Breaking News: CUF ya Lipumba Yatangaza Kumaliza Mgogoro Wao, Wamtaka Seif na Wenzake Warudi
Chama cha Wananchi (CUF), upande unaoungwa mkono na Profesa Ibrahim Lipumba, kimetangaza kumaliza mgogoro uliokuwa ukifukuta ndani ya chama hicho na kwamba tayari wameshaunda bodi halali iliyosajiliwa na RITA.
Abdul Kambaya, Mwenyekiti wa Habari na Uenezi wa CUF ambaye ndiye aliyekuwa mzungumzaji mkuu kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye makao makuu ya chama hicho, Buguruni, alisema kwamba bodi mpya ya CUF inaongozwa na mwenyekiti Peter Malepo na katibu Thomas Malima na itadumu kwa muda wa miaka mitano.
Kambaya alisema uamuzi wa kufikia muafaka ndani ya chama hicho, ulifikiwa siku chache zilizopita ambapo alialikwa kwenye futari na mbunge wa Temeke, Mtolea ambapo dua maalum iliombwa na Hondo Bungo.
Chama hicho kimeeleza kwamba bodi iliyopatikana, itakuwa na kazi ya kuwashughulikia wote waliotajwa kwenye kamati ya nidhamu na maadili ambapo wabunge, madiwani na wanachama kadhaa, wataitwa na kuhojiwa.
Akaongeza kuwa chama sasa kipo kwenye mikono salama na kuwataka upande unaomuunga mkono maalim Seif Sharrif Hamad, warudi ili waendelee kujenga chama.
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
Пікірлер: 88
safi Sana harakati zakukikomboa chama CUF juuuuuuuu
hongera bw Abdul umechelewa ulikuqa wapi hata ukiunga mkono ccm hujakosea ni maoni yako.
kama mgogolo umekwisha sefu na lipumba ndiowanastaili kuzungumza.uonimgogolo mpya
At last Good News, waiting to see the end of these dramas. CUF isimame kulela mapambano ya uchumi
safi KHARIFA uko safi wewe sio mnafiki
Mpaka tuwaone Maalim Seif na Lipumba wamekaa meza moja ndio tutaamini kuwa mgogoro umemalizika... Nyie wengine mnatuzingua tu. Pumbavu zenu
we khalifa huna haya wapemba wamekupa kula na mkeo myaka 20 hukushiba wala hukukinai ,ile upate leo? umeishiwa na faida ya unafiki wako na usaliti wako utalipwa hapa hapa duniani
Hawa wameshafikia kikomo ndio hawana tena njia hiyo ndilo lao mwisho la kufanya
kwani hiyo ni suluhu au ni lile mlilokuwa mkipanga na ccm kwa rita mmelipata lkn Cuf ya kweli haielewi hilo ngoma ipo pale pale. Me nimekuelewa umesema BODI YENU na sio ya CUF
Hawa ni watu wa Lipumba.. Mgogoro hautatuliwi na upande mmoja tu wa wagombanao.. Hii ni shida!
Mmetuumiza sana
NJAA MBAYA SANA VIJANA WADOGO ANGALIA WANAVYOJING'ATA SO MUACHANE NA SIASA MKAFANYE MAMBO MENGINE MNATUVURUGA TU
kuendelea kuwa na lipumbu ni sawa na kumuomba sheikh akuchinjie nguruwe
mmmh mi napita
mmmmmmmmmh nishidaaaa
Hawa cufccm hatuwatambui
Mukovizuri mungu ndivyo anavyotaka hivyo
Sisi tunamjua Seif hao ccm watajitekenya
mbona mnapokezana vti lakini hsmueleweki tunamtaka katbu mkuu wa cuf siyo ninyi
Ata ww Halifa Mhhh ama kweli dunia...
kwanza were unaetoa taarifa hizo umepewanafasihiyo kama nani aongee maaalimu na sio vibaraka kama ninyi ninyi ninyi wavunjifu wa amani tu hatuwatambui ninyi na Hugo kibaraka wenu lipumba kaanzisheni chama chenu tuachieni CUF YETU.
We mjinga ndio mkubwa ulikuwa ukimtukana maalim sef fisadi mkubwa we mnalenutu mcjidaibure
cuf ninayoijua mm haiwezi kuana katibu asiyejielewa wala kuongea
HAMNA JIPYA SSM [B]NYIE
Tunamuunga mkono, hatumuungi mkono raisi tunampongeza, uyu vp? yote kwasbb Maalim Seif na Lowasa wameunga mkono kwahiyo wao wanapongeza..
Wanaotumiwa si ndio nyie cufccm
cuf ya lipumba ni ccm C na Act ni Ccm B
nionavyo Mimi cuf kwaheri !!!
hunaaa hata aibuuuu
Lipumba si alijiuzulu atakuwaje tena mwenyekiti
huyu ni magdalena mbona wamefanana?
I see
@sethnyenzitv6617
7 жыл бұрын
CHA MSINGI MMALIZE MGOGORO MSHIKAMANE NA MTAFUTE HAKI YENU
@adamuluoga7564
7 жыл бұрын
lipumba mnafiki sana
kwani watu wakipatana shida iko wapi au mlitaka wasipatane maish
hapa nadhani cuf ndio inavunjika rasmi sasa
Kuna ccm A na ccm B hawa ni ccm B pumbav sana wanatupotezea Muda tuuuuuuu
@hudhud2022
5 жыл бұрын
Not only muda dhulma kubwa inayotaka kupitishwa Allah Kareem atafunguwa kheri zake na atasimama kumsaudia Hakimu yoyote ahukumu haki Maana inajulikana haku ya nani ilobakia ubabaishaji kupoteza muda kupoteza malengo kuwataka kuingila uhuru wa Mahakimu na Mahakama kwa nguvu zote za wenye nguvu na silaha tumuogopeni MMungu Jamani Lipumba kajiuzulu mwenyewe na nyote mnajuwa ghafla kawa msaliti Subhanallah Lipumba unaharibu Hija yako unauza akhera yako kwa dunia Subhanallah inafika mahala tunaingiwa na kichefu chefu udhalim wa wazi unaonekana Lakini tunaomba salama na kila mwenye shari Allah atamrejeshea mwenyewe Amiin
Bodi mbona inawatu wa. Upande mmoja wa Yuda lipumba halafu mnasema mgogoro umekwisha acheni kiki nyie.watoke hao makubwa yao ndo yatoe matamko cyo nyie kiujumla cjakuelewa
poteza mda hiyo
HAKUNA KITU HAPO
@fatmakhamis1018
7 жыл бұрын
tatizo nimoja tuu kesi haihukumiwi mpaka yapatikane maelezo ya pande mbili baina ya mshitakiwa na mshitaki kwaiyo kama mumesha pata suluh ya migogoro
ccm mpaka kieleweke maana nyie hamna jipya
maalim seif na mtatiro kueni makini na hawa vidudu watu
una nyege sio bure nenda mbele uko au umetumwa na Bashite
Cuf ya nani ? Lipubav au ya mamaako mishenzi wakubwa
kwani huyu vp,,,,mbona kawa ccm Tena.hahahaha
bodi haiwezi kusajiliwa milele mda ukifika Wa kufutwa inafutwa tu.
hunajipya ww na lipumba ni vibaraka wa ccm
Kwani madini na mafuta ni suala la muungano?
huyo ni katibu wa chamagani
Hawa wamejitafutia bifu nyingine, bila Mahlim Seif sioni suluhu bali ni mgogoro mwingine mpya
@msafiriduwiya7765
7 жыл бұрын
maalim Sefu ndio sheria mbona serikalini ZNZ kaachwa Na serikali inaendeshwa
wanatumiwa hawa
@veronicazacharia2080
6 жыл бұрын
Mbona ni waislamu 2
Tuna mjua SEIf nyinyi ni mamruki mashetani
Vyama ruzuku
Chizi huyu jamaa
mbona anajichanganya sana?
@fatmakhamis1018
7 жыл бұрын
ilikua mueke kikao cha pande mbili ili kuondoa tofauti zenu baina ya cuf zanzibar na cuf bara ok? lakini tunawaona ni watu wa bara tuu hapo wa zanzibar hapo jee hinikai au nimapendekezo yenu tu na wakiukataa huo uwamuz mutafanyaje?
@augustinoemmanuel8294
7 жыл бұрын
DM
mhhhh kambaya na lipumba Kweli pesa mwana haramu
washenzi wakubwa
@edouardwilliam182
7 жыл бұрын
wacha weee!!
@vistoryvistory5908
7 жыл бұрын
Edouard William Haondio ccm wanao tuhangaisha wanafiki wakubwa pamoja na magufuli.
nyie gawanenmbao bn xafari hii mkipata wabunge wawili mtaxhukuru xana
Hundaabu we majambazi nyie
UPUUZI WA MASUD KIPNYA HAHAAAAAAAAAAA
we kambaya acheni ujinga mnatufanya sisi wajinga kama nyie eti
wewe ndio fisadi na lipumba wenu mnatafuta kiki kumvuruga maalim sefu
sio iliyokuwa bodi hiyo bodi yenu feki nyie mmetumwa kuharibu chama na tumejua shida yenu ni ruzuku tu sio kingine
Kambaya amelewa so bure wpo kikimaliza chama cuf wata shindwa na magufuli waooo lipumba na kigenge chake cha wahuni wa senge 2
njaaa mbaya sana dah hawa Jamaa ni shida tu
ila huyu kambaya the way anavyozungumza ni jinsi gani CUF wana hazina ndani yake
wala msikubali ni unafiki tu wa lipumba bado hizo ni njama tu za ccm kukiharibu chama cha wananchi cut na wala msikubali
mbona wanaonekana kama wanywa gongo
@suleimanjuma2712
5 жыл бұрын
Khalifa endelea na kazi cuf imegawanyika waliotoka cuf niwasaliti na waliobaki-ndio wenyewe
Kwaio upinzani kuna mafisadi? Acheni kujing'ata ng'ata nyie cuf mkanye uko mmeona maalim seff jembe anawaburuza mkaamua kuyamaliza ng'ombe nyie
kumbe njaa ndio inawasumbua wanafik nyie mtaumbuka hamuoni hata aibu
wajinga sana hawa
@mohdhassan9943
7 жыл бұрын
kambayaaaa uuuuuwiiii ww kwelii hunaakiliii unasema mgogoro unaisha kikatiba na sioo kwenye mezaaa uongooo ww unaongea kijinga tu mgogoro wa ruwandaa uliisha kwenyevmezaa na wakenyaa uliisha kwenye meza
@fatmakhamis1018
7 жыл бұрын
na viongozi wa maalim seif wakikataa hayo maamuzi mutafanyaje hatuoni sababu mtu moja kuumisha vichwa watu elfu moja achanani nae mnafiki huyo
Nchi ya amani Tz CUF malizeni mgogoro mapema twende pamoja hili tingatinga halirudi rivers mkichelewa mnafunikwa na kifusi kila la heri
ccm mpaka kieleweke maana nyie hamna jipya
bodi haiwezi kusajiliwa milele mda ukifika Wa kufutwa inafutwa tu.
@mwavitaemmanuel2661
6 жыл бұрын
Ila lipumba ni shida wakati anaitw familia ya cuf kwa karanga za kuonjeshw ukikuta mkeo kaolewa na jamaa baada ya kumkimbia unapaswa kuwa mpole hivyo akae chini ajifunze kupambana na hali yake siyo kukimbia