Ilivyokuwa studio Sam wa Ukweli akirekodi wimbo wake kabla ya kifo

Producer Steve aliyetaarisha wimbo wa marehemu Sam wa Ukweli kaendelea kuadithia historia ya wimbo huo ambao marehemu alikuwa akirecord mpka mauti kumkuta ambapo amesema Sam alikuwa akirecord wimbo huo huku akiimba kwa hisia sana mpaka machozi kumtoka kitu kilichowafanya waliokuepo studio wasimuangalie.

Пікірлер: 837

  • @h.mau9989
    @h.mau99895 ай бұрын

    kama unaangalia mwanzo wa mwaka mapema kabisa 2024 gonga like tumkukumbuke sam

  • @armanysafe2429
    @armanysafe24296 жыл бұрын

    Kama kweli ulimpenda msanii huyu gonga like

  • @leornadrichard461

    @leornadrichard461

    27 күн бұрын

    Mungu amlaze mahali pema

  • @clintonobegi8458

    @clintonobegi8458

    18 күн бұрын

    Kwan alikufa

  • @fistonlefils2339
    @fistonlefils23396 жыл бұрын

    Kama ulimpenda Sam basi gonga like tumkumbuke pamoja😢😢😢😢🙁😢

  • @justinemwenda2467

    @justinemwenda2467

    6 жыл бұрын

    Dah inaum sanaaaa$ R.I.P sam

  • @almasmanal8382

    @almasmanal8382

    6 жыл бұрын

    R.I.P

  • @naomyemmanuely6515

    @naomyemmanuely6515

    6 жыл бұрын

    R. I. P. SAM.

  • @abdul-wakiilhassani4582

    @abdul-wakiilhassani4582

    6 жыл бұрын

    kwer sio walimwengu duuh Dunia watu

  • @scorajoshua8021

    @scorajoshua8021

    6 жыл бұрын

    Daah! inauma sana R.I.p sam

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua20676 жыл бұрын

    Kama nawewe unaamin ipo siku utakufa kama sam wa ukweli gonga like yako tuungane kwa hili kumuombea ndugu yetu r.i.p sam wa waukweli

  • @cmsa1r

    @cmsa1r

    6 жыл бұрын

    wilonja hatua tumwombeaje wakati amekufa?

  • @cmsa1r

    @cmsa1r

    6 жыл бұрын

    Tuache kumchezea Mungu. He is dead. No prayer is gonna help him

  • @khadijaomar7015

    @khadijaomar7015

    6 жыл бұрын

    Rip Sam mungu akuweke pema pepon kwa kweli nyimbo zako ni nzur nikisikiaga wimbo wako wa sina raha nakumbukaga mbali sana..... Rip Sam......

  • @alvinchamsela7891

    @alvinchamsela7891

    6 жыл бұрын

    *R.i.p* MshikAji wangu😅 mbele yako, Nyuma yEtU siE

  • @khadijasaid4265

    @khadijasaid4265

    6 жыл бұрын

    Pumzika kwa aman. Wimbo nzr sana

  • @Blackiesmith
    @Blackiesmith6 жыл бұрын

    Kama uwimbo umekuliza gonga like 😪😪😪😪😪😪😪😢😢😢😢😭

  • @rytherkazaula9881

    @rytherkazaula9881

    6 жыл бұрын

    Duuuuuh 😭😭😭😭😭😭

  • @alicesospiter7625

    @alicesospiter7625

    Жыл бұрын

    Nimkono wa mtu so bure

  • @bonnykahema2390
    @bonnykahema2390 Жыл бұрын

    my favorite artist of bongo flavor R.I.P SAM WA UKWELI ....MISS U MAEN

  • @triplea4080
    @triplea40806 жыл бұрын

    Jamani maskini Sam, sisi wakenya tulizipenda nyimbo zake kwa sana....will miss him alot although we loved him and in our hearts you'll remain forever Sam,nalia nalia mimi aaii kifo mbona hivi jamani......vijana wetu wanaisha mola tusamehe pale tulipokosea

  • @nyash2542

    @nyash2542

    6 жыл бұрын

    Triple A hatuja kosea ila ndio haki njia ya wakweli na yakila mmoja wetu sahihi kujiandaa mapema R.i.p Sam

  • @jantawakitaa3050
    @jantawakitaa30506 жыл бұрын

    Salum Mohamed (Sam wa ukweli) you are the best umeenda ila sauti yako umetuachia tutaendelea kusapoti mziki wako BORA WALI NYAMA KULIKO WALIMWENGU great message R. I. P BRO safari yetu sote tutonana tu

  • @nasrakal
    @nasrakal Жыл бұрын

    Dah sam . Leo nimekukumbuka sana baada ya kumpoteza mama yangu mdogo . Alikua mpenz sana wa nyumbo zako mimi pia . Dah sam unaniliza .

  • @mkaliwenuoriginalpleasesub9297
    @mkaliwenuoriginalpleasesub92976 жыл бұрын

    Dah jamn nyimbo ilikuwa nzur R.I.P BRO SAM

  • @vickymusiq6920

    @vickymusiq6920

    6 жыл бұрын

    mungu akuweke mahali poa tutakukumbuka sam

  • @peterjohanes7811

    @peterjohanes7811

    6 жыл бұрын

    daaaaaa pumzika sum

  • @yasintairafay8853

    @yasintairafay8853

    6 жыл бұрын

    mungu ailaze roho take Mahalia pema

  • @davianofficial6972
    @davianofficial69722 жыл бұрын

    Good interview ,,jamaa kajua kumuelezea vizuri Sana,,God rest him in a good Paradise

  • @immanuelcatylynplatnumz6491
    @immanuelcatylynplatnumz64916 жыл бұрын

    Duuuuuh jamani Sam wa ukweli kama vile ulitabili kifo chako,daaah tumeumia saana,mbele yako nyuma yetu,R.I.P

  • @shebbytz7111
    @shebbytz71116 жыл бұрын

    Ulikuja na kaz nzur kwetu, Umeondoka umetuacha na kaz nzuuuur kwetu,,,,,,, Saut yako na ujumbe wako havitafutika milele ktk njia zetu,,,,,,, safar ni yetu sote,,, tangulia Broo, tu nyuma yako. So 😔. Rest in peace #sam

  • @loner_wolf
    @loner_wolf6 жыл бұрын

    great job. ..... mungu akupumpuze kw amani mkubwa wa kazi

  • @jonaselias7729
    @jonaselias77296 жыл бұрын

    huyu producer Ameogopa don't worry good boy Mungu alikusudia ujifunze kwa kuona kabisa....God bless you...

  • @bigmonsterschool
    @bigmonsterschool6 жыл бұрын

    Kila mtu ataondoka kwa siku na saa na mahala alipopangiwa kuonfokea, kutopelekwa hosp mapema ni kwamba ilikua afe hapo alipofia kwa wakati ule kwahiyo ni mipango ya mola haina makosa. Ina lillahi waina ilaihi rajuun. Mola ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia na alifanye kaburi lake kuwa ni kiwanja cha pepo. AMIN

  • @cynthiapatrick9818
    @cynthiapatrick98186 жыл бұрын

    pumzka kwa aman Sam wimbo wako unahisia sana kaz ya mungu ainamakosa❤😘😘

  • @stevenkipara9310
    @stevenkipara93106 жыл бұрын

    DUUU.kaacha ujumbe mkubwa sana, mwenye masikio asikie,Kuzimu yipo na Pepo ipo,Jamani....Tuishi kwaku muogopa Mungu.

  • @shanisaidy5033
    @shanisaidy50336 жыл бұрын

    Kazi mungu haina makosajamani hadi nimelia Yaraab 😢😢😢😢

  • @merrynessbabwanga5120

    @merrynessbabwanga5120

    6 жыл бұрын

    duuuuh jaman,wimbo mzuri.R.in Peace Sam

  • @user-gn3cx2fq1q

    @user-gn3cx2fq1q

    6 жыл бұрын

    Mche Allaah

  • @silviamwende7210

    @silviamwende7210

    2 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @LameckNyabuto-fd6bi
    @LameckNyabuto-fd6bi8 ай бұрын

    My favourite artist ,rip sam

  • @fredericcomonguzzi9652
    @fredericcomonguzzi96526 жыл бұрын

    Poleni sana huku kenya tulimpenda sana

  • @sheikhmasoud224
    @sheikhmasoud2244 жыл бұрын

    daah!!!! Sam uliacha sisi na nyimbo wenye funzo kubwa😭😭😭😭😭leo nakumbuka siku zako za uhai humu duniani😭😭😭

  • @andrew0502
    @andrew05026 жыл бұрын

    Utafikiri aliandika kumbe alikuwa anakwenda na free style tu dah! You were talented 'Sam' rest in peace.

  • @irenekitomary9780
    @irenekitomary97806 жыл бұрын

    May your soul rest in internal piece juz tu nilikuwa naangalia nyimbo zako na nikacoment leo umelala????? Daaaaaa MUNGU asante kwakila kitu 🙏🙏🙏😢😢😢

  • @simiyusimwende8251
    @simiyusimwende82516 жыл бұрын

    RIP Sam ,,shabiki wako hapa kutoka 254,take heart my brothers from Tz

  • @bwiredarmian1768
    @bwiredarmian17686 жыл бұрын

    R.I.P. Sam wa Vkweli, Nasi tupo nyuma yako. Mungu akulaze mahari pema

  • @CCMTAIFAUshindiCCM
    @CCMTAIFAUshindiCCM6 жыл бұрын

    PUMZIKA KWA AMANI KIJANA WETU - sisi tunakupenda ila mungu kakupenda zaidi...... HAKIKA WIMBO WAKO NI FIMBO KWETU WALIMWENGU "Kuna Mema na Mazuri"

  • @bettiejoy-mtotowamama
    @bettiejoy-mtotowamama6 жыл бұрын

    Duh!😭😭😭😭😭😭😭😭Kweli wimbo aliimba kwa huzuni 😭😭 #RIP_SAM

  • @magedalenamfano4304

    @magedalenamfano4304

    6 жыл бұрын

    jamani alikuwa analia alikuwa anaona kifo chake😢😭😭

  • @christinahongraxnakaka1573

    @christinahongraxnakaka1573

    6 жыл бұрын

    Bettie Joy -Mtoto Wa Mama inauma kwa kweli jamani

  • @jamilahabibu3527
    @jamilahabibu35276 жыл бұрын

    Mungu anaxiri nzitoxana kikubwa ibada2 Allah kareem

  • @kenyacool4388
    @kenyacool43886 жыл бұрын

    "Kuna kosa na dhambi..na kuna mazuri na wema...unaweza kutenda mazuri ila ukawa hujatenda wema" daaa😢😢...you've gone forever Sam...may your soul rest in peace

  • @TRAVELANDTASTETANZANIA
    @TRAVELANDTASTETANZANIA6 жыл бұрын

    Upendo wa Mimi na wewe uko WAPI? Watu tunasahau kama kunakifo Mitandao inatumaliza Bora umetuachia wimbo tena wenye maana...halisi....Duh.....God Bless you Sam.

  • @khairatgamon4744
    @khairatgamon47446 жыл бұрын

    aaaahh!! Sam mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kabri akuepushe na moto Wa jahanam RIP kaka sam

  • @joanesbarnabar9776

    @joanesbarnabar9776

    6 жыл бұрын

    pale wafiwa na mashabiki

  • @mahamoudjacob1983
    @mahamoudjacob19836 жыл бұрын

    It's true.. Sisi walimwengu wengi wetu tuna unafiki...bro Sam.. Have a good time on your way.. Rest in peace. We are behind you.... 😥😥😥😥😫😫😫😫

  • @brigidmua9558
    @brigidmua95586 жыл бұрын

    Rip...young man...alikufa akitenda kazi yake mungu kipaji chake aliompa. ...painful. ..

  • @muhsiniripende953

    @muhsiniripende953

    6 жыл бұрын

    Brigid Mua rip sam

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi59846 жыл бұрын

    Allah akurehem ikiwa umefanyiwa kweli wamechukua dhambi zako baba uwende upo mweupe msafi huna dhambi wamechukua mabaya yako mingu akurehe uendapo kakupenda nakukuchukua hakutaka uteseke saana kwa maumivu allah aweke roho yako mahala pema pepon amiin

  • @salmanurdin1358

    @salmanurdin1358

    6 жыл бұрын

    inalillah wsinalillah rajiun

  • @hosianmsemwa4518

    @hosianmsemwa4518

    5 жыл бұрын

    Da sam mung akulaze mahar pema pepon

  • @jackomondi5513
    @jackomondi55136 жыл бұрын

    "Yawezekana umetenda mazuri na hujatenda wema" Ujumbe mzito kwelikweli. R.I.P BRO SAM

  • @annastaziaprudence7333
    @annastaziaprudence73336 жыл бұрын

    Naomba muitoe tu hiyo nyimbo mumpelekee riziki familia yake, it’s very nice song

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz44272 жыл бұрын

    R.l.P SAM we miss U 🥺😭 Sana'a brother 🙌 from Australia 2021

  • @alikiba9723
    @alikiba97236 жыл бұрын

    Mbele wewe Nyuma sisi Bro Sam, Pumzika kwa Amani kaka 😭😭😭😭 +1

  • @privaldinho
    @privaldinho6 жыл бұрын

    Mungu akumbuke wema wako ana akusamehe makosa ya Sammy

  • @dinademona7375
    @dinademona73756 жыл бұрын

    Nimekuwa shocked but this is the work of Allah Every soul shall test the death

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e6 жыл бұрын

    Pole broo.mungu atakupa subra kwa kifo cha rafiki yako. Mungu amlaze mahala pema. Nasi tulimpenda pia. Allah kampenda zaidi.

  • @mfukunyuzi8335
    @mfukunyuzi83356 жыл бұрын

    Daah! kifo huwa kinanifanya nimuogope sana Muumba wangu,kwamba mimi si chochote nimetoka mavumbini,nitarudi mavumbini. Rest In Peace Sam

  • @agcreatedit
    @agcreatedit6 жыл бұрын

    Kweli sam kaugua na kweli marafiki na walimwengu ubadirika! Dah inaniuma sana! Mungu akulaze kwema kaka RIP #afadhali wali nyama kuliko walimwengu

  • @shijamahegaukovizurikaka776
    @shijamahegaukovizurikaka7766 жыл бұрын

    pole sana family Sam. ss wote tuliundwa kwa udongo na tutarudi kwa udongo

  • @mektidismbepera4146
    @mektidismbepera41466 жыл бұрын

    Daaah kazi ya Mungu haina makosa, hakika ujumbe nmeupata,,RIP Sam wa ukwel

  • @hashimujumajuma7375
    @hashimujumajuma73756 жыл бұрын

    da! RIP, bro sam wa ukweli, wapenda ngono na wachaw sio kwenu tu hata kwetu waapo. unanikumbusha mbali sana r,I,p bro. my way is one

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven59986 жыл бұрын

    Daah kweli bora walinyama kuliko walimwengu R.I.P Sam

  • @michealmapogha7831

    @michealmapogha7831

    6 жыл бұрын

    Aloyce Steven Dah inauma sana mbeleyako nyuma Yetu pumzika kwa amani ndugu yetu

  • @nafisamohamad3182

    @nafisamohamad3182

    6 жыл бұрын

    Aloyce Steven 😀😁😁😁kwa kweli wali nyama unakupa shibe lkni walimwengu unatupa shida

  • @zaharasagamiko9945

    @zaharasagamiko9945

    4 жыл бұрын

    Aloyce Steven daah

  • @remmythatdiva812
    @remmythatdiva8126 жыл бұрын

    Soo touching ooooh my😭😭😭😭😭bora wali nyama kuliko walimwengu...am soo emotional.... Rip Sam jamani😭😭😭😭😭

  • @yussufdjroo1446

    @yussufdjroo1446

    4 жыл бұрын

    Ndy hvy yani

  • @jullyjulline4359
    @jullyjulline43596 жыл бұрын

    mungu aiweke Riho ya sam wa ukweli mahali pema patulivu 😢😢RIP.kweli bora walinyama kuliko walimwengu...

  • @godsproperty2956
    @godsproperty29566 жыл бұрын

    Kweli wimbo wenyewe una great message...Rip sam

  • @bbycandy3979
    @bbycandy39792 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭Jaman hio nymbo inatia chungu mumgu musamehe kaka yetu sama makosa yake yuilaze roho yake mahal pema palpo NA wema pepni inshallah 🙏🙏🙏🙏

  • @bijumakassim3697
    @bijumakassim36976 жыл бұрын

    Huu wimbo ni mzuri sana aise..M/mungu nmjuzi anaye jua yalio fichikina na yalio dhahiri...poleni wana familia na marafiki wote mungu awape subra kwakweli kifo Cha sam kime wangusa wengi 😭😭😭

  • @halimaomar2986
    @halimaomar29862 жыл бұрын

    Kweli Bora wali nyama..kuliko walimwengu....mungu akusamee...akujalie mahali pema pepon

  • @zuenamohamed2021
    @zuenamohamed20216 жыл бұрын

    mbele yake nyuma yetu samu wa ukweli. nikiwa sina raha naupenda kweli wimbo huo.

  • @eliezerswai582
    @eliezerswai5823 жыл бұрын

    Inauma sana namkumbuka broo wangu samu mungu akulaze pema ulinifundisha kuimba bado napambana

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida23696 жыл бұрын

    Wangeuzindua na uanze kuuzwa siku ya mazishi yake R I P Sam wetu mwana Singida mwenzangu 😭😭

  • @huzaina_huzaina_599
    @huzaina_huzaina_5996 жыл бұрын

    Allah akujalie kauli thabit huko uendako R.I.P Sam

  • @felistakalindima8239
    @felistakalindima82396 жыл бұрын

    Daaah! ujumbe mzito sana eeeh Mungu mpokee Sam safari yetu ni moja

  • @ashurakimbisa691
    @ashurakimbisa6916 жыл бұрын

    Jaman eeeeh Mungu Wang tujalie mwisho mwemah😓😓...R.I.P Sum daaaah😢😢

  • @asmabintikiwasha13
    @asmabintikiwasha136 жыл бұрын

    wallah msiba mungu awaongoze kaka zetu wakiislam mwez wa ramadhani mtu yupo studio anaimba mpaka mauti yanampata allah ahusamehe kifo chatosha kua mawaida

  • @mankaeziron986

    @mankaeziron986

    6 жыл бұрын

    asma binti kiwasha R I P

  • @mwinjilisti.wayesu6196
    @mwinjilisti.wayesu61966 жыл бұрын

    Du ! Mungu akuwa tunze kuna wema na daa kuna dhambi na kosa aisee Kuna namna ulitazama jamaa maisha tunayoishi Mambo ni Mengi tumtegemee Mungu

  • @dennickanyala4243
    @dennickanyala42436 жыл бұрын

    polen saana mungu amtangulie

  • @charlesndodi2884
    @charlesndodi28846 жыл бұрын

    Watu habar ya msiba eti wanalike

  • @yusuphmwamlima2902
    @yusuphmwamlima290210 ай бұрын

    Aman ya ya mungu idumu kwetu. Idumu na kwa wengine wote pia Ya ya mungu yawabariki kwa kuuweka Wimbo huu uwe kumbukumbu kwa vizazi vyetu katika kuyajua ya kwetu ya kuishi kiutu kwa taratibu za kimungu

  • @tatoamarainy5996
    @tatoamarainy59966 жыл бұрын

    Kikubwa ni dua tu jaman kwa ndugu yetu ili m. Mungu mabaya yake amsamehe na mazur yke bac m.mungu amlipe inshaallah

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili2416 жыл бұрын

    Yani hadi chozi lanindondoka sam upumzike pema wallah nafikiri guy wangu alivyo kuwashabiki wa nyimbo zko poleni familia mungu awape subra

  • @matendoandrewmgeni1135
    @matendoandrewmgeni11356 жыл бұрын

    bora wali nyama kuliko walimwengu! hahahahaah sijawahi kuona utunzi kama huu so amaizing! RIP SAM WA UKWELI!

  • @saimtangi7508
    @saimtangi75086 жыл бұрын

    Daaa nimelia Sana baada ya kuisikiliza huo wimbo yaani ni Kama move Kama alivyosema mdogo wangu small Jobiso, ni huwezi amini kilichotokea na inaogopesha lkn yote ni Siri ya Allah sote ni njia moja innalilah wainalilah rajuun Sam

  • @neemamafayo7257
    @neemamafayo72576 жыл бұрын

    dah!mpaka machozi yamenitoka. R.I.P Sam

  • @May-qx9lu
    @May-qx9lu6 жыл бұрын

    Ni kweli bora wali nyama kuliko walimwengu,alitubembeleza sana nakutufariji kwa nyimbo zake zuri .sasa basi yu mavumbi nasi tupo nyuma yake,RIP

  • @bonifacekongwa9006
    @bonifacekongwa90065 жыл бұрын

    21/07/2019 R.l.p Sam tutakimix sana

  • @asumiissa306
    @asumiissa3066 жыл бұрын

    Allah amsamehe mazambi yake

  • @asmaamduya3664
    @asmaamduya36646 жыл бұрын

    daaah jamn 😭😭😭 sam allah akutangulie

  • @selinamwambe1891
    @selinamwambe18916 жыл бұрын

    Pumzika Kwa amani Sam wa kweli Dah! Mungu mkubwa jamni kuna maono aliyaona huyu kaka Sam .Ee bwana mpe mwisho ulio mwema.

  • @aminarashid4474
    @aminarashid44746 жыл бұрын

    daa umeniliza sana huu wimbo MUNGU akulaze peponi kaka

  • @vanessadahnilly8551
    @vanessadahnilly85516 жыл бұрын

    Jamani R. I. P Sam huo wimbo umebifanya nilie yani kama alikua anajua kama anakufa dah. 😭😭😭😭😭sema na nyinyi msije mkaisahau familia yake mana wabongo ahadi zao ziko kama upepo unavuma lakini hauonekani jitahidini sana kumuezi kwa kumtunza mwanae kama sio mkewe hii ni kwako jobiso na meneja wake nawasanii wote kwaujumla

  • @vanessadahnilly8551

    @vanessadahnilly8551

    6 жыл бұрын

    Yani weachatu nduguyangu kajiimbia lemi kifooo kifo kifo hakina huruma Music Gul

  • @saimonezekiel481

    @saimonezekiel481

    6 жыл бұрын

    Mngu aiweke mahaki pema pepon logo yake amen

  • @lucianjr6807
    @lucianjr68076 жыл бұрын

    daaaah R. I. P SAM nahisi ulitambua kuwa umauti unakukalibia Maana wimbo huu ulikuwa unaimba kwa hisia kali sana

  • @abasmwika3432
    @abasmwika34326 жыл бұрын

    Daah bonge ya ngoma aisee halafu sauti ilikua iko OK kabisa huwezi dhania Kama alikua anaumwa chochote. RIP bro

  • @epilepsyawarenessassociati9551
    @epilepsyawarenessassociati95516 жыл бұрын

    Owesome Touching song God rest him in peace and forgive him

  • @ndayishimiyecynthia7573
    @ndayishimiyecynthia75735 жыл бұрын

    Jaman nyimbo nasikiliza ila sikujua Nani kaimba dah R.l.P Kaka Machozi yananilenga jaman

  • @ridahmainde7508
    @ridahmainde75086 жыл бұрын

    innalillah wainnailah rajiun.🙏🙏

  • @ambelemwakanyamale9856
    @ambelemwakanyamale98566 жыл бұрын

    da Sam umezima kama mshumaa turikupenda lakini mungu amekupenda zaid wimbo wako umeuimba Kama ulijuwa da Sam nilikuwa nakupenda nakumbuka ulivoanza kuimba nyimbo zako sina laha ulikuja kufanya show kitaan da Leo aupo tena 😥😥

  • @zulekhaamiri972
    @zulekhaamiri9726 жыл бұрын

    Daahhhhh sam uruma sana mwenyezi mungu akurehemu kaka tutakukumbuka

  • @asminathuman3113
    @asminathuman31136 жыл бұрын

    Allah amlaze mahali pema pema peponi.lnshaallah

  • @mastiwamara2497
    @mastiwamara24976 жыл бұрын

    Mungu akupumuzishe vyema Kaka

  • @swabrinamasoud106
    @swabrinamasoud1066 жыл бұрын

    Sam jaman 😭😭😭 Allah akujalie kauli thabiti yarb nymbo imeniliza za kwakwel naumia sana nenda salama Kkangu😭😭😭😭

  • @salumuhafidhimtabe420
    @salumuhafidhimtabe4204 жыл бұрын

    The best Artist ever

  • @emilyngeorge3985
    @emilyngeorge39856 жыл бұрын

    Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi apumuzike kwa aman

  • @fatmerhabibth7477
    @fatmerhabibth74773 жыл бұрын

    😭😭😭😭🙏🙏mungu ailaze mahali pema inshaallah...mbelee yako nyuma yetuu

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti67346 жыл бұрын

    Daaaj 😭😭😭😭roho inaniuma jamaniii.Ee Mungu punguza ukali japo kidogo tu.Nlitumia sana ringtone ya wimbo wake ule wa nisipokuona..ameondoka na kipaji chake jamani uwiiiiiiiiiii.Wimbo umeniliza mie😭😭.Mungu mpokee Mja wako.R.I.P Sam

  • @mwitankorotz5911
    @mwitankorotz59116 жыл бұрын

    poleni sana ndugu zangu samu ukweli kusema kweli Nilikuwa namkubali sana 😥😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @elinamahenge547
    @elinamahenge5476 жыл бұрын

    safiri salama huko uendako kaka Sam, tuko nyuma yako

  • @jamesmayunga6868
    @jamesmayunga68686 жыл бұрын

    So sad bro Sam rest paradise hakika nafsi yako ilijua kinachoenda kutokea inanizidi kuniuma kwa kwel😢😢😢

  • @abdibakari641
    @abdibakari6416 жыл бұрын

    Nenda salama Sam... nsalimie mama yngu ukimkuta hko...muambie nmemmiss sana

  • @georgecharlz7353
    @georgecharlz73536 жыл бұрын

    Dah! pole mungu ailaze roho ya marehem pema pepot Amee

  • @manjaruujr6504
    @manjaruujr65046 жыл бұрын

    Nina mengi usione nina furahi😢😢r.i.p sam

  • @ayubuyoramu9867
    @ayubuyoramu98676 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani Sam bwana ametoa bwana ametwaa jina rake rihimidiwe amen

  • @zennahwangare3952
    @zennahwangare39526 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭hii ngoma inalizaa kwakweli

  • @mbojesalumsalumneema3659
    @mbojesalumsalumneema36592 жыл бұрын

    Pumuzika kwa Amani 🤲 inshaAllah

Келесі