Келесі
- 25:32
- 345 М.
- 25:07
- 433 М.
- 00:51
- 1,3 МЛН
- Күн бұрын
- 00:17
- 35 МЛН
- 8 күн бұрын
- 00:12
- 19 МЛН
- 13 күн бұрын
- 01:00
- 9 МЛН
- 9 күн бұрын
- 32:56
- 162 М.
- 15:45
- 1,4 М.
- 13:55
- 1,9 МЛН
- 35:19
- 292 М.
- 35:37
- 225 М.
- 1:00:49
- 4,4 МЛН
- 20:48
- 3,3 МЛН
- 22:35
- 205 М.
- 27:28
- 220 М.
- 0:12
- 1,5 МЛН
Пікірлер: 301
Hongera kiongonzi sema kunanitu hapo imezingua kidogo. Macho HAYO kiongonzi yanatosha na Kamela Man anagandisha SANA usoni kalibuni kuedti kidogo
@MikeKanyerere
Ай бұрын
Kabisa amezingua
Hongereni sana baba karobo kazi nzuri sana watching from Kenya 🎉🎉🎉❤
Hujawahi kukosea baba joahn una ubunifu wa peke yako mungu akutangulie
@flaviuspaurin
23 күн бұрын
pole bab joani unapitia magumu uyu mwanamke hatohiona pepo
Nzuri.. watching from Kenya
Hongera sana baba karobo..kazi nzuri..macho daa yanazingua...kama kamela❤❤.. watching from Nairobi Kenya...I like you guys..npeen likes
Baba Joan. Nakukubal broo maana ukimaliza movie hii unakuja na hii Wala huchelewesh. Mungu azid kukucmamia kiongoz
Hayo macho yanatisha sana kwani vipofu wanakuanga na macho hayo
@haruniblackson1318
Ай бұрын
😂😂😂
@sharifahemed6328
29 күн бұрын
😂😂😂
Uyu dada mwenye roho mbaya nakupa maua yako unajua sana🎉🎉❤❤❤❤❤
Nimewahi naomba like zenu lakini baba Joana unacheza vizuli😢😢
😂😂miwani za wachomelea mageti asee kwahyo vipofu ndo wanavaaga za hvo😂
Huyo mtoto wa maajabu mashallah 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ila kibamia ako vizuri jamanii mashallah anajua sana ku act❤❤❤mama karobo nae mashallah ❤❤❤
Nimeianza atakama nimechelewa lakini lazima nipitie❤❤❤ macho yanatisha😂😂
@user-zm8wo1ue7e
Ай бұрын
Kwel Daaah had naogopa
@IslamPeto-fd6wr
26 күн бұрын
Umeona eeh hata mi yamenitishia
Nafikiri ni mimi pekeake niko addicted na movie za baba Joan kama unakubali nifinyie tukisonga pamoja
I LIKE THE WAY U FIGHT
Kazi zuri baba joan i personal i like it
Baba Joan upo vzr sana
Imenigusa sana kiukwel
Kazi nzur sana
Mashaalah Baba karobo hongera Sana kuigiza kipofu sio kazi ndogo
hayo macho bro umezengua sana
saf sana mungu akuongoze baba joan
@user-vk8ju7wn8w
5 күн бұрын
Jambo
Nafuatilia kutoka Kenya nipeeni Likes❤❤
Vaa bhana miwani wenzio tunaogopa mimacho yako japo kazi yako nzur sanaaaa
@BabaJoani
Ай бұрын
Tutarekebisha suala la macho
@user-ou2yq7sf5k
26 күн бұрын
Kwer kabisa
Sijaona video nzuri kama hii hongera sana🥰🥰
Jamanii movie nzuri sana😢😢😢 inasikitisha daah🎉🎉🎉
I like it 👌 kazi zako zipo vizuri Baba Joan na zina mafunzo hongera
@BabaJoani
Ай бұрын
Asante
Hongera sana baba Joan unaelimixha jamii kw kweli
Ee umekuwa kivingne mwaya ingawa hayo macho yanatisha
Sweet video hongera baba joan❤❤
Baba joan hayo macho utanifanya niote😂
@BabaJoani
Ай бұрын
Usiote
@enockmichael7472
24 күн бұрын
@@BabaJoanindo myabadurishe sasa maana yanatisha sana mwonekano sio kabisa
@monsurejr8533
19 күн бұрын
Muendelezo vp baba Joan au baba karobo
@monsurejr8533
19 күн бұрын
@@BabaJoaniMuendelezo vipi baba Joan au baba karobo
@NeemaMdoe-sr6ci
16 күн бұрын
Sio kuota tu kuweweseka
Much love From Kenya ,tunapenda kazi zako kaka
Baba Joani umetisha utafika mbali❤
kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤
Jaman hapo kwenye kubaini rangi ya ndala nikipengele #sio kwa ubaya lakin
@sharifahemed6328
29 күн бұрын
😂😂
Hongera kazi nzuri sana❤❤❤❤🎉🎉
Tumeanza pamoja na tunamaliza pamoja mungu akipenda
@user-yt1qw8bm9p
29 күн бұрын
Ishallah 🤲🤲
Kazi nzuri sana team baba joan
Hayo majina tu ndio yamenichekesha,etyi KAROBO,KIBANIO🤣 Ila hayo macho yanatisha asee
Kazi nzuri sana daddy 😊
Pongez kwa wahuska wote jmn❤❤❤
Ak muko vizuri sana I say, mungu azidi kuwapa nguvu na maarifa ili mzidi kuwa maarufu zaidi.... Watching from Mombasa Kenya.❤❤
Nimewahi kwa bb yangu kipofu 🎉🎉🎉🎉🎉
Kwenye macho mmezingua sana
Hongera sana Babajoan hujawahi kukosea mimi naona ndio shabiki ako no 1 Hii ni fire 🔥🔥 naona umeamua kututoa machozi daahh unaweza sana BABAJOAN Mungu akuongoze vyema
Unyama
Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
.kaz nzur sanaaaaa
Kutoka Kenya ❤❤❤
Baba joan God bless you kwa hii watu watalia sana usiache njiani tutaumia sana MUNGU akuongoze vyema
KAZI nzuri sana lakini jicho limekua kubwa sana
baba Joan, hongela sana kwa ukakamavu wako, endelea na moyo huu huo kutuelimisha.
@BabaJoani
Ай бұрын
Asante
Macho gan hayo jaman uwii baba joan uje nawe uangalie hii movie uone hayo macho kwanza vipof mbon hawapo hivo
@Nashoora8
26 күн бұрын
😳😳🤣🤣🤣
@maryammaryam7354
25 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
nimeipenda sana nakumbuka watoto wagu walivyo teswa na mama wakambo na mimi mwenyewe niko hai baba yao pia yupo hana nafasi na watoto uchawi ni mbaya sana
Sema kaka Narendra sena venye munachapa kazi.
Hongera Sana ipovizuri sana
Kutangulia sio kuvika, nimefika salama baba joan na team yako hongereni sana kwa kazi zuri🎉🎉🎉🎉🎉
Hongerani sana jamani
Am Peter from Kenya hongera sana
Respect ❤❤❤🎉🎉 kazi nzuri
Baba joani mm nishabiki yako sana ila macho umeweka nini hadi naogopa
I always like your videos you have a nice talent
Macho umeharibu
Ayo macho yameniogopesha jamni yapunguze kidogo eti mana duuuh
Hongereni sana wote muliyo shiriki kwenye hihi movie Congratulations 🎊🍾🎉 ❤❤❤❤
Kazi nzuri ila ayo macho... 😢😂😂😂😂
Wakumi namoja wapi like za babajoan
Good job katoto kamecheza vizuri Aya tunyesheni seemya pili
Kazi ni nzuri hii jamani
Kazi nzuri ssna❤❤❤❤
Huyu Zujat naweza mpata aje angaa tuongee anivutia sana huyu mdada unayemjuwa naomba uniconnect naye
Nice
Hapo sawa baba
Kazi nzuri sna baba joahn am watching from kenya
Bongezi sana brother Elly happah from Kakamega Kenya
I love movie ya Bb Joan gd job
Good job
Tarented babajoan uko vizuri hujawahi niangusha
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤daa 🤱🤱🤱🤱🙏🙏🙏👌👌💕💕
Hongereni baba Joan kwa kz nzuri 😊
I love this movies,inamafundisho mazuri sana..naomba episode 5,6,7,8...please broo
Thumbs 👍 up Baba Joan, following your movies from Kenya Marsabit county
Nimeipenda hii kazi ninzuri❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ babajoan I love your movies
Huyu mtoto sio jamila akiwa mdogo sio kwakufanana hukoo
Hongera
Wow this movie has made me cry , amazing works and continue with such educational movies kazi nzuri sana. Watching from Zambia 🇿🇲
Duuuuuuu kama kambo vile mbona rohoo korosho huyuu mama😢😢😢😢huyu mama ndo mchawi sio kwaukali huu
sijachelewa sana wap likes zangu kutoka kenya
Mzee mm naishi na kipofu og hana macho ya hivyo umezidisha mkuu kama jini la mayele😂😂😂
Macho baba Joan unatutisha bwana 😱😱😱
@BabaJoani
Ай бұрын
Narekebisha
Hello wangwana hili movie ya Baba karobo yanapendeza sana,nauliza kunayo episode 10 na mwisho ni ipi,asanteni kwa kazi njema
Kazi nzuri baba joan 🎉🎉🎉🎉
Jaman mbona macho yanaogopesha iv
Pole sana yahuma kalobo
Kazi nzur sana kaka hongera
Uko safi na sichoki kukufatilia zina mafundisho sana.
Kazi njema
Rafiki mnafikiii 😢😢😢😢😢😢 jaman sasa hapa mlimpofusha ilimumiliki nn ama xambii tuu...
Hongera sana kaka Iko pwa sana🎉
Baba Joan nimemmiss Batromeo Jamani❤❤❤❤❤ BURUNDI 🇧🇮 twawapenda sana