ALIYECHOMA PICHA YA RAIS AACHIWA AFUNGUKA, AWASHUKURU WATANZANIA

Msanii wa Sanaa ya uchoraji, Shadrack Chaula (24) amewashukuru Watanzania waliomchangia faini ya Sh5 milioni na 'kumtetea' baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kwa kosa la kutoa taarifa za uongo mtandaoni.
Kauli hiyo ameitoa leo Jumatatu Julai 8, 2024 baada ya kuachiwa huru.
“Asanteni watanzania, naitwa Shadrack Chaula, asanteni ndugu zangu mawakili kwa kunitetea na Wtanzania wote mliohakikisha mnanitetea,”amesema Chaula.
Julai 4, 2024 Chaula aliyekamatwa kwa madai ya kuchoma picha ya Rais Samia Suluhu Hassan na kushtakiwa kwa kosa la kutoa taarifa za uongo, alihukumiwa katika Mahakama ya Wilaya ya Rungwe Mkoa wa Mbeya, baada ya mshtakiwa huyo, mkazi wa Kijiji cha Ntokela, wilayani humo, kukiri kosa hilo.
Hata hivyo, watumiaji wa mtandao wa X (zamani Twitter) walichanga faini hiyo kwa ajili ya kumtoa. Kupitia ukurasa wa Instagram wa Wakili Peter Kibatala amewashukuru wote waliochangia.

Пікірлер: 33

  • @nuhhumwakanyamale4771
    @nuhhumwakanyamale477113 күн бұрын

    Hiyo ndiyo kesi iliyoamliwa mapema zaidi kwenye historia ya mahakama ya Tanzania. Ila zingine kama Ile liport ya CAG mtu kujibebea mabilioni ya pesa ya uma. Uchunguzi Bado unaenderea tena kmy kmy amna tunachojua. 😢 Saw hii nchi si yenu ishini nyinyi cc tupo kuwasindikiza 😢😢😢

  • @shakurfaith
    @shakurfaith13 күн бұрын

    Nilimchangia, ila ni upumbavu kuchoma picha ya kiongozi mkubwa wa nchi. Hizi ni mihemko tu

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah916912 күн бұрын

    Wa Tanzania Ni watu wema sana na wenye Imani

  • @gracendumbaro5196
    @gracendumbaro519613 күн бұрын

    Safiii mungu ni mkubwa

  • @MasoudSultan-ks6kc
    @MasoudSultan-ks6kc13 күн бұрын

    JIFUNZE KITU USIKURUPUKE

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti24913 күн бұрын

    Shujaaaa huyo 😂😂

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon106413 күн бұрын

    SAS UJE URUDIE TENA UPUUZ NDO UTAJUA😢😢😢😢

  • @imanmodern
    @imanmodern13 күн бұрын

    Safi Sana watanzania kwa kuonesha upendo huo

  • @Shalom803
    @Shalom80313 күн бұрын

    Hongereni wa Tanganyika kwa umoja❤

  • @user-cv4jb1bm6i
    @user-cv4jb1bm6i13 күн бұрын

    Safi sana upendo tu maskini kwa maskini tunajivunia nguvu moja

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende197513 күн бұрын

    Watanzania gani😢😢😢😢😢

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo778513 күн бұрын

    Wakwer tumeshinda

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j13 күн бұрын

    maisha magumu hixo hela za michango mmezipataje..

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si13 күн бұрын

    Aendelee kuchoma. Kutukana, kukejeli ! Pesa zipo tutatoa !

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke69512 күн бұрын

    Una vuta mibangi ya njombe afu una jizima data we musenge kbs

  • @happymrema7487
    @happymrema748713 күн бұрын

    Safi san mungu mwema

  • @kisoso890
    @kisoso89013 күн бұрын

    Our champion

  • @jastinmodest8073
    @jastinmodest807313 күн бұрын

    Mungu si Massawe usitishwe mdogo wangu umefikisha ujumbe kwa ujasiri mkubwa kwan wakati Mungu anakuleta aliwauliza ili wamshauri?😁

  • @petermogha7025
    @petermogha702513 күн бұрын

    Usisema watanzania washukuru waliokutuma.

  • @humphreyhassan8197
    @humphreyhassan819713 күн бұрын

    Kumbe mmelipa faini

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo13 күн бұрын

    Mimi Kila siku naikojolea asubuhi na jioni naitapikia picha ya huyo "Mungu wenu wa kike" Kumbafu zenu . Na hamnifanyi kitu. Kumbafu Tena!!

  • @emmanuelndahan9815
    @emmanuelndahan981513 күн бұрын

    Aache upumbavu

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo513 күн бұрын

    Kwaiyo utarudia au

  • @HappyBooks-dj6oy
    @HappyBooks-dj6oy12 күн бұрын

    Babkubwa Uko Sawa sikupingi hata kidogo.Mimi nitachoma ya Uyo Mama na chupi yake Nape ridhiwani na bunge Zima nitaanza na speaker Tulia nachoma hadi chupi yake nitumieni picha zao.Niwaonyeshe.Napatika Tandale Uwanja wa Fisi mkifika Ulizieni Komando wa magufuli A.K.A Ninja mweusi.Mje fullu na magobore yenu. pumbavu

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l13 күн бұрын

    Mtu anamtukana raisi anadhlilisha inatokea mijitu iso na akili inatetea nyie chadema nyinyi mungu anawaona

  • @user-sk1yd4pw1v

    @user-sk1yd4pw1v

    13 күн бұрын

    Acha uchawa

  • @adammbuba7230
    @adammbuba723013 күн бұрын

    Urudie tena kuchoma Uone kitakachokukuta

  • @selemankishema5780
    @selemankishema578013 күн бұрын

    Pumbavu zenu yaani mtu anafanya utovu wa nidhamu kama huo alafu bado anaonekana yuko sahihi hii akili au matope kwani haya maisha mabaya ni sababu ya mama samia? Acheni upumbavu na chuki za kijinga

  • @user-sk1yd4pw1v

    @user-sk1yd4pw1v

    13 күн бұрын

    Acha uchawa

  • @user-yu2hh7kh8o
    @user-yu2hh7kh8o13 күн бұрын

    alitaka kuonewa 2 kwa kuchana kalatasi

  • @MhinaKulewa

    @MhinaKulewa

    13 күн бұрын

    Hata pesa ni karatasi ila ukiichana utafungwa.

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo513 күн бұрын

    Mtumieni kwenye s9asa uchwara sasa

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa615913 күн бұрын

    Watanganyika wanaojielewa siyo misukule

Келесі