BATULI NA MATILDA WAMEFUNGUKA, KUFUNGA NDOA NA MAHUSIANO YAO
Жүктеу.....
Пікірлер: 198
@aminasalum19544 жыл бұрын
Mtangazaji upo juu,,km unamkubali Huyu kijana like twende nzetu sawa
@husseinnoormohammed53333 жыл бұрын
Mashallah Mashallah Mashallah I love these Ladies. These are ladies of substance and for sure they know their purpose in this life... These are those whom wametajwa katika hadiths nyingi katika dini. “Who is the best lady?” They said , “those whom wen you look at them or feel happy.” These are the Ones... Sengo Le Matilda I love your English 👌👌👌
@khadijahkhamis58514 жыл бұрын
ila vidox nakupenda jmn unajua kuhoji MashaAllah nipe like yko nami nijidai
@vidovidox2632
4 жыл бұрын
Dylan Didaz Asante sana mtu wangu
@suzanmoshi710
4 жыл бұрын
Wadada very confidence
@MosbMosb-ru5vv4 жыл бұрын
Namkubali Sana batulii❤️❤️❤️💪💪💪
@ndzmah47ali64 жыл бұрын
Nawapenda sanaa nyiye wadada wawili munajiheshimu sana
@chayogasperi9783
4 жыл бұрын
Mmmmhh !!
@ayshabayun9014
4 жыл бұрын
Kwani huyo batuli aliachana na yule mume wa mtu?? nilisoma ktk mtandao I'm not sure huyo wife wa huyo mwanaume alikuwa akitukanana na batuli
@awatifalghanim11063 жыл бұрын
Mashaallah hawa Ma Dada ni wazuri tuu.. wana sura nzuri ❤
@salimcherrylane72603 жыл бұрын
You shall never stop amazing nesh wow.... Keep it up......mrs Tanzania. The more you grow the younger you became, be blessed with your family. Cherrylane.
@lucyadam87644 жыл бұрын
Mmeendana sana jaman love Ming Ming kwenu Matilda & batuli
@thamiyuucute70984 жыл бұрын
Mashallah...Nawapendaaa Wazurii😘😘😘😘
@user-gw1qt7mi5x4 жыл бұрын
nawapenda sana nyie wadada ile sana mungu awape maisha marefu kazi njema kwenu
@florahmushi7484 жыл бұрын
Kama umemuon masanja mkandamizaji amevaa koti la suti rangi ya maroon kwanyuma amepiga picha na shabiki wake then akapita chaaap gonga like kibao hapa
@rosemarryjohn1376
3 жыл бұрын
Nime muona
@user-cf7gw2gi3v3 жыл бұрын
Da nyiyi niwazuri kwakweli wasura Nadhani hata.tabia.munguawadumishe naumojawenu semeni amin
@Khadija-qr4cr3 жыл бұрын
Mashaallah wamefanana kama mapacha
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
Mungu awabariki,Ma dada Warembo Mlio tulia.Nawalov Sana Kina dada.
@khadijakhadija62124 жыл бұрын
Mashallah nimewapenda bure 😘😘😘majibu mazur pia km mapacha
@aishaseif2324
4 жыл бұрын
Yaaa wamefana
@baeyanka5264
Жыл бұрын
Wamefanana kweli
@josephkisaro13774 жыл бұрын
Kijana wa Milard Ayo, ni mjanja sana wa kuuliza maswali , ana kipaji sio taaluma tuu, hongera kwake
@saidasaid58554 жыл бұрын
Hongera qeen dalin jma ndowa ni baraka kutoka Kwa mungu ukitazama warembo wengi huckii kuolewa wanapigwa na kuachwa wakipaata bac mimba lkn ndowa kwao mh ni Sawa na kutafuna chuma Kwa meno
@israel8044 Жыл бұрын
Matilda ni bonge la actrice anajuwa ku acter zaidi ya sana naeza kusema ni number one Tz najiuliza angeli kutanaka na kanumba sijiwe ingelikuwa je ?? Jordan mayele from DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@michaelnzunda73474 жыл бұрын
Wazuli Alf wanafanana ,wanajielew..,they look as wife materials weka ndani ndo utaliona balaa lake.....
@adammwaihojo1671
3 жыл бұрын
Hhhhhhhhhh uone mziki wao
@ShSh-my8cw
3 жыл бұрын
🤣
@zainabumshihiri70414 жыл бұрын
Jaman madada zang nawapenda sana mungu awaweke kwa urafik wenu mzur aamin
@mejubaraza94154 жыл бұрын
Masha Allah nawapenda sana..majibu mazuri na pia hamna maringo
@reginaldmsofe24374 жыл бұрын
kiukweli kuna maneno mmeongea kama yapo moyoni mwenu mungu adhidi kuwalinda miaka 800 nawapenda sanaaaaaaaaaa........
@khadijahkhamis58514 жыл бұрын
Majibu kuntu sasa hawa ndio wife materials wnye akili zao
@neymwasu9298
4 жыл бұрын
Kabsa
@rahillhamidu2544
4 жыл бұрын
Tena
@biusimohamed10494 жыл бұрын
wadada wazuri hawa mashallah nawapenda bure
@user-mm5tf7yn6p4 жыл бұрын
Nawapenda saaana ❤❤🇧🇮
@gracemalashi8358
4 жыл бұрын
Nawapenda sana😘
@upendorobert72984 жыл бұрын
Nyie wadada na wa appreciate, mnajitambua sanaaaa
@bijumakassim36974 жыл бұрын
Mashaallah nyote ni wazuri wallah Allah awalinde na kila baya
@superdeeboy61003 жыл бұрын
Mashallah mko vizur dada zangu ongeren
@annaroosevelt44594 жыл бұрын
Nimewapenda sanaaaa wadada tena sanaaa
@getrudeswai4124 жыл бұрын
Love mingi kwao
@elizabethmwandu69374 жыл бұрын
Hongereni mmependeza sana wasanii wetu.
@emmyyahya83584 жыл бұрын
Nawapenda wazur km mapacha 😘😘
@christinamagasi625
4 жыл бұрын
Emmy Yahya mm lips tu za Matilda💋
@dn.n49834 жыл бұрын
Mbarikiwe sana hawa ni marafi wa kweli
@kimzhavia26534 жыл бұрын
Nawapenda mm bure ❤❤
@khadijaomar84274 жыл бұрын
Batuli🔥🔥🔥
@ngemabohero28534 жыл бұрын
nimewapenda sana 😘 .
@ayoubfadhili46954 жыл бұрын
dem akiwa na hela anataman cc tusionazo, ila asie nazo anataman mweny nazo, na hayo maisha
@mutwalesylvie74434 жыл бұрын
Wazuri wote mashallah
@mohameeddoaan2296
4 жыл бұрын
Wazuri sana
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Ya Ata mimi nilitaka sema, wazur uwq nawapendaga jaman matrida kanenepa Harafu ana shepu
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Kwel ndowa wanasemaga Ndoa ni nyinyi wenyewe eti tuli unataka niwe kwenye mahusiano
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Kwel matrida ni maalufu Lakin anaga, skendo
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Eti no koment
@gracehenry71373 жыл бұрын
Nawapenda jmn hawa wadada dah ❣️
@D-Man.B-Free4 жыл бұрын
Kwa swali la ndoa daaah imejibu kiukubwa
@sylviamwano22064 жыл бұрын
nakupenda bure Rebecca😘😘
@reahsamwel99033 жыл бұрын
Masha Allah wazuri sana
@hellenmasasi38504 жыл бұрын
Wanaonekana wana furaha sana hongera zao
@asmabintikiwa18264 жыл бұрын
Matirida love you
@najmagudeh2034 жыл бұрын
Mashaallah
@user-vv1te9fu8q2 ай бұрын
Huyu batuli mbona zamani alikuwa haongei hivi au ndio ubishoo
Mie Nadhani Tunajichanganya Sana Na Kitu Kinaitwa Mahusiano, Hivi Mungu Alituumba Tuishi Katika Mahusiano Au Katika Ndoa??? Athari Za Mahusiano tunazishuhudia Leo kwamba wanaume wanawatuhumu wanawake kuwa ni waongo, Na wanawake wanawatuhumu wanaume ni waongo pia. Kiukweli Ndoa Ndio Hasa Takwa La Mungu Na Kusudi La Mungu Kumuumba Mtu Mke Na Mtu Mume, Inakuaje Mtu Uridhie Kwamba Mnaweza Kuishi Katika Mahusiano Tu!!??? Tunamhitaji Mungu Zaidi Ili Atuongoze Katika Njia Inayofaa Kuliko Kuifuatisha Namna Ya Dunia Hii Ambayo Mambo Mengi Yamekuwa Yakifanyika Chini Ya Uongozi Wa Shetani.
@yassinizuberi80294 жыл бұрын
Safi sana tilda ake pesa na mume tofauti sanaaa
@mariamukajiru18984 жыл бұрын
NDOA NI BARAKA KUTOKA KWA MUNGU HAILAZIMISHWI WAKATI UKIFIKA MTATUNUKIWA HILA WANAUME WENGI WANAOGOPA WADADA WANAOPENDA OUTING.
@zakyahya46454 жыл бұрын
Napendaga move zenu kwakwel matlda ongea yake iko ivyo ivyo ata kwa move nawapenda sana nyie amnaga skendo mbovu wala ampendi kiki
@raphaelbruno27434 жыл бұрын
Millard cku izi ushaanza chafua vichwa vya habari na habar tofauti ndani!!
@zanderprinceton95394 жыл бұрын
Why are they putting so much pressure on women to get married ❓
@rauhiyasaidi92814 жыл бұрын
Hongereni sana
@lulucherb4774 жыл бұрын
Walembo Sana afu nyi nawapenda hamupo kwenye mitandao walembo sana
@kanikiommy5167 Жыл бұрын
Rakini vitu vitamu au ndio mbwembwe tu michezo mnaiweza au maji matupu
Пікірлер: 198
Mtangazaji upo juu,,km unamkubali Huyu kijana like twende nzetu sawa
Mashallah Mashallah Mashallah I love these Ladies. These are ladies of substance and for sure they know their purpose in this life... These are those whom wametajwa katika hadiths nyingi katika dini. “Who is the best lady?” They said , “those whom wen you look at them or feel happy.” These are the Ones... Sengo Le Matilda I love your English 👌👌👌
ila vidox nakupenda jmn unajua kuhoji MashaAllah nipe like yko nami nijidai
@vidovidox2632
4 жыл бұрын
Dylan Didaz Asante sana mtu wangu
@suzanmoshi710
4 жыл бұрын
Wadada very confidence
Namkubali Sana batulii❤️❤️❤️💪💪💪
Nawapenda sanaa nyiye wadada wawili munajiheshimu sana
@chayogasperi9783
4 жыл бұрын
Mmmmhh !!
@ayshabayun9014
4 жыл бұрын
Kwani huyo batuli aliachana na yule mume wa mtu?? nilisoma ktk mtandao I'm not sure huyo wife wa huyo mwanaume alikuwa akitukanana na batuli
Mashaallah hawa Ma Dada ni wazuri tuu.. wana sura nzuri ❤
You shall never stop amazing nesh wow.... Keep it up......mrs Tanzania. The more you grow the younger you became, be blessed with your family. Cherrylane.
Mmeendana sana jaman love Ming Ming kwenu Matilda & batuli
Mashallah...Nawapendaaa Wazurii😘😘😘😘
nawapenda sana nyie wadada ile sana mungu awape maisha marefu kazi njema kwenu
Kama umemuon masanja mkandamizaji amevaa koti la suti rangi ya maroon kwanyuma amepiga picha na shabiki wake then akapita chaaap gonga like kibao hapa
@rosemarryjohn1376
3 жыл бұрын
Nime muona
Da nyiyi niwazuri kwakweli wasura Nadhani hata.tabia.munguawadumishe naumojawenu semeni amin
Mashaallah wamefanana kama mapacha
Mungu awabariki,Ma dada Warembo Mlio tulia.Nawalov Sana Kina dada.
Mashallah nimewapenda bure 😘😘😘majibu mazur pia km mapacha
@aishaseif2324
4 жыл бұрын
Yaaa wamefana
@baeyanka5264
Жыл бұрын
Wamefanana kweli
Kijana wa Milard Ayo, ni mjanja sana wa kuuliza maswali , ana kipaji sio taaluma tuu, hongera kwake
Hongera qeen dalin jma ndowa ni baraka kutoka Kwa mungu ukitazama warembo wengi huckii kuolewa wanapigwa na kuachwa wakipaata bac mimba lkn ndowa kwao mh ni Sawa na kutafuna chuma Kwa meno
Matilda ni bonge la actrice anajuwa ku acter zaidi ya sana naeza kusema ni number one Tz najiuliza angeli kutanaka na kanumba sijiwe ingelikuwa je ?? Jordan mayele from DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wazuli Alf wanafanana ,wanajielew..,they look as wife materials weka ndani ndo utaliona balaa lake.....
@adammwaihojo1671
3 жыл бұрын
Hhhhhhhhhh uone mziki wao
@ShSh-my8cw
3 жыл бұрын
🤣
Jaman madada zang nawapenda sana mungu awaweke kwa urafik wenu mzur aamin
Masha Allah nawapenda sana..majibu mazuri na pia hamna maringo
kiukweli kuna maneno mmeongea kama yapo moyoni mwenu mungu adhidi kuwalinda miaka 800 nawapenda sanaaaaaaaaaa........
Majibu kuntu sasa hawa ndio wife materials wnye akili zao
@neymwasu9298
4 жыл бұрын
Kabsa
@rahillhamidu2544
4 жыл бұрын
Tena
wadada wazuri hawa mashallah nawapenda bure
Nawapenda saaana ❤❤🇧🇮
@gracemalashi8358
4 жыл бұрын
Nawapenda sana😘
Nyie wadada na wa appreciate, mnajitambua sanaaaa
Mashaallah nyote ni wazuri wallah Allah awalinde na kila baya
Mashallah mko vizur dada zangu ongeren
Nimewapenda sanaaaa wadada tena sanaaa
Love mingi kwao
Hongereni mmependeza sana wasanii wetu.
Nawapenda wazur km mapacha 😘😘
@christinamagasi625
4 жыл бұрын
Emmy Yahya mm lips tu za Matilda💋
Mbarikiwe sana hawa ni marafi wa kweli
Nawapenda mm bure ❤❤
Batuli🔥🔥🔥
nimewapenda sana 😘 .
dem akiwa na hela anataman cc tusionazo, ila asie nazo anataman mweny nazo, na hayo maisha
Wazuri wote mashallah
@mohameeddoaan2296
4 жыл бұрын
Wazuri sana
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Ya Ata mimi nilitaka sema, wazur uwq nawapendaga jaman matrida kanenepa Harafu ana shepu
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Kwel ndowa wanasemaga Ndoa ni nyinyi wenyewe eti tuli unataka niwe kwenye mahusiano
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Kwel matrida ni maalufu Lakin anaga, skendo
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Eti no koment
Nawapenda jmn hawa wadada dah ❣️
Kwa swali la ndoa daaah imejibu kiukubwa
nakupenda bure Rebecca😘😘
Masha Allah wazuri sana
Wanaonekana wana furaha sana hongera zao
Matirida love you
Mashaallah
Huyu batuli mbona zamani alikuwa haongei hivi au ndio ubishoo
beauties wit brain😘😘
Awo ndo wasani wanao jiheshimu afu wazuri kweli hawaringiyi uzuri wao nawapenda bure ❤❤❤
Mie Nadhani Tunajichanganya Sana Na Kitu Kinaitwa Mahusiano, Hivi Mungu Alituumba Tuishi Katika Mahusiano Au Katika Ndoa??? Athari Za Mahusiano tunazishuhudia Leo kwamba wanaume wanawatuhumu wanawake kuwa ni waongo, Na wanawake wanawatuhumu wanaume ni waongo pia. Kiukweli Ndoa Ndio Hasa Takwa La Mungu Na Kusudi La Mungu Kumuumba Mtu Mke Na Mtu Mume, Inakuaje Mtu Uridhie Kwamba Mnaweza Kuishi Katika Mahusiano Tu!!??? Tunamhitaji Mungu Zaidi Ili Atuongoze Katika Njia Inayofaa Kuliko Kuifuatisha Namna Ya Dunia Hii Ambayo Mambo Mengi Yamekuwa Yakifanyika Chini Ya Uongozi Wa Shetani.
Safi sana tilda ake pesa na mume tofauti sanaaa
NDOA NI BARAKA KUTOKA KWA MUNGU HAILAZIMISHWI WAKATI UKIFIKA MTATUNUKIWA HILA WANAUME WENGI WANAOGOPA WADADA WANAOPENDA OUTING.
Napendaga move zenu kwakwel matlda ongea yake iko ivyo ivyo ata kwa move nawapenda sana nyie amnaga skendo mbovu wala ampendi kiki
Millard cku izi ushaanza chafua vichwa vya habari na habar tofauti ndani!!
Why are they putting so much pressure on women to get married ❓
Hongereni sana
Walembo Sana afu nyi nawapenda hamupo kwenye mitandao walembo sana
Rakini vitu vitamu au ndio mbwembwe tu michezo mnaiweza au maji matupu
Mtangazaji yupo vzr aisee ameoji mbaka laha sapolaiz
wazur jmn😙😙
Mnajielewa sana ✅
Wanafanana wanaendana kwa kweli hawana skendo ,lkn ubaya ni urafiki wao labda hautodumu sababu ni waigizaji ,
video mbona hamutoi mpk chini zipo passport size tu mnakera
Matilda kanenepa huyo🙄🙄🙄🙄
Nampenda batuli mim jamani lik kwa batuli wake
Warembo 😍😍👏
@lydearrichard1971
4 жыл бұрын
Beautiful
Nawapenda sana
Wanajitambua hawa wadada
Matilda ila umenenepa, kiukweli nakukubali Sana,
Mmependeza
Yaani wewe matulida nakupenda sana ivi kwa nini ulizubutu kuzaa na mzee stivini nyelele? ulikosa wanaume wa saisi yako? nipe jibu,
Asante Millard kwa kutuongezea tangazo😂😂
Nawapenda hawa wa dada
Kweli kabisaa muhimu uthaminiwe kuliko pesa
Ad mnafanana
Qali sana vidox
Warembo😍😍
Wadada Wenye eshmazao nawapenda mno
Mie NAWAPENDA lkn rebeca punguza poz kdg....
God bless you
Hivi ni mapacha au?
Hawana maringo alaf hakun skendo kma wengine
Kuwapenda tyu
Aje kwangu awe mke wa pili
Huyo sio REBECCA ama machoyanguu
@K25795
4 жыл бұрын
Macho ako
@timedysonmwakafwila870
4 жыл бұрын
Ndo mwenyew
Wamefanana pia
Nampenda sana matlida
Like za mbasha kule
Matilda namkubali sana
Safi
Mbona munafanana Sanaa.nimapacha
Nimewapenda bure ,,, naa sijawai sikia sekendo km zawasanii nyie
Kama mapacha
Nawapenda jamani nyie wadada2
Wazuri sana
baoo la mkono litawahusu leoo
Midada mizuri hii
Naomba namba zako matilda
Wauuu Matilda eti wewe nimushauri
Mmependeza adi rahaa mnavutia
Nimewapnd bure