ANGUKO la VIONGOZI wa kidini TAnZANIA laonekana. Toba Toba Toba
Жүктеу.....
Пікірлер: 9
@rastheunique6 күн бұрын
Eeeh Mwenye Enzi Mungu Turehemu sisi waja wako😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@richardmariki4512Ай бұрын
Pata habari ya leo juu ya askofu shoo.soma nipashe
@marympochela790311 күн бұрын
Amina sana mtumishi wa MUNGU, Elijah
@Elijah-TheSeerTv
7 күн бұрын
Blessings
@mabondolawrence1812Ай бұрын
Siyo kwa viongozi wa serikali tu bali hata ndani ya makanisa wamekuwa watafuta pesa na mali hawakemei dhambi bali kulea wadhambi ila wenyepesa, hawajali maslahi ya injili bali kila jambo linaenda ki maslahi, Mungu shusha moto watu hawa wazinduke!
@janengaga2928Ай бұрын
Shusha mapigo MUNGU MKUU maana viongozi wengi wa kidini wanawaza na kufundisha na kuwa na tamaa nafedha na madaraka tu.Hawafundishi kumcha MUNGU na utakaso wa roho na mwili.Ajabu kuu
@edwinmbunda67092 ай бұрын
Bora Mungu afanye hilo.....viongozi wengi wa kidini wamekuwa mabepari
@matiredms917Ай бұрын
Hakika mtumishi. Viongozi wa kiroho kama Malasusa ni wanafiki kupitiliza kiasi. Hakika Mungu atampatiliza kwani amedhalilisha KKKT Tanzania kabisa. Malasusa ni msaka fedha za kanisa tu.
Пікірлер: 9
Eeeh Mwenye Enzi Mungu Turehemu sisi waja wako😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Pata habari ya leo juu ya askofu shoo.soma nipashe
Amina sana mtumishi wa MUNGU, Elijah
@Elijah-TheSeerTv
7 күн бұрын
Blessings
Siyo kwa viongozi wa serikali tu bali hata ndani ya makanisa wamekuwa watafuta pesa na mali hawakemei dhambi bali kulea wadhambi ila wenyepesa, hawajali maslahi ya injili bali kila jambo linaenda ki maslahi, Mungu shusha moto watu hawa wazinduke!
Shusha mapigo MUNGU MKUU maana viongozi wengi wa kidini wanawaza na kufundisha na kuwa na tamaa nafedha na madaraka tu.Hawafundishi kumcha MUNGU na utakaso wa roho na mwili.Ajabu kuu
Bora Mungu afanye hilo.....viongozi wengi wa kidini wamekuwa mabepari
Hakika mtumishi. Viongozi wa kiroho kama Malasusa ni wanafiki kupitiliza kiasi. Hakika Mungu atampatiliza kwani amedhalilisha KKKT Tanzania kabisa. Malasusa ni msaka fedha za kanisa tu.
@Elijah-TheSeerTv
Ай бұрын
Wataanguka na kufedheheshwa