Mkutano mkubwa wa Injili waanza Rasmi stendi ya Daladala Kilombero
Жүктеу.....
Пікірлер: 148
@victoriamaige28624 ай бұрын
Roho ya kulola inakaa juu yake jamani injili hii lzm kuokoka Mungu akupe maisha marefu Baba Amina ubarikiwe
@RashidLukindo-yl2yl4 ай бұрын
NY, Mungu awabariki Kwa kuturushia matangazo! Lakini wakati mwingine mnarusha vibaya, picha hazionekani, unakuta unafuatilia mahubir ambayo yalipita unakua kipande kizima hakionyeshi! TAFADHALI tuonyesheni vizur, tunamfuatilia sana huyu baba! Lakin sio wewe tu , hata MAGEMBE TV, nao wanatatizo ya mitambo, ushauri wangu jitahidini kuturushia vizur! Mungu awatie nguvu! Amina
@user-mh2cn3fb6j3 ай бұрын
Asante Sana mtumishi wa Mungu Mambo yote yatapita lkn neno litasimama pale pale
@geofreyngolua95534 ай бұрын
Aliluyaaa Bwana yesu Asifiwe sana Man of God
@rahabnkya82764 ай бұрын
Mzee magembe nimefurahi kukusikia leo. Mzee lazaro nk miaka ya miamba. Naipenda INJILI ya hawa watu. AMEEN
@BeatriceSangito-gi1ld4 ай бұрын
Hakika hiki ni chombo cha Yesu kama alivyo sema kwenye Ezekiel amejisazia hakika hiki ni chuma cha Yesu
@rahelhango92364 ай бұрын
Chuma Cha BWANA YESU 🔥🔥🔥
@smartmwakipesile38424 ай бұрын
Amina baba Mungu akubariki sana,Ee,Mungu unikumbuke na mimi nihubiri injili ya kweli na moto, mpaka mwisho, Mungu unisaidie, Mtumishi uishi miaka mingi baba nasi tuendelee kuiskia hekima ya Mungu ndani yako
@user-cy6tb1bm4x4 ай бұрын
Hakika namuona mungu barikiwa mchungaji mangembe
@jimmymwashambwa7364Ай бұрын
Na Mimi nimepokea baraka tosha za Yesu Toka mkutano wa Arusha amina
@marcosearnest36173 ай бұрын
Asante Sana ijili mwoto niko Kenya 🇰🇪 nme barikiwa Sana
@user-gc8vb3gv8c4 ай бұрын
Ubarikiwe baba mtumishi wa Mungu
@DanielMwasenga-bx7bd4 ай бұрын
Hongera sana baba naipenda sana injili hii
@jasperjackson88714 ай бұрын
Sema baba mchungaji na nimeipenda injilii iliyojaaa jeuri ya kiungu kwa kiwango cha juu sanaaa. Injili n motooooo❤️🔥🔥🔥🔥
@user-godfreyRobert4 ай бұрын
Ubarikiwe baba🎉🎉
@godwinkaunda95164 ай бұрын
Bravo man of God my the Almighty God Bless you
@AminielMbise-cl3fq4 ай бұрын
Hii ndio injili ya kweli. Mungu bado ana watu wake kila eneo we have to worship God in spirit and truth. Not in any other way. God bless you brother Moses Magembe An glory unti God
@user-eg5lt4lu2z4 ай бұрын
Tupo pamoja mchungaji..God bless you more... Niombee na mimi niweze kuitikisa dunia katika kizazi changu,
@elishamumba43044 ай бұрын
Hii injili sijaisikia mda mrefu sana injili ya kweli Mungu akubariki baba
@rahabnkya82764 ай бұрын
Àaaamen, maliza Baba wachawi wote jiji hili. BARIKIWA MTUMISHI wa Mungu Mchj DR. Moses magembe
@EllieSammy-tf4gx4 ай бұрын
Yesu akutie nguvu mtumishi wa Mungu aliye hai. Endelea kusema kweli wamebakia wachache wasemao kweli. God bless you.
@KanankiraNassary-iv3uwАй бұрын
Naomba ROHO yako mara dufu niliota unaniombea napokea upako wa MUNGU kwa JINA la YESU ameeeeen
@elinaikerichardkisanga91934 ай бұрын
Asante Yesu kwa Roho ya ujasiri aliyo mvuvia mtumishi Mzee Magembe❤ 1:10:43
@JohnMalengua-jh6ps4 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi kwa injili isiyo gushiwa
@janemuthui61304 ай бұрын
I give God all the glory Toboa Yote mtumishi Mungu wa kweli anjlikane Na aheshimiwe. ❤ Your ministering, be blessed in Jesus name
@ChapChap-z2s13 күн бұрын
Barikiwa Sanaa Baba , klb songwe pia
@sarahshalom973 күн бұрын
Baba Mch moses maghembe Yesu aendelee kukutunza
@user-ep2cm5xo3k4 ай бұрын
Uyu Mnjilist ni akiba ya Mungu kwa kizazi hiki.❤.
@user-no2tw5vb8j4 ай бұрын
This is my spiritual father indeed. Wonderful preaching
@eliphaznkurunziza74054 ай бұрын
Mungu nakushukuru sana maana umefanya nikutane na chombo chako Baba askofu Magembe Burundi mimi na familia yangu tunakupenda Endelea baba
@ProsperMbena3 ай бұрын
Kwanza ninapopata chakula Cha Roho kupitia Bomba Safi Magembe napata afya sana
@paulkamete29474 ай бұрын
Waoooooh i like this kind of Preaching! God bless you Man of God
@Nazareth81194 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa injili yako ya kweli.
@ev.samsonrweongachannel6584 ай бұрын
Mzee yupo sawa kabisa
@eunicelukanda18284 ай бұрын
Ndiyo, Yesu kristo yu hai milele
@alexkamba52644 ай бұрын
Asante kutuachia wazee kama hwa
@user-bm6dh8id1h4 ай бұрын
Mungu akubariki baba unaisema kweli ya mungu ilivyo we love you
@prospermallya30924 ай бұрын
Siwaletei mafuta na chumvi bali Yesu,,pokea kwa jina la Yesu...hakika huyu ni mwamba wa kale
@RashidLukindo-yl2yl4 ай бұрын
Magembe ni Jembe la Injili, binafsi amenikomaza kupitia Injili yake nimemwona Yesu!!
@user-ri1by1ij4o4 ай бұрын
Uko vizuri mtumishi wa Mungu,
@ev.samsonrweongachannel6584 ай бұрын
Upoko wa Mungu ukawe juu yake na Mungu ampe afya njema azidikuitenda kazi yake watu waokolewe
@tlotwe.01.4 ай бұрын
Hiki ni Chuma Cha YESU KRISTO Hakika! Kwa pumzi Hii Hakika YESU Yu Hai Ndani Ya Baba Mch. Maghembe.....Utukufu Kwa Kwa YESU KRISTO.
@gracemachongwe4314 ай бұрын
Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa
@jeremialaizer99784 ай бұрын
Injili hii n🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@barakasikuomba79204 ай бұрын
Great servant of God
@NEEMAJames-ns4ds4 ай бұрын
BARIKIWA mtumishi. TANGA PIA TUNAHITAJI INJILI HIYO
@user-gu6xy2hf5u4 ай бұрын
Baba mungu akubariki naazidikukutumia
@ChedyMlwale-kx9ms4 ай бұрын
Barikiwa mch kwa injiri ya kweli
@MwaminiMuumbaji2 күн бұрын
Aminaa
@BONIPHACEJOHN-kb1zb4 ай бұрын
Pastor natamani sana kufanya kazi na wewe, injili hiyo ndiyo injili sasa ya Yesu kristo sio siasa na vichekesho
@NENO_UZIMA90
4 ай бұрын
Wakati ni sasa Ndugu!! Tunaweza
@bensonmoris4634 ай бұрын
nimekubali
@user-po1qk1jf7v4 ай бұрын
Umenikumbusha mbari baba mwatondo enzi za kurora naye akiwasha Moto Kama ww umenibariki sana
@EliaSaimon4 ай бұрын
Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana
@PastorlevisIsambechohassan3 ай бұрын
Baba,Mungu wangu akubariki
@apostlejacksonkalinga51914 ай бұрын
Asante sana MCH
@OinothMunga4 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@lekinyaurey57724 ай бұрын
Mungu mbariki mtumishi wako mpemaisha marefu
@MartinSule11 күн бұрын
Amen..
@odethamlyuka25524 ай бұрын
Amen mtu wa Mungu 1)mjue Mungu anayetaka kuabudiwa
@rahelkimario14973 ай бұрын
Amen baba.
@user-qt7vs8pq5h4 ай бұрын
Balikiwa baba magembe
@mariamndwilo11044 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Jehova
@ArcoiriscelestialTvАй бұрын
Amina
@daikatorika936423 күн бұрын
Amen
@JohnJoel-ro7lc4 ай бұрын
Ilove this
@jimmymwashambwa7364Ай бұрын
Yesu njooo
@laizermsagalla3 ай бұрын
Magembe yuko makini sana naYesu kumuhubiri
@mpinabaharia22474 ай бұрын
Theolojia imelala kichwani
@vicentmsabila-fl6uj4 ай бұрын
Chapa injili mtumishi wa Mungu aliye hai Dunia imjue Mungu wa kweli
@DavidMalimbegu-dq8tp4 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki sana mtumishi wa Mungu umejitoa kuhubili injili isiyo goshiwa, mi binafsi nikukubari sana hiyo ndiyo injili iliyo iva Amina
@jimmymwashambwa7364Ай бұрын
Injili iliyonyoooka ndiyo hii ninayo iamini na kuipenda sana
@KyongoKyongo-rr8lm4 ай бұрын
Tuna barikiwa sana Baba
@martinakyoo1484 ай бұрын
Kumekuchavkumepambazuka Kilombero ,Tanzania Kwa Yesu sasa
@ev.samsonrweongachannel6584 ай бұрын
Sikiliza neno ukitumia vitu inje ya Neno yaani yesu aunatofauti na mtu anaye tumia irisi
@ayubumollel36473 ай бұрын
❤❤❤
@user-sm7gj4mn5n4 ай бұрын
Hakika mungu mwema barikiwa mchungaji
@godfreykawibesele85453 ай бұрын
Natamani huyu mzee nipokee kijiti chake
@johnsebastian-bx6qn4 ай бұрын
Amina baba Yesu atukuzwe
@user-lm7nd9ez2e4 ай бұрын
Amina mtumishi wa bwana
@CalorineMushi4 ай бұрын
Aisee mchungaji nafurahi nimeipenda iyoo ya kupiga shetani was arusha
@awitness90204 ай бұрын
Kama Kuna number I ya baba huyu wekeni kwa mtandao Bishop toka kenya
@mchungajimpigauzitv57034 ай бұрын
Balikiwa Sana mtumishi wabwana habali Njema ndiyo hiyo
@perpetuamuna16334 ай бұрын
Aminaaaaa....
@sophiakimaro517414 күн бұрын
Vile roho ya ya Eliya ilivyomwendea Elisha ndivyo roho ya kolola ilivyomwelekea magembe.
@janemuthui61304 ай бұрын
I would like to know how I can attend one of your meetings I am in Kenya, Nakuru Jane Muthui
@frolafelix4 ай бұрын
jina la Yesu libarikiwe kwa chombo chake
@user-cs3mp1rc5h4 ай бұрын
ameeen...💯💯💯💯
@naomichristopher39414 ай бұрын
Baba , Baba yangu , nakusubili MZA injili hii NI Moto motooo utawaka MZA wachawi wooote wa MZA mfungashe vilago vyenu , hawa wazee NI wachache wanao hubiri injili isiyo goshiwa .
@user-do4qs8vx2s4 ай бұрын
Hakika Mungu amekutia nguvu uinuliwe Mchungaji Magembe
@IsayaSchone-kt7uq4 ай бұрын
Aminaaa kuuu
@user-cm5xv7gb2e4 ай бұрын
Hii ndiyo isiyo chakachuliwa, watu wa vyombo jitahidi kuseti vyombo vizuri nimemsikia Baba akilalamikia vyombo
Пікірлер: 148
Roho ya kulola inakaa juu yake jamani injili hii lzm kuokoka Mungu akupe maisha marefu Baba Amina ubarikiwe
NY, Mungu awabariki Kwa kuturushia matangazo! Lakini wakati mwingine mnarusha vibaya, picha hazionekani, unakuta unafuatilia mahubir ambayo yalipita unakua kipande kizima hakionyeshi! TAFADHALI tuonyesheni vizur, tunamfuatilia sana huyu baba! Lakin sio wewe tu , hata MAGEMBE TV, nao wanatatizo ya mitambo, ushauri wangu jitahidini kuturushia vizur! Mungu awatie nguvu! Amina
Asante Sana mtumishi wa Mungu Mambo yote yatapita lkn neno litasimama pale pale
Aliluyaaa Bwana yesu Asifiwe sana Man of God
Mzee magembe nimefurahi kukusikia leo. Mzee lazaro nk miaka ya miamba. Naipenda INJILI ya hawa watu. AMEEN
Hakika hiki ni chombo cha Yesu kama alivyo sema kwenye Ezekiel amejisazia hakika hiki ni chuma cha Yesu
Chuma Cha BWANA YESU 🔥🔥🔥
Amina baba Mungu akubariki sana,Ee,Mungu unikumbuke na mimi nihubiri injili ya kweli na moto, mpaka mwisho, Mungu unisaidie, Mtumishi uishi miaka mingi baba nasi tuendelee kuiskia hekima ya Mungu ndani yako
Hakika namuona mungu barikiwa mchungaji mangembe
Na Mimi nimepokea baraka tosha za Yesu Toka mkutano wa Arusha amina
Asante Sana ijili mwoto niko Kenya 🇰🇪 nme barikiwa Sana
Ubarikiwe baba mtumishi wa Mungu
Hongera sana baba naipenda sana injili hii
Sema baba mchungaji na nimeipenda injilii iliyojaaa jeuri ya kiungu kwa kiwango cha juu sanaaa. Injili n motooooo❤️🔥🔥🔥🔥
Ubarikiwe baba🎉🎉
Bravo man of God my the Almighty God Bless you
Hii ndio injili ya kweli. Mungu bado ana watu wake kila eneo we have to worship God in spirit and truth. Not in any other way. God bless you brother Moses Magembe An glory unti God
Tupo pamoja mchungaji..God bless you more... Niombee na mimi niweze kuitikisa dunia katika kizazi changu,
Hii injili sijaisikia mda mrefu sana injili ya kweli Mungu akubariki baba
Àaaamen, maliza Baba wachawi wote jiji hili. BARIKIWA MTUMISHI wa Mungu Mchj DR. Moses magembe
Yesu akutie nguvu mtumishi wa Mungu aliye hai. Endelea kusema kweli wamebakia wachache wasemao kweli. God bless you.
Naomba ROHO yako mara dufu niliota unaniombea napokea upako wa MUNGU kwa JINA la YESU ameeeeen
Asante Yesu kwa Roho ya ujasiri aliyo mvuvia mtumishi Mzee Magembe❤ 1:10:43
Barikiwa sana mtumishi kwa injili isiyo gushiwa
I give God all the glory Toboa Yote mtumishi Mungu wa kweli anjlikane Na aheshimiwe. ❤ Your ministering, be blessed in Jesus name
Barikiwa Sanaa Baba , klb songwe pia
Baba Mch moses maghembe Yesu aendelee kukutunza
Uyu Mnjilist ni akiba ya Mungu kwa kizazi hiki.❤.
This is my spiritual father indeed. Wonderful preaching
Mungu nakushukuru sana maana umefanya nikutane na chombo chako Baba askofu Magembe Burundi mimi na familia yangu tunakupenda Endelea baba
Kwanza ninapopata chakula Cha Roho kupitia Bomba Safi Magembe napata afya sana
Waoooooh i like this kind of Preaching! God bless you Man of God
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa injili yako ya kweli.
Mzee yupo sawa kabisa
Ndiyo, Yesu kristo yu hai milele
Asante kutuachia wazee kama hwa
Mungu akubariki baba unaisema kweli ya mungu ilivyo we love you
Siwaletei mafuta na chumvi bali Yesu,,pokea kwa jina la Yesu...hakika huyu ni mwamba wa kale
Magembe ni Jembe la Injili, binafsi amenikomaza kupitia Injili yake nimemwona Yesu!!
Uko vizuri mtumishi wa Mungu,
Upoko wa Mungu ukawe juu yake na Mungu ampe afya njema azidikuitenda kazi yake watu waokolewe
Hiki ni Chuma Cha YESU KRISTO Hakika! Kwa pumzi Hii Hakika YESU Yu Hai Ndani Ya Baba Mch. Maghembe.....Utukufu Kwa Kwa YESU KRISTO.
Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa
Injili hii n🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Great servant of God
BARIKIWA mtumishi. TANGA PIA TUNAHITAJI INJILI HIYO
Baba mungu akubariki naazidikukutumia
Barikiwa mch kwa injiri ya kweli
Aminaa
Pastor natamani sana kufanya kazi na wewe, injili hiyo ndiyo injili sasa ya Yesu kristo sio siasa na vichekesho
@NENO_UZIMA90
4 ай бұрын
Wakati ni sasa Ndugu!! Tunaweza
nimekubali
Umenikumbusha mbari baba mwatondo enzi za kurora naye akiwasha Moto Kama ww umenibariki sana
Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana
Baba,Mungu wangu akubariki
Asante sana MCH
Amina mtumishi wa Mungu
Mungu mbariki mtumishi wako mpemaisha marefu
Amen..
Amen mtu wa Mungu 1)mjue Mungu anayetaka kuabudiwa
Amen baba.
Balikiwa baba magembe
Mungu akubariki sana mtumishi wa Jehova
Amina
Amen
Ilove this
Yesu njooo
Magembe yuko makini sana naYesu kumuhubiri
Theolojia imelala kichwani
Chapa injili mtumishi wa Mungu aliye hai Dunia imjue Mungu wa kweli
Mungu wa mbinguni akubariki sana mtumishi wa Mungu umejitoa kuhubili injili isiyo goshiwa, mi binafsi nikukubari sana hiyo ndiyo injili iliyo iva Amina
Injili iliyonyoooka ndiyo hii ninayo iamini na kuipenda sana
Tuna barikiwa sana Baba
Kumekuchavkumepambazuka Kilombero ,Tanzania Kwa Yesu sasa
Sikiliza neno ukitumia vitu inje ya Neno yaani yesu aunatofauti na mtu anaye tumia irisi
❤❤❤
Hakika mungu mwema barikiwa mchungaji
Natamani huyu mzee nipokee kijiti chake
Amina baba Yesu atukuzwe
Amina mtumishi wa bwana
Aisee mchungaji nafurahi nimeipenda iyoo ya kupiga shetani was arusha
Kama Kuna number I ya baba huyu wekeni kwa mtandao Bishop toka kenya
Balikiwa Sana mtumishi wabwana habali Njema ndiyo hiyo
Aminaaaaa....
Vile roho ya ya Eliya ilivyomwendea Elisha ndivyo roho ya kolola ilivyomwelekea magembe.
I would like to know how I can attend one of your meetings I am in Kenya, Nakuru Jane Muthui
jina la Yesu libarikiwe kwa chombo chake
ameeen...💯💯💯💯
Baba , Baba yangu , nakusubili MZA injili hii NI Moto motooo utawaka MZA wachawi wooote wa MZA mfungashe vilago vyenu , hawa wazee NI wachache wanao hubiri injili isiyo goshiwa .
Hakika Mungu amekutia nguvu uinuliwe Mchungaji Magembe
Aminaaa kuuu
Hii ndiyo isiyo chakachuliwa, watu wa vyombo jitahidi kuseti vyombo vizuri nimemsikia Baba akilalamikia vyombo
Aminaaa!!!!!!
Hii ndio injili ya kweli makete tunaipata
AMEEEN.
Ameen
Amen Amen.
Sumbawanga utakuja lini?
Ameeeee halijamaliza nguvu ndyo Baba
Haleluya
Imen Imen