BREAKING NEWS Maandamano Makali Jijini Uvira Kudai Haki Juu Ya Mafuriko Iliyouwa Watu

Ойын-сауық

Maandamano yalisababisha Gouverneur kufungiwa Njia

Пікірлер: 9

  • @bujsaudaselemani5562
    @bujsaudaselemani55624 жыл бұрын

    Kweli kabisa poleni sana

  • @niggaBoySnowman
    @niggaBoySnowman4 жыл бұрын

    Congo basi kweli

  • @abedileite4725
    @abedileite47254 жыл бұрын

    Poleni sana ndugu zetu wa Uvira #AtlantaGeorgiaUSA

  • @lukoletatu3155
    @lukoletatu31554 жыл бұрын

    Good job vijana

  • @jabalimikechi7750
    @jabalimikechi77504 жыл бұрын

    Njo sawa ivo wandugu zangu tuko pamoja ingawa tuko mbali

  • @mauwafifi3789
    @mauwafifi37894 жыл бұрын

    Nihaya saaana kweli iyo ajali yenye inapitika pale uvira kweli mpaka saahii akuna msaada mukuwe munaona uko ila siku ya uchaguzi banafikakauko uvira kuwaomba muwachaguwe na mulicha wachaguwa basi binaicha

  • @christopherlediacre2723
    @christopherlediacre27234 жыл бұрын

    Serekal ya congo jamani

  • @mauwafifi3789
    @mauwafifi37894 жыл бұрын

    Uruma sana wacongo iyo chida yenye watu walipata apo uvira ni zaidi ya Corona ila serikali iko kimya yu siku gani magumu ya sisi wa congo itaicha jamani ni chida tu kila siku

  • @uwimanauwimana7303

    @uwimanauwimana7303

    4 жыл бұрын

    mgekuwa wa congo mna akili nchi yenu hangeharibika ukitawaliwa na watu wengine na mali kuchukuliya na watu wengine. mnatiya huruma 😳😒😒

Келесі