Baraka Shamte atapika tena, asema bora Wauw*e Zanzibar yote kuliko CCM kuachia madaraka 2025

Kada wa CCM Zanzibar Baraka Shamte

Пікірлер: 103

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna61226 ай бұрын

    Kuuwa ndio system ya ccm hio ipo kila siku nahuyu mzee hasemi kwa furaha njaaa na anaongea kilichopo ndani ya ccm

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go6 ай бұрын

    Kwani hii nchi ni ya baba yako kah Mungu yupo inshaallah

  • @ramzsule7678
    @ramzsule76786 ай бұрын

    Halafu watu kama hawa wakifa tuwaombee dua tusahau yalyopita

  • @nassorseif7907
    @nassorseif79076 ай бұрын

    Kweli naamini maneno yako mutaua mutafanya kila aina ya dhulma lamsingi mukae madarakani kama mulivofanya chaguzi zilizopita maneno yako sahihi kabisa ccm ina makucha

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki20269 күн бұрын

    Duh kiukwel shd bora tufe sote ili CCM tuu ikae madarakani, hatar haya mzee endelea kusema zaidi Ila juwa wakati firauni kafikia mwisho ma Hakuna nitakacho kaa daima

  • @maparaorigional1205
    @maparaorigional12056 ай бұрын

    Huo umri wa kua karibu sana na Allah we mzee pumbav zako mxiii

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    6 ай бұрын

    Ungemuambia Maalim seif Hilo ningekuelewa

  • @user-ri1pc5ej2t
    @user-ri1pc5ej2t4 ай бұрын

    Bora kufilicka akili&mali kuliko kufilicka akili!!!

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi12 күн бұрын

    Ujuwe ww mzee umri wako uko mwishoni sisi hatuna hofo na kifo kwa sababu niwajibu wetu Ila sisi hatuzulumu nafisi Kuna nynyi CCM je munawo uwezo wakulipa nafisi mbele ya mungu mzulumiwa halali Wala hasizii unalijuw hilo

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla81832 ай бұрын

    Huko Z'bar CCM ndio pekee wanaojua kushinda kwa njia yoyote ile, hata ya kuchinja, nk. ACT Wazalendo wao hawawezi kuchinja?? Hivyo, mwaka 2025 jiandaeni kuchinjana. Ndio maana ya maelezo ya huyo Mzee wa CCM.

  • @jaanjaan111
    @jaanjaan1116 ай бұрын

    Hapana asiyefahamu kama ccm haijawahi kushinda uchanguzi munatengemea tanganyika wao ndio walio pindua hali ngumu piga kelele upate kijio

  • @nailamohd-wn6sb

    @nailamohd-wn6sb

    6 ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @AliSalum-hw8lw
    @AliSalum-hw8lw6 ай бұрын

    Hivi weee mzeee upo sawa kweli

  • @hajimakame7211
    @hajimakame72116 ай бұрын

    Tulia Mzee achana na hayo mambo umri wako saivi umeenda na wakati umebadilika

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi12 күн бұрын

    Mm hata ccm ifanye nn sita vaaa hata tisheti yake mm sivai

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b6 ай бұрын

    Mtatoa tu hakuna Cha maisha mana nakushangaa umri huo Bado unahubiri chama mkumbuke mola wako mzee

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    6 ай бұрын

    Njaa mbaya baba

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2ziАй бұрын

    Kifeetu. Chama chenu

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp6 ай бұрын

    Uwaaa kufa watu walikufa sana tu kika nafsi itaoja mauti na italipwa kwa alicho fanya na kuagiza

  • @masoudhamad635
    @masoudhamad6356 ай бұрын

    Mzee jipinde kuipenda ccm ili ikawe muombezi mbele ya Allah

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi12 күн бұрын

    Ukumbuke utakufa na CCM itakufa kafa mtum je CCM Lana tu uwah ww mwenye kujielewa kam atalipwa na mola wake haongozi nchi kwa zula et fanya haki Kama kweli nynyi niwadilifu cheka duniani ukalie kaburin

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z6 ай бұрын

    Nyinyyi munataka siasa za ubaguz mwinyi hatak siasa hizo mm Act ila nakubal mwinyi

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s6 ай бұрын

    Ndo mwisho wa kifikiri kwake.

  • @abubakaradnan4689
    @abubakaradnan46896 ай бұрын

    Wewe ni fitna mkubwa sana mambo anayoyafanya mheshimiwa ni mazuri anakila sifa ya kushinda kua Rais na watu watambigia kura mpaka 2030 Mwinyi Oyee

  • @abdallahally842
    @abdallahally8426 ай бұрын

    Zee Zima mguu duniani mguu akhera badala kumuomba msamaha mola wake Kwa kuua yeye ajisifu kuua watu laana ya kuua inamla

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p6 ай бұрын

    Daaaaa ila ipo cku ...😢😢😢😢😢 ccm 😢😢😢😢😢😢

  • @alikidungura9419
    @alikidungura94196 ай бұрын

    Umesema kwelikweli kuwa piga uwa CCM lazima ishinde kwanguvu ama kwahiyar

  • @YussufJumaOmar-pe8yg
    @YussufJumaOmar-pe8yg6 ай бұрын

    😂😂😂😂mashuduuu

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira54116 ай бұрын

    Mbawa Wewe "Allah akulani

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle2 ай бұрын

    Ndiyo maana kumbe mnaua

  • @khamismaulid6839
    @khamismaulid68396 ай бұрын

    Hili lizee shenzi sana limejisahau kama firauni duh hatari huyu niwakufanywa kama samuel doe wa liberia

  • @shariffali-pu4wj
    @shariffali-pu4wj6 ай бұрын

    wach uchok kua na aibu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72956 ай бұрын

    Njaa mbaya,,,

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2ziАй бұрын

    Na. Ahera. Mukaseme. Hivyohivyo

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif8606 ай бұрын

    Firauni na jeshi lake kaondoka, je ninyi kamasi

  • @khalidibrahim4579
    @khalidibrahim45796 ай бұрын

    Unasema uwongo Misikiti yote watu wakisali Kulikuwa miskiti ya Ibadhi Hafukuzwi mtu Halafu wewe baba ako ndio aliokuwa prime minister hiyo serikali unayoita ya warabu Cabinet yote waraabu walikuwa3 Walobaki washirazi Muhindi mmoja Comorians 2 Na wa swahili Wewe unalaana ya baba yako

  • @HassanMchoro-nh9gv
    @HassanMchoro-nh9gv6 ай бұрын

    Ww Babu mkundu nini ww umuwe Nan mjinga ww mbwa ww katafute bwana ushaishiwa ww

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    6 ай бұрын

    Umekwisha utaishia kutukana Rais Hussein oyeeeee ccm juuu juuu zaidi nenda kageuzwe

  • @salyali7807

    @salyali7807

    6 ай бұрын

    @@margarethpolepole7438 CCM oyeeeee.. watu wananufaika nyie munaachiwa na magwanda ya CCM ... 🤣🤣🤣. Slavery intellectual zinalala hushtuka usiku watu washamaliza

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma19696 ай бұрын

    Uzuri umesema ukweli Ili ACT wazalendo wajuwe kama hii nchi haipatikani kwa kwa karatasi za kura

  • @kisa6022

    @kisa6022

    6 ай бұрын

    Wewe ni mmoja wa watu wema kabisa kuyaunga mkono maneno ya baraka shamte MashaAllah

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi4 ай бұрын

    Umri ushaenda dingi Daru tengeneza unapokwenda kesho kiama umeandaa nn wewe mzee bwege achana na vyama tena

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif8606 ай бұрын

    Mpumbavu sana uyu mzeee

  • @mohammedsalehsharyani6973
    @mohammedsalehsharyani69736 ай бұрын

    Allah kadir

  • @abubakarahyan9515
    @abubakarahyan95156 ай бұрын

    Ass'taghfirullaah, jenga akhera yko ww mzeee, kauli hzo mbya zitkuponza mble ya Allah, usisem ccm haijaumbw kushindwa vyvyote itkavyokua wafe watu wote ila ccm itawale mtihni huu vymaa iv ni mambo ya mpito Na mapambo tu ya dunia visit ufnye kubebe dhima mbele ya Allah hko kil mtu Na a Mali yke hkuna kumsaidiana.

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z5 күн бұрын

    Kibele kunakuhusu

  • @alisalimo2861
    @alisalimo28616 ай бұрын

    Wewe mwana Mapinduzi utakwenda mwambia mungu kama wewe umepindua Na umechukua mashamba yao uwende ukatambe hivo hivo mbele ya mungu tena kwakiburi na kutokana hapa hamchukuwi uri huo bada yakula ukatubia we wataka tonge bado waliopindua walikua na lengo we msaka tonge

  • @pandungozi1072
    @pandungozi10726 ай бұрын

    😂😂😂😂😂kudadadekiiiii😂😂😂😂

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52416 ай бұрын

    Dahhhhh😂😂😂😂😂😂😂

  • @nailamohd-wn6sb

    @nailamohd-wn6sb

    6 ай бұрын

    Khatarii 😅

  • @saeedabunajash6235

    @saeedabunajash6235

    6 ай бұрын

    Naam!! Huo ndio ukweli wa ccm na wala tusishangae, hilo ndio Catholic imeuwa 64, na kila chaguzi. Kwa hio anasema kweli Baraka Shamte chawa wa kikatoliki

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt5 ай бұрын

    Na inshallah UTAKUFA, kabla ya chaguz

  • @khamisjuma3841
    @khamisjuma38416 ай бұрын

    Anasema achume yeye ,apike yeye, apakue yeye kisha akae na njaa hii inamaana kua haiwezekani uchaguzi waandae wao watangaze wao kisha iwe wameshindwa.

  • @Mkombozi255
    @Mkombozi2555 ай бұрын

    Huyu mzee kama namuelewa vile😂

  • @rashidomar2771
    @rashidomar27716 ай бұрын

    Allah akushinde ,na azishinde dhamira zako mbovu ,na kwa umri huo kariibu unaelekea kwake utakwenda kumjua allah ,,na akhera ni nini ,,shabikia tu dhulma na kufurahia kuuliwa na kudhulumiwa watu nchi hii ,ni lazim utakwenda kuona tu faida yake huko tuendako,,tubu kwa mola wako mzee wewe tena shauri yako...

  • @RashidAli-rn3ro
    @RashidAli-rn3ro6 ай бұрын

    Dah imembidi achenguke kiasi flani

  • @adamsoud4862
    @adamsoud48626 ай бұрын

    Anazungumza baada ya kupata adabu huyo mpuuzi tu mwache aporoje mshenzi tu

  • @user-sl2hk8wp1p
    @user-sl2hk8wp1p6 ай бұрын

    Wenzako ni paka lkn wewe jitazame hiyo sura yako nguruwe anaafadhali mbwa mkumbwa muulize sefu Ali iddi na salimini wewe unaubavu kuliko alivokuwa salimini jee wako wapi

  • @salyali7807
    @salyali78076 ай бұрын

    Mikwaju hayajamtosha bado ...

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim6 ай бұрын

    Lkn ulikua humtaki ,ulienda tu kumpigia compain

  • @fatmasaid9074
    @fatmasaid90746 ай бұрын

    ccm oyeeeeee

  • @YussufJumaOmar-pe8yg
    @YussufJumaOmar-pe8yg6 ай бұрын

    Mashuduu😂😂

  • @MetrixJohn-cx5jb
    @MetrixJohn-cx5jb6 ай бұрын

    NISAWA LAKINI KUNA KABURI LAKUNGOJA HUVUUKI TENA MIAKA KUMI APO ULIPO IMMA UPO KITANDANI AU KABURINI

  • @hassansugha5935
    @hassansugha59356 ай бұрын

    Unasikia wavyopazwa ivoo

  • @saidhamad9723
    @saidhamad97236 ай бұрын

    paka ni nani mnafiki weweee

  • @SalehSaidmbarouk-pu9jq
    @SalehSaidmbarouk-pu9jq5 ай бұрын

    Wamepita kuliko wewe na hawapo.

  • @msabahaali758
    @msabahaali7586 ай бұрын

    huyu mzee mjinga sana sisi tunajua kua ccm imekufa na kimepoteza mwelekeo ni chama cha kutumia maguvu halafu ww si ushafikizwa

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    6 ай бұрын

    Msabaha wewe hupendi maendeleo unataka Warabu waje wakyfsnyie mchezo mbaya nfiyo ujue wamekuletea maendeleo Hussein muache achape kazi njaa inakusumbua nyau wewe

  • @salyali7807

    @salyali7807

    6 ай бұрын

    @@margarethpolepole7438 mchukueni jamaa yenu wa bara Huseni hatuna haja nae zanzibar... weshakula fadhila za wazanzibari.. warudi makwao mkurunga

  • @salyali7807

    @salyali7807

    6 ай бұрын

    Sawa sawa... Huyu mzee ile mikwaju haikumlea vizuri.. asubiri mikwaju ya Allah sasa

  • @nassorseif7907

    @nassorseif7907

    6 ай бұрын

    ​@@margarethpolepole7438wewe unakili mgando mwarabu gani atarudi hapa wewe kweli matope njaaa inakuaumbua

  • @fahmysaid-zw4np

    @fahmysaid-zw4np

    6 ай бұрын

    @@margarethpolepole7438 hao warabu hawana haja ya ivyo visiwa ambavyo maji tub ni mtihan umeme tuh wa mgao halaf waache kwao waje huko kufata nini cha ajab ambako kwa waarab hakuna

  • @seifmohamed8725
    @seifmohamed87256 ай бұрын

    Yaani umekwabuka uso .ushafanana na sokwe bado tu hujajitambua kama unaelekea kaburini bado tu unafikiri ubaya !!!!?

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    6 ай бұрын

    Nani anatakauyimwa sasa hivi wa kugeuzwa nyuma na mbele pole kama unaku.bukia waarabu kwa heri na wakija wako chini ya Himaya ya Hussein mwinyi Kwa masharti pumbavu zako unaetaka uyumwa mpaka leo

  • @salehkhalfan7345

    @salehkhalfan7345

    6 ай бұрын

    ​@@margarethpolepole7438Hem kajifunze walau kuandika jpo Kiswahili kwnza Wazanzibar wenyew watasem na sio ww

  • @khatibabass3106
    @khatibabass31066 ай бұрын

    Unaongea nn wewe mzee mpuuzi nn

  • @khalidmwinyi1981
    @khalidmwinyi19816 ай бұрын

    Hahahaha

  • @rashid3562
    @rashid35626 ай бұрын

    Puumzi tu inakuhadaaa ww mzee

  • @saidabdala4980
    @saidabdala49806 ай бұрын

    Huyu ni black yahud. Hili ni kafiri kwanini anawachukiya warabu sijui walimtafuna zamani.mwangaliyeni nyusi katiya rangi. Jitu zima hana hata haya. Haya ni marazi kweli. MUIENGEREZA ndio aliwatumiya hawa WATU kufanya MAUWAJI 1964. Kwasababu walikuwa hawana AKILI .ndio wakahadaiwa kupitiya kwa NYERERE. .kichwa ka ma firauni

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    6 ай бұрын

    Hata wewe ndiyo kazi yako maana unawapenda ccm oyeeeee kazi inaendelea umekwisha nenda kachezewe

  • @salyali7807

    @salyali7807

    6 ай бұрын

    @@margarethpolepole7438 watumwa wa wakoloni utawaona tu ... vifuu Tundu ... hata akili zenu za ki slavery hazina fikira.. mushadumazwa na wazungu...

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    6 ай бұрын

    @@salyali7807 pole sana wewe nenda ukatawaliwe na Waarabu kwa Tanzania bara hatuwataki oengine huko kwenu zanzibar tena tunataka serikali tatu kila mtu akae kwao nyie mliojaa huku rudini kwenu na wa huko wa bara warudi huku hatutaki warabu

  • @salyali7807

    @salyali7807

    6 ай бұрын

    @@margarethpolepole7438 naona unazungumza utumbo tu ... akili chege

  • @hatibbaraka3956

    @hatibbaraka3956

    6 ай бұрын

    Ni propaganda unajua zinazowasumbua,maana ukiangalia hizo nafasi zinazotolewa na viongozi wetu wanapoenda kwenye nchi za uarabuni ni nyingi,waje waekeze Tanzania sasa mbona serikali haiogopi!

  • @najashdawood9680
    @najashdawood96806 ай бұрын

    Wewe Mzeee Mjinga wa wajinga aaaaaaa.

  • @AmisseSulemane-sb4re
    @AmisseSulemane-sb4re6 ай бұрын

    Ccm gani wewe umekonda kama mbwa Koko una njaa wajipendekeza na hutakiwi

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    6 ай бұрын

    kukonda ni kitu cha kawaida muachrni mwenzenu afanye kazi wewe uliyenenepa unagruzwa na waarabu ilooooo sibu tele

  • @salyali7807

    @salyali7807

    6 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5uk6 ай бұрын

    Utakufa wewe mwanzo

  • @zuwenasaid9707
    @zuwenasaid97076 ай бұрын

    Asante bwana mkubwa ila mche mola wako hii dunia tunapita wewe uwa ila hakim wa haki anakusubiri dhalimu mkubwa loooh

  • @hajimakame7211
    @hajimakame72116 ай бұрын

    Wee Mzee Sasa unayaamsha unawachokoza ccm WENZIO sio kama huwajui siku za karibuni uliwachokoza ukaletewa wasiojulikana Sasa Bado hujakoma . Ushauri wa Bure nakuomba tulia Mzee wachie vijana hayo mambo utapotea uwape tabu watu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74386 ай бұрын

    Hampati kitu Ccm itachukua ushindi kwa kishindo maendeleo Rais Hussein kayaleta kwa kasi kwa muda mfupi hamna shukrani Ccm iko juu zaidi Zanzibar inataka kuwa Dubai nenda zako una lana ya kwanini

  • @salyali7807

    @salyali7807

    6 ай бұрын

    Kwa kasi kweli njaa iliokithiri na watoto wetu kuharibiwa... haijawahi kujifikia daraja hii zanzibar.. Hussein katuletea laana kwa kishindo kikubwa zanzibar

  • @salehkhalfan7345

    @salehkhalfan7345

    6 ай бұрын

    Huyo unaebishana nae ndio haohao wakuja kipind cha Mwenge

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    6 ай бұрын

    @@salehkhalfan7345 hahaha hahaha

  • @isaliisu3408

    @isaliisu3408

    6 ай бұрын

    Haina haja yakushindaniya ujinga pigeni kura hesabuni kura ataeshinda tuone sote alishindaje na aliyeshindwa tuone sote kashindwaje vikosi vikae pembeni Tume ya uchaguzi ifate sheriya zote za uchaguzi zanziba ni yetu sote awe mweusi kama Tairi ya gari au awe mweupe kama chokaa muhimu ni mzanzibar wa kweli siyo hata sehemu ya kuzikwa huna halafu useme wewe ni mzanzibar

  • @salehkhalfan7345

    @salehkhalfan7345

    6 ай бұрын

    @@isaliisu3408 Watamsifia miaka tu na kukodi hadi machawa wasifie lkn ukifika Uchaguz hawathubut kauchia Raia kufanya uamuz wao kw njia za haki

  • @zakariakhamis3269
    @zakariakhamis32696 ай бұрын

    Hili zeee halina akili kwao tabora hili umepindua mumeua watu

  • @user-sl2hk8wp1p
    @user-sl2hk8wp1p6 ай бұрын

    Muungu akupe nguvu uwauwe hao paka wote akuwache ww na mkeo tu duniani alikuwepo firiana alikuwa na guvu kuliko mtu yoyote hapa duniani jee yupo? Wewe unataka kuonekana tu umepiga kampeni wapi

Келесі