ABDILAH MASAWE AZIDI KUMLIPUA DK SULE AMUITA MCHAWI MGANGA WA KIENYEJI TU HAJUI HATA KUSOMA QURAN .
Жүктеу.....
Пікірлер: 13
@bentybenty2343Ай бұрын
Masha ALLAH ❤❤🎉
@user-xh9gj2wd6o2 ай бұрын
Maashaa Allaah tunakushukuru ndg yetu Abdillah Massawe kwa ubainifu huu jazaakallaahu khayraa
@hassanmrisho2 ай бұрын
Alhamdulillah, nimejifunza jambo muhimu sana! Allah tujaalie mwisho mwema, aamiin!
@aljalilatiba9873Ай бұрын
وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@husseinkazungu5101Ай бұрын
Masha ALLAH shukran sheikh
@SultanSaid-js9yjАй бұрын
Shukrani Allah akuhifath
@BuiKishkOnlineTvАй бұрын
ALLAH AKULIPE KHERI ZAIDI. Wahadhiri wote wa BIBLIA ilibidi wawe wanahudhuria DARSA la SHK ABDUL QADIR ili wasome mambo fofauti lkn hasaa somo la TAWHID maana wanaaminika na wanawafuasi wengi lkn mambo mengi wanayakosea kulingana na ufaham mdogo wa hii dini kwani hii dini sio uwezo wa kujenga hoja tu kwa wasiokuwa waislamu bali kunaibada.
@IbrahimNtirenganya2 ай бұрын
Ndugu yetu Dr Sule tubia Allah atakubali tauba yako usijali Dunia nifasi yakuoita lakini Akhera ni yamilele Fanya sababu zakutafuta rizik ya halali Allah yupo tena kukinai ndiyo kutajirika
@husna34562Ай бұрын
Subhanallah 😢
@user-id1gz3ng3kАй бұрын
Kuwapiga vita sn awo ma sheikh fake wakuamini majini kuwa yanaweza, Mungu awamalize inshallah
@aljalilatiba9873Ай бұрын
KUWATUMIA MAJINI KUTAFUTA MALI AU ULINZI NI DHAMBI KUBWA HUU UTHIBITISHO KATIKA QUR-AAN SURATUL JINNI وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@mohamedhamismagoraonlinetv459Ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/g62azsefoJrXqZc.htmlsi=zMXcavzDK0LI6IZA IRAN TAIFA TEULE LILILOTAJWA NA QUR'ANI KUREJESHA HESHIMA NA UTUKUFU WA UISLAMU. SHEIKH KHALIFA KHAMIS.
Пікірлер: 13
Masha ALLAH ❤❤🎉
Maashaa Allaah tunakushukuru ndg yetu Abdillah Massawe kwa ubainifu huu jazaakallaahu khayraa
Alhamdulillah, nimejifunza jambo muhimu sana! Allah tujaalie mwisho mwema, aamiin!
وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
Masha ALLAH shukran sheikh
Shukrani Allah akuhifath
ALLAH AKULIPE KHERI ZAIDI. Wahadhiri wote wa BIBLIA ilibidi wawe wanahudhuria DARSA la SHK ABDUL QADIR ili wasome mambo fofauti lkn hasaa somo la TAWHID maana wanaaminika na wanawafuasi wengi lkn mambo mengi wanayakosea kulingana na ufaham mdogo wa hii dini kwani hii dini sio uwezo wa kujenga hoja tu kwa wasiokuwa waislamu bali kunaibada.
Ndugu yetu Dr Sule tubia Allah atakubali tauba yako usijali Dunia nifasi yakuoita lakini Akhera ni yamilele Fanya sababu zakutafuta rizik ya halali Allah yupo tena kukinai ndiyo kutajirika
Subhanallah 😢
Kuwapiga vita sn awo ma sheikh fake wakuamini majini kuwa yanaweza, Mungu awamalize inshallah
KUWATUMIA MAJINI KUTAFUTA MALI AU ULINZI NI DHAMBI KUBWA HUU UTHIBITISHO KATIKA QUR-AAN SURATUL JINNI وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
kzread.info/dash/bejne/g62azsefoJrXqZc.htmlsi=zMXcavzDK0LI6IZA IRAN TAIFA TEULE LILILOTAJWA NA QUR'ANI KUREJESHA HESHIMA NA UTUKUFU WA UISLAMU. SHEIKH KHALIFA KHAMIS.