Mrudisheni Hamiss Mvaa Kibarakeshea, ndio tutawaelewa LA sivyo atutawaunga mkono..
@shukurumgaya5950
4 жыл бұрын
Khamis
@mikehjackson81464 жыл бұрын
Hawa wasenge wanazingua mamaee juzi tu apa nimegombana kisenge na baba kulipita king'amuz kwaajili ya khamis lakin wamemtoa leo baba anarud sijui nitaiweka wap sura yangu Mungu wangu eeeeh
@mwinyi_phone_00754 жыл бұрын
Sas nyie humuujui mziki...mtamjuaje anaeimba 😀😀😀 vituko kweli @BONGOSTARSEARCH
@jacobsamwel51454 жыл бұрын
Yani msipompa hamisi hyo ela hatuwaelew maninaaa
@halmamudy14 жыл бұрын
Wow I love the guy with guitar from mbeya
@godfreytukay3934 жыл бұрын
Sina uhakika na maamuzi yenu majaji na sina uhakika na kile mnachokitafuta kwa hawa wasanii,maana sijaona kipaji kama cha huyo dogo lakini hata kama Mkimkataa Mungu akimkubali atatoka tu asikate tamaa,Mbona Harmonize mlimwambia hajui kuimba sasa hivi je si anawakimbiza?,Hamis usikate tamaa,una kipaji,Mungu anajua na Watanzania tunajua una kipaji songa mbele.
@hahmadhabibu20764 жыл бұрын
Wengine HATUKO TZ MBONA MNATUBANIYA JAMANI
@kassimngohengo32814 жыл бұрын
Wanazngua nilichogundua wanakuwa na vijana wao tyr
@samwelnyankena98734 жыл бұрын
Mnazngua hamis yuko wap yule mvaa kofia za wazee duh
@omaryahmedy99794 жыл бұрын
Hamsi kaza moyo madam lita ata kufikia kwan naye ame kuku bary sana
@elizalwakatare80704 жыл бұрын
Mnazingua nyie watu tunasubiri top 20 nyie mnaleta marudio😏
@saint_j7263
4 жыл бұрын
Eliza Lwakatare point
@khalidkhamis70114 жыл бұрын
Nimelipia kifurushi cha star times kwa ajili ya hamis alaf mmemtoa mnazingua nyie
@japharyunajuampakabasmzulu76204 жыл бұрын
hamna kazi yakufanya matapeli wa kubwaa...basata mko wap wafungien hawa matapeli
@issanaseeb76994 жыл бұрын
Hivi zile Top20 Washazitoa Clip zao jaman wengin hatuna TV🙆🙆😁
@sweetmama6885
4 жыл бұрын
Achana nakutokuwa na Tv. Mimi nilikuwa natafuta full clips za Dar zinakuja nusunusu yaani zinaboa kinyama. But now afadhali kuna ya dk 55 naa na kuna ya dk 20 naa. Ila ni za 4 na 5. Bado za 1,2,3 sijaziona. Rahaa kuanzia mwanzo kumalizia mwisho.
@issanaseeb7699
4 жыл бұрын
@@sweetmama6885 wanatuboa sana hawa Bss za Dar wanarusha nusu ila mikoa mingine walizituma haraka sijui wanakwama wapi hawa
@sweetmama6885
4 жыл бұрын
@@issanaseeb7699 Yaani😔
@tanzaniawildlifeprideoftan50704 жыл бұрын
mkitaka tuende sawa mrudishen hamisi
@joharjohari67054 жыл бұрын
wapi? hamisi jamani mmearibu bss Mzimu huu wa 10
@efesopesahkinge63794 жыл бұрын
Master j mgumu kinoma 😅😅😅ukipata yes ya kushangiliwa na master j jua we utafika mbali
@Mturuma4 жыл бұрын
Nyie mnao upload ,mufkuzwe kazi tu mnazingua kwa kweli
@wayfoward20664 жыл бұрын
Nachoona nyuma pale idris akiwa anongea ni "subliminal advert" au nn!??
@buruhanialhaj2234 жыл бұрын
Me cjaona kilichofanya mumtoe hamis au kwavile alikua kavaa ndala
@richardmichael75234 жыл бұрын
Aisee mbona episode fupi sana aisee, siyo yechu.
@smileboy89794 жыл бұрын
Ssa kichwa cha habari kinasema dar Ndani mnatuambia dodoma what???
@saidiothmani6433
4 жыл бұрын
Hamis yupo kashinda zote.yes 4
@Ron_cita4 жыл бұрын
Haki watanzania mbona huyu dem ameimba hiyo hallelujah hajatamka maneno yakasikika halafu eti yes yes yes yes 🤣🤣🤣🤣
@Ivy-pn2gc4 жыл бұрын
Jamana watu waache Ku complain ....bongo starSearch ni Brand bana MTU akishiriki tuh nikujitengenezea platform ...ni kama MTU afanye internship in a certain brand company wakisha mkubali basi kila MTU atamkubal
@husseiniddi93594 жыл бұрын
Hii mbona kama Dodoma
@poureenkunambi64134 жыл бұрын
Khaaaaaaaa cjaelewa pls khamis mmemtoa au?!??!? Kama mmemtoa mna dhambi
@salumchande27024 жыл бұрын
Mbona tittle na contents haziendani? Bila shaka mlikosea ku upload hii sio Dar ni Dodoma jamani
@xarverymange19914 жыл бұрын
dodoma au dar
@truthtv68504 жыл бұрын
Mshindi wa online #masolwa huko wapi
@jojomoo72484 жыл бұрын
Madam nguo imebana sn
@slayingtee60444 жыл бұрын
Mmerudia hii
@racheldauson94714 жыл бұрын
Jide I'll wigi utasema hakimu
@zakhiamohamed21784 жыл бұрын
Mnatuzingua mbona au mnafikiria tunatizama bure?
@richardraphael70914 жыл бұрын
Sasa nyie msialibu vipaj vya watu mtu anajua kuimba mnamtoa kwa nin kama ss washabk wa mzk dg anajua kuimba mpeni nafas ajalibu bahat yake
@husseiniddi93594 жыл бұрын
Tumeni ya dar bana
@tawoostanzania96024 жыл бұрын
🤣 🤣 Dully character list device
@hemedsalala49654 жыл бұрын
Achen ujinga mrudishen Hamis
@florianscarion50854 жыл бұрын
Anaye upload hizi video hajielewi kabisa.
@donatillamoshy88984 жыл бұрын
mrudisheni hamis😓😓😓😓😓
@zuhuraabdala86494 жыл бұрын
wakwanza leo
@mrmoafanmula55584 жыл бұрын
Mbona munatuchanganya
@kadadaajoseph90984 жыл бұрын
Hapa hakun lolote mnatoa watu wenye vipaji mnababaisha tu nyie mnajua vipaji kweli??? Au ndo mmeshamwandaa mshindi wenu mmemtoa hamis maana angemfunika mliomwandaa?
@phobenumber39254 жыл бұрын
Sasa tunasubiria show,,,nyie mwatuletea mahojiano,,,,,,dadekiiii
@meshaqkenya76164 жыл бұрын
sultan uko funny sana
@tanzaniawildlifeprideoftan50704 жыл бұрын
mme mtoa wa nini
@ambrosezanzibar4 жыл бұрын
TUNAMTAKA HAMIS ARUDI
@wanderaothumani49194 жыл бұрын
Caption A content Z 🤦♂️🤦♂️
@naomicharles74264 жыл бұрын
mnaboa hadi kelo marudio ya nn
@godfreythomas39314 жыл бұрын
Bila hamiss hamna bss mnazan Wa tz waleo nimazwazwa hjajifunza kwa konde nyie yan mna kera bora azam amzishe ya kwake tmechoka kupangiwa washindi
@tausilifestyle7954 жыл бұрын
Halafu wamemtoa Hamisi viumbe mnaroho mbaya nyie mrudisheni tendeni haki
@adammveyange96384 жыл бұрын
Jamani acheni uongo ndio dar es salam hiyo kweli ....boared
@athumanmrisho17624 жыл бұрын
Kwa kile mlicho mfanyia hamisi Amna lolote mmeshaanda mshindi wenu mabwege nyie
Пікірлер: 80
Mrudisheni Hamiss Mvaa Kibarakeshea, ndio tutawaelewa LA sivyo atutawaunga mkono..
@shukurumgaya5950
4 жыл бұрын
Khamis
Hawa wasenge wanazingua mamaee juzi tu apa nimegombana kisenge na baba kulipita king'amuz kwaajili ya khamis lakin wamemtoa leo baba anarud sijui nitaiweka wap sura yangu Mungu wangu eeeeh
Sas nyie humuujui mziki...mtamjuaje anaeimba 😀😀😀 vituko kweli @BONGOSTARSEARCH
Yani msipompa hamisi hyo ela hatuwaelew maninaaa
Wow I love the guy with guitar from mbeya
Sina uhakika na maamuzi yenu majaji na sina uhakika na kile mnachokitafuta kwa hawa wasanii,maana sijaona kipaji kama cha huyo dogo lakini hata kama Mkimkataa Mungu akimkubali atatoka tu asikate tamaa,Mbona Harmonize mlimwambia hajui kuimba sasa hivi je si anawakimbiza?,Hamis usikate tamaa,una kipaji,Mungu anajua na Watanzania tunajua una kipaji songa mbele.
Wengine HATUKO TZ MBONA MNATUBANIYA JAMANI
Wanazngua nilichogundua wanakuwa na vijana wao tyr
Mnazngua hamis yuko wap yule mvaa kofia za wazee duh
Hamsi kaza moyo madam lita ata kufikia kwan naye ame kuku bary sana
Mnazingua nyie watu tunasubiri top 20 nyie mnaleta marudio😏
@saint_j7263
4 жыл бұрын
Eliza Lwakatare point
Nimelipia kifurushi cha star times kwa ajili ya hamis alaf mmemtoa mnazingua nyie
hamna kazi yakufanya matapeli wa kubwaa...basata mko wap wafungien hawa matapeli
Hivi zile Top20 Washazitoa Clip zao jaman wengin hatuna TV🙆🙆😁
@sweetmama6885
4 жыл бұрын
Achana nakutokuwa na Tv. Mimi nilikuwa natafuta full clips za Dar zinakuja nusunusu yaani zinaboa kinyama. But now afadhali kuna ya dk 55 naa na kuna ya dk 20 naa. Ila ni za 4 na 5. Bado za 1,2,3 sijaziona. Rahaa kuanzia mwanzo kumalizia mwisho.
@issanaseeb7699
4 жыл бұрын
@@sweetmama6885 wanatuboa sana hawa Bss za Dar wanarusha nusu ila mikoa mingine walizituma haraka sijui wanakwama wapi hawa
@sweetmama6885
4 жыл бұрын
@@issanaseeb7699 Yaani😔
mkitaka tuende sawa mrudishen hamisi
wapi? hamisi jamani mmearibu bss Mzimu huu wa 10
Master j mgumu kinoma 😅😅😅ukipata yes ya kushangiliwa na master j jua we utafika mbali
Nyie mnao upload ,mufkuzwe kazi tu mnazingua kwa kweli
Nachoona nyuma pale idris akiwa anongea ni "subliminal advert" au nn!??
Me cjaona kilichofanya mumtoe hamis au kwavile alikua kavaa ndala
Aisee mbona episode fupi sana aisee, siyo yechu.
Ssa kichwa cha habari kinasema dar Ndani mnatuambia dodoma what???
@saidiothmani6433
4 жыл бұрын
Hamis yupo kashinda zote.yes 4
Haki watanzania mbona huyu dem ameimba hiyo hallelujah hajatamka maneno yakasikika halafu eti yes yes yes yes 🤣🤣🤣🤣
Jamana watu waache Ku complain ....bongo starSearch ni Brand bana MTU akishiriki tuh nikujitengenezea platform ...ni kama MTU afanye internship in a certain brand company wakisha mkubali basi kila MTU atamkubal
Hii mbona kama Dodoma
Khaaaaaaaa cjaelewa pls khamis mmemtoa au?!??!? Kama mmemtoa mna dhambi
Mbona tittle na contents haziendani? Bila shaka mlikosea ku upload hii sio Dar ni Dodoma jamani
dodoma au dar
Mshindi wa online #masolwa huko wapi
Madam nguo imebana sn
Mmerudia hii
Jide I'll wigi utasema hakimu
Mnatuzingua mbona au mnafikiria tunatizama bure?
Sasa nyie msialibu vipaj vya watu mtu anajua kuimba mnamtoa kwa nin kama ss washabk wa mzk dg anajua kuimba mpeni nafas ajalibu bahat yake
Tumeni ya dar bana
🤣 🤣 Dully character list device
Achen ujinga mrudishen Hamis
Anaye upload hizi video hajielewi kabisa.
mrudisheni hamis😓😓😓😓😓
wakwanza leo
Mbona munatuchanganya
Hapa hakun lolote mnatoa watu wenye vipaji mnababaisha tu nyie mnajua vipaji kweli??? Au ndo mmeshamwandaa mshindi wenu mmemtoa hamis maana angemfunika mliomwandaa?
Sasa tunasubiria show,,,nyie mwatuletea mahojiano,,,,,,dadekiiii
sultan uko funny sana
mme mtoa wa nini
TUNAMTAKA HAMIS ARUDI
Caption A content Z 🤦♂️🤦♂️
mnaboa hadi kelo marudio ya nn
Bila hamiss hamna bss mnazan Wa tz waleo nimazwazwa hjajifunza kwa konde nyie yan mna kera bora azam amzishe ya kwake tmechoka kupangiwa washindi
Halafu wamemtoa Hamisi viumbe mnaroho mbaya nyie mrudisheni tendeni haki
Jamani acheni uongo ndio dar es salam hiyo kweli ....boared
Kwa kile mlicho mfanyia hamisi Amna lolote mmeshaanda mshindi wenu mabwege nyie
@onlinemovie8580
4 жыл бұрын
Hakika awani mabwege wa mwisho
Amkeni amkeni amkeni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Umewaka fanye haraka mkuje 👇👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/m4CTz9Vtqc22gJc.html 🙏🙏🙏🙏 SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE
Duuuh headache
Mnazengua sasa mnaweka dar alaf show yenyewe nusu alafu marudio alafu ni dom ss...
Kwaio hamissi mvaa kandambili ndio basi tena 🤔
Kichwa cha habari ni Dar. Mara ukiangalia ni Dodoma. Nini mnajichanganya? 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
@babymtambo1554
4 жыл бұрын
Hamis mumludishe
Miyeyusho angalien marekan Awana janja janja km izi au sababu dogo maskin mwenzetu daaah kisa mavaz au daah iii jau kwel yan analien wenyew
Mmefanya Ujinga wa hali ya Juu sana kumuondoa Hamis ,sitaangalia tena Show za kibabaishaj kama hizi
@onlinemovie8580
4 жыл бұрын
Tuko pmoj wamezingua hawa awajielewi washaandaa mtu wao...wana jua doga lazima tu atapigiwa kula
@frederickfelix539
4 жыл бұрын
Hamjui mziki nyie
@buruhanialhaj223
4 жыл бұрын
Dr Seifu Tv inackitisha sana nimegundua awa wanakua washachagua mtu wao kabisa
Kuma nyinyi yule mpiga gitaa mumemtoa mbna mnazingua au mnatukuta sie wajinga mna tuforce kumuelelewa mtu mnayemtaka nyie
Jamani acheni uongo ndio dar es salam hiyo kweli ....boared
Jamani acheni uongo ndio dar es salam hiyo kweli ....boared
Jamani acheni uongo ndio dar es salam hiyo kweli ....boared