BANDARI YA DSM: KINACHOENDELEA CHINI YA DP WORLD/ MKURUGENZI ATOA SOMO

BANDARI YA DSM: KINACHOENDELEA CHINI YA DP WORLD/ MKURUGENZI ATOA SOMO

Пікірлер: 38

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa721518 күн бұрын

    kweli kazi inafanyika, Hongera sana Mama Samia

  • @Ba63828
    @Ba6382818 күн бұрын

    Fantistic developments asante kwa taarifa

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo442718 күн бұрын

    Safi Sana Mama Samia suluhu Hassan 🙌

  • @fredducaunt

    @fredducaunt

    15 күн бұрын

    Chaw

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d16 күн бұрын

    Angalia jitu jinga kama hili eti linawakaza watanzania wasiwape ushitikiano wawekezaji mhuuu

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi587118 күн бұрын

    Huu ni uhuni mbona vinatajwa havionekani 😂😂😂😂😂😂

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d16 күн бұрын

    Hakuna ujinga hapo Bali wewe unaesema wewe ndio mpumbavu unachuki binafsi na mama

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb17 күн бұрын

    Apo niujinga 2 hakuna jipya washenzi ninyi sioni mabadiliko mimi hapo

  • @yusufurhobi9678
    @yusufurhobi967817 күн бұрын

    Mama kasema bandari inaweza kulisha nchi nashangaa mnatafuta kiki ya picha za meli badala ya kutafuta kiki ya maokoto yaliyoletwa serikalini.

  • @JamesChrizestome
    @JamesChrizestome17 күн бұрын

    Kweli hayo yanayoongelewa au?

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo442718 күн бұрын

    Wataelewa tu piga kazi Mama wenye akili timamu na wazalendo wa hili taifa tunakuelewa

  • @mwalimumstaafu8529

    @mwalimumstaafu8529

    18 күн бұрын

    Tuache uchawa. Anayeongea hapa ni Mkurugenzi mpeni maua yake.

  • @Misheckkazilist-cv2hb

    @Misheckkazilist-cv2hb

    17 күн бұрын

    Acha ujinga wewe unahakili timamu kweli ama m aise

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d16 күн бұрын

    Nakusudia miladi alioicha magufuli yote kaimalizia halafu yule mama pale kwenye nafasi kawekwa mungu yeye hata ikieneza chuki ili watu wsmchukie ni bure Tu jambo alolipanga mungu binadamu hawezi kulipsngua mtamsikia Mtu mzima Tena kiongozi wa Kiroho anatangaza upumbavu wake oo samia kakataliwa na mungu wewe Nani mbele ya mungu mpaka uyajua hayo ?wewe hata ukichukia Yule mama ndio kashakua raisi wako unataka hutaki ni hivyo hivyo

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon106418 күн бұрын

    KUNAWATU WALISEMA BANDAR IMEUZWA KWAN VIP TENA AU ZILIKUWA N SIASA 😂😂😂 SAMIA MITANO TENA IMEISHA IYO😂😂

  • @lucymsheshi5871

    @lucymsheshi5871

    18 күн бұрын

    Wautoe mkataba yaonekane yaliokubalika katika mkataba

  • @jekoniarubeni4609

    @jekoniarubeni4609

    17 күн бұрын

    Alisema mwenyewe imeuzwa

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    15 күн бұрын

    Hata ukiuoneshwa huo mkataba unaweza kusoma au ni kihererhere tu choko wewe?​@@lucymsheshi5871

  • @josephkmarwa7425
    @josephkmarwa742514 күн бұрын

    Sawa .meli..tumeiinna...umepunguza. ugumu..wa..maisha.. je..mpina..kila. kitu..bei..iko..juu..hayo..maneno..sio..maisha.👣👣👣👣👣

  • @deohaule8161
    @deohaule816118 күн бұрын

    Huu ni upuuzi, kama serikali ili weza kutengeneza gati kwanini ishindwe kununua mitambo? Kwani DP world ana nunua wapi hiyo mitambo kama sio kwa wachina. Tatizo serikali yetu ina viongozi wasio taka kufikiria Tanzania yakesho matokeo yake wana fikiria majawabu ya leo ili wafaidike kipindi wako madarakani matokeo yake wanao umia ni watanzania wengi

  • @soudmoshmnyika5813

    @soudmoshmnyika5813

    18 күн бұрын

    Najua watu kama ninyi hamkosekani, mitambo mingapi imekuwa ikinunuliwa na ikiharibiwa makusudi na watendaji bandarini, unataka kila siku kodi za wananchi ziwe zinaenda kununua mitambo ambayo haina faida kwa wananchi na kodi zao

  • @deohaule8161

    @deohaule8161

    18 күн бұрын

    @@soudmoshmnyika5813 Kwasabu anae hujumu ni mfanyakazi wa serikali na si mtu binafsi, kwahiyo unacho sema ni kwamba serikali imeshindwa kusimamia bandari. Kama imeshindwa kusimamia bandari basi inabidi iachie ngazi wengine wachukue nchi.

  • @killy_hoffman2698

    @killy_hoffman2698

    18 күн бұрын

    chochote kile cha serikali huwa lazima kuwe na uzembe na rushwa za hovyo....private sector wanapokuja kusaidia kwny management inaipunguzia serikali hasara kubwa

  • @deohaule8161

    @deohaule8161

    17 күн бұрын

    @@killy_hoffman2698 huo ni uzembe, wezi ni hao hao viongozi. sasa kama private sector inasaidia kwenye management kwanini makampuni ya wazawa yasipewe hizo nafasi kwenye kusimamia management ya bandari? Kwani Tanzania haina makampuni makubwa yenye international exposure ambazo zingeweza kusaidia kupunguza au kuondoa ubazilifu. Kwanini nchi nyingine ziweze kusimamia bandari zao sisi tushindwe?

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    15 күн бұрын

    Tatizo huna akili bali unaendeshwa na chuki dhidi ya Samia,toa ujinga wako humu.

  • @rommyshabby3959
    @rommyshabby395914 күн бұрын

    Viva Burkina Faso kwa kukata utumwa wa kizungu

  • @RaphaelHhari
    @RaphaelHhari16 күн бұрын

    Sawa pole mambo hayo yalipaswa kuwa yameshashulikiwa miaka thalathini yaliyopita

  • @Beauthoms

    @Beauthoms

    16 күн бұрын

    Wewe ndo mjinga unaeponda kila kitu kana kwamba amna kinachofanyika nchi hii

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d16 күн бұрын

    Kuna watu wana akili ya watu wa libiya Gadafi aliwafanyia kila kitu lakini bado wakamuona hafai matokeo yake ndio yale mama samia anapambana sana Kazi yake inabezwa kwachuki binafsi Tu miladi alioacha yote kaimalizia kaanzisha mingine mingi nayo inaendelea nyinyi unataka Afanye nini jamani mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake

  • @mohammedamour4930

    @mohammedamour4930

    11 күн бұрын

    Safiii mama

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi763718 күн бұрын

    Tumeisha anza kuingiza au bado?

  • @yakobokuzenza6837

    @yakobokuzenza6837

    18 күн бұрын

    Tayari asilimia 15 ya gawio limetolewa kwa serikali.Vipi bado una jingine la kupotosha?Maana mlitaka kutuaminisha bandari imeuzwa.

  • @soudmoshmnyika5813

    @soudmoshmnyika5813

    18 күн бұрын

    Baada ya kutolewa gawio hilo wapingaji wakasema sio DP World, ni TPA wala hatuna haraka nao ngoja mda utaongea

  • @yakobokuzenza6837

    @yakobokuzenza6837

    18 күн бұрын

    @@soudmoshmnyika5813 ww ndio mpingaji mmojawapo.Wapingaji huwa wapo kila sehemu.Na hao mara nyingi ni mawakala wa shetani

  • @mvunge7108
    @mvunge710817 күн бұрын

    Watz msiwape ushirikiano hao

  • @suleimanh1826

    @suleimanh1826

    17 күн бұрын

    Hatukupi ushirikiano wewe unayetaka kutugombanisha. Tulia uangalie maendeleo yetu. Tz one love

  • @nassercurtis9579

    @nassercurtis9579

    16 күн бұрын

    Utawapa wewe kazi, mbona mwehu kiasi hicho, hivi serikali inaweza kumpa mtu uwekezaji bila kupa faida, huu ni ushindani wa kibiashara, kama ni mfuatiliaji mzuri angalia Kenya wana bandari moja tu na nusu tatu wamiliki ni Marekani, Tanzania ina bandari karibu kila pande ya nchi, mfano Lindi, mtwara, kilwa,Tanga, Bagamoyo, pangani, na sehumu nyengine nyingi mno zinaweza kuanzishwa bandari, hivyo hawa jamaa wakienda kinyume itakula kwao. Mfano Tanga ina asili ya kina kirefu bila kuchimbwa au kuongezwa na pia meli zonafika Tanga, hivyo serikali kufanya hivyo ni sehemu ya kupunguza majukumu ya uendeshwaji kwao lakini huku wakipata faida na wàtanzania wakipata ajira, si kitu rahisi Tanzania ya sasa inakuwa kwa kasi sana na watu huongezeka mno, tumepata uhuru tukiwa watu milioni nane mpaka kumi na mbili milioni, leo hii tupo milioni zaidi ya sitini na tano, baada ya miaka sita kuanzia sasa dar es salaam peke yake itafikia watu milioni kumi hiyo ilikuwa idadi ya watu wa nchi nzima, dodoma nayo inaanza kujaa taratibu hayo yote ni majukumu ya serikali kupeleka miundo mbinu ikiwemo bara bara reli mahospitali ya hadhi ya kimataifa ongezeko ya vyuo vikuu na mashule, hivyo msichukulie kawaida. Twendeni na muda tuache kulalamika tuiachieni serikali ifanye kazi yake na tuipe sapoti kwa ajili ya kesho ya vizazi vyetu, watakuja kufanya mabadiliko hata ya kwatoa hawa wawekezaji tunaowaona hawatufai mikataba yao ikikapo kikomo. Hata kama ni miaka hamsini watoto wanaozaliwa sasa na watakaozaliwa miaka kumi ijayo ndio watayoitoa Tanzania kimaso maso, maendeleo hutaka uvulimivu na wakati mwengime pia kujivalisha mabomu si kutaka kufa ila tu ni sehemu ya kutaka mabadiliko ya lazima.

  • @fredducaunt

    @fredducaunt

    15 күн бұрын

    ​@@suleimanh1826mpigaji mmoja wapo

Келесі