1_Ushuhuda wa Nabii Selina Ramoos alivotokewa na Yesu mara 6"Jiandae Yesu anakuja kulichukua kanisa"

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 14

  • @user-jj6lj2bg8z
    @user-jj6lj2bg8zАй бұрын

    Naomba umuulize Mungu hayo mapambo hayafai wigi heren hizo cheni nimachukizo

  • @user-sc7sn1tb9c
    @user-sc7sn1tb9cАй бұрын

    Amen Mungu nisaidie nisipotee niongoze Bwana peke yangu sitaweza

  • @user-yy8ol9ch4q
    @user-yy8ol9ch4qАй бұрын

    Mtumishi wa Mungu naomba usome katika mwanzo35:2,kutoka33:4-6,isaya4:16-24,1Timotheo2:9,1petro3:3

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3ozАй бұрын

    yawe yaukweli. Kama kweli. Kunawatu. Watapona namimipia

  • @JESUSISLO891
    @JESUSISLO891Ай бұрын

    Siku hizi mnatuletea chochote tukisikize Mimi naamini hakuna mtu aliyewahi tokewa Na MUNGU asibadilike Kwa maana ya hata uvaaji wake hamwezi tuletea watu wamevaa mabangili Na mashanga Na kusuka nywele kutulisha neno ama mna lengo Gani promover tv mmeanza kujali matumbo yenu kuliko neno la Mungu ndio maana maandiko yanasisitisha kuwa ishi Kwa kiasi Bora una mavazi Na chakula

  • @fortunatatarimo2219

    @fortunatatarimo2219

    Ай бұрын

    Usiwe mwepesi wa kuhukumu, fanya sehemu yako mwache Mungu abaki kuwa wa haki na hukumu. Utashangaa siku hiyo, Mungu hawazi kama wanadamu

  • @stephanomakoye6936

    @stephanomakoye6936

    Ай бұрын

    Kwa Nini haujali ujumbe wa neno la Mungu?,,badala yake unajali kuhukumu kwa nje tu

  • @bonifacemwansasu6638

    @bonifacemwansasu6638

    Ай бұрын

    Mungu humtumia mtu yeyote yule aliyemchagua kufikisha ujumbe, wewe ni nani hata umpangie Mungu?

  • @eugeniuslugangira7899

    @eugeniuslugangira7899

    Ай бұрын

    Binafsi kwa kumtazama tu!!! Nimekosa tumaini juu anachokiwasilisha.

  • @Shalom2018
    @Shalom2018Ай бұрын

    Bwana Yesu Kristo asifiwe, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa ujumbe uliotuletea,mimi nimeuelewa sana katikati ya kusikiliza ghafla nimejiona nimetolewa kwenye kusikiliza na nimepelekwa kwenye kuangalia kutoka kichwani ,shingoni na mikononi, sasa siwezi kujua nani aliyenitoa kwenye mada, samahani lkn nimeshindwa kunyamaza kimya kama nimekosea Mungu anisamehe,ila nilikuwa nakuuliza Mtumishi wa Mungu vipi Mungu hajasema na wewe kwa habari ya mapambo?na vilevile je Mungu ana upendeleo? kiasi cha kuwa wengine aongee nao na wengine asiongee nao?Promover tv naomba mnisaidie kufikisha swali langu.

  • @RehemaMtono

    @RehemaMtono

    Ай бұрын

    Nikweli kabisa

  • @irenewilfred7767

    @irenewilfred7767

    Ай бұрын

    Point kabs

  • @frolianhulubano6358

    @frolianhulubano6358

    Ай бұрын

    Hapa NAMI naungana na wewe kabisa

  • @pastorpetermageta6833

    @pastorpetermageta6833

    Ай бұрын

    Mungu akikutana na mtu lazima aanze na mhusika

Келесі