ALIPOCHAGUA KUZIKWA RAIS MAGUFULI

Hii ni moja ya hotuba ya Rais Magufuli akisema akifariki azikwe Chato Mkoani Geita ambapo Baba yake kazikwa.
Credit: AzamTV & TBC

Пікірлер: 97

  • @carlitacelestino4228
    @carlitacelestino42283 жыл бұрын

    Yani nimeumia sana, sisi mozambique tunapara tabu, basi tulikua tunarizika na magufuli wetu baba, mungu akulide milele daima

  • @angelanikalenga4757
    @angelanikalenga47573 жыл бұрын

    Hauta zikwa chatu raisi mangu utazikwa kwenye miyoyo yawanyonge raha yamilele umpe eebwana namwanga wamilele umwangaziye

  • @kakawamashariki8978

    @kakawamashariki8978

    3 жыл бұрын

    Komenti nzuri Sana,

  • @kelvinrichardshirima7739

    @kelvinrichardshirima7739

    3 жыл бұрын

    Apumzike kwa amani .Amina

  • @dinabuyamba2727
    @dinabuyamba27273 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani mpendwa wetu nasi tu njia moja bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe ameen

  • @martinswai8031
    @martinswai80313 жыл бұрын

    Eti dodoma na fisi zao😂😂 utani huu ndo unanifanya nimmis sana Magufuli. R.I.P

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24993 жыл бұрын

    Innalilah wainailah rajiun, Mungu tupe subra katika kipindi hiki kigumu 😭😭😭😭😭😭😭

  • @godsonthomas7981

    @godsonthomas7981

    3 жыл бұрын

    UtubA.yafusho.wamagofuli

  • @dhahabusaid5369
    @dhahabusaid53693 жыл бұрын

    He was a good leader,if all African leaders could be like him ,,,,tungekuwa mbali sana Sana ,,,poleni watanzania wote ,mungu ametoa na amechukua ,binafsi inaniuma Sana Sana nasikitika, love from kenya we are together in this mourning 😭😭😭

  • @dorismnama9084
    @dorismnama90843 жыл бұрын

    My President, my President. I am speechless

  • @sadickmlawa1834
    @sadickmlawa18343 жыл бұрын

    Your the One African Reader Keep his in the Story Of African Greetest

  • @christahaule9244
    @christahaule92443 жыл бұрын

    Inauma sana jaman, ni ngumu kumeza kidonge, Mungu ampumzishe mahali pema mzee wetu 😥😥🇹🇿

  • @monicmichael4680

    @monicmichael4680

    3 жыл бұрын

    Pumzi kwa amani baba yetu shujaa Wa taifa

  • @jescaonyona9584

    @jescaonyona9584

    3 жыл бұрын

    GOOD by dady magufuli

  • @slemansaguti7926
    @slemansaguti79263 жыл бұрын

    Inna lilah wainna ilaih raajiun, ni simanzi sana...

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud29833 жыл бұрын

    Nashindwa kujizuia na maumivu ninayo yapata nikisikia sauti yake' naona kama ata amka baadae aje tuu aone tinavyomlilia. Eeeee Mungu.....Alhamdullilaah.

  • @vonieyfimbo5553

    @vonieyfimbo5553

    3 жыл бұрын

    Ulale salama kwenye nyumba yako ya milele raisi wetu shujaaa wa Tanzania nan Kama wew jamni it's tooo pain 😭😭😭😭😭😭 Daaah Kama ni mapenzi ya mungu yamempendeza nenda tupo nyuma yako to

  • @bernadethaabudho6587
    @bernadethaabudho6587 Жыл бұрын

    Pumzika Kwa Amani Rais Dr JPM.Umemaliza Kazi yako.Lala Salama.

  • @noelnoel4916
    @noelnoel49163 жыл бұрын

    I love you JPM you left my heart broken. You will be miss. God bless you

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa133 жыл бұрын

    Inna lillahi wainna ilahi rajioun. RIP🙏

  • @emanuelmichael9784
    @emanuelmichael97843 жыл бұрын

    Jamn penda sana babaaaa😭😭😭pumzika kwa Amani, tutakumis mno baba YETU🙏

  • @chesadennis254
    @chesadennis2543 жыл бұрын

    Kenya inalia, Africa inalia. Tanzania makiwa. Rais wa kweli! Nilimfwatilia sana huyu Mwamba. Sijui mbona siikubali kifo yake...... Wazungu hawakumpenda huyu Shujaa. Ila ishafanyika, baba pumzika kwa amani. African Cotter Pin!!!

  • @jacobstephanonaziadi4724
    @jacobstephanonaziadi47243 жыл бұрын

    Daaa inauma sanaa MUNGU mwema akurehemu kipenzi cha wanyonge

  • @coolruler6820
    @coolruler68203 жыл бұрын

    Inauma kinoma asee" Why should black Heroes die so soon? Kamanda alikuwa kiona mbali, chapa kazi na mtu wa mipango tekelezeka,,binafsi nilimhusudu sana na nilikoshwa na huduma aliyoitoa kwa nchi yetu. Mapungufu aliyokuwa nayo ni kutokana na upungufu wa binadamu hatujakamilika " Jah amlaze pema peponi shujaa JPM"

  • @nasrahassanabioll6559

    @nasrahassanabioll6559

    3 жыл бұрын

    Amiiin Inshaallah🙏🏼

  • @salmahalfani6307

    @salmahalfani6307

    3 жыл бұрын

    Asante kwa Hikma zako.

  • @jeniphachristian2131
    @jeniphachristian21313 жыл бұрын

    exactly! even me dear...mbeba maono😭

  • @djnikolastz1821
    @djnikolastz18213 жыл бұрын

    dah nenda baba tutaonana baadae

  • @docileduma9314
    @docileduma93143 жыл бұрын

    RIP Dr tutakukumbuka xana

  • @saimonkitomo3724

    @saimonkitomo3724

    3 жыл бұрын

    Rais wetu pumzikakwaaman

  • @aishaaa1757
    @aishaaa17573 жыл бұрын

    Innalilah wainnailay rajiuni😭😭😭😭

  • @dominicakamwela4799
    @dominicakamwela47993 жыл бұрын

    baba pumzika kwa amani

  • @Randomcooking
    @Randomcooking3 жыл бұрын

    The most beautiful soul....

  • @halimasulaiman3229
    @halimasulaiman32293 жыл бұрын

    Mwanga wa milele amwangaziwe ewe mungu

  • @kmwendemusic5379
    @kmwendemusic53793 жыл бұрын

    Nimesikitika sana ata bado sijaaamini kama Rais wetu hayupo tena,,,,,..yaaani imekuwa aje jamani... Poleni sana kwa kumpoteza kiongozi aliyemcha Mungu

  • @barakamasaro6280
    @barakamasaro62803 жыл бұрын

    Mungu akulaze mahali pema peponi raisi wetu

  • @scolabahame2214
    @scolabahame22143 жыл бұрын

    Kweli kabisa baba😭😭😭

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu59373 жыл бұрын

    Tunasikitika Sana R I P MAGUFURI

  • @elizerbethmichael9992
    @elizerbethmichael99923 жыл бұрын

    2naoumia mioyo nicc Wananchi wako ume2acha Baba 2likuwa bado 2nakupenda sana 😭😭😭😭😭

  • @mwantimazdombo6049
    @mwantimazdombo60493 жыл бұрын

    Jmn kwani uwa mtu nikama anajua

  • @minnahloveiove1074
    @minnahloveiove10743 жыл бұрын

    Kweli chema hakidumu jmn

  • @jescaonyona9584
    @jescaonyona95843 жыл бұрын

    R.I.P baba wa. Maendeo. Jasili muongoza njia

  • @magrethndambo7684
    @magrethndambo76843 жыл бұрын

    Daaaah yani kama bado upo kumbe haupo tena mungu akurehemu Raisi wetu

  • @suzanamabula2099
    @suzanamabula20993 жыл бұрын

    Baba baba Dah kweli ndo haupo tena

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv26013 жыл бұрын

    THE BIGGEST BOSS NASRI

  • @nasrataji5752
    @nasrataji57523 жыл бұрын

    Daaah inaumaa saaana😭😭😭😭 nikm ndoto kumbe kweli pumzika baba yetu kipenzi.

  • @rodamaduka5173
    @rodamaduka51733 жыл бұрын

    inauma sana wewe ulikua na bii wa mungu

  • @rahelnyerere4461
    @rahelnyerere44613 жыл бұрын

    R.I.P Magufuri

  • @mwanyanje48
    @mwanyanje483 жыл бұрын

    Hahahahaha et Aliogopa kumuuliza mzeee mwinyii 🤣🤣🤣😭😭

  • @karimabdul3928
    @karimabdul39283 жыл бұрын

    Hilo eneo lifanywe eneo la kumbukumbu ya maraisi

  • @shabbymakapane1910
    @shabbymakapane19103 жыл бұрын

    Innalillahi wainnaillahi Rajiun

  • @alexlukumay4981
    @alexlukumay49813 жыл бұрын

    Rip legend

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb53 жыл бұрын

    Inna lilah wainna ilahi lajihun

  • @frateriusrweyendera9257
    @frateriusrweyendera92573 жыл бұрын

    Pumzika kwa amni

  • @winnienekessa7006
    @winnienekessa70063 жыл бұрын

    Lakini kweli kaburi nitajiri

  • @fatmamboton3830
    @fatmamboton38303 жыл бұрын

    Daah bado machungu yapo inauma sana mungu akulaze mahala pema pepon amin

  • @neymatobias9254
    @neymatobias92543 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani mpendwa wetu amen.

  • @rujiamor60
    @rujiamor603 жыл бұрын

    R I P magufuli you will be missed

  • @starluzenja9861
    @starluzenja98613 жыл бұрын

    💔😭😭ohh Magufuli jamani!!This hurts aki

  • @hyasintndimbo2998
    @hyasintndimbo29983 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @cuthbertmapunda2582
    @cuthbertmapunda25823 жыл бұрын

    Duh Rest in peace Mr. President

  • @immathebonga5164
    @immathebonga51643 жыл бұрын

    Rais alkua mtu wa utan sn msema kwel

  • @priscacharlescharles9014
    @priscacharlescharles90143 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭🙌🙌😭😭😭😭😭😭😭😭Baba tagulia nasi tupo nyuma yako 😭😭😭😭😭😭

  • @Penalty252

    @Penalty252

    3 жыл бұрын

    Poleni sana wanatanzania hata nazi roho zauma sana kwa rais JPM

  • @madamejescarandrew.g.9534
    @madamejescarandrew.g.95343 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @christinapeterntibagiligwa2556
    @christinapeterntibagiligwa25563 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @marthageorge559
    @marthageorge5593 жыл бұрын

    😭😭😭😭

  • @roycegeorge7697
    @roycegeorge76973 жыл бұрын

    RIP how president we will Miss you into our life 😂😂😂😂😂😂

  • @starridge3615
    @starridge36153 жыл бұрын

    Ashasema na huo ndio ukweli , mzikine kwao Chato alikozikwa babayake

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz47173 жыл бұрын

    Kweli kizuri akidumu jamani. Rest in peace jembe😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿.

  • @mtagechota1002
    @mtagechota10023 жыл бұрын

    Tunaomba magufuli asizikwe 🥺🥺tunaomba awekwe makumbusho plz

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh67653 жыл бұрын

    allah kareem 😭😭😭😭😭

  • @mkmax3629
    @mkmax36293 жыл бұрын

    Nimecheka ila kwa masikitiko aliposema niliogopa muliza mzee mwinyi sababu alikuwa na miaka 90...anyway umeende baba ila mioyon mwetu bado unaishi

  • @mtagechota1002
    @mtagechota10023 жыл бұрын

    🥺🥺daah magu amka baasi baba yetu

  • @talilmluchagula417
    @talilmluchagula4173 жыл бұрын

    R.I.P sir

  • @lidyasambayeti3815
    @lidyasambayeti38153 жыл бұрын

    Pumzka kwa amani baba

  • @ibrahimbyaese9148
    @ibrahimbyaese91483 жыл бұрын

    Funny but sad

  • @chipayenilukwesa1790
    @chipayenilukwesa17903 жыл бұрын

    Inaumaa Sanaa

  • @jeremiahagrrey1147
    @jeremiahagrrey11473 жыл бұрын

    Roho husema hata tuki kinzana.nayo

  • @veronicakindeti3228
    @veronicakindeti32283 жыл бұрын

    Hi

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv3 жыл бұрын

    He was jokes man😭😭

  • @mwatumudogo3948
    @mwatumudogo39483 жыл бұрын

    😭🇰🇪😭🇰🇪😭🇰🇪😭🇰🇪😭🇰🇪😭🇰🇪

  • @shamilakarimu3820
    @shamilakarimu38203 жыл бұрын

    Allah ampunguzie adhabu ya qabr

  • @khadijamtame7104
    @khadijamtame71043 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @ayubumsongole4859
    @ayubumsongole48593 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mosesmtumishi3818
    @mosesmtumishi38183 жыл бұрын

    H

  • @askajoseph578
    @askajoseph5783 жыл бұрын

    😭😭😭😭

  • @lidyasambayeti3815
    @lidyasambayeti38153 жыл бұрын

    Pumzka kwa amani baba

  • @zuraayahyaa3258
    @zuraayahyaa32583 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😅😭pumuzika kwaamani

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv26013 жыл бұрын

    THE BIGGEST BOSS NASRI

  • @denislema3436
    @denislema34363 жыл бұрын

    😭😭😭😭

Келесі