ARUSHA;UMISHENI NA HISTORIA YA KANISA REV: MOSES MAGEMBE
Umisheni na historia ya kanisa Mchungaji Moses Magembe
Жүктеу.....
Пікірлер: 44
@apostleemmanuelmabuga81483 ай бұрын
Sijui kama TAG wanajua wana mtu muhimu mwenye madini kiasi hiki na kama wanamjua wamtunze kweli kweli
@mwinjilistierickkujwika1182
3 ай бұрын
Wanajua na ndio maana wapo naye karibu sana.
@user-no2tw5vb8j3 ай бұрын
Baba nabarikiwa sana ukihubiri . So powerful
@emilywastile-70302 ай бұрын
Baba mwenyezi mungu akukumbuke katika huduma zote ulizozifanya na zile ambazo haujazifanya hakika wewe ni komando wa YESU.
@stephennganga4827Ай бұрын
Atukuzwe Baba Mungu mwenye kuziumba mbigu na nchi, huu ni mudu wa Jehovah Mungu katika shamba lake mwenyewe.Tatizo ni sisi wahuduma kutoelewa😢😢😢Mungu nisaidie na mimi,Apostle Ng'ang'a Gcc Mpeketoni.
@user-ry1xr6cs7uАй бұрын
Ubarkiwe sana mtumishi ninabarikiwa sana sana
@user-zd6tt2dq3k2 ай бұрын
Barikiwa Sana pastor Nipo kwa semina na mimi na nakuelewa vizuri BWANA AENDELEE KUKUTUMIA
@msombanambiligwe7233 ай бұрын
Hapa TAG mnayo hazina hii. Itumieni vizuri na kuitunza. Ni mwl na kamusi nzuri. Mungu mtunze mtumishi huyu kwa ajili ya kizazi hiki.
@PauloMdem2 ай бұрын
Mzee Mungu akutunze mwalimu
@HappyJoseph-qv8sd2 ай бұрын
Hakika Mungu akupe maisha marefu baba nakuelewa sana
@salomerobert97153 ай бұрын
Mungu azidi kukupa neema ya kuzinena siri za.kristo kwa ujasili ubarikiwe sana
@nabiimuimbaji3 ай бұрын
Baba yangu kabisaaaa nakupenda sanaaa...barikiwa zaidi
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es2 ай бұрын
You are very truely
@salomerobert97153 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@AstrideMtewele2 ай бұрын
Hautaji kuwa na maprofesa,unahitaji watu wenye mzigo (elewa kanisa limearibika kwakuangalia elimu za kidunia kutoa vyeo vya kiroho)Ubarikiwe Baba.
@filbertsabuhoro21783 ай бұрын
Very powerful teaching
@denisijosephat23613 ай бұрын
ubarikiwe baba ntakupatia vzr Kwa doctreen Yako ya church history
@IsaacLameck-nz8yr3 ай бұрын
Nilisha conclude kitambo kwamba Kwa hapa bongo Kwangu Mimi huyu Mzee ndo top sijaona mwenye content kama hii
@saimonseleka87923 ай бұрын
Kuna wimbi kubwa la wachungaji halafu wengi wao ni marafiki sana ndani ya TAG nashangaa wanampiga sana mawe huyu mzee sielewagi kwa nini hawafahamu juu ya alichonacho kwamba ni....😢
@rev.musabalalarogersmusabalalaАй бұрын
Ahsante Baba
@gaudencevalentino14063 ай бұрын
So powerful
@joshuabweli62493 ай бұрын
Mchungaji madini haya unasoma wap maana ninapenda sana mahubiri yenye shule kama yako.
@EzekielNtahenkama3 ай бұрын
Amina
@haningtonkabuta93873 ай бұрын
VIDEO YA QUALITY NZURI SANAAA. HONGERA NYTV
@KhalidiBoazАй бұрын
Amen Amen Amen,
@leonardrubeni62943 ай бұрын
Haya madini ni muhimu sana na sisi watumegee ya kutosha.
@dr.mikeeliabumasakimd32643 ай бұрын
Amen baba
@nehemiajulius2 ай бұрын
Maisha marefu kwako mtumishi uzidi kutufundisha zaidi huwa nabarikiwa saana
@IsayaSchone-kt7uq3 ай бұрын
be blessed much!!
@IsayaSchone-kt7uq3 ай бұрын
Amen
@LuganoMwakabana3 ай бұрын
Baba MUNGU asikupungukie
@robertkamugishakamuntukamu68053 ай бұрын
Madini haswa
@m.m.tvmbebamaono3 ай бұрын
Amina baba naanza huduma
@user-sy3qw2zk1bАй бұрын
Mtumishi wa MUNGU azungumzae ya rohoni na imani lkn sio utajiri na anasa. Huko ndio kunaitwa kujikana mwenyewe nafsi yako na kujitwika msalaba wako.!!!
@derickerastus76623 ай бұрын
Mahubiri mazuri sema sasa mnayakata sana yaani mnaweka masomo vipande vipande mtu inakua ngumu kupata ujumbe kamili wekenu somo walau la saa moja au masaa mawili kama inawezekana ila hii ya kukatisha inakua haijakaa vizuri..
@IsaacLameck-nz8yr
3 ай бұрын
Ni lengo la biashara pia kuuuza kaka video ziwe nyingi ziwe viewers wengi pia na pesa ipatikane kazi isonge mbele
@derickerastus7662
3 ай бұрын
@@IsaacLameck-nz8yr sawa kumbe ni hivyo basi sawa ndio maana nilishangaa video zenu kuwa fupi fupi ila nimeelewa kama lengo ni hilo la biashara
@AsuntaMalenda-ey6xx2 ай бұрын
Chombo kiteule Cha bwana, walio wa mshahara hawaelewi
@CHAMSATV3 ай бұрын
safi
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es2 ай бұрын
Nakupenda kanisa
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es2 ай бұрын
Huyu Mzee anaijua vzr sana history ya kanisa.na hii ndio Siri ya ujasiri wake ktk Imani.
@jameskajenge31093 ай бұрын
Kiukweli huyu mchungaji ni wa kipekee sana. Mafundisho yake yana nguvu sana
Пікірлер: 44
Sijui kama TAG wanajua wana mtu muhimu mwenye madini kiasi hiki na kama wanamjua wamtunze kweli kweli
@mwinjilistierickkujwika1182
3 ай бұрын
Wanajua na ndio maana wapo naye karibu sana.
Baba nabarikiwa sana ukihubiri . So powerful
Baba mwenyezi mungu akukumbuke katika huduma zote ulizozifanya na zile ambazo haujazifanya hakika wewe ni komando wa YESU.
Atukuzwe Baba Mungu mwenye kuziumba mbigu na nchi, huu ni mudu wa Jehovah Mungu katika shamba lake mwenyewe.Tatizo ni sisi wahuduma kutoelewa😢😢😢Mungu nisaidie na mimi,Apostle Ng'ang'a Gcc Mpeketoni.
Ubarkiwe sana mtumishi ninabarikiwa sana sana
Barikiwa Sana pastor Nipo kwa semina na mimi na nakuelewa vizuri BWANA AENDELEE KUKUTUMIA
Hapa TAG mnayo hazina hii. Itumieni vizuri na kuitunza. Ni mwl na kamusi nzuri. Mungu mtunze mtumishi huyu kwa ajili ya kizazi hiki.
Mzee Mungu akutunze mwalimu
Hakika Mungu akupe maisha marefu baba nakuelewa sana
Mungu azidi kukupa neema ya kuzinena siri za.kristo kwa ujasili ubarikiwe sana
Baba yangu kabisaaaa nakupenda sanaaa...barikiwa zaidi
You are very truely
Ubarikiwe mtumishi
Hautaji kuwa na maprofesa,unahitaji watu wenye mzigo (elewa kanisa limearibika kwakuangalia elimu za kidunia kutoa vyeo vya kiroho)Ubarikiwe Baba.
Very powerful teaching
ubarikiwe baba ntakupatia vzr Kwa doctreen Yako ya church history
Nilisha conclude kitambo kwamba Kwa hapa bongo Kwangu Mimi huyu Mzee ndo top sijaona mwenye content kama hii
Kuna wimbi kubwa la wachungaji halafu wengi wao ni marafiki sana ndani ya TAG nashangaa wanampiga sana mawe huyu mzee sielewagi kwa nini hawafahamu juu ya alichonacho kwamba ni....😢
Ahsante Baba
So powerful
Mchungaji madini haya unasoma wap maana ninapenda sana mahubiri yenye shule kama yako.
Amina
VIDEO YA QUALITY NZURI SANAAA. HONGERA NYTV
Amen Amen Amen,
Haya madini ni muhimu sana na sisi watumegee ya kutosha.
Amen baba
Maisha marefu kwako mtumishi uzidi kutufundisha zaidi huwa nabarikiwa saana
be blessed much!!
Amen
Baba MUNGU asikupungukie
Madini haswa
Amina baba naanza huduma
Mtumishi wa MUNGU azungumzae ya rohoni na imani lkn sio utajiri na anasa. Huko ndio kunaitwa kujikana mwenyewe nafsi yako na kujitwika msalaba wako.!!!
Mahubiri mazuri sema sasa mnayakata sana yaani mnaweka masomo vipande vipande mtu inakua ngumu kupata ujumbe kamili wekenu somo walau la saa moja au masaa mawili kama inawezekana ila hii ya kukatisha inakua haijakaa vizuri..
@IsaacLameck-nz8yr
3 ай бұрын
Ni lengo la biashara pia kuuuza kaka video ziwe nyingi ziwe viewers wengi pia na pesa ipatikane kazi isonge mbele
@derickerastus7662
3 ай бұрын
@@IsaacLameck-nz8yr sawa kumbe ni hivyo basi sawa ndio maana nilishangaa video zenu kuwa fupi fupi ila nimeelewa kama lengo ni hilo la biashara
Chombo kiteule Cha bwana, walio wa mshahara hawaelewi
safi
Nakupenda kanisa
Huyu Mzee anaijua vzr sana history ya kanisa.na hii ndio Siri ya ujasiri wake ktk Imani.
Kiukweli huyu mchungaji ni wa kipekee sana. Mafundisho yake yana nguvu sana
kzread.info/dash/bejne/Zp-uktKRecTZiLQ.htmlsi=CUs5Ob1zVFI0Dn9c SITAKUACHA
Mchamungaji wa T A G halafu wasimfahamu mchungaji wao