USIGOMBANE NA MWANAMKE; WOMEN TALK! | USHAURI WA ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA KWA WANA-NDOA
Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Пікірлер: 58
Dr nakufatilia sana philosoph zako.mungu akupe umri mrefu
Barikiwa baba
Bishop mafundisho yako yanajenga sana.mungu akulinde.upate wingi waku.
Amen
Hallelujah hallelujah na huo ndio ukweli 👏👏👏 Amen🙏.
Nimekuelewa sana Pastor G.Mungu azidi kukuinua
Asante Sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ameen
I love the wisdom God has put on you
Mungu akuzidishiye maarifa Baba
Amen mtumishi!
Ahsante kwa ushauri huo mzuri japo wengi hawaelewi Hilo, wanaume/wanawake wengi wanaopitia changamoto
Ameen Baba ni kweli kabisa
Amen Baba
Ahsante sana askofu
Amee baba
Ameen 🙏 umeongea point sana
Ni kweli kabisa mtumishi 🎉
Amen daddy
Mungu ukubaliki Kwa speech zako
Amen barikiwa sana
Akili nyingi mtumishi barikiwa sana na Jehovah
YeLemla 15..16Na ingi ndetoya yeova❤❤❤❤❤
Jamani sijui nisemeje. Upendo haubembezewe. Mtu akikupenda hauoni ubaya wako
Ameeen
powerful Life philosophy about love.
Ameen kwel kabisa❤
Kweli kabisa mtumishi 🙏💕
Kitchen party bila vyombo barikiwe sana pastor
Amen sema baba tupone
Akili izi na hekima iyo kweli ya toka kwa Mungu tu ?mbone unazidisha Baba?nimebarikiwa sanaaa
Kweli!
I love dady,
Ameen nikweli
❤❤❤❤❤❤
Kweli
Napenda hekima yako baba
❤❤❤❤
Amen 🙏🏾🙏🏾
Sijui kama. Wapo wanaume wa hivyo
Amen Please how can I reach the man of God There's no number
Maneno ya hekima
Kama Kuna Ukweli vile maana Hata Ujipambeje bado hata kupenda
😂😂😂😂😂😂 Amen Amen Daddy
Jasusi LA mbingu ni baba huyo
Sema baba wajue😂
Vipi maandiko yanavyosema mpende adui yako hapo ina maanisha nini? Na vipi kama kuna waumini hawapendani kwa injili hiyo wataweza kupendana maana biblia inasema heri wapatananishao sasa ww unasemaje achana nae????
@fawadaziz2360
7 ай бұрын
Hapa anazungumzia upendo wa mahusiano wa mume na mke sio upendo wa agape yaani upendo wa kindugu jua kutofautisha ndugu
@michaelsaimon3345
7 ай бұрын
Sasa ni upendo upi wakristo unapaswa kuwa nao kati ya fileo na agape love?
@fawadaziz2360
7 ай бұрын
@@michaelsaimon3345 wakristo wanapaswa kuwa na upendo aina zote hiyo fleo na agape ila kila jambo kwa wakati wake ndo mimi nikakwambia kwa leo Gwajima anazungumzia fleo,ndo maana akasema ukiona mtu hakupendi ambaye wewe unataka awe mwenzi wako achana nae sababu unapoteza muda wako bure,lakini kwa habari ya agape ukiona mtu hakupendi wewe mpende na muombee tu ipo siku atajigundua hakua sahihi kukuchukia, ila katika fleo kama mtu hakupendi hakupendi tu hamna namna utaweza mbadilisha akupende hivyo tu.
Ha ha ha sasa akizoea kuwa anakupiga ili kumfanya aache kukukoa😂 unafanyaje baba
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
@lucaskanyasutv9385
8 ай бұрын
🎉