Breaking News: CUF ya Lipumba Yatangaza Kumaliza Mgogoro Wao, Wamtaka Seif na Wenzake Warudi

Chama cha Wananchi (CUF), upande unaoungwa mkono na Profesa Ibrahim Lipumba, kimetangaza kumaliza mgogoro uliokuwa ukifukuta ndani ya chama hicho na kwamba tayari wameshaunda bodi halali iliyosajiliwa na RITA.
Abdul Kambaya, Mwenyekiti wa Habari na Uenezi wa CUF ambaye ndiye aliyekuwa mzungumzaji mkuu kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye makao makuu ya chama hicho, Buguruni, alisema kwamba bodi mpya ya CUF inaongozwa na mwenyekiti Peter Malepo na katibu Thomas Malima na itadumu kwa muda wa miaka mitano.
Kambaya alisema uamuzi wa kufikia muafaka ndani ya chama hicho, ulifikiwa siku chache zilizopita ambapo alialikwa kwenye futari na mbunge wa Temeke, Mtolea ambapo dua maalum iliombwa na Hondo Bungo.
Chama hicho kimeeleza kwamba bodi iliyopatikana, itakuwa na kazi ya kuwashughulikia wote waliotajwa kwenye kamati ya nidhamu na maadili ambapo wabunge, madiwani na wanachama kadhaa, wataitwa na kuhojiwa.
Akaongeza kuwa chama sasa kipo kwenye mikono salama na kuwataka upande unaomuunga mkono maalim Seif Sharrif Hamad, warudi ili waendelee kujenga chama.
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers

Пікірлер: 88

  • @zakiamusa6789
    @zakiamusa67897 жыл бұрын

    safi Sana harakati zakukikomboa chama CUF juuuuuuuu

  • @samsamegall6658
    @samsamegall66585 жыл бұрын

    hongera bw Abdul umechelewa ulikuqa wapi hata ukiunga mkono ccm hujakosea ni maoni yako.

  • @hhmanyamba2871
    @hhmanyamba28717 жыл бұрын

    kama mgogolo umekwisha sefu na lipumba ndiowanastaili kuzungumza.uonimgogolo mpya

  • @emeraldkomba6959
    @emeraldkomba69595 жыл бұрын

    At last Good News, waiting to see the end of these dramas. CUF isimame kulela mapambano ya uchumi

  • @zakiamusa6789
    @zakiamusa67897 жыл бұрын

    safi KHARIFA uko safi wewe sio mnafiki

  • @ibrahimmkoko5850
    @ibrahimmkoko58507 жыл бұрын

    Mpaka tuwaone Maalim Seif na Lipumba wamekaa meza moja ndio tutaamini kuwa mgogoro umemalizika... Nyie wengine mnatuzingua tu. Pumbavu zenu

  • @suleimanali9939
    @suleimanali99397 жыл бұрын

    we khalifa huna haya wapemba wamekupa kula na mkeo myaka 20 hukushiba wala hukukinai ,ile upate leo? umeishiwa na faida ya unafiki wako na usaliti wako utalipwa hapa hapa duniani

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud26867 жыл бұрын

    Hawa wameshafikia kikomo ndio hawana tena njia hiyo ndilo lao mwisho la kufanya

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud26867 жыл бұрын

    kwani hiyo ni suluhu au ni lile mlilokuwa mkipanga na ccm kwa rita mmelipata lkn Cuf ya kweli haielewi hilo ngoma ipo pale pale. Me nimekuelewa umesema BODI YENU na sio ya CUF

  • @dennisishengoma2743
    @dennisishengoma27437 жыл бұрын

    Hawa ni watu wa Lipumba.. Mgogoro hautatuliwi na upande mmoja tu wa wagombanao.. Hii ni shida!

  • @selemanimdabwa1967
    @selemanimdabwa19675 жыл бұрын

    Mmetuumiza sana

  • @WapendaSoka
    @WapendaSoka7 жыл бұрын

    NJAA MBAYA SANA VIJANA WADOGO ANGALIA WANAVYOJING'ATA SO MUACHANE NA SIASA MKAFANYE MAMBO MENGINE MNATUVURUGA TU

  • @hamisindoki9485
    @hamisindoki94857 жыл бұрын

    kuendelea kuwa na lipumbu ni sawa na kumuomba sheikh akuchinjie nguruwe

  • @allyjahaa9210
    @allyjahaa92107 жыл бұрын

    mmmh mi napita

  • @saidimpokwa6958
    @saidimpokwa69587 жыл бұрын

    mmmmmmmmmh nishidaaaa

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru95115 жыл бұрын

    Hawa cufccm hatuwatambui

  • @selemanimdabwa1967
    @selemanimdabwa19675 жыл бұрын

    Mukovizuri mungu ndivyo anavyotaka hivyo

  • @harrisonjustine271
    @harrisonjustine2717 жыл бұрын

    Sisi tunamjua Seif hao ccm watajitekenya

  • @obadiamgidangi2216
    @obadiamgidangi22167 жыл бұрын

    mbona mnapokezana vti lakini hsmueleweki tunamtaka katbu mkuu wa cuf siyo ninyi

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud26867 жыл бұрын

    Ata ww Halifa Mhhh ama kweli dunia...

  • @johnngowi9221
    @johnngowi92217 жыл бұрын

    kwanza were unaetoa taarifa hizo umepewanafasihiyo kama nani aongee maaalimu na sio vibaraka kama ninyi ninyi ninyi wavunjifu wa amani tu hatuwatambui ninyi na Hugo kibaraka wenu lipumba kaanzisheni chama chenu tuachieni CUF YETU.

  • @bahatizanjabar9700
    @bahatizanjabar97005 жыл бұрын

    We mjinga ndio mkubwa ulikuwa ukimtukana maalim sef fisadi mkubwa we mnalenutu mcjidaibure

  • @zuwenaself7634
    @zuwenaself76347 жыл бұрын

    cuf ninayoijua mm haiwezi kuana katibu asiyejielewa wala kuongea

  • @annamwebrania7158
    @annamwebrania71587 жыл бұрын

    HAMNA JIPYA SSM [B]NYIE

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud26867 жыл бұрын

    Tunamuunga mkono, hatumuungi mkono raisi tunampongeza, uyu vp? yote kwasbb Maalim Seif na Lowasa wameunga mkono kwahiyo wao wanapongeza..

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru95115 жыл бұрын

    Wanaotumiwa si ndio nyie cufccm

  • @saidwilson6529
    @saidwilson65297 жыл бұрын

    cuf ya lipumba ni ccm C na Act ni Ccm B

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu98377 жыл бұрын

    nionavyo Mimi cuf kwaheri !!!

  • @mohdhassan9943
    @mohdhassan99436 жыл бұрын

    hunaaa hata aibuuuu

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru95115 жыл бұрын

    Lipumba si alijiuzulu atakuwaje tena mwenyekiti

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar12715 жыл бұрын

    huyu ni magdalena mbona wamefanana?

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness7 жыл бұрын

    I see

  • @sethnyenzitv6617

    @sethnyenzitv6617

    7 жыл бұрын

    CHA MSINGI MMALIZE MGOGORO MSHIKAMANE NA MTAFUTE HAKI YENU

  • @adamuluoga7564

    @adamuluoga7564

    7 жыл бұрын

    lipumba mnafiki sana

  • @wilifredintandu6483
    @wilifredintandu64837 жыл бұрын

    kwani watu wakipatana shida iko wapi au mlitaka wasipatane maish

  • @chescomatunda
    @chescomatunda7 жыл бұрын

    hapa nadhani cuf ndio inavunjika rasmi sasa

  • @mwidausaid5701
    @mwidausaid57015 жыл бұрын

    Kuna ccm A na ccm B hawa ni ccm B pumbav sana wanatupotezea Muda tuuuuuuu

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    5 жыл бұрын

    Not only muda dhulma kubwa inayotaka kupitishwa Allah Kareem atafunguwa kheri zake na atasimama kumsaudia Hakimu yoyote ahukumu haki Maana inajulikana haku ya nani ilobakia ubabaishaji kupoteza muda kupoteza malengo kuwataka kuingila uhuru wa Mahakimu na Mahakama kwa nguvu zote za wenye nguvu na silaha tumuogopeni MMungu Jamani Lipumba kajiuzulu mwenyewe na nyote mnajuwa ghafla kawa msaliti Subhanallah Lipumba unaharibu Hija yako unauza akhera yako kwa dunia Subhanallah inafika mahala tunaingiwa na kichefu chefu udhalim wa wazi unaonekana Lakini tunaomba salama na kila mwenye shari Allah atamrejeshea mwenyewe Amiin

  • @barakamwamkinga4624
    @barakamwamkinga46246 жыл бұрын

    Bodi mbona inawatu wa. Upande mmoja wa Yuda lipumba halafu mnasema mgogoro umekwisha acheni kiki nyie.watoke hao makubwa yao ndo yatoe matamko cyo nyie kiujumla cjakuelewa

  • @kisakahagai8827
    @kisakahagai88277 жыл бұрын

    poteza mda hiyo

  • @mandebusongo4293
    @mandebusongo42937 жыл бұрын

    HAKUNA KITU HAPO

  • @fatmakhamis1018

    @fatmakhamis1018

    7 жыл бұрын

    tatizo nimoja tuu kesi haihukumiwi mpaka yapatikane maelezo ya pande mbili baina ya mshitakiwa na mshitaki kwaiyo kama mumesha pata suluh ya migogoro

  • @kisakahagai8827
    @kisakahagai88277 жыл бұрын

    ccm mpaka kieleweke maana nyie hamna jipya

  • @bakariali4026
    @bakariali40267 жыл бұрын

    maalim seif na mtatiro kueni makini na hawa vidudu watu

  • @manyweletheboss6053
    @manyweletheboss60537 жыл бұрын

    una nyege sio bure nenda mbele uko au umetumwa na Bashite

  • @saidsahd1971
    @saidsahd19716 жыл бұрын

    Cuf ya nani ? Lipubav au ya mamaako mishenzi wakubwa

  • @aronmushi6201
    @aronmushi62017 жыл бұрын

    kwani huyu vp,,,,mbona kawa ccm Tena.hahahaha

  • @masumbukosiyougomvi7900
    @masumbukosiyougomvi79007 жыл бұрын

    bodi haiwezi kusajiliwa milele mda ukifika Wa kufutwa inafutwa tu.

  • @zuwenaself7634
    @zuwenaself76347 жыл бұрын

    hunajipya ww na lipumba ni vibaraka wa ccm

  • @paulinamakuri9883
    @paulinamakuri98836 жыл бұрын

    Kwani madini na mafuta ni suala la muungano?

  • @zuwenaself7634
    @zuwenaself76347 жыл бұрын

    huyo ni katibu wa chamagani

  • @harrisonjustine271
    @harrisonjustine2717 жыл бұрын

    Hawa wamejitafutia bifu nyingine, bila Mahlim Seif sioni suluhu bali ni mgogoro mwingine mpya

  • @msafiriduwiya7765

    @msafiriduwiya7765

    7 жыл бұрын

    maalim Sefu ndio sheria mbona serikalini ZNZ kaachwa Na serikali inaendeshwa

  • @mahmoudawadhi2520
    @mahmoudawadhi25207 жыл бұрын

    wanatumiwa hawa

  • @veronicazacharia2080

    @veronicazacharia2080

    6 жыл бұрын

    Mbona ni waislamu 2

  • @divaifrank4192
    @divaifrank41927 жыл бұрын

    Tuna mjua SEIf nyinyi ni mamruki mashetani

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi50977 жыл бұрын

    Vyama ruzuku

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala62247 жыл бұрын

    Chizi huyu jamaa

  • @geofbeka1669
    @geofbeka16697 жыл бұрын

    mbona anajichanganya sana?

  • @fatmakhamis1018

    @fatmakhamis1018

    7 жыл бұрын

    ilikua mueke kikao cha pande mbili ili kuondoa tofauti zenu baina ya cuf zanzibar na cuf bara ok? lakini tunawaona ni watu wa bara tuu hapo wa zanzibar hapo jee hinikai au nimapendekezo yenu tu na wakiukataa huo uwamuz mutafanyaje?

  • @augustinoemmanuel8294

    @augustinoemmanuel8294

    7 жыл бұрын

    DM

  • @mosesmayala5321
    @mosesmayala53217 жыл бұрын

    mhhhh kambaya na lipumba Kweli pesa mwana haramu

  • @vistoryvistory5908
    @vistoryvistory59087 жыл бұрын

    washenzi wakubwa

  • @edouardwilliam182

    @edouardwilliam182

    7 жыл бұрын

    wacha weee!!

  • @vistoryvistory5908

    @vistoryvistory5908

    7 жыл бұрын

    Edouard William Haondio ccm wanao tuhangaisha wanafiki wakubwa pamoja na magufuli.

  • @gastoanselmu2600
    @gastoanselmu26006 жыл бұрын

    nyie gawanenmbao bn xafari hii mkipata wabunge wawili mtaxhukuru xana

  • @MAPETEE
    @MAPETEE4 жыл бұрын

    Hundaabu we majambazi nyie

  • @antoniomaurizio4878
    @antoniomaurizio48787 жыл бұрын

    UPUUZI WA MASUD KIPNYA HAHAAAAAAAAAAA

  • @princejohn945
    @princejohn9456 жыл бұрын

    we kambaya acheni ujinga mnatufanya sisi wajinga kama nyie eti

  • @annacarlos7925
    @annacarlos79257 жыл бұрын

    wewe ndio fisadi na lipumba wenu mnatafuta kiki kumvuruga maalim sefu

  • @hamisindoki9485
    @hamisindoki94857 жыл бұрын

    sio iliyokuwa bodi hiyo bodi yenu feki nyie mmetumwa kuharibu chama na tumejua shida yenu ni ruzuku tu sio kingine

  • @ahmedr9136
    @ahmedr91367 жыл бұрын

    Kambaya amelewa so bure wpo kikimaliza chama cuf wata shindwa na magufuli waooo lipumba na kigenge chake cha wahuni wa senge 2

  • @festomamboleo2514
    @festomamboleo25147 жыл бұрын

    njaaa mbaya sana dah hawa Jamaa ni shida tu

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper57657 жыл бұрын

    ila huyu kambaya the way anavyozungumza ni jinsi gani CUF wana hazina ndani yake

  • @jacobnghwali4531
    @jacobnghwali45317 жыл бұрын

    wala msikubali ni unafiki tu wa lipumba bado hizo ni njama tu za ccm kukiharibu chama cha wananchi cut na wala msikubali

  • @janesuma2193
    @janesuma21936 жыл бұрын

    mbona wanaonekana kama wanywa gongo

  • @suleimanjuma2712

    @suleimanjuma2712

    5 жыл бұрын

    Khalifa endelea na kazi cuf imegawanyika waliotoka cuf niwasaliti na waliobaki-ndio wenyewe

  • @denisadriano9153
    @denisadriano91536 жыл бұрын

    Kwaio upinzani kuna mafisadi? Acheni kujing'ata ng'ata nyie cuf mkanye uko mmeona maalim seff jembe anawaburuza mkaamua kuyamaliza ng'ombe nyie

  • @jumannemrisho7430
    @jumannemrisho74307 жыл бұрын

    kumbe njaa ndio inawasumbua wanafik nyie mtaumbuka hamuoni hata aibu

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes90877 жыл бұрын

    wajinga sana hawa

  • @mohdhassan9943

    @mohdhassan9943

    7 жыл бұрын

    kambayaaaa uuuuuwiiii ww kwelii hunaakiliii unasema mgogoro unaisha kikatiba na sioo kwenye mezaaa uongooo ww unaongea kijinga tu mgogoro wa ruwandaa uliisha kwenyevmezaa na wakenyaa uliisha kwenye meza

  • @fatmakhamis1018

    @fatmakhamis1018

    7 жыл бұрын

    na viongozi wa maalim seif wakikataa hayo maamuzi mutafanyaje hatuoni sababu mtu moja kuumisha vichwa watu elfu moja achanani nae mnafiki huyo

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza95647 жыл бұрын

    Nchi ya amani Tz CUF malizeni mgogoro mapema twende pamoja hili tingatinga halirudi rivers mkichelewa mnafunikwa na kifusi kila la heri

  • @kisakahagai8827
    @kisakahagai88277 жыл бұрын

    ccm mpaka kieleweke maana nyie hamna jipya

  • @masumbukosiyougomvi7900
    @masumbukosiyougomvi79007 жыл бұрын

    bodi haiwezi kusajiliwa milele mda ukifika Wa kufutwa inafutwa tu.

  • @mwavitaemmanuel2661

    @mwavitaemmanuel2661

    6 жыл бұрын

    Ila lipumba ni shida wakati anaitw familia ya cuf kwa karanga za kuonjeshw ukikuta mkeo kaolewa na jamaa baada ya kumkimbia unapaswa kuwa mpole hivyo akae chini ajifunze kupambana na hali yake siyo kukimbia

Келесі