MAFURIKO YATIKISA TENA UVIRA/ HALI NI MBAYA

Ойын-сауық

Пікірлер: 13

  • @kabembaakilimali8295
    @kabembaakilimali82953 жыл бұрын

    Watu wslisha penda pesa sana kuzidi Mungu

  • @filskanyamastanie8369
    @filskanyamastanie83693 жыл бұрын

    akuna Congo ikona négligence sana juya sud Kivu kaziyabwizitu nabu escroc njomutahishiya.

  • @ongwamtamborose2152
    @ongwamtamborose21523 жыл бұрын

    Mungu aba linde bandugu yetu 🙏😭😭 n'a pôle Sana kwetu uvira

  • @kabembaakilimali8295
    @kabembaakilimali82953 жыл бұрын

    Uvira kunazidi zambi zilishakuwa nyingi sana, makanisa zote zakimashetani tu njo zimejaa uvira , Iyo ni angalisho Mungu iko nawapa

  • @adrienmalekera7057

    @adrienmalekera7057

    3 жыл бұрын

    Congo yetu nihatari malitunazo ila wahishimiwa awajali watu wanajali familiyazambo tu poleni sana ndugu zetu wahu vira

  • @malenganabiseselo2092
    @malenganabiseselo20923 жыл бұрын

    Poleni sana

  • @amosibyikunze2063
    @amosibyikunze20633 жыл бұрын

    Poleni sana Taifa la wa Congomani, je! Jambo hili nalo lime letwa na Wa NYAMULENGE munao waita wa Nyarwanda? Mungu aikowe inchi ya Congo

  • @bikyeobewalo8730

    @bikyeobewalo8730

    3 жыл бұрын

    Amos lbyikunze maji na banyamurege vinaingilianaje apo sasa

  • @amosibyikunze2063

    @amosibyikunze2063

    3 жыл бұрын

    @@bikyeobewalo8730 ninasema hivo kwasababu, wa Congomani tunashindwa kuleta maendeleo, mambo yasiyo na thamani ndiyo inayo tudhuru.

  • @mariamtzd2890
    @mariamtzd28903 жыл бұрын

    Selikari ya bakongo itengeneze watu wanateseka

  • @buyoratv8882
    @buyoratv88823 жыл бұрын

    Ndugu zangu pole sana mungu Awa nusuru

  • @sadahal2373
    @sadahal23733 жыл бұрын

    😭😭🤲🤲😍😍

  • @KSK7L
    @KSK7L3 жыл бұрын

    Ni hatari kweli 🙃

Келесі