Hahahaaaa jaman sichekei Mazur ila nacheka hayo maneno ya kila mafurko yanapofka ila ikipita hyo hali kmya.
@user-jy5qf3tu7k8 ай бұрын
Msinge msukuma huyo sio deleva
@shenjamamzingi79508 ай бұрын
HII INASIKITISHA KWAKWELI,MVUA IKINYESHA DAR HAIPITIKI KABISA YAANI KAMA SERIKALI HAIPO,MABILIONI YA SHILINGI YAMEIBIWA TENA MUDA SI MREFU NA MAWAZIRI WANAOJULIKANA...
@meryshekoloa9618 ай бұрын
Mmmhhh mungu awasamehe hili ni janga kama majanga mengine
@user-fu9ev8ih6o8 ай бұрын
Tatizo watu wanatupa taka
@user-xx8jx6tb7d8 ай бұрын
Sasa na nyie mnaopanda pikpki za Kaz gani si mtembee kwa miguu hamuogop nyie
@samwelsimon73928 ай бұрын
kumbe klabu ya yanga ndo wako huku duh ndo maana wakaitwa vyura fc
@user-xx8jx6tb7d8 ай бұрын
Hcho ni kilio cha Dunia nzima Sasa fanyeni mzaha kutembeatembea na mvua hii tafta sehem iliyo na ahuen kaa Tulia
@shenjamamzingi79508 ай бұрын
HII INASIKITISHA KWAKWELI,MVUA IKINYESHA DAR HAIPITIKI KABISA YAANI KAMA SERIKALI HAIPO,MABILIONI YA SHILINGI YAMEIBIWA TENA MUDA SI MREFU NA MAWAZIRI WANAOJULIKANA...
@hajiabdalla57728 ай бұрын
Maji na upepo ni majeshi wa mungu.sass nyie nendeni uchi Tu na machoko wengi.na maji hata ukiweka miundombini vipi.huwezi kuyszuia huko ulaya na nchi za Asia mvuwa ikinyesha kuliko hivyo maji mpaka maofisini ndani ya nyumba.na ndio wameendelea mitaa yote mitaro
Пікірлер: 10
Hahahaaaa jaman sichekei Mazur ila nacheka hayo maneno ya kila mafurko yanapofka ila ikipita hyo hali kmya.
Msinge msukuma huyo sio deleva
HII INASIKITISHA KWAKWELI,MVUA IKINYESHA DAR HAIPITIKI KABISA YAANI KAMA SERIKALI HAIPO,MABILIONI YA SHILINGI YAMEIBIWA TENA MUDA SI MREFU NA MAWAZIRI WANAOJULIKANA...
Mmmhhh mungu awasamehe hili ni janga kama majanga mengine
Tatizo watu wanatupa taka
Sasa na nyie mnaopanda pikpki za Kaz gani si mtembee kwa miguu hamuogop nyie
kumbe klabu ya yanga ndo wako huku duh ndo maana wakaitwa vyura fc
Hcho ni kilio cha Dunia nzima Sasa fanyeni mzaha kutembeatembea na mvua hii tafta sehem iliyo na ahuen kaa Tulia
HII INASIKITISHA KWAKWELI,MVUA IKINYESHA DAR HAIPITIKI KABISA YAANI KAMA SERIKALI HAIPO,MABILIONI YA SHILINGI YAMEIBIWA TENA MUDA SI MREFU NA MAWAZIRI WANAOJULIKANA...
Maji na upepo ni majeshi wa mungu.sass nyie nendeni uchi Tu na machoko wengi.na maji hata ukiweka miundombini vipi.huwezi kuyszuia huko ulaya na nchi za Asia mvuwa ikinyesha kuliko hivyo maji mpaka maofisini ndani ya nyumba.na ndio wameendelea mitaa yote mitaro