏🙏mungu ailaze mahali pema inshaallah...mbelee yako nyuma yetuu
Daaaj 😭😭😭😭roho inaniuma jamaniii.Ee Mungu punguza ukali japo kidogo tu.Nlitumia sana ringtone ya wimbo wake ule wa nisipokuona..ameondoka na kipaji chake jamani uwiiiiiiiiiii.Wimbo umeniliza mie😭😭.Mungu mpokee Mja wako.R.I.P Sam
poleni sana ndugu zangu samu ukweli kusema kweli Nilikuwa namkubali sana 😥😢😢😢😢😢😢😢😢
safiri salama huko uendako kaka Sam, tuko nyuma yako
So sad bro Sam rest paradise hakika nafsi yako ilijua kinachoenda kutokea inanizidi kuniuma kwa kwel😢😢😢
Nenda salama Sam... nsalimie mama yngu ukimkuta hko...muambie nmemmiss sana
Dah! pole mungu ailaze roho ya marehem pema pepot Amee
Nina mengi usione nina furahi😢😢r.i.p sam
Pumzika kwa amani Sam bwana ametoa bwana ametwaa jina rake rihimidiwe amen
😭😭😭😭😭😭hii ngoma inalizaa kwakweli
Pumuzika kwa Amani 🤲 inshaAllah