Hongera sana kwa wandaaji wa mashindano haya kwa moyo wao wa kusaidia vipaji vya watanzania ila nina ushauri wangu kwenu nadhan umefika wakati wa kubadilika na kua tofauti, na hii itapeleka utofauti hata kw afrika, nappendekeza muangalie na vipaji vyengine kama ilivyo kwa american got talent, australia got talent n.k kam kuna ambae anakubaliana wazo gonga like
@bonifacembilinyi5576
4 жыл бұрын
Alafu mi naona hii ni more than EAGT (East Africa Got Tallent) Maana ile ilikuwa very boring , ila BSS lazima ucheke vituko masihara na mengine
@festonelee85094 жыл бұрын
Watching from Burundi,Mwanza's got talent
@hummymgaza69154 жыл бұрын
Hamisi anajua kupiga Gita sana ila kuimba kawaida tu, kuna wengi tu hapo wakali kuliko yeye
@nuruhemedy7242
4 жыл бұрын
Exactly
@aaaaaah290
4 жыл бұрын
Hummy Mgaza NI UKWELI MZEE,, JICHO LAKO NA SIKIO NI OG
@naomicharles7426
4 жыл бұрын
hamis hajui kuimba kabsa
@fobsautocarkeys1012
4 жыл бұрын
Nyota my friend😅
@mikehjackson8146
4 жыл бұрын
Mmetumwa nyie sio bule
@gervaswenceslaus61584 жыл бұрын
MESHACK FUKUTA. He's very unique, Anastahili USHINDI SEASON HII
@ahmadimpili5456
4 жыл бұрын
Fact
@eddahhawa7471
4 жыл бұрын
Kabisa
@chitec4394
4 жыл бұрын
Na mimi nimempa kura yangu Meshack anaimba vzr sana, anajua kucheza na sauti na ni mtulivu sana
@sarahmtega8652
4 жыл бұрын
Gervas Wenceslaus fact
@gapiskills1735
4 жыл бұрын
Uko sawa ata Mimi jamaa nimemkubali sana
@lulubetwel1254 жыл бұрын
Jaman mbeya tunafurahishwa na wasanii wetu...wa kugreen city gonga like
@samwelgracetown5686
4 жыл бұрын
Lulu Betwel oyooo mbeya green city juu daima
@eliasjames1484 жыл бұрын
Meshack fundi Sana mzeee unajua kubalance saut mzee baba
@shadukalangali6003
4 жыл бұрын
Kweliiii kakaaa
@officialsalmazayn29384 жыл бұрын
Like Kwa Huyu Mpuuzi Idriss Anae Nichekesha Kila Muda 😂😂😂😂
@peterwolftz2220
4 жыл бұрын
Kama sitak je
@officialsalmazayn2938
4 жыл бұрын
@@peterwolftz2220 hujalazimishwa nyau wewe mxuuii
@peterwolftz2220
4 жыл бұрын
You tube ni utn tu. Unaish wp salma
@yohanakephawapiliboy260
4 жыл бұрын
@@officialsalmazayn2938 unaishi wapi jaman
@annalekule2180
4 жыл бұрын
😂😂😂😂yan n mpuuzi
@callmesubra54724 жыл бұрын
Kiukweli top 20 hii ni haki kabisa 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@theprogrammer33514 жыл бұрын
Kiukweli Hamis unapendwa sana labda kwajl ya mwonekano wako wa upole pamoja na umri.... lakn tukija katika swala la kuimba unaimba kawaida sana... Bado haujamfikia hata huyo Dada aliyekuwa analia, yaan huyo Dada ni mksli ile mbaya ila ktk hy top 20 wote ni shida.... Kaz nzuri majaji wino wenu mmeutumia vizuri...
@hamissaidi793
4 жыл бұрын
Kweli
@monicakayombo47704 жыл бұрын
Abubakar hakupaswa kutoka hapo mmechemka ana sauti unique na nzuri...Huyo mwingine alipayuka tu amepita aliepigiwa gitaa sijui nani
@saidihabibfundi64924 жыл бұрын
Dully kwa kupiga chabo mafaili ya wenzake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😂😂
@elishathomas2805
4 жыл бұрын
Wengi wanajua
@mwanahamisihussein8151
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mwajumangunike458
4 жыл бұрын
Umeiyonaaaaaa
@mayasasalumu4045
4 жыл бұрын
😂😂😂
@sayibaba8566
4 жыл бұрын
😂😂😂
@obagoabhiathan35654 жыл бұрын
Jamani huyu jombii wa chuga gita katisha pia like kwake
@christsflowe.r4 жыл бұрын
Nawapenda watanzania sana..... always keeping God first, the word i heard most in this video is MUNGU. Kwa kweli Mungu ni mkuu aisee.......
@anniewisehairdesign
4 жыл бұрын
saanaa
@amospaul645
4 жыл бұрын
azam vs. jkt. Tanzania
@amospaul645
4 жыл бұрын
anniewise hair design
@violetnabucha3833
4 жыл бұрын
Flower Child amiin bt cha kushangaza ukimba Gospel unashushwa
madam lita is such a HUMAN...i bet u r a good mother madam...love u so much
@edsonerasto39514 жыл бұрын
....E bhana Uyo jamaa aliyepiga dansi la mapenzi kitu gan duuuh kaangamiza🙌🙌🙌🙌💪
@joshuaivan16654 жыл бұрын
Guys with guitar wapo vizur sana.. Hope atashinda mmoja wapo
@enockjama78014 жыл бұрын
Daaaah....mbeya wametishaaaaaAAA
@masalumanoni4012
4 жыл бұрын
Wametisha sanaaa broo
@shukumwinukas5789
4 жыл бұрын
Enock Jama mbeya safi
@enockjama7801
4 жыл бұрын
Sikumbingi
@frahatv86134 жыл бұрын
Watching from Kenya & daaamn Mbeya does have talent
@simonaaron7793
2 жыл бұрын
I realize it's quite randomly asking but do anyone know of a good website to stream newly released series online ?
@judsonethan2648
2 жыл бұрын
@Simon Aaron Flixportal =)
@simonaaron7793
2 жыл бұрын
@Judson Ethan thank you, I signed up and it seems like a nice service =) Appreciate it!!
@judsonethan2648
2 жыл бұрын
@Simon Aaron Glad I could help =)
@jeniphaphilipo38634 жыл бұрын
Jamni MBNA khamis kawaida sana kuna watu wanaimba mpka wanaudhi
@aaaaaah2904 жыл бұрын
NILIKIONA HAPA KWA HABARI YA HAMIS, WATU WALIMPENDA KWA AJIRI YA ULE MUONEKANO WA KUTIA HURUMA... KUNA WATU WANAIMBA HADI KELOO... HATARI SANA AISEEE
@jeniphaphilipo3863
4 жыл бұрын
Nikweli khamis kawaida san
@ruppyphinna2746
4 жыл бұрын
Kabsa
@swahiliforex
4 жыл бұрын
Fatma Msafiri😍
@japharyunajuampakabasmzulu7620
4 жыл бұрын
Tokeni APA
@ruppyphinna2746
4 жыл бұрын
@@japharyunajuampakabasmzulu7620 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hamisi like gitaa ndo lilikuwa linamfichia ukweli wake ila kihalisia kuimba hajui
@saidihabibfundi64924 жыл бұрын
Likes za madam Rita jaman maana bila yeye tusingekusanyika hapa
@jumamohamedi83884 жыл бұрын
Mwanza wote waliimba vzr aiseeeee
@ahmedmahamudu4140
4 жыл бұрын
Juma Mohamedi sanaaa
@rivomlinga71144 жыл бұрын
Paul Richard I wish u all the best nakuamini,nakupenda , unaweza,ata kama me co judge Ila Nina mambo mengi omba Mungu nisisahau kukupgia kura kila itapohitajika I am a Man
@yasintaswahasni47474 жыл бұрын
Wale tulio kuja kwa ajir ya hamis tujuane🤣🤣
@ruppyphinna2746
4 жыл бұрын
Nimeshajiuzulu🤣🤣🤣🤣🤣
@dorcassimeon95244 жыл бұрын
Dah matron Marium Mussa unajua nakuombea kwa Mungu ufanikiwee khaii 😍😍😘
@hawasaid82624 жыл бұрын
Mwenye chui chui kaimba vizur
@elizabethokumu79023 жыл бұрын
The hallelujah guy has crazy vocals &stage presence 💞🔥🎉💪
@shaninaftary16934 жыл бұрын
Kama unampenda Hamisi...unaweza kumpigia kura tuma neno BSS 21. kwenda namba 15670..kura yako muhimu. Ahsanten
@furahajohn660
4 жыл бұрын
Asante
@marynoni7498
4 жыл бұрын
Asante nitapigia kula mpka hatua ya mwisho
@aishadaudi8819
4 жыл бұрын
Mi huwa wananikera balaaa
@kenlyimo28404 жыл бұрын
Jmn ule dad wa mwanza aliyeeimba helo ya betonce Kam mmemuonea kaimba fresh San Kam yey yaan
@lastsimbatv14972 жыл бұрын
Ma judge n kma familia wte wakisifia hatuwezii kupta vipajii strong big up Master na jidge dully mshikaji wangu mpishe CBO Afanye kazi
@priscakibona12514 жыл бұрын
nimefrahi leo mmetuwekea, jamani mjitahid kuwahi kutuwekea maana nashindaga nachungulia nakuta holllaaa
@beatriceokama6352
4 жыл бұрын
😁😁😁Nilijua ni me mwenyewe nachunguliaga
@mathiasmuyengi13544 жыл бұрын
Timu Ebenezer gonga like to juane
@livinussimon7698
4 жыл бұрын
mathias muyengi dogo ni shida
@jasminmndeme5628
4 жыл бұрын
Tupooooooo
@neemaoloo7660
4 жыл бұрын
Nampenda anajua kuimba
@msambi1251
4 жыл бұрын
Ndo mshindi wetu
@lazaroeliphas8353
4 жыл бұрын
Dogo chuga anaweza
@theresiajustine26714 жыл бұрын
Kam umemuona hamic pacha wa nabii mswahili madebe gong like yako hap
@halimamageda3218
4 жыл бұрын
Theresia justine 😁😁😁😁😁
@rabeccaabel8071
4 жыл бұрын
Theresia justine htr san
@hanankhalifa8309
4 жыл бұрын
Hahahhahahaha
@SilvaMsanii4 жыл бұрын
Khaaaaaaaaaamisiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Saidiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Majaji hamna akili kabisa. Harmonize never give up now making sense to me
Kama unaamini kuna watu wanaweza kuimba zaidi ya hamis sema hamis anaweza kupiga gitaa pia ana upepo wa kupendwa..
@ibrahcataryan7114
4 жыл бұрын
Nakubaliana na ww broh
@oracleweshe7427
4 жыл бұрын
Kweli kabisa.
@mwanahamisihussein8151
4 жыл бұрын
Kwel kabsa
@racheljaphetic9260
4 жыл бұрын
Kuimba hajui
@kizaziperfect
4 жыл бұрын
Kwel ilo silipingi
@tolumnyama39354 жыл бұрын
Duh.! Vipaji ni vingi kiasi na ambacho mpk judges wanachanganykiwa wanashndwa ni yupi yes na ni yupi no Etty.!!
@saadakiyungi6437
4 жыл бұрын
😂😂😂 umeona eeeh
@chirnusjunior3814 жыл бұрын
Ama dully anaangalizia matokeo kwa madam.sijui darasani enzi hizo ulikuwa noma sana
@frankkashner
4 жыл бұрын
Uko sahihii haha
@hamissaidi793
4 жыл бұрын
😂😂😂
@roseegongo39194 жыл бұрын
Jide umependeza
@allitovmohamed82864 жыл бұрын
Every one got Talent here...never give up💪
@gabrielmushi2813
4 жыл бұрын
Tov Entertainment kzread.info/dash/bejne/dZqEsqqJY7C0dLg.html
@marymabubakar1646
4 жыл бұрын
Mm baadhi yao majaji Wana washushua sana baadhi ya waimbaji
@lizzjahsolja12404 жыл бұрын
That lady who sand someone like you ya Adele ,is soo talented
@allanosmith
4 жыл бұрын
Fatuma msafiri she is good I agree.
@SparkleKidsTV
4 жыл бұрын
Yes. Exactly my thoughts
@mariasamweli4227
4 жыл бұрын
Kabisaaa
@neemamasimba29814 жыл бұрын
Hamisi anaimba sana ila kuna wanaoimba zaidi yake amebebwa na hii inaleta raha maana hata mimi nilimwonea huruma sana
@veronicadaniel11224 жыл бұрын
Huyu hamisi ni nyota tu inambeba kunawatu wanaimba sana kwanza majaji mtakoma mwaka huu
@queenandchill91
4 жыл бұрын
Watu wanamuonea huruma tu ila kipaji cha kuimba hakipo hapo..kuna wakali zaidi yake kabisa
@nyangebale841
4 жыл бұрын
Mwaka huu kaz wanayo kweli kuna vichwa kama 5 hivi vinapiga gitaa nakuimba vinatisha
@simonbanyase2528
4 жыл бұрын
Hahhahhahhaa ndo ufaham sasa kama huna nyota ata uimbe km chriss Brown utaonekana wa kawaida alaf mwenye nyota aimbe kama ww tu vile bonge LA superstar hahahaaa...
@kingoflove95364 жыл бұрын
Hamisi❤❤❤❤❤💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@nasibumganda76934 жыл бұрын
Paulo Richard🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@aaaaaah290
4 жыл бұрын
nasibu mganda PAULO RICHARD NI SHIDA
@hamadlgakaya7004
4 жыл бұрын
Huyu kijana yuko vizury
@oracleweshe7427
4 жыл бұрын
@@hamadlgakaya7004 sana yani👌👌👌
@khalidsalum17404 жыл бұрын
hamisiiiii tuuuuuuuuuuuuuuu
@nduguviongozi65844 жыл бұрын
Precisely, judges have hard time to pick the real one coz in some places they meet best contestants and it comes very difficult to pick the best one from them.
@obagoabhiathan35654 жыл бұрын
Kidaboma yuko makini sana kwenye gita pia kwenye za kimombo jamaa anatisha ....... Like kwake jamani
@bulayaconfidential72124 жыл бұрын
Aliemsikia #EddyHilal kaimba "na stop bila #KUMA" 😨😨kisha akaamua kusepa tu na kusingizia anaumwa .. gonga like twende sawa😂😂😂
@rehemaothman8891
4 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃
@bulayaconfidential7212
4 жыл бұрын
@@celinachami9014 yaani
@jullianasalvius3572
4 жыл бұрын
Kuna watu wako na ufala Jaman... hahahahah
@bulayaconfidential7212
4 жыл бұрын
@@jullianasalvius3572 kama vile nani?
@nancymelkon5943
4 жыл бұрын
😂😂
@princessfathamy97874 жыл бұрын
Hamiss mashaallah waimba kama we ndo mwenye hiyo wimbo
@khadijaelvin8025
4 жыл бұрын
Hamiss wewe %100 dogo
@hamissaidi793
4 жыл бұрын
Kachemka akitoka alali
@carenmihayo79914 жыл бұрын
Jaman sijawahi kupata like naombeni hata kimi tu
@issanaseeb7699
4 жыл бұрын
Njoo nikuoe
@sweetnesskway9794
4 жыл бұрын
Mnazipelekaga wapi jmn izi like......
@issanaseeb7699
4 жыл бұрын
@@sweetnesskway9794 Ndo biashara yao😅😅😅
@catherinfabiani5265
4 жыл бұрын
Zinakupa kula hz like
@robartyuno9519
4 жыл бұрын
kimi nini jaman andika kumi tutakupa like
@princemujuni98034 жыл бұрын
Yan mashabiki wa united tunapata tabu sana hata BSS kutoboa inakua ishu bora angekuepo Salama Jabir
@villucajr7223
4 жыл бұрын
Mateso kinoma
@felixphillip957
4 жыл бұрын
Umetisha
@saranotka5529
4 жыл бұрын
prince mujuni .,united iko wapi
@ahmedmahamudu4140
4 жыл бұрын
😂😂😂mamaeee
@ahmedmahamudu4140
4 жыл бұрын
Sara Notka yule Caysan wa zanzibar
@japhetbarton82684 жыл бұрын
Hivi mi huku huwa nasikia tofauti au Mbona hiyo jamaa ya zanzibar inajua mpaka nouma asee
@monicakayombo4770
4 жыл бұрын
Hata mi niliona anajua balaa nikashangaa sisikii au
@mohamedharuna9050
4 жыл бұрын
Jmaa kauwa sana hawa majaji cjui wana angalia nn
@wakeupzanzibar8513
4 жыл бұрын
Hawa hawatendi haki coz uyo wa zenji na alopita kabla yake naon cjaelewa
@salomeadrian7776
4 жыл бұрын
Washaanda mshindi
@shabirujuma5
4 жыл бұрын
Mzanzibar anajua
@valencevedastus29544 жыл бұрын
Specioza ulivo mzuri😍😍😍😍nakupenda bure😘😘
@rosecandysymon72934 жыл бұрын
Paul Richard
@issaomary51774 жыл бұрын
mnachelewa sana kuapload youtube wengine hatuna ving'amuz vya star times so tunaangalizia huku mjitahid kupost mapema.
@slayingtee6044
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@gabrielmushi2813
4 жыл бұрын
Black Beiber kzread.info/dash/bejne/dZqEsqqJY7C0dLg.html
@esterdavid3952
4 жыл бұрын
Kwel wanachelewa mno
@husnasaidihasani7172
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@chomamwita5569
4 жыл бұрын
Download apps ya startimes, utangalia mambo yote
@ummuadam24234 жыл бұрын
Hii rumous vile iliendelea ya hamisi ndio wa kaona wamtoe, Mana mpka diamond alimpa hongera, Mara harmonize yuwamtaka,mpka madam Rita kwa 40's ya mtoto wa diamond amepewa Jina mamake hamisi BSS so alikua midomoni mwa watu na pongezi pia zimekua nyingi ndio hvo tena
@aminafesali58174 жыл бұрын
Hamisi insha allah utashinda froam oman hapa utashinda insha allah kijana wanipa hamu na hamu yakutazama hi kipindi hamisi bi idhin llah utashinda upo kiuhalisia zaid insha allah utapita Allah yu nawe insha allah
@ahmedsaidi438
4 жыл бұрын
I miss my country oman so much soon will be back in sha Allah
6:58 madam Rita what vocals do u want other than that??
@graysonmonty31654 жыл бұрын
Kama umemkubali yeyee ya burna boy like twende sawa
@bonifacembilinyi55764 жыл бұрын
JIDE YUKO POA KAMA JUDGE YUPO SERIOUS BEST JUDGE
@machibuladeus90753 жыл бұрын
😁😁😁 duh msela kaona amebugi akaona akimbie 🙌🙌🙌🙌🙌
@saidihabibfundi64924 жыл бұрын
Uyo hamisi ananeng'eneka tu uko nyuma 😀😀😀😀😀😀😀😀 anajaribu kuleta huruma anadhani itampitisha 😂😂😁😁😁😁😁😁😁zama zimebadilika mdogo angu... Mambo magumu kote 😀😀😀
@reedfocus4517
4 жыл бұрын
😂we msengeeee😂😂😂
@ibrahmatage
4 жыл бұрын
Hakuna huruma hapo
@saidihabibfundi6492
4 жыл бұрын
@@reedfocus4517 naona watu wanaogopa kuongea ukweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@saidihabibfundi6492
4 жыл бұрын
@@ibrahmatage hizi ni iron age,,,, chuma chuma... Undava undavu. 😀
@movierecapsswahili1042
4 жыл бұрын
Daaah ... unaongea ukweli hadi unaboa😂😂😂😂😂
@mysteriousazou79794 жыл бұрын
Kusema ukwel khamis leo hajaperfome kivile ukilinganisha na wengine lkn i see wanampleka tu now maybe bss kw mar ya kwnz wanackiliza watu 😃😃 lets see atasurvive mpk wap. Am editting my comment asnten bss i lov u always hua hamupendeleagi u guys are original.😍😍😍
@shaninaftary1693
4 жыл бұрын
Hii ilikua wiki zilizopita. Wamepost leo you tube..ila hamis karud yupo kambini sasaivi
@mysteriousazou7979
4 жыл бұрын
@@shaninaftary1693 he did not deserve to😐😐 kuna wat wana vipaj ile mbya na wamewatoa they just made me hate the show
@menikojohn2782
4 жыл бұрын
Chaguo la wimbo alioimba halikuwa zuri.
@kusekwasita15764 жыл бұрын
Kama umeona mbeya kuna Barnaba boy gonga like hapa!
@zurahassan94474 жыл бұрын
Hakuna hamis anajuwa kuimba anatamuka wimbo ukaingia vizuri sana
@yessekindi46254 жыл бұрын
Uyo mzanzibari Caysan anajua, kachagua nyimbo ngumu tu
@juvenalmosha57524 жыл бұрын
Utabiri wangu Meshaki Tukuta ndo mbeba ndoo.Nimtazamo wangu lakini
@ahmadimpili5456
4 жыл бұрын
Hakika.. Meshaki round hii amejipanga kiukweli
@hawaynatimam9824 жыл бұрын
Jaman huyu wa zanzibar mbona kaimba vizuri tuu
@SalimSalim-fp7zd
4 жыл бұрын
Hawa wanafiki
@bimsinan8743
4 жыл бұрын
Wanatakiwa wenyewe kwa wenyewe tu ovyoo kimba vizuri sana kuliko alopita nyuma yake..
@beatricemkinga7275
4 жыл бұрын
Kaimba vzr lkn hajawazid wenzake yuko kawaida xana
@kiluajamal316
4 жыл бұрын
Sjawahi kureply Lkn kwa hil kaonewaaaaaa was Zanzibar
@anifaabduly4814 жыл бұрын
Khaa!!!!kwaiyo sis ndo wamwisho kuangalia mpka mringe wee ndo muweke ....mnatuumiza wajameni🖐🖐🖐🖐ila big up
@theprogrammer33514 жыл бұрын
Ken rick uko juu sana sana... kuanzia upigaji wa gitaa na hadi voco unayo.... unakipaji sana, mm naweza nikafirisika kwajili ya Muziki wako... Good luck--
@somoyoomar3304
4 жыл бұрын
Amis uko juu kaka
@thetriplesofbethlehem60954 жыл бұрын
Master J❤️🇨🇦
@blooperscorrectorelulu1566
4 жыл бұрын
Where in 🇨🇦
@thetriplesofbethlehem6095
4 жыл бұрын
Edmonton
@henvannyisihaka53994 жыл бұрын
Madam Rita, Master j, jamani njooni hata KIGOMA twawaombeni huku
@nessyalex1186
4 жыл бұрын
Mmh Cjui wakija na Mimi Wa mbeya nipo kigoma naenda kuimba kwakwel
@gastorjohn53084 жыл бұрын
Yule Khamisi atapelea.WATU WANAJUA SEMA NJOTA
@samueldouglas79404 жыл бұрын
machalii wa chuga Ebenezer na yule dingii mko🔥🔥🔥keep representing mazee!
@kiluajamal3164 жыл бұрын
Mwanza bg bg bg up mzee Kama mmewakubali wasukuma fanya Kama una like ivi
@aloycejuma12124 жыл бұрын
Ki ukweli kuna watu wanajua kuliko hamisi ila tu watu wanalaum bule kwa kua hamis anatia sana huluma ila kwa mm namuona kiwango chake cha kawaida sana ila gitaa anajitahidi
@priscamlyuka5531
4 жыл бұрын
Umeonaaa enheee
@elizabethmagala4484
4 жыл бұрын
Kweli kabisa hamis wakawaida sana
@iromaillamusajuma6274 жыл бұрын
Kwa wabongo wanavotupinga wazanzibar ata km ungefanya vizuriii mr , hao wangekupa no km walivokupa no apo ,,
@hamissaidi793
4 жыл бұрын
Anjua ila amezidiwa
@marthastephen6600
4 жыл бұрын
So kweli jamanii mbona Salma alikua mshindi wa pili msimu wa walter chilambo
@shaninaftary16934 жыл бұрын
Khamisi kila la kheri...kila hatua Dua.
@deltaseba76314 жыл бұрын
Kwann hizo hela asipewe tu huyo meshack jmn,,a guy Is so talented
Пікірлер: 1 000
Mwanza Like Here , King of Talented
@fabianndimanya2055
3 жыл бұрын
👍👍👍👍👍👍
Agness umeimba vizur Sana hongera love u so much
Hongera sana kwa wandaaji wa mashindano haya kwa moyo wao wa kusaidia vipaji vya watanzania ila nina ushauri wangu kwenu nadhan umefika wakati wa kubadilika na kua tofauti, na hii itapeleka utofauti hata kw afrika, nappendekeza muangalie na vipaji vyengine kama ilivyo kwa american got talent, australia got talent n.k kam kuna ambae anakubaliana wazo gonga like
@bonifacembilinyi5576
4 жыл бұрын
Alafu mi naona hii ni more than EAGT (East Africa Got Tallent) Maana ile ilikuwa very boring , ila BSS lazima ucheke vituko masihara na mengine
Watching from Burundi,Mwanza's got talent
Hamisi anajua kupiga Gita sana ila kuimba kawaida tu, kuna wengi tu hapo wakali kuliko yeye
@nuruhemedy7242
4 жыл бұрын
Exactly
@aaaaaah290
4 жыл бұрын
Hummy Mgaza NI UKWELI MZEE,, JICHO LAKO NA SIKIO NI OG
@naomicharles7426
4 жыл бұрын
hamis hajui kuimba kabsa
@fobsautocarkeys1012
4 жыл бұрын
Nyota my friend😅
@mikehjackson8146
4 жыл бұрын
Mmetumwa nyie sio bule
MESHACK FUKUTA. He's very unique, Anastahili USHINDI SEASON HII
@ahmadimpili5456
4 жыл бұрын
Fact
@eddahhawa7471
4 жыл бұрын
Kabisa
@chitec4394
4 жыл бұрын
Na mimi nimempa kura yangu Meshack anaimba vzr sana, anajua kucheza na sauti na ni mtulivu sana
@sarahmtega8652
4 жыл бұрын
Gervas Wenceslaus fact
@gapiskills1735
4 жыл бұрын
Uko sawa ata Mimi jamaa nimemkubali sana
Jaman mbeya tunafurahishwa na wasanii wetu...wa kugreen city gonga like
@samwelgracetown5686
4 жыл бұрын
Lulu Betwel oyooo mbeya green city juu daima
Meshack fundi Sana mzeee unajua kubalance saut mzee baba
@shadukalangali6003
4 жыл бұрын
Kweliiii kakaaa
Like Kwa Huyu Mpuuzi Idriss Anae Nichekesha Kila Muda 😂😂😂😂
@peterwolftz2220
4 жыл бұрын
Kama sitak je
@officialsalmazayn2938
4 жыл бұрын
@@peterwolftz2220 hujalazimishwa nyau wewe mxuuii
@peterwolftz2220
4 жыл бұрын
You tube ni utn tu. Unaish wp salma
@yohanakephawapiliboy260
4 жыл бұрын
@@officialsalmazayn2938 unaishi wapi jaman
@annalekule2180
4 жыл бұрын
😂😂😂😂yan n mpuuzi
Kiukweli top 20 hii ni haki kabisa 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Kiukweli Hamis unapendwa sana labda kwajl ya mwonekano wako wa upole pamoja na umri.... lakn tukija katika swala la kuimba unaimba kawaida sana... Bado haujamfikia hata huyo Dada aliyekuwa analia, yaan huyo Dada ni mksli ile mbaya ila ktk hy top 20 wote ni shida.... Kaz nzuri majaji wino wenu mmeutumia vizuri...
@hamissaidi793
4 жыл бұрын
Kweli
Abubakar hakupaswa kutoka hapo mmechemka ana sauti unique na nzuri...Huyo mwingine alipayuka tu amepita aliepigiwa gitaa sijui nani
Dully kwa kupiga chabo mafaili ya wenzake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😂😂
@elishathomas2805
4 жыл бұрын
Wengi wanajua
@mwanahamisihussein8151
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mwajumangunike458
4 жыл бұрын
Umeiyonaaaaaa
@mayasasalumu4045
4 жыл бұрын
😂😂😂
@sayibaba8566
4 жыл бұрын
😂😂😂
Jamani huyu jombii wa chuga gita katisha pia like kwake
Nawapenda watanzania sana..... always keeping God first, the word i heard most in this video is MUNGU. Kwa kweli Mungu ni mkuu aisee.......
@anniewisehairdesign
4 жыл бұрын
saanaa
@amospaul645
4 жыл бұрын
azam vs. jkt. Tanzania
@amospaul645
4 жыл бұрын
anniewise hair design
@violetnabucha3833
4 жыл бұрын
Flower Child amiin bt cha kushangaza ukimba Gospel unashushwa
@sandrakateslopez2488
4 жыл бұрын
Wakifanikiwa mungu kando watch out
"Asante mama"so emotional.
Haka kadada cha mwanza kenye shati limeandikwa WHATEVER kapo humble,kazuri kanajua kuimbaaaa...mungu akasaidie Kafike mbaliii
@frankkashner
4 жыл бұрын
Sure ningepata namba nakachukua kaniimbie tuu
@piusjoseph4374
4 жыл бұрын
I lov her
Waliomkubali Fatuma jaman likes hapa.
madam lita is such a HUMAN...i bet u r a good mother madam...love u so much
....E bhana Uyo jamaa aliyepiga dansi la mapenzi kitu gan duuuh kaangamiza🙌🙌🙌🙌💪
Guys with guitar wapo vizur sana.. Hope atashinda mmoja wapo
Daaaah....mbeya wametishaaaaaAAA
@masalumanoni4012
4 жыл бұрын
Wametisha sanaaa broo
@shukumwinukas5789
4 жыл бұрын
Enock Jama mbeya safi
@enockjama7801
4 жыл бұрын
Sikumbingi
Watching from Kenya & daaamn Mbeya does have talent
@simonaaron7793
2 жыл бұрын
I realize it's quite randomly asking but do anyone know of a good website to stream newly released series online ?
@judsonethan2648
2 жыл бұрын
@Simon Aaron Flixportal =)
@simonaaron7793
2 жыл бұрын
@Judson Ethan thank you, I signed up and it seems like a nice service =) Appreciate it!!
@judsonethan2648
2 жыл бұрын
@Simon Aaron Glad I could help =)
Jamni MBNA khamis kawaida sana kuna watu wanaimba mpka wanaudhi
NILIKIONA HAPA KWA HABARI YA HAMIS, WATU WALIMPENDA KWA AJIRI YA ULE MUONEKANO WA KUTIA HURUMA... KUNA WATU WANAIMBA HADI KELOO... HATARI SANA AISEEE
@jeniphaphilipo3863
4 жыл бұрын
Nikweli khamis kawaida san
@ruppyphinna2746
4 жыл бұрын
Kabsa
@swahiliforex
4 жыл бұрын
Fatma Msafiri😍
@japharyunajuampakabasmzulu7620
4 жыл бұрын
Tokeni APA
@ruppyphinna2746
4 жыл бұрын
@@japharyunajuampakabasmzulu7620 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hamisi like gitaa ndo lilikuwa linamfichia ukweli wake ila kihalisia kuimba hajui
Likes za madam Rita jaman maana bila yeye tusingekusanyika hapa
Mwanza wote waliimba vzr aiseeeee
@ahmedmahamudu4140
4 жыл бұрын
Juma Mohamedi sanaaa
Paul Richard I wish u all the best nakuamini,nakupenda , unaweza,ata kama me co judge Ila Nina mambo mengi omba Mungu nisisahau kukupgia kura kila itapohitajika I am a Man
Wale tulio kuja kwa ajir ya hamis tujuane🤣🤣
@ruppyphinna2746
4 жыл бұрын
Nimeshajiuzulu🤣🤣🤣🤣🤣
Dah matron Marium Mussa unajua nakuombea kwa Mungu ufanikiwee khaii 😍😍😘
Mwenye chui chui kaimba vizur
The hallelujah guy has crazy vocals &stage presence 💞🔥🎉💪
Kama unampenda Hamisi...unaweza kumpigia kura tuma neno BSS 21. kwenda namba 15670..kura yako muhimu. Ahsanten
@furahajohn660
4 жыл бұрын
Asante
@marynoni7498
4 жыл бұрын
Asante nitapigia kula mpka hatua ya mwisho
@aishadaudi8819
4 жыл бұрын
Mi huwa wananikera balaaa
Jmn ule dad wa mwanza aliyeeimba helo ya betonce Kam mmemuonea kaimba fresh San Kam yey yaan
Ma judge n kma familia wte wakisifia hatuwezii kupta vipajii strong big up Master na jidge dully mshikaji wangu mpishe CBO Afanye kazi
nimefrahi leo mmetuwekea, jamani mjitahid kuwahi kutuwekea maana nashindaga nachungulia nakuta holllaaa
@beatriceokama6352
4 жыл бұрын
😁😁😁Nilijua ni me mwenyewe nachunguliaga
Timu Ebenezer gonga like to juane
@livinussimon7698
4 жыл бұрын
mathias muyengi dogo ni shida
@jasminmndeme5628
4 жыл бұрын
Tupooooooo
@neemaoloo7660
4 жыл бұрын
Nampenda anajua kuimba
@msambi1251
4 жыл бұрын
Ndo mshindi wetu
@lazaroeliphas8353
4 жыл бұрын
Dogo chuga anaweza
Kam umemuona hamic pacha wa nabii mswahili madebe gong like yako hap
@halimamageda3218
4 жыл бұрын
Theresia justine 😁😁😁😁😁
@rabeccaabel8071
4 жыл бұрын
Theresia justine htr san
@hanankhalifa8309
4 жыл бұрын
Hahahhahahaha
Khaaaaaaaaaamisiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Saidiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Majaji hamna akili kabisa. Harmonize never give up now making sense to me
huyu idris yuwaitaji maombi sana😂😂eti ndugu zangu wambeya hamjambo?😂😂😂
Mwanza wapo vizuriii Sana
Kama unaamini kuna watu wanaweza kuimba zaidi ya hamis sema hamis anaweza kupiga gitaa pia ana upepo wa kupendwa..
@ibrahcataryan7114
4 жыл бұрын
Nakubaliana na ww broh
@oracleweshe7427
4 жыл бұрын
Kweli kabisa.
@mwanahamisihussein8151
4 жыл бұрын
Kwel kabsa
@racheljaphetic9260
4 жыл бұрын
Kuimba hajui
@kizaziperfect
4 жыл бұрын
Kwel ilo silipingi
Duh.! Vipaji ni vingi kiasi na ambacho mpk judges wanachanganykiwa wanashndwa ni yupi yes na ni yupi no Etty.!!
@saadakiyungi6437
4 жыл бұрын
😂😂😂 umeona eeeh
Ama dully anaangalizia matokeo kwa madam.sijui darasani enzi hizo ulikuwa noma sana
@frankkashner
4 жыл бұрын
Uko sahihii haha
@hamissaidi793
4 жыл бұрын
😂😂😂
Jide umependeza
Every one got Talent here...never give up💪
@gabrielmushi2813
4 жыл бұрын
Tov Entertainment kzread.info/dash/bejne/dZqEsqqJY7C0dLg.html
@marymabubakar1646
4 жыл бұрын
Mm baadhi yao majaji Wana washushua sana baadhi ya waimbaji
That lady who sand someone like you ya Adele ,is soo talented
@allanosmith
4 жыл бұрын
Fatuma msafiri she is good I agree.
@SparkleKidsTV
4 жыл бұрын
Yes. Exactly my thoughts
@mariasamweli4227
4 жыл бұрын
Kabisaaa
Hamisi anaimba sana ila kuna wanaoimba zaidi yake amebebwa na hii inaleta raha maana hata mimi nilimwonea huruma sana
Huyu hamisi ni nyota tu inambeba kunawatu wanaimba sana kwanza majaji mtakoma mwaka huu
@queenandchill91
4 жыл бұрын
Watu wanamuonea huruma tu ila kipaji cha kuimba hakipo hapo..kuna wakali zaidi yake kabisa
@nyangebale841
4 жыл бұрын
Mwaka huu kaz wanayo kweli kuna vichwa kama 5 hivi vinapiga gitaa nakuimba vinatisha
@simonbanyase2528
4 жыл бұрын
Hahhahhahhaa ndo ufaham sasa kama huna nyota ata uimbe km chriss Brown utaonekana wa kawaida alaf mwenye nyota aimbe kama ww tu vile bonge LA superstar hahahaaa...
Hamisi❤❤❤❤❤💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Paulo Richard🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@aaaaaah290
4 жыл бұрын
nasibu mganda PAULO RICHARD NI SHIDA
@hamadlgakaya7004
4 жыл бұрын
Huyu kijana yuko vizury
@oracleweshe7427
4 жыл бұрын
@@hamadlgakaya7004 sana yani👌👌👌
hamisiiiii tuuuuuuuuuuuuuuu
Precisely, judges have hard time to pick the real one coz in some places they meet best contestants and it comes very difficult to pick the best one from them.
Kidaboma yuko makini sana kwenye gita pia kwenye za kimombo jamaa anatisha ....... Like kwake jamani
Aliemsikia #EddyHilal kaimba "na stop bila #KUMA" 😨😨kisha akaamua kusepa tu na kusingizia anaumwa .. gonga like twende sawa😂😂😂
@rehemaothman8891
4 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃
@bulayaconfidential7212
4 жыл бұрын
@@celinachami9014 yaani
@jullianasalvius3572
4 жыл бұрын
Kuna watu wako na ufala Jaman... hahahahah
@bulayaconfidential7212
4 жыл бұрын
@@jullianasalvius3572 kama vile nani?
@nancymelkon5943
4 жыл бұрын
😂😂
Hamiss mashaallah waimba kama we ndo mwenye hiyo wimbo
@khadijaelvin8025
4 жыл бұрын
Hamiss wewe %100 dogo
@hamissaidi793
4 жыл бұрын
Kachemka akitoka alali
Jaman sijawahi kupata like naombeni hata kimi tu
@issanaseeb7699
4 жыл бұрын
Njoo nikuoe
@sweetnesskway9794
4 жыл бұрын
Mnazipelekaga wapi jmn izi like......
@issanaseeb7699
4 жыл бұрын
@@sweetnesskway9794 Ndo biashara yao😅😅😅
@catherinfabiani5265
4 жыл бұрын
Zinakupa kula hz like
@robartyuno9519
4 жыл бұрын
kimi nini jaman andika kumi tutakupa like
Yan mashabiki wa united tunapata tabu sana hata BSS kutoboa inakua ishu bora angekuepo Salama Jabir
@villucajr7223
4 жыл бұрын
Mateso kinoma
@felixphillip957
4 жыл бұрын
Umetisha
@saranotka5529
4 жыл бұрын
prince mujuni .,united iko wapi
@ahmedmahamudu4140
4 жыл бұрын
😂😂😂mamaeee
@ahmedmahamudu4140
4 жыл бұрын
Sara Notka yule Caysan wa zanzibar
Hivi mi huku huwa nasikia tofauti au Mbona hiyo jamaa ya zanzibar inajua mpaka nouma asee
@monicakayombo4770
4 жыл бұрын
Hata mi niliona anajua balaa nikashangaa sisikii au
@mohamedharuna9050
4 жыл бұрын
Jmaa kauwa sana hawa majaji cjui wana angalia nn
@wakeupzanzibar8513
4 жыл бұрын
Hawa hawatendi haki coz uyo wa zenji na alopita kabla yake naon cjaelewa
@salomeadrian7776
4 жыл бұрын
Washaanda mshindi
@shabirujuma5
4 жыл бұрын
Mzanzibar anajua
Specioza ulivo mzuri😍😍😍😍nakupenda bure😘😘
Paul Richard
mnachelewa sana kuapload youtube wengine hatuna ving'amuz vya star times so tunaangalizia huku mjitahid kupost mapema.
@slayingtee6044
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@gabrielmushi2813
4 жыл бұрын
Black Beiber kzread.info/dash/bejne/dZqEsqqJY7C0dLg.html
@esterdavid3952
4 жыл бұрын
Kwel wanachelewa mno
@husnasaidihasani7172
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@chomamwita5569
4 жыл бұрын
Download apps ya startimes, utangalia mambo yote
Hii rumous vile iliendelea ya hamisi ndio wa kaona wamtoe, Mana mpka diamond alimpa hongera, Mara harmonize yuwamtaka,mpka madam Rita kwa 40's ya mtoto wa diamond amepewa Jina mamake hamisi BSS so alikua midomoni mwa watu na pongezi pia zimekua nyingi ndio hvo tena
Hamisi insha allah utashinda froam oman hapa utashinda insha allah kijana wanipa hamu na hamu yakutazama hi kipindi hamisi bi idhin llah utashinda upo kiuhalisia zaid insha allah utapita Allah yu nawe insha allah
@ahmedsaidi438
4 жыл бұрын
I miss my country oman so much soon will be back in sha Allah
@aminafesali5817
4 жыл бұрын
@@ahmedsaidi438 you welcome
khamisaaaa babyy ❤️
@hamissaidi793
4 жыл бұрын
Umalaya tu
One love
@gabrielmushi2813
4 жыл бұрын
Fatma lyego kzread.info/dash/bejne/dZqEsqqJY7C0dLg.html
Okay I like music.I love artist l love bongo star
6:58 madam Rita what vocals do u want other than that??
Kama umemkubali yeyee ya burna boy like twende sawa
JIDE YUKO POA KAMA JUDGE YUPO SERIOUS BEST JUDGE
😁😁😁 duh msela kaona amebugi akaona akimbie 🙌🙌🙌🙌🙌
Uyo hamisi ananeng'eneka tu uko nyuma 😀😀😀😀😀😀😀😀 anajaribu kuleta huruma anadhani itampitisha 😂😂😁😁😁😁😁😁😁zama zimebadilika mdogo angu... Mambo magumu kote 😀😀😀
@reedfocus4517
4 жыл бұрын
😂we msengeeee😂😂😂
@ibrahmatage
4 жыл бұрын
Hakuna huruma hapo
@saidihabibfundi6492
4 жыл бұрын
@@reedfocus4517 naona watu wanaogopa kuongea ukweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@saidihabibfundi6492
4 жыл бұрын
@@ibrahmatage hizi ni iron age,,,, chuma chuma... Undava undavu. 😀
@movierecapsswahili1042
4 жыл бұрын
Daaah ... unaongea ukweli hadi unaboa😂😂😂😂😂
Kusema ukwel khamis leo hajaperfome kivile ukilinganisha na wengine lkn i see wanampleka tu now maybe bss kw mar ya kwnz wanackiliza watu 😃😃 lets see atasurvive mpk wap. Am editting my comment asnten bss i lov u always hua hamupendeleagi u guys are original.😍😍😍
@shaninaftary1693
4 жыл бұрын
Hii ilikua wiki zilizopita. Wamepost leo you tube..ila hamis karud yupo kambini sasaivi
@mysteriousazou7979
4 жыл бұрын
@@shaninaftary1693 he did not deserve to😐😐 kuna wat wana vipaj ile mbya na wamewatoa they just made me hate the show
@menikojohn2782
4 жыл бұрын
Chaguo la wimbo alioimba halikuwa zuri.
Kama umeona mbeya kuna Barnaba boy gonga like hapa!
Hakuna hamis anajuwa kuimba anatamuka wimbo ukaingia vizuri sana
Uyo mzanzibari Caysan anajua, kachagua nyimbo ngumu tu
Utabiri wangu Meshaki Tukuta ndo mbeba ndoo.Nimtazamo wangu lakini
@ahmadimpili5456
4 жыл бұрын
Hakika.. Meshaki round hii amejipanga kiukweli
Jaman huyu wa zanzibar mbona kaimba vizuri tuu
@SalimSalim-fp7zd
4 жыл бұрын
Hawa wanafiki
@bimsinan8743
4 жыл бұрын
Wanatakiwa wenyewe kwa wenyewe tu ovyoo kimba vizuri sana kuliko alopita nyuma yake..
@beatricemkinga7275
4 жыл бұрын
Kaimba vzr lkn hajawazid wenzake yuko kawaida xana
@kiluajamal316
4 жыл бұрын
Sjawahi kureply Lkn kwa hil kaonewaaaaaa was Zanzibar
Khaa!!!!kwaiyo sis ndo wamwisho kuangalia mpka mringe wee ndo muweke ....mnatuumiza wajameni🖐🖐🖐🖐ila big up
Ken rick uko juu sana sana... kuanzia upigaji wa gitaa na hadi voco unayo.... unakipaji sana, mm naweza nikafirisika kwajili ya Muziki wako... Good luck--
@somoyoomar3304
4 жыл бұрын
Amis uko juu kaka
Master J❤️🇨🇦
@blooperscorrectorelulu1566
4 жыл бұрын
Where in 🇨🇦
@thetriplesofbethlehem6095
4 жыл бұрын
Edmonton
Madam Rita, Master j, jamani njooni hata KIGOMA twawaombeni huku
@nessyalex1186
4 жыл бұрын
Mmh Cjui wakija na Mimi Wa mbeya nipo kigoma naenda kuimba kwakwel
Yule Khamisi atapelea.WATU WANAJUA SEMA NJOTA
machalii wa chuga Ebenezer na yule dingii mko🔥🔥🔥keep representing mazee!
Mwanza bg bg bg up mzee Kama mmewakubali wasukuma fanya Kama una like ivi
Ki ukweli kuna watu wanajua kuliko hamisi ila tu watu wanalaum bule kwa kua hamis anatia sana huluma ila kwa mm namuona kiwango chake cha kawaida sana ila gitaa anajitahidi
@priscamlyuka5531
4 жыл бұрын
Umeonaaa enheee
@elizabethmagala4484
4 жыл бұрын
Kweli kabisa hamis wakawaida sana
Kwa wabongo wanavotupinga wazanzibar ata km ungefanya vizuriii mr , hao wangekupa no km walivokupa no apo ,,
@hamissaidi793
4 жыл бұрын
Anjua ila amezidiwa
@marthastephen6600
4 жыл бұрын
So kweli jamanii mbona Salma alikua mshindi wa pili msimu wa walter chilambo
Khamisi kila la kheri...kila hatua Dua.
Kwann hizo hela asipewe tu huyo meshack jmn,,a guy Is so talented
@thetrends9973
4 жыл бұрын
Hahaha kutusumbua tu..
Uyu Aron sio ndgu yngu kweliii,,,,,,,, hehee lakinii mmmh sio kw mchanganyo uoo,,,!!!
@westpointamazingfood
4 жыл бұрын
Lucy Kilonzo itakua
Nilivyosikia MUNGU BABA nimefurahi sanaa
Kiukweli jaman toka vikund viingie mbeya wako juu,,wote wanafurahishaa
Mm sisemi sababu ya ushabiki ila Hamisi hajui kuimba kuna watu humo ukiona wanatolewa ila wanaweza sanaaaaaaaa,,, hamisi kapumzike
@valencevedastus2954
4 жыл бұрын
Kwel bob
@idrisarashidi7453
4 жыл бұрын
Fact
This time anachukua mtu wa gitaa maana wameweza hatari
@bonifacembilinyi5576
4 жыл бұрын
Itakuwa vyēma zaidi
Waimbaji walio ingia top 20 walikuwa vizuri ila huruma ya watu inawafanya majaji washindwe kufanya kazi yao, mwaka huu majaji wapo vizuri sana
@totoyamungu
4 жыл бұрын
choma mwita True
Masha Ashallah Jide umependeza hatari sana
@gabrielmushi2813
4 жыл бұрын
Isunga 1 kzread.info/dash/bejne/dZqEsqqJY7C0dLg.html
@gabrielmushi2813
4 жыл бұрын
Isunga 1 kzread.info/dash/bejne/dZqEsqqJY7C0dLg.html
@justinrerloy5994
4 жыл бұрын
Mtolee mahar bdo hajaolew
@injili90
4 жыл бұрын
Kapendeza alivyo weka hayo mabumunda nje au unasifia ujinga wake
@gwakisaezekiel2576
4 жыл бұрын
ambokile mgimbe jiuee kuma wewe
Hamis wa BSS big up big up big up Mungu akuwezeshe inshaaaal
@nelsonmaige1963
4 жыл бұрын
Mwanza mwanza
Mbeya Green city mmetisha Atar🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@nessyalex1186
4 жыл бұрын
Mbya tuko vzr sana
@jimmyscamijr2727
4 жыл бұрын
Mbeya 🤴🤴🤴🤴🤴
Mwazenguwa Mara nyengine caysan sio wakupaswa kutoka
jaman mbeya tunajitaidi kulia kwafuraha wanyakyusa hoooooyeeeee