ALIYECHOMA PICHA YA RAIS AACHIWA AFUNGUKA, AWASHUKURU WATANZANIA
Msanii wa Sanaa ya uchoraji, Shadrack Chaula (24) amewashukuru Watanzania waliomchangia faini ya Sh5 milioni na 'kumtetea' baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kwa kosa la kutoa taarifa za uongo mtandaoni.
Kauli hiyo ameitoa leo Jumatatu Julai 8, 2024 baada ya kuachiwa huru.
“Asanteni watanzania, naitwa Shadrack Chaula, asanteni ndugu zangu mawakili kwa kunitetea na Wtanzania wote mliohakikisha mnanitetea,”amesema Chaula.
Julai 4, 2024 Chaula aliyekamatwa kwa madai ya kuchoma picha ya Rais Samia Suluhu Hassan na kushtakiwa kwa kosa la kutoa taarifa za uongo, alihukumiwa katika Mahakama ya Wilaya ya Rungwe Mkoa wa Mbeya, baada ya mshtakiwa huyo, mkazi wa Kijiji cha Ntokela, wilayani humo, kukiri kosa hilo.
Hata hivyo, watumiaji wa mtandao wa X (zamani Twitter) walichanga faini hiyo kwa ajili ya kumtoa. Kupitia ukurasa wa Instagram wa Wakili Peter Kibatala amewashukuru wote waliochangia.
Пікірлер: 33
Hiyo ndiyo kesi iliyoamliwa mapema zaidi kwenye historia ya mahakama ya Tanzania. Ila zingine kama Ile liport ya CAG mtu kujibebea mabilioni ya pesa ya uma. Uchunguzi Bado unaenderea tena kmy kmy amna tunachojua. 😢 Saw hii nchi si yenu ishini nyinyi cc tupo kuwasindikiza 😢😢😢
Nilimchangia, ila ni upumbavu kuchoma picha ya kiongozi mkubwa wa nchi. Hizi ni mihemko tu
Wa Tanzania Ni watu wema sana na wenye Imani
Safiii mungu ni mkubwa
JIFUNZE KITU USIKURUPUKE
Shujaaaa huyo 😂😂
SAS UJE URUDIE TENA UPUUZ NDO UTAJUA😢😢😢😢
Safi Sana watanzania kwa kuonesha upendo huo
Hongereni wa Tanganyika kwa umoja❤
Safi sana upendo tu maskini kwa maskini tunajivunia nguvu moja
Watanzania gani😢😢😢😢😢
Wakwer tumeshinda
maisha magumu hixo hela za michango mmezipataje..
Aendelee kuchoma. Kutukana, kukejeli ! Pesa zipo tutatoa !
Una vuta mibangi ya njombe afu una jizima data we musenge kbs
Safi san mungu mwema
Our champion
Mungu si Massawe usitishwe mdogo wangu umefikisha ujumbe kwa ujasiri mkubwa kwan wakati Mungu anakuleta aliwauliza ili wamshauri?😁
Usisema watanzania washukuru waliokutuma.
Kumbe mmelipa faini
Mimi Kila siku naikojolea asubuhi na jioni naitapikia picha ya huyo "Mungu wenu wa kike" Kumbafu zenu . Na hamnifanyi kitu. Kumbafu Tena!!
Aache upumbavu
Kwaiyo utarudia au
Babkubwa Uko Sawa sikupingi hata kidogo.Mimi nitachoma ya Uyo Mama na chupi yake Nape ridhiwani na bunge Zima nitaanza na speaker Tulia nachoma hadi chupi yake nitumieni picha zao.Niwaonyeshe.Napatika Tandale Uwanja wa Fisi mkifika Ulizieni Komando wa magufuli A.K.A Ninja mweusi.Mje fullu na magobore yenu. pumbavu
Mtu anamtukana raisi anadhlilisha inatokea mijitu iso na akili inatetea nyie chadema nyinyi mungu anawaona
@user-sk1yd4pw1v
13 күн бұрын
Acha uchawa
Urudie tena kuchoma Uone kitakachokukuta
Pumbavu zenu yaani mtu anafanya utovu wa nidhamu kama huo alafu bado anaonekana yuko sahihi hii akili au matope kwani haya maisha mabaya ni sababu ya mama samia? Acheni upumbavu na chuki za kijinga
@user-sk1yd4pw1v
13 күн бұрын
Acha uchawa
alitaka kuonewa 2 kwa kuchana kalatasi
@MhinaKulewa
13 күн бұрын
Hata pesa ni karatasi ila ukiichana utafungwa.
Mtumieni kwenye s9asa uchwara sasa
Watanganyika wanaojielewa siyo misukule