BILNASS ASIMULIA NANDY ALIVYOJIFUNGUA, 'NIMESHUHUDIA MTOTO AKITOKA, NANDY ALITAKA KUFA'!!
Subscribe channel hii usipitwe na mastory yote ya burudane & breaking news + simulizi za kusisimua zenye visa na mikasa.
♣️♣️♣️♣️♣️♣️♣️♣️♣️♣️
Alikiba
Diamond platnumz
Wasafi Tv
WCB Wasafi
Rayvanny
Harmonize
Konde Gang
Bongofleva
Bongo movie
Tanzania
Daresalaam
Davido
Wizkid
Nandy
Billnass
Anjela konde gang
Пікірлер: 33
Pole dada nandy na mungu akutangulie
Hongereni Sana, Mungu amkuze ktk maadiri mema awemtoto mwema , Ahsante sana kwa pongezi tumepokea, na mzidi kutuheshimu wanawake wote, hayo uliyo Yashuhudia ndiyo tunayo ya pitia, achilia mbali tabu zaujauzito, kuanzia Sasa baadhi ya wanaume mnao tunyanyasa na kutu Zarau wanawake muache hiyo tabia.
Congrats for uh Mr and Mrs Nenga 🌷 ur funs we a very happy with that daughter ❤️☺️
Ukiwa na upendo na familia yako utapata raha sana hongera sana kwa upendo
Big boss 8
Hongera sana Billinasi na Nand kupata mtoto🙏🙏
Jasiri sana billnas hongereni
Hongela nandi mugu awawekee 🙏🙏🙏
Ongera Mr and Mrs Mungu awalindie mtoto wenu
Tunashukuru wamama tumezipokea,labour kazi ipo,hongereeni kwa kupata mtoto mungu awalindie
Hongereni sanaa jamn.
Hongera sana nandy na pole pia mungu akukuzie
Jamani Nandy hongera kwa kujifungua salama mwanangu Alphina na Hefsba wamefurahi sana kusikia umejifungua salama hivyo wanakupa Hongera sana na wanakupenda sana.👩❤️👨
Nawapenda❤❤❤❤❤❤
Mashaallah 🇴🇲
Nice one!🙏🏻
Hongeren Maana ce wengne hata walpotokomea😂😂😂
kuzaa sio mchezo na labor room si ya wanaume ni ya wamama na madaktari, mwanaume akiona jinsi mwanamke akizaa huteseka, hawezi tena kumtia mimba. Mungu alinde mwanenu. inshallah....
@pengefeza2563
7 ай бұрын
Ni ya wazazi wote
Hongera Nandy
@winfridagama5832
Жыл бұрын
@@storyzabongoonline Billanas ajajifungua bwana Yale maumivu achaa kabisa
Wewe mi mwenyewe nilichanganyikiwa kwa mda, kuzaa kusikie tu
❤️❤️❤️
Yeye siowakwanza achaushamba
Eshima kwa wa mama
@aishaamwalimu2887
Жыл бұрын
Kabisa mwanamke nikiumbe muhimu Sana ktk hii dunia, tunayoyapitia wange pewa wao wasingeweza hata kidogo.
Akuna kama mama Dunian
Gingers sana Dada nandi hio ndio heshima ya mwanamke
Hey 👋👋👋👋👋😊👋😊👋
Pongez kwenu
Mungu wasaidie wanawake wote Duniani
@atoshamkingule7258
Жыл бұрын
Ameen
Mbona unarudia Rudia weweee