KUBWA KULIKO TZ

KUBWA KULIKO TZ

SPORTS & ENTERTAINMENT (SANAA NA MICHEZO)

Пікірлер

  • @sesilialaga5403
    @sesilialaga540319 сағат бұрын

    Nawewe nae mtangazaji hizi MB zetu ndomnagawana naiyo dada shenzi kabisa

  • @aishahaji3128
    @aishahaji3128Күн бұрын

    Wee masai nakupenda bure unanichekwaha sana

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165Күн бұрын

    Ndugu mtangazaji ukisikia chakuokota si cha kwiba kwa mchongoma kuna mwiba basi ndiyo hiyo ujuwe hivyo

  • @eliathomas8446
    @eliathomas84464 күн бұрын

    Ukipendwa usidharau hata kama huna upendo n naye lakn walao onana naye tuu

  • @eliathomas8446
    @eliathomas84464 күн бұрын

    Msema kweli ni mpenz wa Mungu...kama vipi Alliii mpe anachotaka bwanaaa...yaani mm sipendi mtu ateseke kwa ajili ya mwenzake bwana

  • @johnalagwa3585
    @johnalagwa35856 күн бұрын

    Sema. Mna maneno. Kwamba chama. Ni. Mdogo Kwa pacome Leo. Mnasema. Chama ni zaid. Sawaaaaaaa

  • @paulotemba8881
    @paulotemba88816 күн бұрын

    Umeongea vizuri sana

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu8 күн бұрын

    Unaomba mechilewo mbere mukuawapi??maneno yamukosaji acana n'a Chamewewe kajishindirie mwenyewe🤪🤪🤪🤪🤪

  • @johnalagwa3585
    @johnalagwa35858 күн бұрын

    Huyu anaongea nn jaman wapendwa

  • @user-dj7iz2nc2j
    @user-dj7iz2nc2j9 күн бұрын

    Abdalah.m mng'ana...😢🎉ngera sana.chama.kusajiliwa.na.yanga.kucheza.mpira. update.Raha

  • @user-vr3hp4xs8m
    @user-vr3hp4xs8m10 күн бұрын

    Chama ameliza watu huku kuwa mwananchi

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp11 күн бұрын

    Mbana pua olewa tuu

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l12 күн бұрын

    Machoko ya yanga mikundu inafunuka

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg12 күн бұрын

    Ngoma vyuma mwili mzima

  • @nasseraljahwri6310
    @nasseraljahwri631013 күн бұрын

    😂😂Hiv mnaongelea nini ?!

  • @user-sf5xt4io4s
    @user-sf5xt4io4s14 күн бұрын

    Nawakubalii

  • @jonasmalima9143
    @jonasmalima914314 күн бұрын

    Huyu kweli bwege usiponunuwa ww jezi kipi kinapunguwa

  • @vaxminja9053
    @vaxminja905314 күн бұрын

    Uongo mtupu, mzee mzima anaongea uongo mchana kweupe.

  • @lucianaligambasi
    @lucianaligambasi14 күн бұрын

    Simba mbovu😂😂😂😂😂

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt14 күн бұрын

    Ngoja tuwape tano zingine ili tusimuliane vizuri 😂😂

  • @matronamushi7021
    @matronamushi702114 күн бұрын

    Huyu mzee mjinga kwel....et yanga wajipange kwan kwenye ligi ni yanga tuu??? Acha ujinga

  • @DanisDanislivingstonedanis
    @DanisDanislivingstonedanis14 күн бұрын

    Blaza unakitu

  • @H3s4d
    @H3s4d14 күн бұрын

    We Mzee utalia subili kipigo

  • @errydeo8865
    @errydeo886514 күн бұрын

    Kuongea rahisi,anaongea Nosense tupu! Hawanajasajili mchezaji hata mmoja ,hawana kocha😂😂😂😂! Ronaldo ana miaka mingapi! Chama anawaumiza roho🤣🤣

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka25614 күн бұрын

    VP UTOPOLO MMEMKOSA CHAMA DUH POLENI 😂😂

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754314 күн бұрын

    Wewe mdada unajizalilisha sana Ali kamwe Ana mtu wake. Acha ujinga wako. Mwache kijana wawatu afanye kazi. ACHANA KABISA NA HUYU KIJANA. PAMELANI KICHAA CY BURE. WEWE NI KICHAA UKAPIMWE

  • @SalminiMussa
    @SalminiMussa15 күн бұрын

    Unababaika kaka

  • @SumilaGeorge
    @SumilaGeorge15 күн бұрын

    Ana faa

  • @marcobulili4341
    @marcobulili434115 күн бұрын

    MO ni kocha wa simba ndo anayesajiri

  • @abedymtore2707
    @abedymtore270715 күн бұрын

    We mzee chunga na maneno yako utakuja kukimbia camera we mzee

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka25614 күн бұрын

    AKIMBIE CAMERA KWANI YEYE ALI KAMWE?? MACHOGO FC NYIE

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np15 күн бұрын

    Duuuuu ngoja tuone Ngoma inako elekea

  • @saidimnyani3330
    @saidimnyani333015 күн бұрын

    Afya ya akili ni tatizo kubwa

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka25614 күн бұрын

    KWELI NYANI 😂😂😂

  • @user-fx4pr4vp8p
    @user-fx4pr4vp8p15 күн бұрын

    Kaz kung'anniana mchezaji na kost mzee huyu naye anaumwa

  • @user-fx4pr4vp8p
    @user-fx4pr4vp8p15 күн бұрын

    Yee mwenye Hana aman

  • @mulhatramadhan1147
    @mulhatramadhan114715 күн бұрын

    Jipeni moyo, shida ipo.pale2

  • @brysonmbise
    @brysonmbise15 күн бұрын

    MWAMBIE UYO MZEE NTAMTAFTA GAO YA JAMII SIMBA VS YANGA .WEZI WA NANE

  • @ChristopherChuo-sn4bl
    @ChristopherChuo-sn4bl15 күн бұрын

    Huyu mzee kweli ni mku**** ndugu yangu msikilize anayoongea

  • @errydeo8865
    @errydeo886514 күн бұрын

    Fala tu! Hajui anaongea nini!

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka25614 күн бұрын

    NA WEWE NI MAVI TU

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kp15 күн бұрын

    Jio ngopeeni hivyo hivyo hamna kitu hapo

  • @yuzolove7120
    @yuzolove712015 күн бұрын

    labda mkacheze na Yanga Queens ndyo size yenu mzee

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka25614 күн бұрын

    KUNA SIMBA QUEENS SIO YANGA UTOPOLO MACHOGO FC WEWE

  • @IBRAHIMKAIRA
    @IBRAHIMKAIRA16 күн бұрын

    Walevi

  • @user-st1ve5cx2m
    @user-st1ve5cx2m16 күн бұрын

    💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛

  • @wazirally4864
    @wazirally486416 күн бұрын

    Ana ushahidi gani, Wacha kuongea pumba kuntwa kahawa ukalee wajukuu huko huna jipya

  • @wazirally4864
    @wazirally486416 күн бұрын

    Hankawii kung, oa viti

  • @amanimwamahusi6107
    @amanimwamahusi610716 күн бұрын

    Kweli kuwa mshabiki wa simba ni tatizo wako tayari kusema mavi ni Cha kula madamu tu kayanya kiongozi wao

  • @peterjisema4222
    @peterjisema422216 күн бұрын

    Furaha ya Simba ilishabakia wakati wa dirisha la usajili,ligi ikianza mikono inarudi shavuni kwa kuwa mwekezaji alishawaona wanasimba ni mazezeta na kama wanavyoitwa ni mbumbumbu.Leo nimeamini kutokana na Manteno ya Mzee Masatu maana anafuraha wakati huu wa dirisha la usajili.

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka25614 күн бұрын

    ENDELEA KUAMINI MACHOGO FC WEWE MACHOGOOOOOOOOO 😂😂😂😂

  • @WilliamCharles-iq8ym
    @WilliamCharles-iq8ym16 күн бұрын

    Acha kudanganya watu ww mzee,Et Unataka mechi leo

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn16 күн бұрын

    Utaona yanga ni kubwa

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu86616 күн бұрын

    Mpumbavu wewe simba Hatutaki wazee subiri ligi ianze ndio uje useme

  • @vailethmalakibungu7866
    @vailethmalakibungu786616 күн бұрын

    Waooo so powerful nimepata kitu kipya

  • @vailethmalakibungu7866
    @vailethmalakibungu786616 күн бұрын

    Mungu anakupeleka viwango mtumishi

  • @athumankaswaga605
    @athumankaswaga60517 күн бұрын

    Crazy love😂😂😂😂