NIKKI MBISHI ni Copy ya JOHNNY VIGETI? 😳
Ойын-сауық
•Subscribe For New Stories Every Week!
What a strange story! They do not play around in wyoming boy. Go be an outlaw somewhere else!! 😂
/ @eddienyota5
Thanks for watching! heres some more cool videos!
Sources: Wikipedia, Legends of America, History.com, Britannica
Пікірлер: 36
I thought ni maskio yangu but we got it the same way brother
@user-bl9gf9qk6k
2 ай бұрын
ACHA UBOYA HIYO NI HIP HOP SO FORM YAKE NI MOJA. TAFUTA CONTENTS BRO
In any art an artist has an idol who he relates with in his artistry so nikki is allowed to be influenced by vigeti
Vigeti since 1995
Acheni uduanzi sijaelewa kitu mnamaanisha mbana bill nas alianza sound kama zilla hamkusema
Mbona nikk ameshawahi kufanya reference ya vigate IN SHORT NI UTANI WA JADI wanajua wanachofanya.....😅😅 Hata sio big deal hommie kwasabu Usichojua NIKK anangoma na albam nyingi mnooo pengine kuliko watamaduni wote NA ROBO TATU YA HIZO KAZI afanani na mtu HOW COME mfananishe izo cha che
Watu wanashindwa kuelewa,ukimsikiliza Nikki kipindi anaanza hakuwa anarap hivi anavyorap sasa, so kwa sasa Nikki kuanzia flow had matamshi anamkopy john vigetti
@mdachiog5211
2 ай бұрын
Ni kweli
Fatilia Freestyles Battles za Clouds FM alizofanya enzi hizo 2007 na Tracks zake za kitambo ndio utajua melodies za Nikki Mbishi na Johnny Vigeti nani wa kwanza kuanza kuchana hivo.
@josephinematemba5100
Жыл бұрын
Viget niwa long time broo ni plama tu ndoimemkwamisha
Vigetti is one of Nikki Mbishi's idols
I can't compare Vigeti with any rapper in Africa,huyu ndio GOAT.
😂 Mzee miandiko yote duniani zinatoka kwenye alfabet A_Z / A_U DAT IS MUSIC TOO kila kitu kwenye mziki ni nota na nata hazibadiliki Tangia Enzi za kina mozet😂😂
@jordankanyongakitu6560
Жыл бұрын
unahisi kwanini hajazungumzia nota za Fid q amezungumzia za nikki na vigeti?😅😅😅😂😂
Hata mimi nikiandika mara nyingi I find myself flowing like Nas
Wala melodies hazifanani unamjua umba mzee kwanza kamahumjui nakupa CHINDO MAN
Sio mbaya kufanana kwasabu wote wasanii wazuri. Hata Mobb Deep walibadilisha style kutoka kuchana na kuja kufanya story telling hip hop katika beat za Lo-Fi. Hata kuna rapper mmoja anaitwa Young Chris jamaa ni Jay Z kabisa style yake.
Fatilia kwanza wote wameamza mziki lini, Alafu fatilia na projects zao zote. Ndo uje ulete review hapa.
@bjngft4985
4 ай бұрын
Mbona kama anatupa kazi za kuwafatilia katika ukosoaji. Afanye kazi hiyo then sisi ndo tupate majibu kwenye video yako na sio kutupa kazi. Aache woga au aache kutusumbua..
@LordVixx
3 ай бұрын
Vigetti nilianza kumsikiliza 1995
Iyo kweli kaka
Vigeti msee.
john vigeti
Ni kwel Nikki mbishi nowdays anasound km john vigeti ni tofauti na nikki mbishi anayesound kwenye sauti ya jogoo
@raphaelmheta
4 ай бұрын
Kasema ni mentor wake
Baba Jonny ni Jonnie vigeti
We mwenyewe sauti yako kuna jamaa umemcopy anaitwa Mzee mjusi
Hujanshawsh wala kukubaliana nawe tofanaut
Nani kamkop mwenzie sasa
Vigeti long
NIKKI MBISHI MBONA ANAKUBALI KUWA JOHN VIGET NI MENTOR WAKE PIA
@LordVixx
3 ай бұрын
Salute
John viget nianza kumskia kitambo
Kuna kiukweli fulani fulani
unatafuta kiki bro
ACHA UBOYA HIYO NI HIP HOP SO FORM YAKE NI MOJA. TAFUTA CONTENTS BRO 👎👎👎👎