Maashaa Allah,umejibu kwaufasahamno shekh sahib, Allah akusaidie
@upendokwawoteАй бұрын
Nomeipenda sana Hoja zako Sheikh Bakri sahib #upendokwawote
@upendokwawoteАй бұрын
MashaAllah , Sheikh Bakri katika ujana wake #upendokwawote
@user-iu8bt8bn6p2 ай бұрын
AAWW,nani kama mama,hakuna hakuna Shairi zuri saana
@moodyhassany89282 ай бұрын
mashallah shekh sahib kwa huduma bora wenye kubahatika kuiyona nuru basi muuongozo wameupata ila asiyebahatika kuiyona nuru hakika upotofu ni wake na malipo yake ni jahanamu
@user-fc4vl8zi4r2 ай бұрын
Baada ya mtume Muhammad saw hakuna mtume atakae shuka usipotoshe watu
@BakriAbedi2 ай бұрын
Ni Allah Ndiye Asemaye kuwa Mitume wapo baada ya Muhammad saw. Zisikilize kwa makini Aya hizo nilizotoa, usiendekeze ushabbik katika mambo ya dini.
@SurprisedAgilityPuppy-hp7brАй бұрын
Aya inayosema Muhammad ndiye wamwisho ujaiona
@Bahati472 ай бұрын
Subhanallah eti Kuna mtume anaitwa Ahmad innalillah waina ilayh rajiun
@BakriAbedi2 ай бұрын
Ni Aya hiyo imetolewa isemayo hivyo. Sikiliza na usome kwa kutafakari bila ya kuwa na papara.
@moodyhassany89282 ай бұрын
Mtaendelea kushika ya mashekh wenu adi ambao awana dalili na ukweli wowote zaidi ya shirki na upotevu unaoendelea nao Jaribu kusikiliza kusoma na uwe unatumia akili sio unajawa na jazba kama wakina abuu jalii😂
@khatibabass31062 ай бұрын
Huyu shekhe kama namuelewa ivi na elimu anayo mashallah lkn .........
@BakriAbediАй бұрын
Naam malizia... Lakini nini?.....
@cleophacekalilo27292 ай бұрын
Assalam alykum uyu amad ndiye Muhammad au amad kama ni Muhammad alipozaliwa kwa nini hakuitwa amad ili kutimiza unabii wa issa aliyosema nabii atakuja na ataitwa amad
@BakriAbediАй бұрын
Swadaqta
@thechurchoftheedgeministry43252 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 He said himself He is going to suffer and die and rose on the third day because it was written Luke 24:44-47 you are lost my friends repent it is not too late
@hafidh_ame3 ай бұрын
Jazaakallah. Darsa zuri sana. Hazina ya elimu ipo kwa atakaye kuichukua
@BakriAbedi3 ай бұрын
Amin wa Jazaakumullah Ahsanaljazaa
@maysammahbub58043 ай бұрын
Ahmadiyyah ni makafiri Mungu awape hidayah Shia Sunni sisi sote ni makaka
@matikhomwita3 ай бұрын
anaye tafuta muongozo aakiangilia pasipo ghera moyoni atagundua ukweli tu
@upendokwawote3 ай бұрын
❤❤❤❤ #upendokwawote
@upendokwawote3 ай бұрын
Kazi uliofanya itakumbukwa kweli kweli. #upendokwawote
@upendokwawote3 ай бұрын
Shairi hili limepamba sana #upendokwawote
@upendokwawote3 ай бұрын
ماشاءاللہ Mwenyezi Mungu akuridhie na akupe afya njema #upendokwawote
@AbdilnassirDaud3 ай бұрын
Mashallah shekh unaongea ukweli kabisa mashallah Allah akuweke umri mrefu na wenye afya pia❤️
wallah sheikh hana deni la juu ya kufukisha ujumbe wake wallah
@fatumamwijaka98843 ай бұрын
Only those will with pure and clean heart will remember Hadhrat Bilal Bin Rabai..Arabs used to laugh at him because of jow he used to call the adhaan but still among those who were promised jannah alhamdulILLAH❤speaking and understanding are two different things..you claim to be knowing the correct tajweed of the HOLY QURAN but the problems comes in your understanding you are more flat than a peice of paper 😅
@fatumamwijaka98843 ай бұрын
Imejieka mahali sipo nlikua najibu a sunni Muslim aliyekua anaponda khalifa wetu mtukufu akisema hajui kusoma QURAN
@fatumamwijaka98843 ай бұрын
ALLAH AKULIPE shekhbakr abedikaluta🤲🙏
@BakriAbedi3 ай бұрын
Amin thumma Amin Yaa Rabbal 'Aalamiin
@fatumamwijaka98843 ай бұрын
Amiin thumma amiin YAA RABBIL AALA MIIN 😭🙏
@111dudi3 ай бұрын
HAKUNA NABII BAADA YA MUHAMMAD S.A.W.
@BakriAbedi3 ай бұрын
Mungu Anasema wapo Manabii na Mitume baada ya Mtume Muhammad saw. Sura 7:36, 4:70, 3:82 n.k.
@111dudi3 ай бұрын
@@BakriAbedi Aya 7:37 hii:"Basi ni nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye mzulia Mwenyezi Mungu uwongo, au anaye zikanusha Ishara zake? Hao itawafikia sehemu yao waliyo andikiwa, mpaka watakapo wafikia wajumbe wetu kuwafisha, watawaambia: Wako wapi mlio kuwa mkiwaomba badala ya Mwenyezi Mungu? Watasema: Wametupotea! Na watajishuhudia wenyewe kwamba walikuwa makafiri." Swali kwako sheikh Karuta, mitume unaowakusudia kama Ghulam Ahmed, wanawafisha (kuwatoa roho) watu? au ni malaika? Na nani mwenye uwezo wa kumuuliza mtu anapokuwa anakufa?, manabii au malaika?Hapa ndipo watu wanapokosa ufaham wa quraan.Usichanganye manabii na wajumbe, kuna wakati wanatofautiana kama ktk aya hii. Kiarabu hicho sheikh Karuta.
@111dudi3 ай бұрын
@@BakriAbedi Aya 4:70 haihusiani na unabii baada ya Muhammad s.a.w..Aya 3:82 inazungumzia mambo yaliyopita, kwa bani Israel.ukisoma utaona ni "past tense" na hili ndilo tatizo kubwa la watu kutokufatilia uteremkaji wa aya.
@salehyassin92454 ай бұрын
Sheikh Bakri Abed Kaluta yuko sahihi. Alhamdulillah kwa mawaidha mazuri
@salehyassin92454 ай бұрын
Masha'Allah. Asante kwa kutufikishia ukweli huo. Mungu akubariki
@fatumamwijaka98844 ай бұрын
Ndiposa mtume Muhammad Mustafa s.a.w akaysona n kuyajua haya toka kitambo ndiposa aksema masheikh wao watakua waovu zaidi chini ya mbingu."".masheikh wao,''" hakutaka hata kujinasinisha nao..ALLAH AKULIPE baba wetu bakri abedi kaluta Skype umri mrefu ili uendelee kuitetea dini yetu tukufu dhidi ya hawamasheikh waovu wanaopoteza umma
@matikhomwita4 ай бұрын
Allahu akbaru sheikh bakri Allah akupe afya njema
@BakriAbedi3 ай бұрын
Amin
@matikhomwita4 ай бұрын
maashallah
@fatumamwijaka98844 ай бұрын
Bado watakataa n kuendelea kutuita makafiri..hilo jina halina madhara yoyote kwetu alhamdulILLAH n zuri ukilinganisha n yale yaliyopewa mpendwa wetu mtukufu Muhammad Mustafa s a.w
@user-jp8pt7bg3y4 ай бұрын
Shukran
@jailaniramadhan17884 ай бұрын
hivi kweli mtu anapoteza mda wake kutetea ukadiani??
@fadhili-rc8zv4 ай бұрын
❤❤snk
@moodyhassany89284 ай бұрын
mashallah
@sanaf83675 ай бұрын
Quran 43-61 Na kwa hakika yeye (Issa Bin Maryam) ni alama ya Saa ya Kiyama. Basi usiitilie shaka, na nifuateni. Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka. Jee hii imekaa vipi Sheikh? Kuhusu kuwa yupo hai au laa au yupo ktk status gani hio hakuna ajuae zaidi yake mjuzi wa yote Allah
@BakriAbedi3 ай бұрын
"La 'ilmun lissaa 't' yaani yeye Isa ni elimu ya saa. Yaani atakayekuwa muelimishaji wa bishara na ishara za ujio wa Isa wa mfano katika zama zetu hizi za mwisho, kama vile kutimia kwa bishara nyingi kulivyomdhirikia Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad a.s. k.m. bishara ya kupatwa kwa Jua na mwezi ndani ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Ngoja niipost clip hiyo niliyoitoa Kilimanjaro Hotel mshuhudie jinsi bishara hiyo iliyotolewa na Mtume Muhammad saw ilivyotimia kwa Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad as wa Qadian a.s.
@ludovickmutalemwa73875 ай бұрын
Ukishajua Yesu kristo alikufa na kufufuka unakaribia kuokoka
@BakriAbedi3 ай бұрын
Alikufa Yesu, hajafufuka na hatafufuka.
@fatumamwijaka98845 ай бұрын
Kule Tanzania kunaye simba wa MUNGU ALHAMDULILLAH 🙏🙏
@ongwenyjunior1425 ай бұрын
Masha Allah
@Biziman-pu4kf5 ай бұрын
Mbona unakata
@mnyalu13306 ай бұрын
alhamdolillahi shekhi alla akubariki kwa kazi zako zote
@gastonfiston55986 ай бұрын
MaashaAllah
@hajirinibakari256 ай бұрын
Tunaomba iyo nterview nzima iyo
@mamlomamlo90646 ай бұрын
Nabi huyu kafia chooni kazi ya mayahudi na wakiristo British government ndio ilomsponsa ili wapunguze nguvu ya uislam wahindi wanmuita Pagal benchot madarchot chor bazaar
@BakriAbedi6 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/YmWrschvkbjTkpc.html
@AtwaaussalaamKaluta7 ай бұрын
Nini kinakufanya useme kuwa huyu ni feki wakati aya za quran na hadithi za mtume zinathibitisha kuwa huyu ni wa ukweli?
@24iverson7 ай бұрын
Huyu ni Nabii feki
@fatumamwijaka98847 ай бұрын
Mwenye kujisikia kukataa acha akatae uzuri ujumbe umewafikia hawatakua n la kujitetea siku ya Qiyamma
@issambamba92367 ай бұрын
Huyu mwenyekiti wa huu mdaharo ni mzee mwenye hekima sanaa.
@issambamba92367 ай бұрын
Huyu anaejiita mtetezi wa kisuna hana adabu ya mazungumzo.
Пікірлер
Allh mraham mwalimu wangu magezi
😅Pp😅
Maashaa Allah,umejibu kwaufasahamno shekh sahib, Allah akusaidie
Nomeipenda sana Hoja zako Sheikh Bakri sahib #upendokwawote
MashaAllah , Sheikh Bakri katika ujana wake #upendokwawote
AAWW,nani kama mama,hakuna hakuna Shairi zuri saana
mashallah shekh sahib kwa huduma bora wenye kubahatika kuiyona nuru basi muuongozo wameupata ila asiyebahatika kuiyona nuru hakika upotofu ni wake na malipo yake ni jahanamu
Baada ya mtume Muhammad saw hakuna mtume atakae shuka usipotoshe watu
Ni Allah Ndiye Asemaye kuwa Mitume wapo baada ya Muhammad saw. Zisikilize kwa makini Aya hizo nilizotoa, usiendekeze ushabbik katika mambo ya dini.
Aya inayosema Muhammad ndiye wamwisho ujaiona
Subhanallah eti Kuna mtume anaitwa Ahmad innalillah waina ilayh rajiun
Ni Aya hiyo imetolewa isemayo hivyo. Sikiliza na usome kwa kutafakari bila ya kuwa na papara.
Mtaendelea kushika ya mashekh wenu adi ambao awana dalili na ukweli wowote zaidi ya shirki na upotevu unaoendelea nao Jaribu kusikiliza kusoma na uwe unatumia akili sio unajawa na jazba kama wakina abuu jalii😂
Huyu shekhe kama namuelewa ivi na elimu anayo mashallah lkn .........
Naam malizia... Lakini nini?.....
Assalam alykum uyu amad ndiye Muhammad au amad kama ni Muhammad alipozaliwa kwa nini hakuitwa amad ili kutimiza unabii wa issa aliyosema nabii atakuja na ataitwa amad
Swadaqta
😂😂😂😂😂😂 He said himself He is going to suffer and die and rose on the third day because it was written Luke 24:44-47 you are lost my friends repent it is not too late
Jazaakallah. Darsa zuri sana. Hazina ya elimu ipo kwa atakaye kuichukua
Amin wa Jazaakumullah Ahsanaljazaa
Ahmadiyyah ni makafiri Mungu awape hidayah Shia Sunni sisi sote ni makaka
anaye tafuta muongozo aakiangilia pasipo ghera moyoni atagundua ukweli tu
❤❤❤❤ #upendokwawote
Kazi uliofanya itakumbukwa kweli kweli. #upendokwawote
Shairi hili limepamba sana #upendokwawote
ماشاءاللہ Mwenyezi Mungu akuridhie na akupe afya njema #upendokwawote
Mashallah shekh unaongea ukweli kabisa mashallah Allah akuweke umri mrefu na wenye afya pia❤️
Amin thumma Amin thumma Amin Yaa Rabbal 'Aalamiin jazaakumullah Ahsanaljazaa brother
Mashaallah
wallah sheikh hana deni la juu ya kufukisha ujumbe wake wallah
Only those will with pure and clean heart will remember Hadhrat Bilal Bin Rabai..Arabs used to laugh at him because of jow he used to call the adhaan but still among those who were promised jannah alhamdulILLAH❤speaking and understanding are two different things..you claim to be knowing the correct tajweed of the HOLY QURAN but the problems comes in your understanding you are more flat than a peice of paper 😅
Imejieka mahali sipo nlikua najibu a sunni Muslim aliyekua anaponda khalifa wetu mtukufu akisema hajui kusoma QURAN
ALLAH AKULIPE shekhbakr abedikaluta🤲🙏
Amin thumma Amin Yaa Rabbal 'Aalamiin
Amiin thumma amiin YAA RABBIL AALA MIIN 😭🙏
HAKUNA NABII BAADA YA MUHAMMAD S.A.W.
Mungu Anasema wapo Manabii na Mitume baada ya Mtume Muhammad saw. Sura 7:36, 4:70, 3:82 n.k.
@@BakriAbedi Aya 7:37 hii:"Basi ni nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye mzulia Mwenyezi Mungu uwongo, au anaye zikanusha Ishara zake? Hao itawafikia sehemu yao waliyo andikiwa, mpaka watakapo wafikia wajumbe wetu kuwafisha, watawaambia: Wako wapi mlio kuwa mkiwaomba badala ya Mwenyezi Mungu? Watasema: Wametupotea! Na watajishuhudia wenyewe kwamba walikuwa makafiri." Swali kwako sheikh Karuta, mitume unaowakusudia kama Ghulam Ahmed, wanawafisha (kuwatoa roho) watu? au ni malaika? Na nani mwenye uwezo wa kumuuliza mtu anapokuwa anakufa?, manabii au malaika?Hapa ndipo watu wanapokosa ufaham wa quraan.Usichanganye manabii na wajumbe, kuna wakati wanatofautiana kama ktk aya hii. Kiarabu hicho sheikh Karuta.
@@BakriAbedi Aya 4:70 haihusiani na unabii baada ya Muhammad s.a.w..Aya 3:82 inazungumzia mambo yaliyopita, kwa bani Israel.ukisoma utaona ni "past tense" na hili ndilo tatizo kubwa la watu kutokufatilia uteremkaji wa aya.
Sheikh Bakri Abed Kaluta yuko sahihi. Alhamdulillah kwa mawaidha mazuri
Masha'Allah. Asante kwa kutufikishia ukweli huo. Mungu akubariki
Ndiposa mtume Muhammad Mustafa s.a.w akaysona n kuyajua haya toka kitambo ndiposa aksema masheikh wao watakua waovu zaidi chini ya mbingu."".masheikh wao,''" hakutaka hata kujinasinisha nao..ALLAH AKULIPE baba wetu bakri abedi kaluta Skype umri mrefu ili uendelee kuitetea dini yetu tukufu dhidi ya hawamasheikh waovu wanaopoteza umma
Allahu akbaru sheikh bakri Allah akupe afya njema
Amin
maashallah
Bado watakataa n kuendelea kutuita makafiri..hilo jina halina madhara yoyote kwetu alhamdulILLAH n zuri ukilinganisha n yale yaliyopewa mpendwa wetu mtukufu Muhammad Mustafa s a.w
Shukran
hivi kweli mtu anapoteza mda wake kutetea ukadiani??
❤❤snk
mashallah
Quran 43-61 Na kwa hakika yeye (Issa Bin Maryam) ni alama ya Saa ya Kiyama. Basi usiitilie shaka, na nifuateni. Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka. Jee hii imekaa vipi Sheikh? Kuhusu kuwa yupo hai au laa au yupo ktk status gani hio hakuna ajuae zaidi yake mjuzi wa yote Allah
"La 'ilmun lissaa 't' yaani yeye Isa ni elimu ya saa. Yaani atakayekuwa muelimishaji wa bishara na ishara za ujio wa Isa wa mfano katika zama zetu hizi za mwisho, kama vile kutimia kwa bishara nyingi kulivyomdhirikia Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad a.s. k.m. bishara ya kupatwa kwa Jua na mwezi ndani ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Ngoja niipost clip hiyo niliyoitoa Kilimanjaro Hotel mshuhudie jinsi bishara hiyo iliyotolewa na Mtume Muhammad saw ilivyotimia kwa Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad as wa Qadian a.s.
Ukishajua Yesu kristo alikufa na kufufuka unakaribia kuokoka
Alikufa Yesu, hajafufuka na hatafufuka.
Kule Tanzania kunaye simba wa MUNGU ALHAMDULILLAH 🙏🙏
Masha Allah
Mbona unakata
alhamdolillahi shekhi alla akubariki kwa kazi zako zote
MaashaAllah
Tunaomba iyo nterview nzima iyo
Nabi huyu kafia chooni kazi ya mayahudi na wakiristo British government ndio ilomsponsa ili wapunguze nguvu ya uislam wahindi wanmuita Pagal benchot madarchot chor bazaar
kzread.info/dash/bejne/YmWrschvkbjTkpc.html
Nini kinakufanya useme kuwa huyu ni feki wakati aya za quran na hadithi za mtume zinathibitisha kuwa huyu ni wa ukweli?
Huyu ni Nabii feki
Mwenye kujisikia kukataa acha akatae uzuri ujumbe umewafikia hawatakua n la kujitetea siku ya Qiyamma
Huyu mwenyekiti wa huu mdaharo ni mzee mwenye hekima sanaa.
Huyu anaejiita mtetezi wa kisuna hana adabu ya mazungumzo.