BONGO STAR SEARCH SEASON 11 EPISODE 7
Ойын-сауық
Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 11 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 138
Sema wamemtoa mcongo nimesikia vibaya.. Kama ulimkubali yule dogo mcongo gonga like. Rep 🇰🇪
Salama....Hawa jamaa!!! Hatari Sana...Those are International Gospel Songs.
Huyo duet ya kwanza Safi 😍 huyo mdada ana vibe la Vanessa mdee I like her ❤️❤️❤️
Mnatuchoshaaa. Mnapost bila mpangilio. Everything else is on point, Lkn tunahitaji mpangilio maalumu wa hizi video.
@onefamilybongofilmtv8610
3 жыл бұрын
dah ase kweli wanachosha mm nilikuwa naitaji ya 6 wameweka 7
@latiphajackson4901
3 жыл бұрын
Kabsaa mpak kuangalia haihamasishi
@elickmaendeleo1141
3 жыл бұрын
Washamba xana hawana lolote paka weusi hawa
@pookiewookie1833
3 жыл бұрын
ukweli dadangu
@ramalugogo7671
3 жыл бұрын
Wamekuskia wakaeka na episode 6
Petro’s voice is out of this world. His voice is deep and so so beautiful ❤️
Maskin Bella wangu,pole Kakaangu kutoa maamuzi ni ngum sana kwa kweli 🤔🤔🤔I love you Bella🥰🥰🥰
Daah yule jamaa wa njano kaniuma sana aiseeh, kama na wewe umeumia kama mim toa like yako tujuane.
Waaauuuu I solute u guys the voice was so cute....I mean the collabo one We r the children 🎼🎼🎼🎼
Ommy Dimpoz hiyo miguno yako nisamee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
wanjelya ur good bect since schools😘😘😘
Ni wa31 mhhhh I can't wait to see finally ooooh my goshhhhh
Just love this team so much
Neema Swai.....Abdul Issa....keep going💪
Wapi Episode 6 you should understand that we are watching this From Diffrent country soo How can you miss one Episode...?????????
@elickmaendeleo1141
3 жыл бұрын
Waxhamba xana hao hawa maana kbx paka weusi hawa
@Kienyeji_ideas
3 жыл бұрын
@@elickmaendeleo1141 I Dont Know what system are they using, to air there episode but wako na utoto mingi
It's just a joy watching them sing 🥰
Duet ya mwisho wimbo mzuri 😍😍😍
Watanzania tupo juu daima
😢Abubakar unanimaliza c sauti c kuwa cute😍umebarikiwa na kila kitu yaani 😋
Nice song in form of band whoooooh that's amazing
Eleweni kwa hii show inafuatiliwa na watu kutoka nchi tofauti. hatuna uwezo wa kutizama kila jumapili kwa runinga hivyo ni bora kama mngezingatia: mpangilio wa episodes updates kwa wakati
Khaaa duet ya 3 nomaa😍😍😍😍❤️❤️❤️❤️
nimekubari sana
Finally tareh nne au siiiio
Wanaosubiri team ya Master J tuko wangapi
Sikuhizi munazingua munatuekea za zamani wasenge nyie
Hii team ni⚡️⚡️🙌
Yani ukiwa team bella usirogwe ukaimba nyimbo ya kikongo ana kukata ..... Huyo mwenye sweta la njano ni mkali sana nimeumia jamani
Shedrack ni hatar sana 💥
Best of Pangamelody 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Lingala lingala for me🥰🥰
Ila Idris wew sio mtu mzuri🤣🤣🤣🤣
TEAM CHRISTIAN BELLA NI KIBOKOOOOOOOOO🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@edwinmmary8459
3 жыл бұрын
Hatari motoooooo
Game Moto 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🔥
Kila siku unabadilisha heading kivingine lakini video Ni Ile Ile siuseme tuko toleo la ngapi Kwa marudio
Nice
show firee sanaa
Are you being serious. This time last year the final was already up on KZread. Now we are still watching things we have seen in 2020. Think about us abroad
Christian Bella ni Mkali haki ya Mungu. Alafu huyo jamaa ameimba associe ni mkali kweli kweli
#We are the world is the best song forever
Ila team Bella Moto Sana Sana yaani
ASANTENI TUPENI MWENDELEZO From OmAN
Hii team naikubaliii
Hatariii
Mm nasubili kumuona yuzoo mwambaaaaa
Team Bella nawakubal sana kwa kwel...
Wenzelya🎶🎶
Me commenting in 2023 IDRIS weeeeeeeeeeeeh
Kundi likikua gum sana sana yaan hapo kilicho angaliwa ni kakosa kadogo ili upungua
Basi ikifika asubuhi mtaidelete hii episode yen hamkawiii kabisa
Petro jailoc matonya ndio mshindi wa msimu huu
🔥🔥🔥
Idriss wew🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hatar
Episode 6 please👐👐👐👐 its missing
Mbona marudioo jmni
Mimi ninachojua ni hiki, Petro Jairos was told to back stage so that Christian Bella and audience can enjoy lakini alikuwa ameshapita kitambo.
Wow this team is very powerful
@oscarkabonese6080
3 жыл бұрын
Vp
😂😂 yani idrisa akili yke
Episode ya sita iko wapi mbona haieliweki
Mbona inakata sauti
hua mnapost kama mumelewa ama vip
Ila kaongea vizr jaji wao
Baba umejuakunifurasha
Mnachelewa ku weka
Kweli team mavocals daah
Jamani uyo Kaka aliyeimba bolingo ameua....kafanya adi nitafute wimbo..
@elishadesela269
3 жыл бұрын
Huo wimbo unaitwaje jmn
@edwardtimba7447
3 жыл бұрын
Fally ipupa-associe
Pia sina was wasi na bonge nazan ndio mshindi.
Kubwa na nusu 🤩💥 #randykinamber
TUNASUBIRI
Siangmtoa uyo mdada kuliko huyo mkongo ata kma watu awaelewii
@leonbarua6680
3 жыл бұрын
sema wameniuma kumtoa mcongo. huyo kaka anaweza saana kuimba
Christian Bella nawe unaongea humalizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Peter
huyo kaka wa lingala wamemtoa bure anajua bana. mi ni big fan wake fro Kenya.
@robertdominiko2667
3 жыл бұрын
Habari,Mimi nashauri vipindi virushwe Mara mbili kwa wiki
Petro
Drop your likes here
@stuartkudeba
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/mqFs3NWsdM-wj9o.html
daaah! Jamaa mwny bleach katoka 🤯😏
@hildarajab2891
3 жыл бұрын
Ajamfanyia poa
kzread.info/dash/bejne/imuDsNiMg67AfNY.html 👆👆👆👆👆👆 Kama ni muoga 😨 usifungue hii video 😭 tazama kafara inavyotolewa hadharani watu wanachinjwa mbele ya camera inatisha😨😭 nimekuwekea video
Madam ritha aachie ngazi, msimu ujao tunataka new chief judge
@beautyibrahim8428
3 жыл бұрын
Amuachie nan na yeye ndio mwenye anaanzisha shindano ni sawa na kusema diamond aache wcb wakat ni lebo yake
@cheiknamouna2058
3 жыл бұрын
@@beautyibrahim8428 Kuna watu hawaonagi mbele bora umemweleza huo ndo uungwana
@uncleelly4543
3 жыл бұрын
@@beautyibrahim8428 we na we kuwa muanzilishi wa shindano sio lazima uwe chief judge, hili shindano linahitaji watu wanaojua mziki vizuri sana, Sasa madam Rita bado haujui mziki
@beautyibrahim8428
3 жыл бұрын
@@cheiknamouna2058 🙏🙏🙏🙏😘😘😘
@beautyibrahim8428
3 жыл бұрын
@@uncleelly4543 basi ndo ivo hayo ni mawazo yako atakuwa jaji mpaka atakapoacha kuandaa shindano
Jamn nikumbushen jamaa wa jeneza yuko kundi la nan vile?
@happysamwel5227
3 жыл бұрын
La ommy
Tunasubiria episode 6
@elizakamangila3399
3 жыл бұрын
Exactly
@bellabakera
3 жыл бұрын
Yaan waliitoa kabla sijamaliza iangalia
@magrethjoseph4696
3 жыл бұрын
@@bellabakera wanatuboa
kuweni na mpangilio wa kutuma vipindi vyenu, mnatuma EPISODE YA 7 wakati ya 6 hakuna
@latriciah01augustino67
3 жыл бұрын
Ya 6 walipost Wakafuta Niliangalia nusu baadae narudi haipo
@husnaiyasulesh4687
3 жыл бұрын
Mim nimeangalia yote
Hiyo tm ya mwisho siyo kuwa hamja zoeyana ni kwamba hamja changamka tuu, alfu wimbo umlio changua ulikuwa ume poa kama nyie mlivyo, kuzoena nini wakati mpo kambi moja
Maoni yangu tuy me naona yule dogo Abdul na shedrack ndo walitakiwa wabaki yan huyo brow anaeimba gospel cjui ndo enock hata cmwelewi nahis awaachie hao wa secular tuy 🏃🏃🏃🏃🏃
@lilianlenard4756
3 жыл бұрын
Yule mwenye sweta la njano jamani alitakiwa kubaki wakamtoa huyo wa gospel
@mafiosoismail7475
3 жыл бұрын
@@lilianlenard4756 umeonae yan cmwelew hata kidogo coz hata hiyo saut yake n ya kuyuka kanisani huko hata mwonekano wake c wa huku ,🤣🤣🤣
Bongo star search mulicho kifanya si sawa kwanini mume delete ep 6 Alafu muna post ep 7 Uwo si uchamba kwanini amu vifatanishi ivyo vivideo vyenu 😏😏😏😏
@husnaiyasulesh4687
3 жыл бұрын
Mbon ipo
DAh bela kumtoa huyo wa sweta la njano hujafanya haki bella unakunja sanaa
@oscarkabonese6080
3 жыл бұрын
Mbn amefanya pe
Kilichoniuma kumtoa bruce
@stuartkudeba
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/mqFs3NWsdM-wj9o.html
@fenrearubeiy4170
3 жыл бұрын
Kwani bruce alitoka?
@rtlusungu
3 жыл бұрын
@@fenrearubeiy4170 katoka leo amerudi nyumbani
@fenrearubeiy4170
3 жыл бұрын
Duhhh! jmn nlikuwa namkubali saana, trillion kabaki?
@fenrearubeiy4170
3 жыл бұрын
Me sijaangalia
👏👏👏🥰🥰🥰But where is my Bruce😭
@fenrearubeiy4170
3 жыл бұрын
Bruce ni team Ommy
@mumyhendry2919
3 жыл бұрын
@@fenrearubeiy4170 Okay,asante kwa kunikumbusha mpndwa 🙏🙏🙏
@rtlusungu
3 жыл бұрын
Leo katolewa kabisa amerudi nyumbani
@mumyhendry2919
3 жыл бұрын
@@rtlusungu Realy?😳😳😳
Hivi hizo deslike hapo n za nn tena 🏃🏃🏃😂🤣 🤣