ASKOFU GWAJIMA AFUNGUKA NAMNA YA KUTOKA KWENYE TATIZO LOLOTE KUBWA LINALOWEZA KUKUPATA
Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Пікірлер: 62
Mungu wangu nipe matunda Saudi Arabia Amen 🙌 🙏
Nikitoa la moyoni Gwajima NAKUPENDA Sana Mtumishi wa Yesu na huwa nakuelewa sanaaaa Barikiwa sana una mafumbo ambayo nayapenda kulikoni uhalisia wa unacho maanisha..unafundisha watu wazima..
Ameni baba mchungaji nimeelewa somo vizuri ANAE NIROGA atarogwa mwenyew kwa jina la YESU KRISTO ALIYE HAI 🙏🙏
Nimesikiliza na kuona video zako nyingi KZread,Nakuombea Mungu akulinde,na akuongeze maarifa na mafanikio,ili uendelee kuitetea nchi yetu,uendelee kutututea,na tujiendelee kujipatia hekima nyingi kutoka kwenye mafundisho yako. Niko Mwanza,ila siku nikija Dar,nitakumbelea kanisani kwako nikusikilize mubashara! Mungu akupe uzima na ukuzidishie mafanikio na afya njema ili tuendelee kuvuna hekima hii uliyojaliwa na Mungu.
Advanced preaching ,annointed preaching ,God bless you!!!!
Nimebarikiwa na hili NENO, Ubarikiwe Mtumishi Wa Kristo Yesu.
Barikiwa mtumishi wamungu
Amen Baba yangu original I love you Dady
Baba Gwajima umetumwa kwangu huu ujumbe ni wangu kabisa
Ameni Amen 🙌🙌🙌🙌🙌🙏🥰 emungu nisaidie nisipaniki nitoke kwenye mtego
Barikiwa sana baba askofu
Hallelujah
😮😮😮 kutoka Saudi Arabia mungu nisaidie nifungulie mirango na watoto wangu wasijisikie ukiwa na upweke wasiwe na moyo wa hasira mungu wafunike damu ya yesu
Amina BABA
Ameen
Ameen ,,uishi milele, mtumishi jasusi la mbinguni
Vizuri mtumishi
Hakika Mungu amekupa mafunuo makubwa ya kutuondoa gizani Mtumishi. Barikiwa sana.
Niko congo drc ongezewa kipaji baba
Nakukubali sana ngwajima😊
Nimemuomba Mungu baba yoshi miaka 120 ukiwa na nguvu ya kuhubiri injiri wewe na mimi tu majasuzi ya mbinguni haleruuuuuuuuuyaaaaaa
Huu uwanja ni Mzuri Sana,imeandikwa,sio uwanja wa hofu sitautumia kupigana na adui yangu.
Ujumbe mzuri sanaaa asante mchungaji.
Yesu nisaidie
Kama ville pastor Ezekiel wa new life church Mombasa Kenya,ulinyamaza Mungu akamtetea.
Mtumishi baba mwenye masomo yenye mafunuo sana
Amina kubwa baba asikofu
Asante mchungaji
Amen Baba Askofu
Amen Amen baba.
Ubarkiwe baba
Mungu akulinde na kukupgania
mmh wonderful
❤❤❤🎉
Ameeeen ameeen ameeen
Amen
Original message
Kweli Baba!
Amina
Haleluya Baba 🔥 🔥 🔥
❤❤❤ good news
Naomba Mungu amuongezee nguvu askofu gwajima.zaidi na zaidi wajitokeze wakina gwajima wengine wengiwengi.maana wakiwa 10.kama hawa.tanzania.imetoboa.kazana baba shetan kwA sasa.anarukaruka.endelea.kumminya gwajima.uzunguke.tena.Tanzania
@davislumato5585
7 ай бұрын
Mungu akutunze Mch kwa manufaa ya Dunia nzima
@user-fp1zc7nm4m
4 ай бұрын
Mungu nipe kutokuchoka😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Rais wetu ajae❤
❤❤❤❤
🌺❤️❤️🌺
😅😅😅😅 Mtumishi hapo kwenye kutega ndege hapo😅😅😅😅😅 ubarikiwe sana. Umetukumbusha mbali sana.
🎉🎉🎉🎉🎉
Thanx papa
Ujumbe umelenga penyewe
Izi short video jmn wekeni ndefuuu 😮
HUYU NI MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI
Tupe nyingine saaa moja
8:55
Hakika ujumbe mzuli
Usichoke
Ukikuta mtu anamsema hovyo huyu mwamba basi juwa unaongea na jini aliyevaa umbo la binadamu,,,, maana mtu wa kawaida hawezi nena hila kwa Gwajima boy
@user-nw1ee9pu6v
4 ай бұрын
Hakika unacho Sema ni kweli
Amen
Ameen
❤❤❤❤