Ila Sisi yanga wavivu my like wavivu ku view wavivu ku comment wavivu kuingia uwanjani wavivu kujisajiri lakin kulalamika aahaa
@YUAJAALDO2 күн бұрын
Hatuli ila tuna nenepa Asante viongozi mungu awazidishie
@khalifasultan26772 күн бұрын
Wakumbuke Kwenye Hicho Kikosi NZENGELI Hayupo Bado Hapo😂😹😹
@DannyMasuka-ut4oq2 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@QuizitoDanielDaniel
2 күн бұрын
Furah tele kwa Chama!
@MauBonde2 күн бұрын
Ninachojiuliza ataingia kwenye mfumo wetu wa teamwork na sio ufather au kuridhika na mshahara.watoto wa jangwani daima mbele nyuma kwety mwiko...asije kuwa kama skudu makudubela.
@FabianiAllex-sz2yx2 күн бұрын
Daa kwerii kunawatu jamani wamenunaa leo😂😂😂😂
@djgaswamitulinga71852 күн бұрын
Nyuma ya dube akae chama kushoto pacome kulia aziz k
@Jacksonnyalla2 күн бұрын
Yanga daima
@user-ur8cz7ls3s2 күн бұрын
Wahooo makoloal wanatetemeka jamn dah😂😂😂😂 yanga haoooooooo msimu huu makolo wataisoma namba😂😂😂 I love you yanga
@janiafaomaa51202 күн бұрын
alliy kamwe unafaya vizuri sana nduguyetu nasisi tukonawewe lakini kunamakosa yanafayika usikasirike kuhusu ndugu yetu jamayetu manji manji likuwa mukezaji wetu wazamani alitupa furaha sasa yeye ametagulia mbeleya haki hata siku 2 hazijapita wewe unaigiya mitaani kufaya furaha ya chama ugesubiri siku 3 chama yupo yanga ipo kwakweli sio vizuri sisi tupohuku marecani tulishagazwa kuona wewe ukomitani kwa furaha bada manji kufa
@Ramadhani-fn7zk20 сағат бұрын
Pamoja xna wananchi tabulele raaaaaaa
@DicksonNkosi-o6kКүн бұрын
Timu kubwaa
@Ndillehmalove2 күн бұрын
Pak waseme
@firedon24632 күн бұрын
Unafurahia ukiwa wapi
@daudmoshi66232 күн бұрын
Yanga tafadhari jitahidini jezi ya chama ije ime printiwa jina lake ,, sio MTU akaprint mwnyewe apana bhana
@GabrielyMinde2 күн бұрын
Mi sisemi licha ya mateso ayaaa iyo ndio nyimbo pendwa yawale jamaa msimu unao kwenda kuanza 😂😂😂😂😂
@RaphaeliAgustinoКүн бұрын
Tupe laha baba
@JacobMungopele2 күн бұрын
Ameisha uyooo
@KidiruKidiru2 күн бұрын
Rahaaaa sanaaaaaa
@MarkoJohn-y8n2 күн бұрын
Chama sawa je mfumo wa miguel atauweza?
@makolosaid52322 күн бұрын
Of course yanga inafurahisha.
@GELLARDJOHN2 күн бұрын
💚💚💚💛💛
@charlesmwaipasi28842 күн бұрын
Yanga hatuna mbambamba
@GELLARDJOHN2 күн бұрын
💚💚💚💛💛💛
@ngwenyaflorence31932 күн бұрын
Jamani mayele arudi yanga yanga ilikuwa inatetema mpaka kanisani
@danielbenard90532 күн бұрын
❤❤❤
@vicenttarimo22032 күн бұрын
Kaondoka chama kaja mutale mtoto mdogo miaka 22 kwa hiyo hakuna hasara zamu yenu kuchukua majina simba wanachukua vijana mbwembwe zitaisha kweli simba ina vipaji amefanya mazuri alipo kua simba malizieni uzee ujana wa simba
Пікірлер: 34
Ila Sisi yanga wavivu my like wavivu ku view wavivu ku comment wavivu kuingia uwanjani wavivu kujisajiri lakin kulalamika aahaa
Hatuli ila tuna nenepa Asante viongozi mungu awazidishie
Wakumbuke Kwenye Hicho Kikosi NZENGELI Hayupo Bado Hapo😂😹😹
Daima mbele nyuma mwiko
@QuizitoDanielDaniel
2 күн бұрын
Furah tele kwa Chama!
Ninachojiuliza ataingia kwenye mfumo wetu wa teamwork na sio ufather au kuridhika na mshahara.watoto wa jangwani daima mbele nyuma kwety mwiko...asije kuwa kama skudu makudubela.
Daa kwerii kunawatu jamani wamenunaa leo😂😂😂😂
Nyuma ya dube akae chama kushoto pacome kulia aziz k
Yanga daima
Wahooo makoloal wanatetemeka jamn dah😂😂😂😂 yanga haoooooooo msimu huu makolo wataisoma namba😂😂😂 I love you yanga
alliy kamwe unafaya vizuri sana nduguyetu nasisi tukonawewe lakini kunamakosa yanafayika usikasirike kuhusu ndugu yetu jamayetu manji manji likuwa mukezaji wetu wazamani alitupa furaha sasa yeye ametagulia mbeleya haki hata siku 2 hazijapita wewe unaigiya mitaani kufaya furaha ya chama ugesubiri siku 3 chama yupo yanga ipo kwakweli sio vizuri sisi tupohuku marecani tulishagazwa kuona wewe ukomitani kwa furaha bada manji kufa
Pamoja xna wananchi tabulele raaaaaaa
Timu kubwaa
Pak waseme
Unafurahia ukiwa wapi
Yanga tafadhari jitahidini jezi ya chama ije ime printiwa jina lake ,, sio MTU akaprint mwnyewe apana bhana
Mi sisemi licha ya mateso ayaaa iyo ndio nyimbo pendwa yawale jamaa msimu unao kwenda kuanza 😂😂😂😂😂
Tupe laha baba
Ameisha uyooo
Rahaaaa sanaaaaaa
Chama sawa je mfumo wa miguel atauweza?
Of course yanga inafurahisha.
💚💚💚💛💛
Yanga hatuna mbambamba
💚💚💚💛💛💛
Jamani mayele arudi yanga yanga ilikuwa inatetema mpaka kanisani
❤❤❤
Kaondoka chama kaja mutale mtoto mdogo miaka 22 kwa hiyo hakuna hasara zamu yenu kuchukua majina simba wanachukua vijana mbwembwe zitaisha kweli simba ina vipaji amefanya mazuri alipo kua simba malizieni uzee ujana wa simba
🟢🟡 young forever
😂😂😂😂😂
😂
Toto jinga sana hili
Umutuuuuuuuuuuu alikamweeee wewe
😂😂😂😂😂