ARUSHA;UMISHENI NA HISTORIA YA KANISA REV: MOSES MAGEMBE

Umisheni na historia ya kanisa Mchungaji Moses Magembe

Пікірлер: 44

  • @apostleemmanuelmabuga8148
    @apostleemmanuelmabuga81483 ай бұрын

    Sijui kama TAG wanajua wana mtu muhimu mwenye madini kiasi hiki na kama wanamjua wamtunze kweli kweli

  • @mwinjilistierickkujwika1182

    @mwinjilistierickkujwika1182

    3 ай бұрын

    Wanajua na ndio maana wapo naye karibu sana.

  • @user-no2tw5vb8j
    @user-no2tw5vb8j3 ай бұрын

    Baba nabarikiwa sana ukihubiri . So powerful

  • @emilywastile-7030
    @emilywastile-70302 ай бұрын

    Baba mwenyezi mungu akukumbuke katika huduma zote ulizozifanya na zile ambazo haujazifanya hakika wewe ni komando wa YESU.

  • @stephennganga4827
    @stephennganga4827Ай бұрын

    Atukuzwe Baba Mungu mwenye kuziumba mbigu na nchi, huu ni mudu wa Jehovah Mungu katika shamba lake mwenyewe.Tatizo ni sisi wahuduma kutoelewa😢😢😢Mungu nisaidie na mimi,Apostle Ng'ang'a Gcc Mpeketoni.

  • @user-ry1xr6cs7u
    @user-ry1xr6cs7uАй бұрын

    Ubarkiwe sana mtumishi ninabarikiwa sana sana

  • @user-zd6tt2dq3k
    @user-zd6tt2dq3k2 ай бұрын

    Barikiwa Sana pastor Nipo kwa semina na mimi na nakuelewa vizuri BWANA AENDELEE KUKUTUMIA

  • @msombanambiligwe723
    @msombanambiligwe7233 ай бұрын

    Hapa TAG mnayo hazina hii. Itumieni vizuri na kuitunza. Ni mwl na kamusi nzuri. Mungu mtunze mtumishi huyu kwa ajili ya kizazi hiki.

  • @PauloMdem
    @PauloMdem2 ай бұрын

    Mzee Mungu akutunze mwalimu

  • @HappyJoseph-qv8sd
    @HappyJoseph-qv8sd2 ай бұрын

    Hakika Mungu akupe maisha marefu baba nakuelewa sana

  • @salomerobert9715
    @salomerobert97153 ай бұрын

    Mungu azidi kukupa neema ya kuzinena siri za.kristo kwa ujasili ubarikiwe sana

  • @nabiimuimbaji
    @nabiimuimbaji3 ай бұрын

    Baba yangu kabisaaaa nakupenda sanaaa...barikiwa zaidi

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es2 ай бұрын

    You are very truely

  • @salomerobert9715
    @salomerobert97153 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi

  • @AstrideMtewele
    @AstrideMtewele2 ай бұрын

    Hautaji kuwa na maprofesa,unahitaji watu wenye mzigo (elewa kanisa limearibika kwakuangalia elimu za kidunia kutoa vyeo vya kiroho)Ubarikiwe Baba.

  • @filbertsabuhoro2178
    @filbertsabuhoro21783 ай бұрын

    Very powerful teaching

  • @denisijosephat2361
    @denisijosephat23613 ай бұрын

    ubarikiwe baba ntakupatia vzr Kwa doctreen Yako ya church history

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr3 ай бұрын

    Nilisha conclude kitambo kwamba Kwa hapa bongo Kwangu Mimi huyu Mzee ndo top sijaona mwenye content kama hii

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka87923 ай бұрын

    Kuna wimbi kubwa la wachungaji halafu wengi wao ni marafiki sana ndani ya TAG nashangaa wanampiga sana mawe huyu mzee sielewagi kwa nini hawafahamu juu ya alichonacho kwamba ni....😢

  • @rev.musabalalarogersmusabalala
    @rev.musabalalarogersmusabalalaАй бұрын

    Ahsante Baba

  • @gaudencevalentino1406
    @gaudencevalentino14063 ай бұрын

    So powerful

  • @joshuabweli6249
    @joshuabweli62493 ай бұрын

    Mchungaji madini haya unasoma wap maana ninapenda sana mahubiri yenye shule kama yako.

  • @EzekielNtahenkama
    @EzekielNtahenkama3 ай бұрын

    Amina

  • @haningtonkabuta9387
    @haningtonkabuta93873 ай бұрын

    VIDEO YA QUALITY NZURI SANAAA. HONGERA NYTV

  • @KhalidiBoaz
    @KhalidiBoazАй бұрын

    Amen Amen Amen,

  • @leonardrubeni6294
    @leonardrubeni62943 ай бұрын

    Haya madini ni muhimu sana na sisi watumegee ya kutosha.

  • @dr.mikeeliabumasakimd3264
    @dr.mikeeliabumasakimd32643 ай бұрын

    Amen baba

  • @nehemiajulius
    @nehemiajulius2 ай бұрын

    Maisha marefu kwako mtumishi uzidi kutufundisha zaidi huwa nabarikiwa saana

  • @IsayaSchone-kt7uq
    @IsayaSchone-kt7uq3 ай бұрын

    be blessed much!!

  • @IsayaSchone-kt7uq
    @IsayaSchone-kt7uq3 ай бұрын

    Amen

  • @LuganoMwakabana
    @LuganoMwakabana3 ай бұрын

    Baba MUNGU asikupungukie

  • @robertkamugishakamuntukamu6805
    @robertkamugishakamuntukamu68053 ай бұрын

    Madini haswa

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono3 ай бұрын

    Amina baba naanza huduma

  • @user-sy3qw2zk1b
    @user-sy3qw2zk1bАй бұрын

    Mtumishi wa MUNGU azungumzae ya rohoni na imani lkn sio utajiri na anasa. Huko ndio kunaitwa kujikana mwenyewe nafsi yako na kujitwika msalaba wako.!!!

  • @derickerastus7662
    @derickerastus76623 ай бұрын

    Mahubiri mazuri sema sasa mnayakata sana yaani mnaweka masomo vipande vipande mtu inakua ngumu kupata ujumbe kamili wekenu somo walau la saa moja au masaa mawili kama inawezekana ila hii ya kukatisha inakua haijakaa vizuri..

  • @IsaacLameck-nz8yr

    @IsaacLameck-nz8yr

    3 ай бұрын

    Ni lengo la biashara pia kuuuza kaka video ziwe nyingi ziwe viewers wengi pia na pesa ipatikane kazi isonge mbele

  • @derickerastus7662

    @derickerastus7662

    3 ай бұрын

    @@IsaacLameck-nz8yr sawa kumbe ni hivyo basi sawa ndio maana nilishangaa video zenu kuwa fupi fupi ila nimeelewa kama lengo ni hilo la biashara

  • @AsuntaMalenda-ey6xx
    @AsuntaMalenda-ey6xx2 ай бұрын

    Chombo kiteule Cha bwana, walio wa mshahara hawaelewi

  • @CHAMSATV
    @CHAMSATV3 ай бұрын

    safi

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es2 ай бұрын

    Nakupenda kanisa

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es2 ай бұрын

    Huyu Mzee anaijua vzr sana history ya kanisa.na hii ndio Siri ya ujasiri wake ktk Imani.

  • @jameskajenge3109
    @jameskajenge31093 ай бұрын

    Kiukweli huyu mchungaji ni wa kipekee sana. Mafundisho yake yana nguvu sana

  • @GraceofGodTelevision
    @GraceofGodTelevision3 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Zp-uktKRecTZiLQ.htmlsi=CUs5Ob1zVFI0Dn9c SITAKUACHA

  • @josephlugala3182
    @josephlugala31823 ай бұрын

    Mchamungaji wa T A G halafu wasimfahamu mchungaji wao

Келесі