NABII HUYU FATENI
Ойын-сауық
FOLLOW THIS PROPHET, IT IS ALLAH'S COMMAND TO OBEY AND FOLLOW THE PROMISED MESSIAH, ISA BIN MARIAM, IMAM MAHDI, JESUS, BUDHA, KRISHNA, GURU A.S. WHEN HE WILL COME IN REPRESENTATION OF ALL THE PROPHETS OF YORE.
FOLLOW THIS PROPHET, IT IS ALLAH'S COMMAND TO OBEY AND FOLLOW THE PROMISED MESSIAH, ISA BIN MARIAM, IMAM MAHDI, JESUS, BUDHA, KRISHNA, GURU A.S. WHEN HE WILL COME IN REPRESENTATION OF ALL THE PROPHETS OF YORE.
Пікірлер: 8
HAKUNA NABII BAADA YA MUHAMMAD S.A.W.
@BakriAbedi
3 ай бұрын
Mungu Anasema wapo Manabii na Mitume baada ya Mtume Muhammad saw. Sura 7:36, 4:70, 3:82 n.k.
@111dudi
3 ай бұрын
@@BakriAbedi Aya 7:37 hii:"Basi ni nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye mzulia Mwenyezi Mungu uwongo, au anaye zikanusha Ishara zake? Hao itawafikia sehemu yao waliyo andikiwa, mpaka watakapo wafikia wajumbe wetu kuwafisha, watawaambia: Wako wapi mlio kuwa mkiwaomba badala ya Mwenyezi Mungu? Watasema: Wametupotea! Na watajishuhudia wenyewe kwamba walikuwa makafiri." Swali kwako sheikh Karuta, mitume unaowakusudia kama Ghulam Ahmed, wanawafisha (kuwatoa roho) watu? au ni malaika? Na nani mwenye uwezo wa kumuuliza mtu anapokuwa anakufa?, manabii au malaika?Hapa ndipo watu wanapokosa ufaham wa quraan.Usichanganye manabii na wajumbe, kuna wakati wanatofautiana kama ktk aya hii. Kiarabu hicho sheikh Karuta.
@111dudi
3 ай бұрын
@@BakriAbedi Aya 4:70 haihusiani na unabii baada ya Muhammad s.a.w..Aya 3:82 inazungumzia mambo yaliyopita, kwa bani Israel.ukisoma utaona ni "past tense" na hili ndilo tatizo kubwa la watu kutokufatilia uteremkaji wa aya.
Huyu ni Nabii feki
Nini kinakufanya useme kuwa huyu ni feki wakati aya za quran na hadithi za mtume zinathibitisha kuwa huyu ni wa ukweli?
Nabi huyu kafia chooni kazi ya mayahudi na wakiristo British government ndio ilomsponsa ili wapunguze nguvu ya uislam wahindi wanmuita Pagal benchot madarchot chor bazaar
@BakriAbedi
7 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/YmWrschvkbjTkpc.html