BIRTHDAY PARTY ya PAULA BALAA, FULL KUBEBISHANA na RAYVANNY Mbele ya MAMA YAKE..
Ойын-сауық
BIRTHDAY PARTY ya PAULA BALAA, FULL KUBEBISHANA na RAYVANNY Mbele ya MAMA YAKE..
MTOTO wa muigizaji Kajala na prodyuza P Funk Majani, Paula, usiku wa leo Julai 15, amefanya sherehe ya kuzaliwa huko Masaki na imehudhuriwa na watu wachache akiwemo mwanamuziki Rayvanny, ambaye inadaiwa ni mpenzi wake.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 717
Alie kimbilia ksoma comment km mm a like hapa😂😂
@mokohratino9052
3 жыл бұрын
Awezi kuzimia kwasabbu yye akumuumba vni kua wke pekeake kilaktu knamalefu na mpana anacheka Leo kesho analia uyo p
@tousihhhh6765
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@babybaby8384
3 жыл бұрын
😅😅😅
@asmaafamau9293
3 жыл бұрын
Tupamoja
@albainoro1023
3 жыл бұрын
Me jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anaeanza kusoma comment huku akichek mambo agonge makopa hapa
Tuliokuja kusoma comment tujuane
@restutarweyemamu2344
3 жыл бұрын
Mimi hapa
@mwajumahamisi2006
3 жыл бұрын
Tupoooo
@aminakipande5645
3 жыл бұрын
tupo kama wote
@aminakipande5645
3 жыл бұрын
mboma huuo paula sijui kilaa saaa kushika gauni juu yakifua kwan alilazimishwa kulivaa🤣🤣
@happysamm5141
3 жыл бұрын
Sijaielewa vzur
Walio ona kma mimi mama na mwana kwenda kwa rayvan, na kajala kupeleka msosi kwa rayvan achia like ako
@hamisimohamedhamisi3241
3 жыл бұрын
Huuuuuuuuwi mm nawapa hongera san
@fatmamazige9486
3 жыл бұрын
😁😁😁yani weacha nimecheka sana mm mkwe anapeleka msosi
@salamasalama9825
3 жыл бұрын
🤣🤣
Paula twakwachia mungu ray my all time favourite artist kumbuka family yako hakuna kosa lisilo samehewa
@user-fk3rf4uj9f
2 жыл бұрын
Jamani kila kitu kina mwanzo na nwisho
@carolineRivera2198
2 жыл бұрын
@@user-fk3rf4uj9f inaudhi
Mungu aitulise roho yako fayma😪😪😭😭
Kama umeskia mama mkwe akisema washen wenyewe gonga like ila nyie wanaume tafuten pesa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zaitunibakari6632
3 жыл бұрын
Waume tafuteni pesa ili mthaminiwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jjboy5157
3 жыл бұрын
😂😂😂🤣
@jjboy5157
3 жыл бұрын
@@zaitunibakari6632 duh😂😂😂
@margarethndyamkama5537
3 жыл бұрын
😁😁
Mtoto akililia wembe mpe.... KAJALA..... you've played your part well 🙏👏
This love is real let them be u can never separate two people who love each other may God protect your relationship ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🐆🐆
Tunaomuonea hurumu fayma like hapa
Daaah!!! Mimi bado nasisitiza tuu haka katoto kana bahati mbaya sana!! Kameanza mapenzi na Vanyboy😭😭 katakuja kuchukia wanaume wa dunia nzima haka!!!!! Maumivu Loading..........🔨
Wow very beautiful
Jaman namim wakigom nimefulahiy video hii nahitaji like zenu❤️❤️🥰 😂😂😂
Wow wish u all the best 🥰🥰😍😍
Mama Paula alivyomuhug mwanae nimeskia raha flani nawapenda sana ain't nobody tell u nothing sweet @kajala
Media never forgets, tutarudi hapahapa tu kumuomboleza after ameachwa😂😂😂
@Niyiturinda
3 жыл бұрын
Kuqcwa ni kawaidha... kwani yeye ndio atakuwa wa kwanza kuacwa..na yeye....si anawaca wengine....ni hivo hivo
@libbyfrancis4595
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@mozaseyf4435
3 жыл бұрын
Haya mapenz ya daladala ukishuka mwingine anapanda
@jjboy5157
3 жыл бұрын
Waswahili🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dinamsomali1976
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
mmmh mapenzi ya wasanii ni kama umeme mda wowote luku anaisha😢😢soon paula atalia na kujutia sema wanawake tunajisahau sn
Rayvanny all the best usijaribu kumsugua Paula 🥰🥰🥰🥰🥰
Jameni wanapendana! Kajala bariki ao watoto.
Everyone is looking for real love go go vanny boy
am happy when is see people happy that my happiness...happy birthday qeen of next label paula...
Hii niliona fb nikasema haiwezekani Nikuje upande wa pili 😁😁 naombeni like jameni
Dah ! mambo hayo Sasa😂 Fayma pole I know God has enstore a good man for you ni swala LA muda tu
@magorymara5515
3 жыл бұрын
Sasa dada Faima si alikimbia mwenyewe
@sitiabidal9657
3 жыл бұрын
Hyo da fay wenu ni ka hana akili utabadilishaje dini eti kisa mwanamume adhabu ndio hiyo kapewa mtoto wakiislamu
@anithajaphet4587
3 жыл бұрын
@@magorymara5515 labda alitaka abembelezwe
@rajabdibwa6415
3 жыл бұрын
Vijana tafuteni pesa!
@barakaallymusa6665
3 жыл бұрын
Kaka jitombee 2
Wamlipe tu hamisa ndio kaunganisha mchongo mpka kukafanyika birthday kubwa hvo
Rayvanny looks good in white attire
E, Mola hakika binadam twajisahau sana...niongoze katika mema mie mja wako
Naona mama mkwe anampelekea chakula mkweee ila wameendana jamani ❤️❤️❤️❤️
@salmacazzy1915
3 жыл бұрын
Weeee weeeeeee sanaaa
Really awesome
Katoto laini, vanny boy🔥🔥👏
@agnessvitalis3528
3 жыл бұрын
Jaman awa wanajidanganya tu .. Kajala bado mtoto lkn siyo kwa anayoyafanya malezi mabovu kbs
Wow very beautiful ❤️
@hawahawa6132
2 жыл бұрын
Mama asiejielewa anafuraia uzinifu wa mwanae
The best couple in town...
@josephmremi7675
3 жыл бұрын
Ila mwisho wa siku itakua Kama mama yake tu
@uwimana940
Жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@breebrearch4946
Жыл бұрын
😅😅😅😅ukona nguvu ya kuongea bado
Kama Hamisa ndiye alifanya hii connection anafaa kulipwa hela ndefu, au amshtaki kajala.
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Inaweza kuwa Hamisa dah
@lovenessgodson1075
3 жыл бұрын
😀😀😀
@davidngonyani4923
3 жыл бұрын
Hamisa noma sana
@wisperfect5320
3 жыл бұрын
😂😂
@allennnko3634
3 жыл бұрын
Naunga mkono kwa ilo wamlipe mpunga mzefu
Love's busyness all de tym we are watching til de end
Mmependezana Sana ❤️🎂🥂📸
Chui 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌 ckilupngi bloody
Hamis umeniaribia mtoto hapo hamisa ndio kampa van kiberiti awasheee😂
@remmyrehema6755
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@rashidkarisa7427
3 жыл бұрын
😂😂😂
@davidcurtis8556
3 жыл бұрын
Hahaaaa
@suzanaemanuely8788
3 жыл бұрын
Kajala ni mpembav sana
@orestamfuruki9565
3 жыл бұрын
😂😂
Beautiful faces HBD Paula kajala
Chezea wanaume ww yuwap nana sah pitiwa tuu aende kwa mwengne nan kakwambia wasafi family huoa pole
@shamimumohamed9417
3 жыл бұрын
i love you kwamaneno yako
@allennnko3634
3 жыл бұрын
Kamuachia Ibraah
A whole new series for me to watch am in season 1 episode 2 can't wait for the big break up drama
@edinaisaya6229
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@bintiomari869
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@cececcyruskin4834
3 жыл бұрын
😂😂
@vannygal883
2 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 But you
This is wonderful
wonders shall never end paula waah
Wanawake wote ni mama zetu.. tunashukur mungu, Ila ukipata mwenye akili anakua mama×2 zaidi.., majan hii pigo atalijutia mpaka anaingia kaburin..kudill' na mama ziro, najua ule ukali wako na usiopenda upuzi.. painful bro.
@mymunamymuna4807
3 жыл бұрын
Kukosa mama mwenye akili n pigo
@sophiamahanyu3056
3 жыл бұрын
Dah
@nkeshigomegwa1686
3 жыл бұрын
@@mymunamymuna4807 sanaaa
@azzamahamdu7039
3 жыл бұрын
Sanaa anajutia kimoyoni
Happy birthday paula
Ila uongo zambi wamependezan balaa 😍😍😍😍😍😍
I love Ray and and Paula
Wow 😍🥰🥰😍🥰
😢😢acha niangalie hii shuhuli after nyimbo ya forever 3 flowers 💐 😂😂
@breebrearch4946
Жыл бұрын
😅😅😅😅😅naenda kulike mara ya pili Ina unlike 😅😅😅nafeel kupea your comment million likes
@beatrice3675
Жыл бұрын
@@breebrearch4946 😭😭thanks ❤️ 🤣🤣🙌🙌
Paula and rayvnna I love ❤❤❤💔💔💔💔💔💔💔💔
Respect mon grand frère
Chui 🐅❤❤ munyama mukall sana ravnnyn
Mtoto uleavyo ndivyo akuwavyo yarabii nisamehe mm kwani piya ni mzazi lakini mengine na wazazi tunachangia sana
@shantellemwanakombo3703
3 жыл бұрын
Mama yake anafurahiya mwanae kapata danga lenye hela
@elizabethfaustine3114
3 жыл бұрын
Kwani mnataka afanyeje jamani
@khadijashaban3218
3 жыл бұрын
Kwan yy ndio wa kwanza kwenye hii dunia
@adamdemarch5565
3 жыл бұрын
Dent Do usake mimba,,,, Understanding niimbe nisake vina,,,, Mwizi Iba usake Kona,,,,, Mc tangaza upate jina,,,,,
@aidanhamza4795
3 жыл бұрын
Nyie nendeni zenu komaeni na familia zenu
😂😂😂yaani wakamchafua hamis wa watu kumbe mambo yalikuwa ivi chini ya maji🙄🙄🙄
Raha Sana naipenda caple yenu
@shadiaally2217
3 жыл бұрын
Miaka 19 kuna caple hapo ni kupotezeana mda
@salmacazzy1915
3 жыл бұрын
Ndo washapendana Sasa hayo majuto Huwa yanakujaga baadae si Sasa unahis kama Upo pepon ila kwa mm kamaa kwelii wanapenda basi wasiachane coz wanaendana ❤️
@fatmaseiph9958
3 жыл бұрын
😏
Nice n lovely
Heri basi angewaoa wote wawili wala sio kwa maumivu haya,,,pole fayma
@kadibebe7128
3 жыл бұрын
Kbsa angeawaowa wote
@wisperfect5320
3 жыл бұрын
Hakuna wakuolewa hapo full kutumian tu
@fendy_kenya1872
3 жыл бұрын
@@kadibebe7128 yes dear it pain...ukiona mwanamke amekuzalia jua kakupenda na ukimwonesha dharau unamumiza,,,,,
@fendy_kenya1872
3 жыл бұрын
@@wisperfect5320 okay,,,basi watumiwe wote,,Leo kwa fayma kesho kwa Paula,,,at least mama mkubwa na mama mdogo wahudumiwe sawa
@nkeshigomegwa1686
3 жыл бұрын
Dunia Duara wacha izunguke pole Fayma
Yangu macho
Ukipata Mwanamke wa maisha yako ukamwacha ,ukampata mwanamke wa ndoto zako,hautakuwa tena yule wa zamani.Utakosa maisha ila utapata vitu.
Uma moja imelisha watu 50 hakuna stiki jmn? Unachoma keki na kutupa 😎
@rashidkarisa7427
3 жыл бұрын
Wabongo nyie
@sophiabakari4143
3 жыл бұрын
Ww mungu anakuona ujue
@vaghoghontweki9827
3 жыл бұрын
@@rashidkarisa7427 Sio w bongo sio ustaarab kwa kweli mana wanaeza ambukizana magonjwa
Mmetisha sana
Faymah usijali God will grant you a good man like he did to vanessa mdee ,,
So nice like it
Daaah😭 kweli jaman kweli???? Eheee yaan Mimi nishuhudie hawala wa binti yangu eheee yaan sio mkwe wangu kuwa katoa mahari ya binti yangu hapana ila ni bwana wake duuh nimeumia kiukweli maisha haya mweeeh 😭😭 tunauza watoto sasa kwa mabwana jaman😭😭😭😭
Yan kaja Mavi kwel ww mbwa kasoro mkia. Kumbe ulikuw mania yakuwa chaguw wenzio tu. Ulivyo mchafu amisa mbwa ww. Mungu anakuona na umalaya wak
@suzanaemanuely8788
3 жыл бұрын
Hajielew ila kwa wapumbav wanamsapot
@lucyhusein4043
3 жыл бұрын
Mtaachana tu
Kangi umwana jope munnu fijooooo happy birth day mwanangu
Lkn ikumbukwe vanny na fayma waliachana kabla kumpata Paula
@vanessalaizer4363
3 жыл бұрын
Yawezekana Paula alikuwa wa kichinichini pia
@maliatino4081
3 жыл бұрын
Kwakweli
Those who are waiting for season 2 , episode A...piga like
Haijakaa sawa hatakama nimtu wapaula mamahatakiwi kujua mahusiano ya mtoto ake labda kama kaisha mchumbia Paula unaaribu maisha
Acha nisome comments tu mm
rayvann and Paula I love come my mom
Wallahi hawa wote na waliokuepo hapo walaaniwe na Mola wetu mlezi
@mutavijeniffer8895
2 жыл бұрын
Jilaani mwenyewe, Hawa wako kwenye mapenzi kama couple ingine yeyote
Hbd Paula baby girl
Love 💕💕 is a gift
@thureiyuvuruge8274
Жыл бұрын
Ndoa ipit
Ngoja niendlee kuimba mimi.. Shuka Bwana shuka, shukaa Bwana.....
@edinaisaya6229
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Mnyakyusa mwenzangu mzee wa mafundi
Yaaalabi ninusulu mimi nakizazi changu inxhaallah wawe niwatoto wenye hofu ya mungu
@happyndinde3826
3 жыл бұрын
Kwa kwel dah inauma Bora haya mambo angefanya mtoto mama hayajui
Pambeee sana lover's
Alieona Paul kamkumbatia mumy yake like kwangu
Acheni kumuweka hamisa kwenye mambo ya ajabu huyo paula si mtoto kumbukeni ni mtu mzima anajua zuri na baya na yeye hawezi pangiwa maisha yapi aishi mungu ndie anajua maisha yake na sahani yake itajaa kias gani
5:51 Aunt muna 😂😂😂😂my ribs
If mwanaume anaeza fanya hivi comfortable tym mwengine analia mmmmh mbinguni jehanamu t malipo hapa hapa jitayarishe sweetie...hii movie tuuh
@angelmbaga8498
3 жыл бұрын
Kwani si walikuwa wameacha mbona mnakuwa ivo
@elizabethfaustine3114
3 жыл бұрын
Kwani Vanyboy alimfukiza sialiondoka mwenyewe kwa kiburi chake
@ujenezasandrine6854
3 жыл бұрын
Ivi izo Pole munazo mpa fqhyma kama kqfiwa ni za nnini?mulitqka ray abaki single forever...what wrong haki
@vanessalaizer4363
3 жыл бұрын
Hawakuoana, Fahima alikuwa anamaliza hela ya vanny boy kwa fashion show za insta. Ila huyu Paula kama nae ni vile vile tu
@wisperfect5320
3 жыл бұрын
Kwan alimuoa?
Nice
Jamais nawapenda saaana Rayvan na paula munaendana ❣️❣️❣️
@mamanmamama1076
2 жыл бұрын
Cute 🥰🥰🥰🥰
Ex wangu mimi khaaa hamisa kuimba uyuwimbo nikama umelota
Kapu hiii sichoki kuitazama kwanza wameedana sana 💋💋💋💋❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💍💍
Hongera bint
Ray van umejua kunikomeshea watu 👌 Live bila chenga, Sasa watulie sindano ziwaingie.
@pendooswad673
3 жыл бұрын
😄😄😄😄 true
@florenceelikana3040
2 жыл бұрын
Hahahahahaha na imewangia kweli
Wakati wako huu Paula utumie mama..ukizembea ujue ndo unapita hivyo ila hongeren mpendezana mapenz moto
Cool
napita tuu🏃♀️🏃♀️
Bora mtoto umfundishe kumjua Mungu kuliko kumfundisha ukahaba ni dhambi utalipa mbele za Mungu kumbuka uyo bwana unayembebisha IPO siku atamumwaga kama alivyomwacha mkewe
Mapenzi hayana mwenyewe kweli unaweza penda mzee au mtoto 🤣🤣🤣😝😝
Rayvanny nkuombea umpende kwa dhati Paula Kajala uciwe ka Lion Simba tumempa our ciz Tanasha Donna na sai imagine ako ome😂😂😂all in all mwambie chibu kwmba my bess another b amemgotea sna n kwngu mm gotea zuchu sna hakikisha zimemfikia hizo salaam
Sasa Hamo hii siniaibu ukaenda mpaka polis daa pole
Naomba hii birthday irudiwe jmn npate mualiko nkaanglie vzr ni macho yanaona vbya au 😢😢
@jhmtemba2464
2 жыл бұрын
Haaaaaaaaaahaaaa
Naona wivumie dah fy pole dear sikwamahaba haya
Nmerudi hapa bada yakuona party na mario😢nmelia sanaa jamani😭😭
Fay aliritaji kubadili dini sababu ya huyu yuapi leo Rudi kwa Mungu wako ulipenda ukajisahau dada pole
Ndunia inawanapeleka Kama vile munakataba na mungu,
mm nawapa hongela
💯💯❤️❤️❤️❤️👏🏽👏🏽