#Live

Ойын-сауық

Пікірлер: 25

  • @user-dj7iz2nc2j
    @user-dj7iz2nc2jАй бұрын

    Abdalah.m mng'ana...😢🎉ngera sana.chama.kusajiliwa.na.yanga.kucheza.mpira. update.Raha

  • @matiankomola2391
    @matiankomola2391Ай бұрын

    Vizuri kijana wangu, Hekima umeumbiwa nayo Go on!

  • @user-fr3xi3xm4j
    @user-fr3xi3xm4jАй бұрын

    Mwamba uko vizuri

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3nАй бұрын

    Tutawanyooosha haswaaaaa

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3nАй бұрын

    Mwimba taarabuwa makolo

  • @NissanGahaya
    @NissanGahayaАй бұрын

    Kaka wape vidonge vyao

  • @McKajiwe-kh3bd
    @McKajiwe-kh3bdАй бұрын

    Kaka upo vzr,lkn hapo kwenye ndoa unakosea,kupata mtoto ni zawadi toka kwa Mungu na c uwezo wa wana ndoa!.

  • @rairaime4953
    @rairaime4953Ай бұрын

    Awa ndio mashabiki awaendi mpirani hadi Simba na Yanga

  • @comsmkemwa2671

    @comsmkemwa2671

    Ай бұрын

    Kwa nini,wewe mbona hujielewi...

  • @peterchande957
    @peterchande957Ай бұрын

    Gamondi yuko juu sana

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5trАй бұрын

    Ni . Kweli usiopingika mkubwa akijamba husingiziwa mdogo na mdogo akibisha mikwaju humuandaama

  • @Tchidymbanga
    @TchidymbangaАй бұрын

    Kaka unaongea vizuri lakin hutoeleweka kwakuwa umevaa nguo ya mabingwa(Yanga) 😅😅😅

  • @fabianimbilinyi3787
    @fabianimbilinyi3787Ай бұрын

    Makolo pokeeni ushali musijitie ujuaji

  • @halfankipande9903
    @halfankipande9903Ай бұрын

    Uwa napenda kkusikiliza upo makini dogo

  • @halfankipande9903

    @halfankipande9903

    Ай бұрын

  • @rairaime4953
    @rairaime4953Ай бұрын

    Uyu ni mpumbavu sana ajui mpira nini zungumzia timu yako icho ndio muhimu kwasababu ata yanga kuchukua ubingwa amecheza na timu nyingi tuu zote ziheshimiwe

  • @user-eg9jq5ny3n

    @user-eg9jq5ny3n

    Ай бұрын

    Hujielewiiii

  • @comsmkemwa2671

    @comsmkemwa2671

    Ай бұрын

    Wewe ndio mjinga, ukisikiliza hapo huyo unayemuita mpumbavu, anayatoa kichwani? Ulitaka akiulizwa akatae kujibu?

  • @daudkhatib-qn5tr

    @daudkhatib-qn5tr

    Ай бұрын

    Hata ww nimpuuzi illa hujielewi

  • @IBRAHIMKAIRA
    @IBRAHIMKAIRAАй бұрын

    Achen uongo amna helaya kumsajili chma

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    Ай бұрын

    Hii comment yako inapelekwa maktaba ... Tutakukumbusha

  • @daudkhatib-qn5tr

    @daudkhatib-qn5tr

    Ай бұрын

    Kwani chama analipwaaa bilioni ngapi na madunduka ili ashindwe yanga

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    Ай бұрын

    @@daudkhatib-qn5tr Mwambie chama tyr ameshawasili jangwani Tena kwa tsh 0.0009 za tz ...... Chama alishaaga mapema kwamba anahama udundukani 🤣 na tyr amefika jangwani

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    Ай бұрын

    Mwamba kitambo tu yupo jangwani wewe unasemaje au mpk uambiwe na mangungu 🤣🤣

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5trАй бұрын

    Huyo mpumbaavu hajuwi hata khoji mtuu

Келесі