The Page

The Page

Kwa Habari za Michezo, Siasa, Burudani pamoja na Matukio Mbalimbali ya Kila Siku Utapata Hapa.

KAYUMBA-MBONI COVER

KAYUMBA-MBONI COVER

PIPI LONELYCOVER

PIPI LONELYCOVER

Пікірлер

  • @JustineMwinuka
    @JustineMwinukaАй бұрын

    Nimeitafta sana dahhh Buddah 🙏

  • @LovenesyMhame
    @LovenesyMhameАй бұрын

    Jaman tunawaombea muludiane muendelee n maisha musimup shetan hy nafs kam wasanii barnaba uwe wa mfano

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003Ай бұрын

    HUNAJUA KUIMBA SANA, KUANDIKA SANA. TATIZO MUZIKI WA SASA HIZI UMEBADILIKA KUNA MUSIC MZURI WA WA MUDA WOTE HUNAO ZINGATIA KANUNI ZA HUANDISHI(VINA NA MIZANI) LUGHA NZURY, N.K NA KUNA HIT SONG AMBAZO NYINGI HAZINA VINA WALA MIZANI, ZIMEJAA MATUSI, NA HAZIKAI MUDA MFUPI(BUBBLE GUM)

  • @user-wg7ng3se5c
    @user-wg7ng3se5cАй бұрын

    Unajitambua Sana broo

  • @zainabmapezi5730
    @zainabmapezi5730Ай бұрын

    Mwimbo wenyewe unaitwa NIBUSU. Sasa Raya unaksirika nini wakati lazima waAct kama wimbo unavyosema. Ungetaka ungeimba naye mwenyewe. Acha wivu kwenye kazi wewe. Shauri yako. Wenzako wakiingia hapo hawatoki. Ukisema wa nini wenzako wanajiuliza nitampata lini?

  • @chiz1soka
    @chiz1soka2 ай бұрын

    Simu nomaaa

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf7452 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Husbandkhan-s.bwr5kj
    @Husbandkhan-s.bwr5kj2 ай бұрын

    Ngoma kali

  • @Mchuzimbodze
    @Mchuzimbodze2 ай бұрын

    Barnaba clasic ❤❤❤

  • @sofiarugoye7929
    @sofiarugoye79292 ай бұрын

    Eti kwa Shep tumepigwaaa😅😅

  • @SainabaP-es5me
    @SainabaP-es5me2 ай бұрын

    Raya huyo mwenyeuso mrefu kama ndala ndoana kuondoa ndani rudi kwako wa tanga hatupo ivyo

  • @florakimaro-vw7qj
    @florakimaro-vw7qj2 ай бұрын

    🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k2 ай бұрын

    Masikinii

  • @user-im6dl1ie9i
    @user-im6dl1ie9i2 ай бұрын

    Mashallah hongera mwanangu barnabas

  • @jacklinejotta6365
    @jacklinejotta63652 ай бұрын

    Msamehe tu jmn ni mmeo halali dear love Raya rudi nyumbni kwako

  • @user-yi2ng3mr3b
    @user-yi2ng3mr3b2 ай бұрын

    Ukosawa

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n2 ай бұрын

    Kwa shepu tumepigwa

  • @hameezhami7795
    @hameezhami77952 ай бұрын

    Yeye ndio anapenda

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe2 ай бұрын

    Pakubwa sanaaaa

  • @LovenesyMhame
    @LovenesyMhameАй бұрын

    Kwako wew yey inamutosh n anapenda

  • @janethedward4631
    @janethedward46312 ай бұрын

    Mi Binafsi c jaona kosa la barnaba coz Ile ni kazi na ktk kazi Kuna mambo mengi afu ukitaka kutokufanikiwa ktk Maisha Yako weka Mapenzi na kazi yule ni mke alali shida Nini kumshika tu Mtu kiuno Tena ni kazi na c really una panck kiukweli si pw (1) unamnyima mumeo uhuru wakazi (2) unamshusha kwenye game so mi naona raya arudi kwake tu na km wivu awe anaependa nae studio akae nae masa24 aone Maisha yataenda vip. Amuombe mumeo ampe Moyo amuamini coz km alikuwa ampendi ASINGE mueka ndani Sasa akimba nyimbo akae na mtu atua 14:58 5 adi 10 wataangalia wenyewe msani ni kioo Cha jamii na Watu wanataka akshn. Na mwanzo ukujua unaolewa na Mtu wa aina gan🤔

  • @maryamtan682
    @maryamtan6822 ай бұрын

    Mipaka na heshima inahitajika, ndo maana ht basata kaitwa. Geuza shiling km ndo mkewe angefanya yy vile ingekuaje?

  • @Joyce-qf5px
    @Joyce-qf5px2 ай бұрын

    Barnaba ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mgenisimba5902
    @mgenisimba59022 ай бұрын

    Mbna barnaba umetuna apo kati jmni 😢

  • @HappyFania-ry2ch
    @HappyFania-ry2ch2 ай бұрын

    😅😅 mkewe hayupo

  • @mgenisimba5902
    @mgenisimba59022 ай бұрын

    @@HappyFania-ry2ch 😂😂😂

  • @Vero-bw6fb
    @Vero-bw6fb2 ай бұрын

    Hii ndo comment nilokuwa natafta😂😂😂wenye macho yetu tyr tumenasa tukio

  • @adamapollo9859
    @adamapollo98592 ай бұрын

    Amedindisha😂😂

  • @janetymatola6639
    @janetymatola66392 ай бұрын

    Raya sina kibao mumeo kasema rudi

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis77142 ай бұрын

    Raya popote ulipo vimbaaaaaa mtoto wa kitanga❤❤❤

  • @HalimaAbdallah-lm8ns
    @HalimaAbdallah-lm8ns2 ай бұрын

    raya msamehe mume wako anakupenda sana na asiyekosea ni Mungu pekee, usimpe shetan nafasi akutawale ,usiiache ndoa Yako kwa sababu ya mchepuko usije na nawewe ukawa mchepuko kwa mwingine

  • @wemakalama6458
    @wemakalama64582 ай бұрын

    Umeongea ukweli jamani❤❤

  • @chany9950
    @chany99502 ай бұрын

    Kipindi kizuri jmn barnaba woomba msamha mkewako jmn nawapenda sana jmn😘😘

  • @user-yv9wi2du3l
    @user-yv9wi2du3l2 ай бұрын

    😘😘😘 hii imeenda

  • @Nkwabishujaa
    @Nkwabishujaa2 ай бұрын

    Bongee la Kipindi....Big up

  • @Twahakibavu
    @Twahakibavu3 ай бұрын

    Nature

  • @poizonarroworiginal9993
    @poizonarroworiginal99934 ай бұрын

    😂 kaliiiiii kijana wangu

  • @user-ci1mj6gw7z
    @user-ci1mj6gw7z4 ай бұрын

    Weee kayumb..mbon umenikumbusha q chife/chilla

  • @Mama-A
    @Mama-A4 ай бұрын

    🇰🇪 is well represented

  • @nzanzex7831
    @nzanzex78315 ай бұрын

    Kwan hajui ako na wake? Au ni comedy??

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi52815 ай бұрын

    Swadata Bakari unaongea vizuri tena kwa nidhamu halafu unajua kama umekosea muungwana hukiri unapokosea. Fanya ndoa mchukue huyo mbarbaigi wamburu wavumilivu sana mtaendana kimaisha inshallah.

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje28875 ай бұрын

    Nae awashauri vijna wasiwe walevi kma yeye

  • @THEPAGE_Tz
    @THEPAGE_Tz5 ай бұрын

    Ushauri wako umefika!! Tutafikisha Kwa Juma Nature

  • @yonamsemo6634
    @yonamsemo66345 ай бұрын

    Hua ananibariki sana DJ Kezzy

  • @wankwapilakitundu3796
    @wankwapilakitundu37965 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dYSrk7ugaZeeZ9I.htmlsi=x839rMsdEhEbCUGy

  • @jforeign254
    @jforeign2545 ай бұрын

    Hakuna kuomba ukiwa napesa yako 😂😂😂

  • @MsafirLeuna-zz6rw
    @MsafirLeuna-zz6rw5 ай бұрын

    Mtangazaji boya Eti fulsa za kuuza unga

  • @pitbullfamily4499
    @pitbullfamily44995 ай бұрын

    😫Swali lakijinga sana WEE dada Chidi benz ka kwambiya eti ana taka msaada Huna maswali 👎🏾

  • @mr.praisekenya1988
    @mr.praisekenya19885 ай бұрын

    Nice job

  • @THEPAGE_Tz
    @THEPAGE_Tz5 ай бұрын

    Thanks so much 🙏

  • @kivumaster7917
    @kivumaster79175 ай бұрын

    Nakukubali kaka

  • @giovannajohn3813
    @giovannajohn38135 ай бұрын

    Upo single na wakti uliolewa umeachika Nini na Ezra yule mtz uliachwa pia dahh

  • @user-xm2ho3oy6r
    @user-xm2ho3oy6r5 ай бұрын

    Ubwa ww KZ

  • @VDJSTANTV
    @VDJSTANTV5 ай бұрын

    ala 😂

  • @user-xm2ho3oy6r
    @user-xm2ho3oy6r5 ай бұрын

    @@VDJSTANTV ana dalau men from Kenya why

  • @boashamah3642
    @boashamah36422 ай бұрын

    Huyu mwana mke ni muongo wa kupituliza Sikumoja wanaume watamugonga

  • @oloiplemaatv
    @oloiplemaatv5 ай бұрын

    Kwa sababu nishaoa bac kila kheri! For your searches 😅

  • @Briankamili
    @Briankamili5 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/g6Nku5eNZc6_ops.htmlsi=4yxNuQP66aNjXxIU

  • @Briankamili
    @Briankamili5 ай бұрын

    Niko hapa

  • @SelinaNgele
    @SelinaNgele5 ай бұрын

    😂😂😂

  • @sam.360pro
    @sam.360pro5 ай бұрын

    Noma sana

  • @fahidashishi255
    @fahidashishi2556 ай бұрын

    Ludianani

  • @neemathomson5046
    @neemathomson50468 ай бұрын

    😂🔥🔥🔥🔥