Uhuru bandia, Nyerere alishindwa kuendesha nchi akatoka kaicha masikini watu wanavaa viatu vya magurudum ya gari, sukari,mchele, unga,mafuta,sabuni kwa mgao na havikutosha.Jarume hali kadhalika mpaka akalishwa shaba
@alimuhamed18302 ай бұрын
Kwaheru uhuru kwaheri ukolini kwaeri furaha na amani miongoni mwa jamii yawazanzibar
@salyali78072 ай бұрын
😭😭😭
@Hilali-ff5ul2 ай бұрын
Hii ndio Zanzibar ya mwanzo ambayo yenye upendo haina zulma kama zama za ccm ,,, Zanzibar itarudi kama mwanzo tu inshallah 2025 😭🤲🇸🇦🇸🇦
@111dudi2 ай бұрын
Znz haikuwa na mapenzi tangu utawala wa kisultani ulipovaniwa na waingereza. Walikuwa wanauana, kabla ya mapinduzi na baada ya mapinduzi, mashoga ndio kwao, unga, umbra,uhasidi. Wala si nchi iliyotulia. Mashekhe wengi kama sio wote walikimbia kwa sbb ya chuki zilizofanywa na Afroshiraz. Historia iko wazi,
@hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын
Mungu atwalipa karume na nyerere na washirika wao
@hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын
Watu walikuwa wakiishi raha mustarehe wakipendana,visirani wakaja wakainakamisha wakawauwa wazee wetu mungu awalipe kama walivyotenda
@hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын
Allah awasamehe wazee wetu, awpe kauli thabiti
@AbdulNassir-jk1jf5 ай бұрын
Makafiri waliona uislamu umeimarika zanzibar wakashirikiana na wanafiki kuibomoa zanzibar
@user-ty5cs3eg1r5 ай бұрын
Inshaallah Allah atairudidha zanzibar kwaushindi mkubwa na wale wote walio ondoka zanzibar basi watarud na furaha inshaallah tufanyen subra na duwa muhimu
@111dudi2 ай бұрын
Kwanza watoe neno "mapinduzi" kwa sbb neno hili linakumbusha mauaji makubwa. Pili sherehe ya mapinduzi ifutwe na badala yake washerehekee uhuru na muungano. Nrno "machotara hawatakiwo znz" life. Hao waafrika na washirazi wemyeqe.ji wahamiaji kama waarabu. Washirazi ndio waliokuwa wakiliokuwa watumwa wakubwa. Wazungu na wahindi walikuwa wauza watu wakubwa.
@AbdulNassir-jk1jf6 ай бұрын
Roho inaniuma kwakweli zanzibar imepoteya
@ALIKHAMIS-un4fv7 ай бұрын
Asili yetu ya kiarabu ashraziy wazanzibar hatuisahau
@HumudSuleiman-ti1kd Жыл бұрын
insha'Allah Allah yupo pamoja na wenye kufanya subra
@ibrahimjuma4806 Жыл бұрын
😊
@salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын
Wakati huo unatekeka samaki ,na mthee nazi unaenda kuokota Tu huulizwi na jitu,
@msabahaali758 Жыл бұрын
Naamin iko siku zanzibar itasimama tena kwa uwezo wa Alla ccm itakwisha na heshima ya nchi hii itatudi inshallah
@Hilali-ff5ul2 ай бұрын
😢 inshallah Amin
@mohamedmasoud8956 Жыл бұрын
Mchangia dhulma hats kwa neno au kufurahikia ataiona jazaa take kesho akhera msifanye mzaha mtajuta siku majuto hayatosaidia m/mungu atuhidi
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Jamsheed bin Abdallah Al Sayyid
@salma0000 Жыл бұрын
😊
@ahmadzubeir3363 Жыл бұрын
Hii ndiomaana Zanzibar ilijawa na neema za kila aina. Wanavyuoni wakubwa wakiingia ndani ya nchi hii ya Zanzibar kila aina
@binrashidsalim5667 Жыл бұрын
Tumepoteza sana Naam allahu kaadiru
@mbarakally6419 Жыл бұрын
mashaallah wallah ilikuwa raha sna
@omarsaid47022 жыл бұрын
Ni njama za muingereza ulikuwa ni mji wa kiislam ndio akafanya hila mpaka akaivuruga nchi lakini nayeye mungu ataivuruga nchi yake kama alivyo vuruga nchi za watu yeye pamoja na wamarekani na nato kwa jumla
@batashqiraa99362 жыл бұрын
Mauaji ya Zanzibar Nyerere na karume watawajibika mbele ya ALLAH siku ya hukumu
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Zanzibari imevamiwa NA tanganika baada ya uhuru wake halali mwengerza alifanya husda baada ya tanganika kupata uhuru mwengerza walipatana NA tanganika kwa njia ya nyerere kuturuhusu kwepo dolah ya kiislaam kutawala mwengerza huo NA uadui wake kama vile huko flstin mwengerza amewapa wayahudi flstin kwa hiyo elewa kwamba makafiri wataendelea kupiga uslaam vita lakini huko akhera watakiona cha mtema kuni mungu ana subra NA hiyo athabu ya dunia nyerere alikufa kwa kensa ya damu alikua analia kama mtoto mdogo NA karume alipiga risasi nane kifuani NA bado hesabu ya mauaji elfu ishirini siku ya uvamizi waliwakusanya usiku wa manane wakawakusanya wakawapiga risasi bila ya huruma watoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wtoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wasichana
@mbarakally64192 жыл бұрын
Mashaallah
@batashqiraa99362 жыл бұрын
Hapa ndipo Zanzibar ilpokuwa huru huu ndio Uhuru halali wa Zanzibar
@hashimshaban46752 жыл бұрын
Video hii huwezi iona TBC
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Na TBC hawawezi kuweka video za kuutukuza usultan
@salma0000 Жыл бұрын
@@jumakapilima7295 usultani upi
@Sheba46512 ай бұрын
@@jumakapilima7295Wataweka za kumtukuza nyerere babako.
@fettyabiola13892 жыл бұрын
Too shame to watch and others to see, we were not supported to be this poor at this time, yani unatoka kwenye utajiri unakuwa Masikini na technologies zote izo, nchi zilizo nyuma zote zinang'ara sis mmh , aibu kweli
@ggjjchbj15592 жыл бұрын
الله على زمان العرب
@ahmedissa78823 жыл бұрын
MashaaAllah unakuta watu wote wameva kanzu
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Sio kila anayevaa kanzu ni mtakatifu,,,,
@GlobalSouthObserver3 жыл бұрын
Usultani hautorudi Africa!!!!
@Visit_zanzibar3 жыл бұрын
Uhuru wa kweli
@fsjahan50373 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Z4Cf0aiJadXNaKg.html
@bennymochiwa48003 жыл бұрын
karume na Nyerere ni watu wabaya sana wameipoteza furaha ya kweli ya wazanzibar, dhulma hii kamwe aiwezi futika ktk nyoyo za wazanzibar
Subhaanallaah!! Huu ndio uleee wakati ambao Baiskeli yako unaiacha nje kwa muda wa siku saba bila kuikomea na haichukuliwi na mtu . Pesa yako ikipotea na kuokotwa unatafutwa mwenyeo mpaka unakabidhiwa. Leo ipowapi Zanzibar.
@swalehemrombo9301 Жыл бұрын
Hahahaha.!! Maadili yamepoteaa siku hiziii
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
@@ladislausngoyinde4384 wewe ndio mjinga, inawezekana ukawa wewe ni miongoni mwa hao wanafanya sasa baiskeli zisiachwe nje,,,,mjinga wewe!!
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
@@ladislausngoyinde4384 wewe ndio mpumbavu, tena Una upumbavu uliopitiliza,,,,
حسبي الله ونعم الوكيل كانت زنجبار من أغنى الدول في ذلك الوقت وكانت منارة لنشر الإسلام و العلم إلا أن الغرب المتآمر ضد الإسلام ابى إلا يدمر زنجبار و يفرق بين الأخوة حتى أصبحت زنجبار اليوم بلد تحت خط الفقر و مسلوبة الارادة و الحرية .
@salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын
You have talk the trus,god bles you,
@fatmasaid58644 жыл бұрын
Ilikua raha sana imani na upendo
@ally17024 жыл бұрын
Alhamdulillah dah iko wapi furaha saiv Zanzibar yetu jamani naombeni mnitajie majina ya wahusika wa hapo mana sijui ata mmoja
@salamakhamis80924 жыл бұрын
Mhh langu jicho
@abdillahijalalkhan21282 жыл бұрын
Actually the right translation is "no comment!"
@gangmore90914 жыл бұрын
Nyerere n karume n walio husika mungu awahukumu kuondoa furaha ya zanzibar mungu awasamehe zambi zao waliozulumiwa roho zao n madhalim nyerere karume jogh Okelo nk🙏😭
@sawbaa63324 жыл бұрын
Bila nyerere na karume ugekua apa ww
@gangmore90914 жыл бұрын
@@sawbaa6332 picture iyo unaonaje kuna alokosa furaha na maisha yaubaguzi n ziki sasa apo ndio wazanzibar wenyewe so saiv nyerere n karume unaosema wewe na history yko y darasi or ya kusikia kwa watu ndio wameondoa furaha n kuifikisha ilipo zanzibar ilikua n passport yke inamamlaka kamili nyerere chuki n dini y uislam n kujua zanzibar inauchumi kumtia maneno karume afanye mapinduzi kabla yeye kua kiongozi fatilia history ya zanzibar y kweli sio unachangia comment
Hadi unatamani kulia ila iko cku in sha Allah itarudi tn zanzibar
@massoudalgerey6313 Жыл бұрын
😄😄😄
@TeamKRX4 жыл бұрын
Machozi yanimaeika wengi hapa washatangulia mbele ya haki 😭😭😭😭😭mtihan mzito walah nataman urudi hivi
@saidhamad75044 жыл бұрын
What a nostalgia😭
@ahmarkaaby25814 жыл бұрын
Maskini jamani
@aishatamimu10294 жыл бұрын
Mashallah ilikuwa niraha
@munirmohamed70704 жыл бұрын
Aisha Tamimu raha gan?
@aishatamimu10294 жыл бұрын
Raha ya kupata uhuru kwani weye hujafurahi
@haidarsalum92283 жыл бұрын
@@aishatamimu1029 uhuru mbna ulikuwepo..
@GlobalSouthObserver3 жыл бұрын
Mapinduzi Daima!!!!
@jarsjam88944 жыл бұрын
Uko wapi Uhuru waloutaka watu Kila siku wanauliwa, ujambazi, bangi imekuwa chakula cha zanzibar, maradhi mengi, chuki, uharibifu wa wtt hata wazee wanaingiliwa, zamani tukilala milango wazi Vila ya khofu yoyote lkn leo watu wako kwenye jela Tu usiku na mchana. Ndio Uhuru huo?
@hcgghfgg66794 жыл бұрын
كأنها هذه أثناء فوز محمد شمتي بالانتخابات في زنجبار سنة 1963م أيام السطان جمشيد بن عبدالله البوسعيدي
@biramsakh92125 жыл бұрын
Uhuru kweli tunauona. Apo hamna wizi wala mijambazi wala mibangi wasta arabu waznz wa zamani. Lkn uhuru tumepata. Mapinduzi daima Alhmdulilah
@gangmore90914 жыл бұрын
Ayoo so mapinduzi y karume n nyerere ndugu
@GlobalSouthObserver3 жыл бұрын
Mapinduzi Daima!!!
@zainabkhatib65095 жыл бұрын
Inasikitisha
@ruaiyatruaiyat6916 жыл бұрын
Subhanallah watu walikua wanaraha na furaha za kila aina. Mashaallh Zamani l awwal
Пікірлер
Wameharibu Kiswahili yetu😢
Uhuru bandia, Nyerere alishindwa kuendesha nchi akatoka kaicha masikini watu wanavaa viatu vya magurudum ya gari, sukari,mchele, unga,mafuta,sabuni kwa mgao na havikutosha.Jarume hali kadhalika mpaka akalishwa shaba
Kwaheru uhuru kwaheri ukolini kwaeri furaha na amani miongoni mwa jamii yawazanzibar
😭😭😭
Hii ndio Zanzibar ya mwanzo ambayo yenye upendo haina zulma kama zama za ccm ,,, Zanzibar itarudi kama mwanzo tu inshallah 2025 😭🤲🇸🇦🇸🇦
Znz haikuwa na mapenzi tangu utawala wa kisultani ulipovaniwa na waingereza. Walikuwa wanauana, kabla ya mapinduzi na baada ya mapinduzi, mashoga ndio kwao, unga, umbra,uhasidi. Wala si nchi iliyotulia. Mashekhe wengi kama sio wote walikimbia kwa sbb ya chuki zilizofanywa na Afroshiraz. Historia iko wazi,
Mungu atwalipa karume na nyerere na washirika wao
Watu walikuwa wakiishi raha mustarehe wakipendana,visirani wakaja wakainakamisha wakawauwa wazee wetu mungu awalipe kama walivyotenda
Allah awasamehe wazee wetu, awpe kauli thabiti
Makafiri waliona uislamu umeimarika zanzibar wakashirikiana na wanafiki kuibomoa zanzibar
Inshaallah Allah atairudidha zanzibar kwaushindi mkubwa na wale wote walio ondoka zanzibar basi watarud na furaha inshaallah tufanyen subra na duwa muhimu
Kwanza watoe neno "mapinduzi" kwa sbb neno hili linakumbusha mauaji makubwa. Pili sherehe ya mapinduzi ifutwe na badala yake washerehekee uhuru na muungano. Nrno "machotara hawatakiwo znz" life. Hao waafrika na washirazi wemyeqe.ji wahamiaji kama waarabu. Washirazi ndio waliokuwa wakiliokuwa watumwa wakubwa. Wazungu na wahindi walikuwa wauza watu wakubwa.
Roho inaniuma kwakweli zanzibar imepoteya
Asili yetu ya kiarabu ashraziy wazanzibar hatuisahau
insha'Allah Allah yupo pamoja na wenye kufanya subra
😊
Wakati huo unatekeka samaki ,na mthee nazi unaenda kuokota Tu huulizwi na jitu,
Naamin iko siku zanzibar itasimama tena kwa uwezo wa Alla ccm itakwisha na heshima ya nchi hii itatudi inshallah
😢 inshallah Amin
Mchangia dhulma hats kwa neno au kufurahikia ataiona jazaa take kesho akhera msifanye mzaha mtajuta siku majuto hayatosaidia m/mungu atuhidi
Jamsheed bin Abdallah Al Sayyid
😊
Hii ndiomaana Zanzibar ilijawa na neema za kila aina. Wanavyuoni wakubwa wakiingia ndani ya nchi hii ya Zanzibar kila aina
Tumepoteza sana Naam allahu kaadiru
mashaallah wallah ilikuwa raha sna
Ni njama za muingereza ulikuwa ni mji wa kiislam ndio akafanya hila mpaka akaivuruga nchi lakini nayeye mungu ataivuruga nchi yake kama alivyo vuruga nchi za watu yeye pamoja na wamarekani na nato kwa jumla
Mauaji ya Zanzibar Nyerere na karume watawajibika mbele ya ALLAH siku ya hukumu
Zanzibari imevamiwa NA tanganika baada ya uhuru wake halali mwengerza alifanya husda baada ya tanganika kupata uhuru mwengerza walipatana NA tanganika kwa njia ya nyerere kuturuhusu kwepo dolah ya kiislaam kutawala mwengerza huo NA uadui wake kama vile huko flstin mwengerza amewapa wayahudi flstin kwa hiyo elewa kwamba makafiri wataendelea kupiga uslaam vita lakini huko akhera watakiona cha mtema kuni mungu ana subra NA hiyo athabu ya dunia nyerere alikufa kwa kensa ya damu alikua analia kama mtoto mdogo NA karume alipiga risasi nane kifuani NA bado hesabu ya mauaji elfu ishirini siku ya uvamizi waliwakusanya usiku wa manane wakawakusanya wakawapiga risasi bila ya huruma watoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wtoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wasichana
Mashaallah
Hapa ndipo Zanzibar ilpokuwa huru huu ndio Uhuru halali wa Zanzibar
Video hii huwezi iona TBC
Na TBC hawawezi kuweka video za kuutukuza usultan
@@jumakapilima7295 usultani upi
@@jumakapilima7295Wataweka za kumtukuza nyerere babako.
Too shame to watch and others to see, we were not supported to be this poor at this time, yani unatoka kwenye utajiri unakuwa Masikini na technologies zote izo, nchi zilizo nyuma zote zinang'ara sis mmh , aibu kweli
الله على زمان العرب
MashaaAllah unakuta watu wote wameva kanzu
Sio kila anayevaa kanzu ni mtakatifu,,,,
Usultani hautorudi Africa!!!!
Uhuru wa kweli
kzread.info/dash/bejne/Z4Cf0aiJadXNaKg.html
karume na Nyerere ni watu wabaya sana wameipoteza furaha ya kweli ya wazanzibar, dhulma hii kamwe aiwezi futika ktk nyoyo za wazanzibar
Swadakta,karume ,mmalawi , Nyerere mtusi ,wakashirikiana kuwauwa wazanzibari,,
Subhaanallaah!! Huu ndio uleee wakati ambao Baiskeli yako unaiacha nje kwa muda wa siku saba bila kuikomea na haichukuliwi na mtu . Pesa yako ikipotea na kuokotwa unatafutwa mwenyeo mpaka unakabidhiwa. Leo ipowapi Zanzibar.
Hahahaha.!! Maadili yamepoteaa siku hiziii
@@ladislausngoyinde4384 wewe ndio mjinga, inawezekana ukawa wewe ni miongoni mwa hao wanafanya sasa baiskeli zisiachwe nje,,,,mjinga wewe!!
@@ladislausngoyinde4384 wewe ndio mpumbavu, tena Una upumbavu uliopitiliza,,,,
@@ladislausngoyinde4384 kibaka wewe, utaweza wapi kurudisha fedha,,,,ndio mliotuharibia Zanzibar yetu
@@ladislausngoyinde4384 panya road wa Kigoma
حسبي الله ونعم الوكيل كانت زنجبار من أغنى الدول في ذلك الوقت وكانت منارة لنشر الإسلام و العلم إلا أن الغرب المتآمر ضد الإسلام ابى إلا يدمر زنجبار و يفرق بين الأخوة حتى أصبحت زنجبار اليوم بلد تحت خط الفقر و مسلوبة الارادة و الحرية .
You have talk the trus,god bles you,
Ilikua raha sana imani na upendo
Alhamdulillah dah iko wapi furaha saiv Zanzibar yetu jamani naombeni mnitajie majina ya wahusika wa hapo mana sijui ata mmoja
Mhh langu jicho
Actually the right translation is "no comment!"
Nyerere n karume n walio husika mungu awahukumu kuondoa furaha ya zanzibar mungu awasamehe zambi zao waliozulumiwa roho zao n madhalim nyerere karume jogh Okelo nk🙏😭
Bila nyerere na karume ugekua apa ww
@@sawbaa6332 picture iyo unaonaje kuna alokosa furaha na maisha yaubaguzi n ziki sasa apo ndio wazanzibar wenyewe so saiv nyerere n karume unaosema wewe na history yko y darasi or ya kusikia kwa watu ndio wameondoa furaha n kuifikisha ilipo zanzibar ilikua n passport yke inamamlaka kamili nyerere chuki n dini y uislam n kujua zanzibar inauchumi kumtia maneno karume afanye mapinduzi kabla yeye kua kiongozi fatilia history ya zanzibar y kweli sio unachangia comment
Mapinduzi Daima!!!
@@GlobalSouthObserver 🤣🤣 mapinduzi daima kweli kaipindua zanzibar atawale badala kufa kaburi lake likawa linaweka kelele 😅
@@gangmore9091 mtu akifa amekufa kaburi halina maana lakini legacy yake ya mapinduzi na muungano bado ipo... mapinduzi Daima!!!!
mashaaallah daaaaaaa zamani ni rahaaa tungekua mbali sasaa tunakimbia na kutafuta kazi nchi za nje na kukimbia kwe2 na kujiepusha na mabangi
Katika kitu ninachokipenda kuona wazanzibar tunafuraha dah roho inaniumasana walipatafuraha kwamasaa kadhaaa kilichowakutu 😭😭😭😭😭 hadi kinasikitisha waowametanguliya ss tulobakiya hatujuwi nilini itarudifuraha waliyoipata wazeee wetu kwamdamfupi iliitawale furahaiyo ktk maishayetu kutoka nchihuru hadi hadikutawaliwa tena 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Dah broo chozi limenitoka kumbe tungekuwa mbalisana 😭😭😭😭
Itarudi inshallah kwa uwezo wa Allah
Hadi unatamani kulia ila iko cku in sha Allah itarudi tn zanzibar
😄😄😄
Machozi yanimaeika wengi hapa washatangulia mbele ya haki 😭😭😭😭😭mtihan mzito walah nataman urudi hivi
What a nostalgia😭
Maskini jamani
Mashallah ilikuwa niraha
Aisha Tamimu raha gan?
Raha ya kupata uhuru kwani weye hujafurahi
@@aishatamimu1029 uhuru mbna ulikuwepo..
Mapinduzi Daima!!!!
Uko wapi Uhuru waloutaka watu Kila siku wanauliwa, ujambazi, bangi imekuwa chakula cha zanzibar, maradhi mengi, chuki, uharibifu wa wtt hata wazee wanaingiliwa, zamani tukilala milango wazi Vila ya khofu yoyote lkn leo watu wako kwenye jela Tu usiku na mchana. Ndio Uhuru huo?
كأنها هذه أثناء فوز محمد شمتي بالانتخابات في زنجبار سنة 1963م أيام السطان جمشيد بن عبدالله البوسعيدي
Uhuru kweli tunauona. Apo hamna wizi wala mijambazi wala mibangi wasta arabu waznz wa zamani. Lkn uhuru tumepata. Mapinduzi daima Alhmdulilah
Ayoo so mapinduzi y karume n nyerere ndugu
Mapinduzi Daima!!!
Inasikitisha
Subhanallah watu walikua wanaraha na furaha za kila aina. Mashaallh Zamani l awwal