Akikusaliti Fanya mambo haya matatu - Madam Lailah Aboubakar

USIFUNGUE HII VIDEO KAMA WEWE SIO MWANAMKE ...

Пікірлер: 58

  • @user-io4dv1rv4p
    @user-io4dv1rv4p4 ай бұрын

    Mm wawili wamenisaliti wakwanza baba wa Binti wangi mwengi ni WA pili amechaguwa dada angu inauma sana😔💔

  • @user-zw6vr8dw3s
    @user-zw6vr8dw3s5 ай бұрын

    Kiukweri dada unazungumza vizuri ,lakini jambo la ndoa ni jambo la kihisia na kimwili na sio jambo la kiroho ,na kesi za ndoa sio kesi za kupeleka kwa baba au mama ,muhimu ni wanandoa ni muhimu kwa wanandoa kuelekezwa namna ya kuboresha ndoa zetu ,na bila ya kusahau tukumbuke ktk mahusiano wa kwanza kupeleka kesi nje ndio mkosa ,muhimu mtu akikukosea ww lenga sababu ,kwanini amekusality huenda ww ndio umemfanya mwenzio akusaliti.tukumbuke daima ndoa ni jambo linalotakiwa kuendesha kiakili na kihisia ,tukizingatia hapo tutaishi vizuri ktk mahusiano ya kijamii na ndoa pia ,tukumbuke daima ndoa sio jambo la kiroho.asilimia 99 kesi za ndoa zikipelekwa kwa watu huvunjika.tuwe makini kuishi mtu ni kujitolea muhanga .

  • @user-bt9qc1pt5u
    @user-bt9qc1pt5u5 ай бұрын

    Mashallah madam nimekukubali uko vizuri safii sana Allah akubark.

  • @AbimeleckRichard-hy1mw
    @AbimeleckRichard-hy1mw5 ай бұрын

    We wajaze ujinga, wakiufuata 100% watjijua

  • @user-tx6xq6fx6y
    @user-tx6xq6fx6y5 ай бұрын

    Waogea maneno ya hekma sanaa

  • @user-dw5mq6pr7y
    @user-dw5mq6pr7y5 ай бұрын

    Allah akuhifadhi sana my love 💓

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa68175 ай бұрын

    Dini yetu haijaacha kitu, kuhusu maswala y ndoa imeelea kwa kina zaidi. Tangu mtu anataka kuposa, hatua zimetajwa mpaka kwenye mifarakano mpaka ikifikia kuachana n baada ya kuachana, Utazungumza vipi suala hili kwa kutumia elimi y dunia au akili tu, hapo ndipo tunapo feli Baada ya kuelimishana inapelekea kupotezana.

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi36695 ай бұрын

    Kuishi na mzinifu ni kutafuta magonjwa

  • @alawimohd

    @alawimohd

    4 ай бұрын

    Tena magonjwa ya moyo na magonjwa ya ukimwi na kaswende

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    4 ай бұрын

    @@alawimohd Sana

  • @user-kn5bv3qj8p
    @user-kn5bv3qj8p5 ай бұрын

    Nakupongeza saana mm mukenya, mpwani......

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3ht5 ай бұрын

    shukran hata mie nmepata kisomo hapa

  • @TaarabChannel

    @TaarabChannel

    5 ай бұрын

    Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau83075 ай бұрын

    Mashaallah tabarakallah

  • @naharhaji639

    @naharhaji639

    5 ай бұрын

    Asante sana madam yaan mm nlijua nikikaa kimya t nd ataelewa lkn kumbe apana ntajitahid nimwambie kwanza ndipo nikae kimya

  • @ashrafissa778
    @ashrafissa7785 ай бұрын

    Asalam alykm warahmtullah wabarakatuh Dada yetu Leyla shukran kwaushauli wako wamesema vibaya mbona hawafundishi kazi yao kutukana

  • @user-cd1hr2cx3i
    @user-cd1hr2cx3i5 ай бұрын

    Shukran sana

  • @a.856
    @a.8565 ай бұрын

    Jazakallah khayran

  • @TaarabChannel

    @TaarabChannel

    5 ай бұрын

    Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @zayshabani5664
    @zayshabani56645 ай бұрын

    Allah akulipe

  • @muridundhikri
    @muridundhikri5 ай бұрын

    Katika uislamu ukifumania kwa ushahidi jambo linalopewa kipaumbele ni kuacha

  • @user-zu2dc2bj6z
    @user-zu2dc2bj6z4 ай бұрын

    Umesema kweli daa

  • @swalehsalim5569
    @swalehsalim55695 ай бұрын

    Kwani mwaowana nyinyi twaona wengi wamewekana tuu

  • @user-sn4lf7cj3z
    @user-sn4lf7cj3z5 ай бұрын

    Jamn kma muislam unazijua hukum z ndoa n sheria zake pamoja n hukum y mzinifu alieoa n ambae hajaoa huwezibi kulumbana juu y hili jambo wasie n elim n hilo jambo wanakuaga nwachambuz wazur n wabishi sana nadhani mwenye elim n haya hawezikua mwenye kupinga zaidi kuelekeza kw busara n hekima mwenye kuelewa falhamndulilah

  • @FatumaMuzamil
    @FatumaMuzamilАй бұрын

    Dada mm nimefumania kiukwel sikufanya kitu niliamua kuondoka na nikawaacha na mambo yao,alipo rud sikumwambia kitu ila dada haluwa na haha

  • @abdullahsaid4072
    @abdullahsaid40723 ай бұрын

    Aslm aleikum dada nmekuelewa ila mm Kama mwanaume hapa umechemka sana na nahisi wanawake wakiiskia hii habari yako bc talaka zitaongezeka Sababu mm Kama mwanaume sifuati kupendwa na mwanamke Mm nataka mke anaenikubali sana katika maisha hasa katika kua kiongozi wa family kuwa provider kulikubali jasho langu katika utafutaji na kuifurahisha family pia Nafuata wema wa mke na ukarimu wake kwangu Kuniheshimu pia Hayo mengine ya kwako yatazalisha ushindani na yatamfanya aone mm anaweza kunidhibiti kwa adhabu na mwanaume ukishindana nae ndio unamfanya azidishe anachokufanyia Na unachomnyima atarudi kwengine atakipata kwa mapana So hamna dawa hapa kwa mwanaume tafuta nyengine au tuulize cc jinsi YETU tutakwambia

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo97935 ай бұрын

    Shukran my dear sister leyla ❤

  • @TaarabChannel

    @TaarabChannel

    5 ай бұрын

    Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @user-kn5bv3qj8p

    @user-kn5bv3qj8p

    5 ай бұрын

    @@TaarabChannel ,kwani unalipi??faida ya Akhera au hasara ya Moto

  • @TaarabChannel

    @TaarabChannel

    5 ай бұрын

    @@user-kn5bv3qj8p utayaangalia wewe sabasi mayubu usikucha aibu

  • @AmriAmri-hy6sg
    @AmriAmri-hy6sg5 ай бұрын

    Hamnaga heri mtu anajitoa kwakile alichonacho atuelekeze nyie wasomi mpo kimya kukosoa2

  • @TaarabChannel

    @TaarabChannel

    5 ай бұрын

    Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @user-cd1hr2cx3i

    @user-cd1hr2cx3i

    5 ай бұрын

    Yaan comments usitegemee chanya tu wengine ni wabishi waasili,,but naamini hazitomyumbisha mfundishaji

  • @AkitakaHuwa
    @AkitakaHuwa5 ай бұрын

    Hapana dada kuomba taraka ni haramu

  • @charleslupenza3879
    @charleslupenza38795 ай бұрын

    Kimsingi sijapaona pahala Laila Alienda TOFAUTI na misingi ya UISLAM. LAILA ANAELIMISHI NA KUSHAURI. TUWACHE ATUMIE KIPAJI CHAKE TUSIMKATISHE TAMAA NAFASI HIYO HAIPO. BINADAMU NYIE HAPANA NA NIKISEMA ROHO YA HUSUDA HIYO SIKOSEI. MWACHENI LAILA

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po5 ай бұрын

    Tatizo la wanawake wengi mnatuhitaji zaidi wanaume kuliko mahitaji ya wanaume huo ndo ukweli

  • @user-lt7kk4ye9c

    @user-lt7kk4ye9c

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂 wengine wanafikia hatua had kuoa wanaume ndo Kila kitu kwao Yan mtu anaona huyo mwanaume ndo familia ya pekee aliyonayo utafikir alipotoka hakua na familia.. waswahil wanasema anaekulisha ndo huyo huyo atakaekushindisha njaa

  • @user-uh9sl8pc2z
    @user-uh9sl8pc2z5 ай бұрын

    Swadka

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa68175 ай бұрын

    Mtu unatakiwa usome kwanza kwamza ndio usomeshe, usiingilie mambo ya dini km hukujui, dini inapatikanwa kwa kusoma n sio kutumia akili. Tudikurupuke tu haswa sisi wanawake, tunatakiwa tujistiri n tusijianike, m Mfano himu mitandaoni

  • @AkitakaHuwa
    @AkitakaHuwa5 ай бұрын

    Dada umesimama kama muubili wa kiisilam lakini mamemo yako hayana hata aya wala hadithi yaani unatoa mawaidha kulingana na maono yako na mitazamo yako mmmmmm jamani

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa68175 ай бұрын

    Dada yangu nakushauri kasome dini, kwa sababu umeelezea vitu vinaenda kinyume kabisa na dini. Km mtu hujui bora nyamaza na jikubalishe kia hujui ili ukajifunze, Na sio ukajiona unajua kwa udhoefu wako ukapotosha watu. Mwisho Tuma muomba Allah atuongoze sote na atujaalie elimu yenye manufaa.

  • @nuruhassan9707

    @nuruhassan9707

    5 ай бұрын

    Naomba unukuu point moja aloieleza inayoenda kinyume na Dini?Niko pale nasubiri jibu lako

  • @zulekhaa6817

    @zulekhaa6817

    5 ай бұрын

    @@nuruhassan9707 Mwanamke haruhusiwi kumnyima mumewe tendo la ndoa, Mtume swalallahu alyhi wassalm Amesema mwamke atakae itwa n mumewe kitandani kumtakata kufanya nae tendo la ndoa halafu mke akamkatalia, basi hulaaniwa na malaika usika mzima.

  • @nuruhassan9707

    @nuruhassan9707

    5 ай бұрын

    @@zulekhaa6817 Soma uelewe,usikariri,unajua moja ya mambo yanayoweza Fanya mwanamke ajivue Ndoa?Jibu hilo afu ntakuelewesha namna alichosema madam kinavyooana na sheria ya kiislam

  • @zulekhaa6817

    @zulekhaa6817

    5 ай бұрын

    @@nuruhassan9707 Mtu akisema kweli anambiwa anakariri. Mm sishindani, na mlengwa sio ww, Ww unataka kuongea yako ungea Ila usihalalishe lililo haramu. ,

  • @user-xx1rj2pb5j
    @user-xx1rj2pb5j5 ай бұрын

    Yawesekana wanawake ndio vichaa ndio wanaharibu familia mara nyingi undani wamambo yamejificha je mwanamke kimfumania inakuwaje sema unajaribu kusema wanaostahiki ninani nanini cha kuomua hadisi katika ndoa sio kweli wanawake ndio waharibifu wafamilia

  • @TaarabChannel

    @TaarabChannel

    5 ай бұрын

    Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @nasramusaro
    @nasramusaro5 ай бұрын

    Lakini hapa unataja usaliti na pia unataja uoaji hii imekaaje? Na pia dini imeruhusu wake mpaka wanne

  • @EgallSamsam

    @EgallSamsam

    5 ай бұрын

    Mi naona bora nikimfumania naenda muita Imamu namfungia ndoa kwani sitaki usinzi iliakome kuzini

  • @mamii7935

    @mamii7935

    5 ай бұрын

    Msaliti ni mume au mke alie kwenye ndoa Kisha akachepuka ndo "usaliti"

  • @TaarabChannel

    @TaarabChannel

    5 ай бұрын

    Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @TaarabChannel

    @TaarabChannel

    5 ай бұрын

    ​@@EgallSamsamPitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @user-vj9zx2yv5k
    @user-vj9zx2yv5k5 ай бұрын

    Huyu mwnamke hajielewi anaongea kufuru kumbe mtume wake ni kichaa ipi hukumu hii mpaka muumba wake anamtoa akili

  • @user-kn5bv3qj8p

    @user-kn5bv3qj8p

    5 ай бұрын

    Wapi kakufuru eleza ,,kwani kichaaa si niugonjwa tuu,,, au kamunasbisha wapi na muumba wetu. Una FAA upelekwe muhimbili.

  • @nuruhassan9707

    @nuruhassan9707

    5 ай бұрын

    ​@@user-kn5bv3qj8pAmekariri uyu mjinga,ulicho muuliza Hawezi kukujibu

  • @ibrahimmalabeja3692

    @ibrahimmalabeja3692

    5 ай бұрын

    Mie naona Madam Leila yupo vizuri tu. Kwa kuwa anachotoa ni Ushauri Kwa jamii nzima (waisramu na wasio waisramu) M/Mungu akubariki Sister. Japo muda mfupi tangu nimeanza kukufatilia lakini naona manufaa makubwa Kwa jamii itakayochua Ushauri wako.

  • @user-zw6vr8dw3s
    @user-zw6vr8dw3s5 ай бұрын

    Ndoa ni jambo la kimwili na akili ni muhimu zaidi kuwapelekea wataalam ndoa mean wanasaikolojia lakin sio kuwapelekea watu wa kiroho ,hapo kuferi lazima.twaambiwa hivi kuishi na mtu inabidi uishi nae alivyo ,ila kumpenda mtu inabidi umpende ulivyo.so hauwezi kumpenda mtu alivyo utaferi ,maana watu huwa tunabadilika utamkataa,so ndoa ni jambo la akili ,tuwe makini na mafundisho munayo tupa