SNAKE BOY | ep 26 | SEASON TWO

Ойын-сауық

Follow Me On Instagram
/ clamcris_
Tiktok:
/ clam_cris
Facebook:
people/CLAM-...
#Clamvevo #Vevowood #Nollywood #Bongomuvi

Пікірлер: 2 400

  • @yahyamohamed7218
    @yahyamohamed72182 күн бұрын

    Dakika 6 tu kuna watu zaidi ya 30 wanaomba likes badala ya kutoa maoni kuboresha na kusupport kazi nzuri 🤣🤣

  • @OfficialKajenga

    @OfficialKajenga

    2 күн бұрын

    Ata wew mwenyewe uliosema hiv ili ujue umepokelewa vizur lazima uangalie like

  • @salvatakiseo3359

    @salvatakiseo3359

    2 күн бұрын

    Wabongo vichwa vibovu Ndio maana tuko mbele kwenye ujinga kuliko vitu vya maana

  • @user-ic7felix

    @user-ic7felix

    2 күн бұрын

    Kweli kabsa cijui huwa wanapeleka wapy 😂😂😂😂

  • @DadeMussa-n8k

    @DadeMussa-n8k

    Күн бұрын

  • @ibrahjokes5055

    @ibrahjokes5055

    Күн бұрын

    Hatuwez kusuport Zaid ya kuangalia tu 😢😢

  • @ZahraAlly-wq4ku
    @ZahraAlly-wq4ku2 күн бұрын

    Haya wazee wa kuomba Like typing...😂😂😂😂

  • @mohamedcharming7432

    @mohamedcharming7432

    2 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @omarsalum4052

    @omarsalum4052

    2 күн бұрын

    😂

  • @LuluByams

    @LuluByams

    2 күн бұрын

    Kutaka like tuh Kuoga Haaa

  • @ZahraAlly-wq4ku

    @ZahraAlly-wq4ku

    2 күн бұрын

    @@LuluByams 😂😂😂

  • @RashidRashid-wv9ud

    @RashidRashid-wv9ud

    2 күн бұрын

    Wewe kama unachukia Sisi wa kuomba like kazi unayo leo mimi wa 500 lakini bado nahitaji like zote zije kwanu

  • @AnnsoilaTanni
    @AnnsoilaTanniКүн бұрын

    Kma Unakubali clam kwa kazi zuri anayo faya like zunu jamani Alafu muombe dua azidi kufaya kazi zuri ❤❤❤❤❤

  • @aganzeroger
    @aganzerogerКүн бұрын

    Wa kwanza Leo kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @emmanuelchuma7687

    @emmanuelchuma7687

    Күн бұрын

    Likes za nini wataka?

  • @MohamedKalivata-qr6sr
    @MohamedKalivata-qr6sr2 күн бұрын

    Haya wazee like mbilii tu zina tosha kwa snake boy

  • @rajabumuhamed477
    @rajabumuhamed4772 күн бұрын

    😂😂😂 yaani mamtu yamekazana naomba like wa kwanza Badala ya kusifia au kueleza mapungufu yalijitokeza katika hiki kipande

  • @nafsajuma6269

    @nafsajuma6269

    Күн бұрын

    Hahahaha 😂😂😂😂😂😂

  • @rajabumuhamed477

    @rajabumuhamed477

    20 сағат бұрын

    Ni hatari ​@@nafsajuma6269

  • @AlfredChai-lv8zr
    @AlfredChai-lv8zrКүн бұрын

    Nimekuwa wakumi kutoka Kenya naomba like zenu

  • @RichardMavoko-tl7et
    @RichardMavoko-tl7etКүн бұрын

    Kazi nzuri sana unayozidi kuifanya clam usichoke pambana from Malawi 🇲🇼

  • @muddyramadhan3255
    @muddyramadhan3255Күн бұрын

    Hivi mbn watu wamezd kuomba like zinawasaidia nini badala kutoa maon kila mtu naombn like ase day

  • @KadoridoJr

    @KadoridoJr

    Күн бұрын

    Niwasenge hawajitambui

  • @Kib-jsanley

    @Kib-jsanley

    Күн бұрын

    😂😂like

  • @RashidRashid-wv9ud
    @RashidRashid-wv9ud2 күн бұрын

    Jamani mimi sichoki kuhitaji like kwani kuna watu wanaumia sana humu leo nakosowa kidogo hapo nyoka kummeza huyo farasi mapema hii

  • @joharibenard9179

    @joharibenard9179

    Күн бұрын

    Hata mm sijapenda kwakweli

  • @tausifautini407

    @tausifautini407

    Күн бұрын

    ​@@joharibenard9179hapo wamechemka

  • @benjaandea32

    @benjaandea32

    Күн бұрын

    hawa ndo wameanza kufeli tayar farasi ni mganga mkubwa sana xi wakumezwa kilahisi ivo

  • @aishasalum3372

    @aishasalum3372

    22 сағат бұрын

    Na mtanzi je kamezwa jamani

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532Күн бұрын

    Namkubali mwasi kinyama yaani huyu dada yupo sirias sanaa

  • @LesianJuma
    @LesianJumaКүн бұрын

    ❤jaman NAMI nikumbukeni nikiwa kigoma naombeni like zangu nimewahi leo

  • @evodjohn7946

    @evodjohn7946

    Күн бұрын

    uliziweka wapi

  • @user-be2ft4su9p

    @user-be2ft4su9p

    Күн бұрын

    Mambo na like yakatazwa wewe Bado waomba

  • @AngeljosephJoseph

    @AngeljosephJoseph

    Күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂​@@evodjohn7946

  • @LesianJuma

    @LesianJuma

    Күн бұрын

    Nilikuwa sijui Kama walikataza

  • @LesianJuma

    @LesianJuma

    Күн бұрын

    @@evodjohn7946 walikuwa hawajanipa ety ndo nimeanza kuomba

  • @qaseemayoub6758
    @qaseemayoub6758Күн бұрын

    Utasikia kenya na burundi tujuane hapa halaf wenye nchi wapo kimya... Haya leo Watz🇹🇿 tujuane hapa kwa like😊

  • @MATEOJOSEPH-nc8gf
    @MATEOJOSEPH-nc8gfКүн бұрын

    Mm kwenye Snake boy sijawahi pewa like hebu leo mnipeni hata 10 nienjoy

  • @JunMbawala-iq9gi

    @JunMbawala-iq9gi

    Күн бұрын

    Upewe like kwan we ndo snake 🐍 boy😅😅😅😅😅😅

  • @TwahiruAbdi

    @TwahiruAbdi

    14 сағат бұрын

    Chukua

  • @shadyarif653
    @shadyarif653Күн бұрын

    Mimi siezijiita wakwanza wala wa mwisho ila sababu ya kuwepo hapa ni vevo na magwiji wa tamthlia yetu,kama upo kenya,ug na tz nipe likes za kumkubali vevo🎉

  • @user-lk1kl6sw1s
    @user-lk1kl6sw1sКүн бұрын

    Big up sana kwa huyu dada alieigiza kama kakoso, anafny kazi sana na kwa ujasiri kiukweli mimi ananifurahisha, tupewe majina ya social media zake tumfollow

  • @ibrahjokes5055
    @ibrahjokes5055Күн бұрын

    Mm siombi like bali nasuport kaz za clam na support yangu n kuangalia tu au kuna mtu anambinu nyingine anipe😢🎉🎉🎉

  • @RAMSABOYTZ

    @RAMSABOYTZ

    23 сағат бұрын

    umenena

  • @goldenboy1521
    @goldenboy15212 күн бұрын

    Naombeni like zangu hap 😂

  • @FabaMusengasoko
    @FabaMusengasokoКүн бұрын

    wa kwanza toka Congo beni drc like zangu tafazali

  • @yehoshafatisuhuzwa4399
    @yehoshafatisuhuzwa4399Күн бұрын

    Mwanaume anayeomba like ni bwabwa

  • @JudcBen-ye9cy

    @JudcBen-ye9cy

    23 сағат бұрын

    😂😂😂khaaa

  • @emilywambui9920
    @emilywambui99202 күн бұрын

    Nimechelewa tu kidogo naomba like kutoka kenya bravo clam vevo ❤

  • @kingcicero1708
    @kingcicero17082 күн бұрын

    Ntanzi ajamezwa hii ni ndoto tu, kama utakubaliana na mimi like hapo chini 😂😂😂

  • @user-jf9pt8bu5j

    @user-jf9pt8bu5j

    Күн бұрын

    😢 sure

  • @jesusiscoming237

    @jesusiscoming237

    Күн бұрын

    Afu ukute kweliii

  • @jesusiscoming237

    @jesusiscoming237

    Күн бұрын

    Sema wakisoma comment wataweza wakabadilisha scene

  • @Zenabeby

    @Zenabeby

    Күн бұрын

    Kama kwel vile 😂😂😂

  • @annaki318

    @annaki318

    Күн бұрын

    ​@@jesusiscoming237hahahahaaaaa

  • @hghh6056
    @hghh6056Күн бұрын

    Aki ooo si mbwela siupeane guvu za nitanzi aki chaef ndie anameza watu mungu wangu 😢😢😢 much love from kenya 🇰🇪 napenda saana snake boy uuumwaa 💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋

  • @suleimanmbogo2457

    @suleimanmbogo2457

    14 сағат бұрын

    From tz on love

  • @NorbTzofficial
    @NorbTzofficialКүн бұрын

    Best series trending in bongo right now gonga like kama unaikubali hii series ❤❤❤❤

  • @kelvinfficial
    @kelvinfficial2 күн бұрын

    Please leo wakwanza naomba muni gongeye like 15 tu 😢 Naomba mutowe likes zenu zote muniachie zangu kumi natano basi 😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @AshrafWahid-dr2qn

    @AshrafWahid-dr2qn

    2 күн бұрын

    Vipi una kuwa kwanza

  • @kazungualii5368

    @kazungualii5368

    2 күн бұрын

    Nenda ukaombe mola acha kuomba like wewe kengee kwani clam vevo

  • @kazungualii5368

    @kazungualii5368

    2 күн бұрын

    Lichupa hilooo

  • @AshrafWahid-dr2qn

    @AshrafWahid-dr2qn

    2 күн бұрын

    @@kazungualii5368 lakini sija uliza kwa ubaya

  • @Suma001

    @Suma001

    2 күн бұрын

    Watanzania acheni ujinga izo like zikusaidie nni wew toa maoni yako kuusu wasanii wetu ili sanaa yetu ifike mbali sasa ukishaomba like unapata nini😢

  • @annaki318
    @annaki318Күн бұрын

    Kuomba like tu kusifia kuhusu snake 🐍 boy aaaaaaah😂😂😂

  • @rehemasumuley-yv3wh
    @rehemasumuley-yv3whКүн бұрын

    Hongera Sana clam KAZI nzuri Sana Ila unachelewesha sana

  • @user-qq1kt3hg1l
    @user-qq1kt3hg1lКүн бұрын

    Jaman tegemeo letu kamezwa tutafanyaje sasa mwamba clam

  • @maryamsylivester8662
    @maryamsylivester8662Күн бұрын

    Jamani tuwe tunatoa maoni na kujadiliana kuhusu hii tamthilia pambe ya Nyoka anategemea Maoni na ushauri kutoka kwetu watazamaji lkn kila saa ni kuomba like tu 😢

  • @maylucson001

    @maylucson001

    Күн бұрын

    Kabisa yani❤

  • @user-yt8ns4lb3k

    @user-yt8ns4lb3k

    Күн бұрын

    Hapa umesema ukweli

  • @medaicetz

    @medaicetz

    Күн бұрын

    Maon tujitahd kupambania teknolojia mana bado tuko nyuma simulz nzur ila hamna watu wanaezacreate nyoka na kuonesha anavomla mtu kama zlvo movie za nje hata za miaka ya 70 yan ukiandk movie za snake au anakonda za nje za zaman unaon jins nyok anavotendew haki ila sisi bado Ko madirector na maeditor wasilizike waende nje kujifunza tuko 2024 ila bado ktk edting creation tukubal bado ila kwa uigzaj na story tunqjitahd

  • @Kib-jsanley

    @Kib-jsanley

    Күн бұрын

    Like🎉neo Geo

  • @EmeryNkurunziza-dd5iq

    @EmeryNkurunziza-dd5iq

    Күн бұрын

    ❤❤

  • @NuhuMwita
    @NuhuMwita2 күн бұрын

    Kama unamkubali mwasi gonga like hapa

  • @ummialey6391

    @ummialey6391

    Күн бұрын

    Na mchezo umeisha mastreng wesha liwa na nyoka mnalo la kutueleza

  • @NuhuMetson-mt1vc

    @NuhuMetson-mt1vc

    Күн бұрын

    ​@@ummialey6391 stering kipara😂😂

  • @aishasalum3372

    @aishasalum3372

    Күн бұрын

    Ni kweli mna na wao wanataka kuwa wahindi kili siku nguvu zake hazirudi tu😂

  • @RuthOmollo-e7y

    @RuthOmollo-e7y

    Күн бұрын

    Kazi nzuri sana

  • @NuhuMwita

    @NuhuMwita

    Күн бұрын

    Episode ya 27 ndy mtajua sterling hafi😂😂

  • @araphamilla7315
    @araphamilla7315Күн бұрын

    Kaz nzuri Clam naimani utafika mbali sana Amin 🙏

  • @ronzevannyboychui1661
    @ronzevannyboychui1661Күн бұрын

    IIa sija chelewa sana nipo kabisa namie naomba like zangu 15 hapo ila clam Nampa mauwa yake clam vevo ❤❤kitu kizuri kabisa 🎉 hongela sanaaa

  • @JeseeJeseemuthomi-vj4qc
    @JeseeJeseemuthomi-vj4qc2 күн бұрын

    Please leo wakwanza naomba muni gongeye like 10 tu😢

  • @Kashindijohn

    @Kashindijohn

    Күн бұрын

    Zikusaidie nini

  • @Badface_official

    @Badface_official

    Күн бұрын

    @@Kashindijohn

  • @sadamuall8249
    @sadamuall82492 күн бұрын

    Jamani nimewah 😂😂 tunae ipenda snek boy tujuane kwa like

  • @user-ot5ve6jx3z
    @user-ot5ve6jx3zКүн бұрын

    Tanu tanu litakukuta jambo😂😅

  • @MariaPeter-kv3qk
    @MariaPeter-kv3qkКүн бұрын

    Ila mwasi anachanja mbuga hatari😅😅😅

  • @mbwanaOmar-vw4gh
    @mbwanaOmar-vw4gh2 күн бұрын

    Wapili nipen like

  • @gersonissa9124
    @gersonissa91242 күн бұрын

    Wa kwanza Léo nipe like zangu Toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @sahraabdallah7242
    @sahraabdallah7242Күн бұрын

    Huyo alomkuta mkewe anamimba mbona anamfanana Mwamba wa lusaka 😂😂😂

  • @dominamabebe6691
    @dominamabebe6691Күн бұрын

    Kipara ni msaliti wa himaya anatakiwa kuchukuliwa hatua kali sana kwa niaba ya wasaliti wote na umbea wake mxiuuu

  • @JamesReuben-gt8up
    @JamesReuben-gt8up2 күн бұрын

    Huyu chief wa himayaa ya nyoka ni balaa sana yupo tayare kuuwa kisa madaraka

  • @aishaomar2287

    @aishaomar2287

    Күн бұрын

    Na huo uhalisia wa viongozi wetu wengi wa sasa🥲

  • @rosemarenga832

    @rosemarenga832

    Күн бұрын

    ​@@aishaomar2287kwel kbxaaa d Wala ujakosea

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    Күн бұрын

    ​@@aishaomar2287Umeongea Pointi msingi sana

  • @saidali-ur9dk

    @saidali-ur9dk

    Күн бұрын

    gud

  • @rizikladyherson8451

    @rizikladyherson8451

    Күн бұрын

    Ni vitu vyenye vipo faume amekua ruto

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vxКүн бұрын

    Tafadhali ukiomba like 👍 kumbuka kutwambiya ulipo ziwekaaa😎🤏🤣🫵🫵🫵🫵au mna semajee team snake 🐍

  • @user-uq8ey8bz3t

    @user-uq8ey8bz3t

    Күн бұрын

    Wanakeraa n kuomba like maana wamezieka

  • @IbraDigila

    @IbraDigila

    Күн бұрын

    Sana tu

  • @mwanahamis-bg3xu

    @mwanahamis-bg3xu

    Күн бұрын

    Kwanza sijui waache kuangalia kabisa maan wanachosha

  • @user-pl7mm1jq7f

    @user-pl7mm1jq7f

    14 сағат бұрын

    Kabisa

  • @CarolyneSimiyu-xq7qk
    @CarolyneSimiyu-xq7qkКүн бұрын

    Napenda sana ujasiri wa mwasi na maongezi ya chief ya upole kutoka mwanzo

  • @user-sp8bc5pi4q
    @user-sp8bc5pi4qКүн бұрын

    Clam ushakuwa unazinguwa sasa. Filamu gani hii ya mwaka mzima. Usichoshe watu, mwisho watu watapunguka katika kukuunga mkono, huu ni mfumo m'baya sana wa kibiashara.

  • @user-il2up6ig4j

    @user-il2up6ig4j

    Күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @Chrismamesofficiel
    @Chrismamesofficiel2 күн бұрын

    Usinipe like atakama mimi wa kwanza lakini like clam kazi alio ifanya na uni follow na mimi

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie2 күн бұрын

    Wapi likes za mbio wazeeee wamekimbia watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @kiprotichpeter1386

    @kiprotichpeter1386

    2 күн бұрын

    Nilikua nafikiria mie wa kwanza toka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 but...👍

  • @DamarisDammie

    @DamarisDammie

    2 күн бұрын

    @@kiprotichpeter1386 😂😂😂😂 team wifi hatuchelewi kamwe

  • @user-bi9pl4eu2o
    @user-bi9pl4eu2oКүн бұрын

    Kazi nzuri bro mbwela big up sana

  • @ShaxIsmail
    @ShaxIsmailКүн бұрын

    Ila uyo dad aliyetoa mimba ni bonge la mwigzaji natufanya Hadi tunatokwa na machozi😥👏👏

  • @ashurahamiss
    @ashurahamiss2 күн бұрын

    Here we go again na again kaz nzur kama Jana na Leo 🎉🎉🎉af c mnipe izo like jmn 😒 hamjui znaleta utajir 🤧😁taratibu jmn mcnigombeze kiustarab tyuu😘😂❤🎉🎉🎉

  • @ZuwenaLandism-ft1lb
    @ZuwenaLandism-ft1lb2 күн бұрын

    Dah sa itakuaje faras kamezwa

  • @abdallahmakunge4029
    @abdallahmakunge4029Күн бұрын

    Kwanza niwape hongera kwa kutembea bila ya viatu kwenye vichaka😂

  • @rukaiyaali6148

    @rukaiyaali6148

    Күн бұрын

    😂

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga23 сағат бұрын

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo❤

  • @zascotz3662
    @zascotz36622 күн бұрын

    wakwanza gonga like 😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @user-ny6ew8gv1b

    @user-ny6ew8gv1b

    Күн бұрын

    😂okay

  • @user-ql1wq6ii1r
    @user-ql1wq6ii1r2 күн бұрын

    Wangapi mnamkubali mwasi nakupenda sana natoka burundi nawapenda nyote

  • @nasraemmanuel
    @nasraemmanuelКүн бұрын

    Wale mlioangalia hadi mwisho makofi kazi nzuri sana vevo na timu zima

  • @abudaizyvonvincer8701
    @abudaizyvonvincer8701Күн бұрын

    Oooooyaaaaa!!! Wanangu wa snake 🐍 boy 👦 tuleni utamu safi huu kutoka kwa vevo

  • @colineycharles3185
    @colineycharles31852 күн бұрын

    Leo me wakwanza nipate like zangu

  • @EnfridaManyama-xs5ub
    @EnfridaManyama-xs5ub2 күн бұрын

    Wanaoamini kuwa ntanzi anaota like hapa

  • @Mscamel

    @Mscamel

    Күн бұрын

    Sio Mwasi lkn?

  • @gagalinodenatrick1652

    @gagalinodenatrick1652

    Күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @lilianThomas-te6ly

    @lilianThomas-te6ly

    Күн бұрын

    Mmh ngoj tuone

  • @seifkagawa6918

    @seifkagawa6918

    Күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @njutujedeofficial2998

    @njutujedeofficial2998

    Күн бұрын

    Nami naamini hivo

  • @Man_of_valor
    @Man_of_valorКүн бұрын

    Duuh! Speed ya Mwasi kwenye mbio!🚀🚀🚀🚀🚀

  • @philipolugoma3796
    @philipolugoma379613 сағат бұрын

    Clam hana mpinzani kwa sasa kama unaamini gonga like za kutosha kumspoati mwamba wetu🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Better0world
    @Better0world2 күн бұрын

    Leo wakwanza nipewe likes zanguu

  • @user-id9rx1bh5u
    @user-id9rx1bh5u2 күн бұрын

    Leo nimewah jaman 😂😂😂😂 nipen like na mim🎉🎉

  • @mereretv1304
    @mereretv1304Күн бұрын

    Huu mzigo mbona kama unaenda mwisho 🎉🎉🎉

  • @user-dq8sy1ey5u
    @user-dq8sy1ey5u10 сағат бұрын

    Nani hajaamini mtanzi atamezwa na chifu kama mimi,mbona naona kama ni ndoto team Clamvevo mpo❤❤❤

  • @bensonmusyoki7827
    @bensonmusyoki78272 күн бұрын

    Mapema dio best wapi likes za kutoka kenya

  • @charitychadrek
    @charitychadrekКүн бұрын

    Haya lisa limoja nam reo nimewahi siwezi kuomba like lkn nakupa hongera cram kwa kaz mzuri unayofanya congratulations 🎉

  • @kassimabussa6583
    @kassimabussa6583Күн бұрын

    Ambao wanaufatilia snake boy tokea season ya Kwanza mpaka Leo tujuane hacheni kuomba like fatilien movie nzuri yenye ubunifu mkubwa

  • @ngoshanangi8629
    @ngoshanangi862917 сағат бұрын

    Nakubali sana kaka Yangu mwana Cris nikiwa pande za shinyanga, kahama Mjini

  • @user-fj6ql8vh1x
    @user-fj6ql8vh1x2 күн бұрын

    Sitaki like ya mtu mimi naangalia tu😂😂😂❤

  • @Barnizeboy
    @Barnizeboy2 күн бұрын

    Leo nime chelewa kidogo naomba like mbili tu 🔥🔥🔥

  • @mkondefrancy8662

    @mkondefrancy8662

    Күн бұрын

    😁😁

  • @SamwelGeorge-hf8qv
    @SamwelGeorge-hf8qvКүн бұрын

    Wadau wa snake boy naomben like plz

  • @user-ts1sp7ei6b
    @user-ts1sp7ei6b2 күн бұрын

    Mbona shida sasa ngoya tuone nyoka hitahishiya wapi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @YusuphAl-Marzouq
    @YusuphAl-MarzouqКүн бұрын

    Shukraan kwenu nyote mlioshiriki katika movie hii hakika mnahitaji pongezi sana 🤝🤝🤝

  • @AhmadKanasa

    @AhmadKanasa

    Күн бұрын

    Nipen nami like zenu jaman

  • @user-ly9hu5vx7k
    @user-ly9hu5vx7kКүн бұрын

    Kazi nzuri I'm watching from Saudia Arabia much love

  • @brighton3693
    @brighton3693Күн бұрын

    me siwezi kufanya kazi ya kuomba like kila muda badala ya kussuppot watu wanao fanya kazi nzr

  • @hitramo8589
    @hitramo85892 күн бұрын

    Wakwanza leo leteni like zangu msininyime😊

  • @evodjohn7946

    @evodjohn7946

    Күн бұрын

    Chukua ulipoziweka

  • @JaguarEscobar
    @JaguarEscobar2 күн бұрын

    Pumbavuuuuu yani notification inanifikia asaiv kumbe watu washa moment mda tu na tangia morning Niko online

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hbКүн бұрын

    Jamani kazi ninzuli sana hongereni sanah pia mabolesha nimuhim zaidi mana tamsiliya hii Niya viwango kama inge kua inatafsiliwa kwa kigeleza hapo chini inje ya Africa 🌍 ingependeza wegi mwisho kazi isiwe inachelewa sana jamani pa 1 Mungu awatie nguvu❤❤❤❤❤❤

  • @rajabusaidi6692
    @rajabusaidi669216 сағат бұрын

    kuomba like tu kumpongeza clam kwa kazi nzur ahaaa

  • @adinanzacharia409
    @adinanzacharia4092 күн бұрын

    Haya na mm Leo niwe kama wale waomba like nizione sasa

  • @Mukansconstruction
    @MukansconstructionКүн бұрын

    Since Steven kanumba passed away, Bongo movies never had a best movie like this one ,please guys we need to support this guy because I can't get bored with it

  • @SheenWorries

    @SheenWorries

    Күн бұрын

    You said it all

  • @whitebraysonwhitecode6756
    @whitebraysonwhitecode675620 сағат бұрын

    Mimi naona hii tamthilia nikali sana napia tunafurahi sana kupata kitu kizuri ❤❤🎉🎉🎉

  • @RamboMcMzawa
    @RamboMcMzawaКүн бұрын

    Daaah!! Ntanz maskini ya mungu imaya inakutegemea ona Sasa unamezwaa kizembee hivii😢😢najiuwaa mimi

  • @Ramadhan-bp9ro
    @Ramadhan-bp9ro2 күн бұрын

    Wakwanza ni Mimi kuona hii movie so nataka ma likes ziteremke kama maji

  • @downshow1934
    @downshow19342 күн бұрын

    Wa kwanza jaman nipen likes kwa clam vevo

  • @hassaniselemani997
    @hassaniselemani99712 сағат бұрын

    tumewachoka mnaopenda kuomba like

  • @JohnBwija-xg5pf
    @JohnBwija-xg5pfКүн бұрын

    Clam vevo ni mwamba sana anajuwa sana

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud31042 күн бұрын

    Oi wa kwanza naombeni like zangu jmn 🤣😂😂 Timu VEVO mnajua sanaaa Hadi kero saruti kwenu ❤

  • @Teddyzhukenya_
    @Teddyzhukenya_Күн бұрын

    Kazi Nzuri Sana Clam Vevo Nakufwatilia sana toka KENYA 254

  • @simonsilvestar1039

    @simonsilvestar1039

    23 сағат бұрын

    Maandamano vp uko

  • @Teddyzhukenya_

    @Teddyzhukenya_

    19 сағат бұрын

    @@simonsilvestar1039 Vita ndugu yangu akuna amani raisi amegeuka

  • @allyallymakius1133
    @allyallymakius1133Күн бұрын

    Iii movie anaye fanya Vizuri sana ni zinga inatakiwa Zinga ajutie makosa aliyo yafanya aungane na Ntanzi p1 na kina Kakoso ili wamuangamize Chief kisha aludishiwe ntanzi nguvu zake anaye kubaliana na mimi tujuane kwa Coment fupi onyo usitume Coment ndefu sitopoteza mda kuisoma😂

  • @NdyamukamaEdmund
    @NdyamukamaEdmundКүн бұрын

    hongera sana Clam Vevo mm binafsi unanipa furaha sanaaaa

  • @JapharyMarandu
    @JapharyMarandu2 күн бұрын

    Mi wa kwanz leo kutoka temeke naomba like zangu

  • @Lovekidoti32

    @Lovekidoti32

    2 күн бұрын

    Et like zangu Nani aliekwambia like ni zako😂 kama ni zako chukua 😂😂

  • @JapharyMarandu

    @JapharyMarandu

    2 күн бұрын

    @@Lovekidoti32 😂😂

  • @gospelflavour

    @gospelflavour

    Күн бұрын

    Habari yako mtu ya mungu.......Bwana yesu apewe sifa...natumai upo mzima nakualika kuskiza wimbo huu natumai utabarikiwa...pia usisahau kushare na rafiki ili pia nao wazidi kubarikiwa na ujumbe wa wimbo huu kzread.info/dash/bejne/fGuD0bqxZMbIl6w.htmlsi=nI5sVbWgHgeSpbns

  • @stephenbiko3869

    @stephenbiko3869

    Күн бұрын

    Salmia Chege Na Temba

  • @user-ep3it9qe4j
    @user-ep3it9qe4j2 күн бұрын

    Mnaomba tyuu like kutoa ushauri wa hii movie aaaaahh😊

  • @user-lz6pu9re2l
    @user-lz6pu9re2l11 сағат бұрын

    Hii movie mnataka fanya kama series za kihind limekwisha hili mnareta jingine

  • @li2yleonard585

    @li2yleonard585

    11 сағат бұрын

    Kabisa

  • @marygorethtemu4959
    @marygorethtemu4959Күн бұрын

    Sahivi watu hawaekwi kwenye chupa ya Faume, wanahifadhiwa kwenye tumbo la Faume 😂😂

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    Күн бұрын

    Daah 😂😂😂😂

  • @jafarigardener3871

    @jafarigardener3871

    Күн бұрын

    Ha ha ha

  • @nellymujinga
    @nellymujingaКүн бұрын

    Mnipeni ata like 5 jameni from drc

  • @MichaelDanny-ge2qz
    @MichaelDanny-ge2qz2 күн бұрын

    Nimewahi leo like zangu jamani

  • @kipzik8029
    @kipzik8029Күн бұрын

    Please sana fanyeni yote mfanyayo Ntazi asife please 🙏🏿 😭😭😭😭 I'm supporting Snake boy from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Allez de l'avant

  • @Prem_Rich
    @Prem_Rich22 сағат бұрын

    Hapo Clam Vevo, angemeza kila mtu hata wasio na hatia, bora huyo mwamba anaji control

  • @user-wi4kr2zr7x
    @user-wi4kr2zr7xКүн бұрын

    Waliousubiri mwezi wa 7w@snake bigg bosssssss ginga chuma tunakitazamia apa sasaaaaaa😮😮😮😮😮😂😂😂

Келесі