Sasa mbona kama huyo sarkodie simuelew nasidhan kama alichokiimba nisawa naalicho kiimba Maarifa
@jumajuma66126 күн бұрын
Watu wanazungumzia flow beat na melody na sio lugha
@thadeindau604210 күн бұрын
Kwakweli
@PeterPeter-hk6xv10 күн бұрын
Unaoverthink alone
@lilianpeter746812 күн бұрын
Kumbee palimilikiwa na mtu mmoja... vipi kizazi chake kwa sasa?
@bintikhamisi780612 күн бұрын
Sarkodie ame inspire wengi duniani hii sio maajabu mdogo kuiga mkubwa.
@ibrahimumapande45012 күн бұрын
😂😂 dar ina mmiliki duh
@marianakamb-fg7sk13 күн бұрын
Khee😮
@OchoaHomeDecor_19 күн бұрын
Mzee anaakili sana kwakweli hata sikuwahi kutegemea.. Mungu ampe umri mrefu tuendelee kupata madini kutoka kwake
@magembemakula862021 күн бұрын
hata kutengeneza vina na kutiririka kwenye beat ka hiyo, kipaji hicho msodoki fundi
@stanastana319921 күн бұрын
Tunaomba ajengewe sanamu pale mahakama ya kisutu
@babitv203322 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥
@ElipendoMasanja22 күн бұрын
❤❤❤❤
@proteinpowdertanzania397723 күн бұрын
Hahahaa... Si mchezo
@NASRYMOHAMEDY24 күн бұрын
we fala umekoisa kazi za kufANYA WATUwanana sura hadi majina itakuwa nyimbo tyuu
@allexaletz452225 күн бұрын
Nomaa nomaa🙌🙌
@anuarymzee989825 күн бұрын
Doooooh ww ninoma na nusu umetisha Brother 🙏🙏
@DeoByensi27 күн бұрын
Bjr
@hamzaadrin94127 күн бұрын
Hata iyo kiitikio mbona ka copy kile cha Kenya tuendelee ama tuendelee niaje brooo niaje sister tumewashika
@yusuphswai6851Ай бұрын
Ayo nimambo ya producer sio msanii
@eddienyota5Ай бұрын
sijawah kujibu comments lkn wewe ni Bure kabisa😂😂
@imanuelnguya9277Ай бұрын
Asante sana mchambuzi
@mselanoma1139Ай бұрын
Hii ni loops
@OllerDesononline6333Ай бұрын
True bro
@AkimMugumaАй бұрын
Una akili sana
@therealdL188Ай бұрын
Ushawahi kusikiliza midundo ya Rza, Apollo brown, marco polo, alchemist, dj premier, na wengineo??!!! Au unajaribu kujifunza kuongea bro??!!!
@jovincecharlesАй бұрын
The reason behind this sio kukosoa, ni kukufungua macho na masikio kwamba hiki kimefanyika lakini kabla ya hiki kilishafanyika pia. Ni kama elimu tu jamaa anatoa. Great work brother🫡
@franken_attackАй бұрын
Ahahahahaha
@El_marley5Ай бұрын
Bro Na mimi masikio yangu kama Yana matatizo hivi ebu usikilize wimbo wa darassa ft bien ngoma ita hitwa nobody,alafu sikilize amepotea yake mbosso nasikiya kama kuna kitu hivi.salut kwako mimi ni marley from Congo drc🇨🇩
@mussasellemani8220Ай бұрын
Kwani kudiri na vitu vya kale nizambi
@user-by2gj2bw9fАй бұрын
Dah umetusanua kaka maana tulikua hatuelewi lkn sasa nimeelewa❤❤❤❤
@user-by2gj2bw9fАй бұрын
Noma sana ❤❤❤
@user-wp4fc6tf8fАй бұрын
Hii video niliitazama sana lakini sikuelewa Ila Leo nimeelewa🙏🙏🙏🙌
Пікірлер
Tofauti sana
Noma sana
Sasa mbona kama huyo sarkodie simuelew nasidhan kama alichokiimba nisawa naalicho kiimba Maarifa
Watu wanazungumzia flow beat na melody na sio lugha
Kwakweli
Unaoverthink alone
Kumbee palimilikiwa na mtu mmoja... vipi kizazi chake kwa sasa?
Sarkodie ame inspire wengi duniani hii sio maajabu mdogo kuiga mkubwa.
😂😂 dar ina mmiliki duh
Khee😮
Mzee anaakili sana kwakweli hata sikuwahi kutegemea.. Mungu ampe umri mrefu tuendelee kupata madini kutoka kwake
hata kutengeneza vina na kutiririka kwenye beat ka hiyo, kipaji hicho msodoki fundi
Tunaomba ajengewe sanamu pale mahakama ya kisutu
🔥🔥🔥🔥
❤❤❤❤
Hahahaa... Si mchezo
we fala umekoisa kazi za kufANYA WATUwanana sura hadi majina itakuwa nyimbo tyuu
Nomaa nomaa🙌🙌
Doooooh ww ninoma na nusu umetisha Brother 🙏🙏
Bjr
Hata iyo kiitikio mbona ka copy kile cha Kenya tuendelee ama tuendelee niaje brooo niaje sister tumewashika
Ayo nimambo ya producer sio msanii
sijawah kujibu comments lkn wewe ni Bure kabisa😂😂
Asante sana mchambuzi
Hii ni loops
True bro
Una akili sana
Ushawahi kusikiliza midundo ya Rza, Apollo brown, marco polo, alchemist, dj premier, na wengineo??!!! Au unajaribu kujifunza kuongea bro??!!!
The reason behind this sio kukosoa, ni kukufungua macho na masikio kwamba hiki kimefanyika lakini kabla ya hiki kilishafanyika pia. Ni kama elimu tu jamaa anatoa. Great work brother🫡
Ahahahahaha
Bro Na mimi masikio yangu kama Yana matatizo hivi ebu usikilize wimbo wa darassa ft bien ngoma ita hitwa nobody,alafu sikilize amepotea yake mbosso nasikiya kama kuna kitu hivi.salut kwako mimi ni marley from Congo drc🇨🇩
Kwani kudiri na vitu vya kale nizambi
Dah umetusanua kaka maana tulikua hatuelewi lkn sasa nimeelewa❤❤❤❤
Noma sana ❤❤❤
Hii video niliitazama sana lakini sikuelewa Ila Leo nimeelewa🙏🙏🙏🙌
Kaka nampenda sana kazi
Nakubaliana na wewe🙏🏻 from congo dr🇨🇩
Mhh!!! Upo Makin
waooo makini sana mwamba
Mimi nilikuwa nimetoa ngoma yangu wakaigizia laizer akafanya Smile niliwatumia ngoma yangu
noma sana 😅
we jamaa ni mchunguzi sana
Ni kwel kbisa natak kujua ni kosa ku copy?
Kaiba
Uko vzr kaka kwa uchambuzi
Sasa hapo clouds umeiweka yanin
UCHAMBUZI MAKINI YA UTAMBULISHO HUO,SASA NIMEELEWA 😃😃😁😅😅
Nani kamkop mwenzie sasa
Hizo biti ni mbili tofauti, zinaanza sawa ila ya fid inakuwa na kigitaaa flani ivii wakayi hiyo sosa inaenda hivyo hivyo
uhakika apo
Ukitaka hizo njoo Tamaduni Muzik utapata contents nyingi za kuwauza maboya
sawa Johnny vigeti + Elisha Elai ntafanya hivyo
Anajifunza kuongea😂
Mshamba tu hujui SAMPLING ni nini?Wasiojua watakuona Genius
Ni kweli Walaji wa muziki hawapaswi kujua sampling imetokea wapi bwana Johnny vigeti?