Tanzania Kilimo digital Tv

Tanzania Kilimo digital Tv

TANZANIA KILIMO DIGITAL LIMITED

ni kampuni iliyosajiliwa na makao yake makuu Dar es salaam, tunajihusisha na shughuli za masoko ya bidhaa za kilimo pamoja na ufugaji, ikiwemo Biashara ya mazao pamoja na nyama ndani ya Tanzania pamoja na nje ya Tanzania

MOTTO : KILIMO BIASHARA NI FURSA

DIRA : kutatua changamoto zote zinazowakumba wakulima hasa masoko ya mazao Yao ili waweze kuzalisha katika ubora na Kwa wingi kupitia njia za kisasa

MALENGO
Baadhi ya Malengo yetu ni kama yafuatavyo
1:Kuleta suluhu dhidi ya changamoto zinazowakumba wakulima
2:kuuza vifaa vya kisasa na pembejeo vyenye tija katika uzalishaji wa kisasa
3.Kutoa elimu Kwa njia ya semina Kwa kutumia maafisa Ugani juu ya kilimo cha kisasa
4.Tunafanya Exportation na importation ya mazao na Mazao ya wanyama
5.Tunafanya Farm security ili kuhakikisha uzalishaji wenye faida
6.Tunafanya huduma zote za mifumo ya umwagiliaji

WAFUGAJI WA KUKU ZANZIBAR

WAFUGAJI WA KUKU ZANZIBAR

Пікірлер

  • @FaricevitusiNkane
    @FaricevitusiNkane14 сағат бұрын

    inazwa bei gan

  • @ematenbusinesssolution9949
    @ematenbusinesssolution994918 сағат бұрын

    naomba mniunge kwenye kampuni yenu

  • @ezrakiduko6135
    @ezrakiduko6135Күн бұрын

    Big up

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko40472 күн бұрын

    Hiyo ni bei gani

  • @Abdallahibn-hd4ju
    @Abdallahibn-hd4ju6 күн бұрын

    Nimepend san hii ,,tatzo haujasema bei kak

  • @nooralwy1771
    @nooralwy17716 күн бұрын

    Gharama za mafunzo zikoje na munapatikana wapi

  • @MahamuduSalimu-w3u
    @MahamuduSalimu-w3u7 күн бұрын

    Bei ya hiyo mashine ni shiling ngapi

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif621620 күн бұрын

    Bei

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif621621 күн бұрын

    Mutupe na bei

  • @clemencekululinda4858
    @clemencekululinda485825 күн бұрын

    Bei gani

  • @DianaLyimo-be7yp
    @DianaLyimo-be7yp27 күн бұрын

    Bei gani

  • @sweetberthawilliam6587
    @sweetberthawilliam6587Ай бұрын

    Kwa nini amuweki bei ili tuchukue hatu, wafanyabihashara ukitaja bei kuna shida

  • @AgenesisLaurent
    @AgenesisLaurentАй бұрын

    Sh ngapi mashine za miwa

  • @AgenesisLaurent
    @AgenesisLaurentАй бұрын

    Sh ngapi ya umeme na ya betrii sh ngapi?

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905Ай бұрын

    Mko wapi, na je mnaweza kufika shambani ni kufanya demonstration

  • @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt
    @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2btКүн бұрын

    @@lydiathomas2905 tuko Dsm ilala jengo Machinga Complex ghorofa 3

  • @user-oh5qx7on6q
    @user-oh5qx7on6qАй бұрын

    Bei ya mashine hiyo ni sh. ngapi?

  • @greatcharles2192
    @greatcharles2192Ай бұрын

    Bei zipoje

  • @SamweliPonela-mj1cu
    @SamweliPonela-mj1cuАй бұрын

    Machine ya maindi ikivuna

  • @user-et3id5tr3c
    @user-et3id5tr3cАй бұрын

    Bei

  • @mrfavour9996
    @mrfavour9996Ай бұрын

    Nawakubali jamani waniuwe tu

  • @deborahcharles4916
    @deborahcharles4916Ай бұрын

    Bei tafhadhari

  • @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt
    @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2btАй бұрын

    tuwasiliane 0714569056

  • @KazunguLaurent
    @KazunguLaurentАй бұрын

    Amazing 👌

  • @user-hu3oj7ig1h
    @user-hu3oj7ig1hАй бұрын

    Dah swabra umela wp tupe dili na sisi

  • @rabanstephano
    @rabanstephanoАй бұрын

    Jalibu kutowa hizo bati za kinyesi tuone

  • @abumussabnassor6141
    @abumussabnassor6141Ай бұрын

    Bey

  • @KhatibuKilumba
    @KhatibuKilumbaАй бұрын

    Bei

  • @NinaTayarii-be9ij
    @NinaTayarii-be9ijАй бұрын

    Bei gani?

  • @veilasam6597
    @veilasam6597Ай бұрын

    Mnapatikana wapi Mimi nipo Arusha.

  • @castromhilu6491
    @castromhilu6491Ай бұрын

    Shi ngap

  • @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt
    @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2btАй бұрын

    Ziko za aina tofauti njoo WhatsApp tufowadie picha Kila moja na bei yake 0714569056

  • @MshanaJames
    @MshanaJamesАй бұрын

    How much

  • @JumaJamalsunday
    @JumaJamalsundayАй бұрын

    Wakulima wakowapi sasa tunataka kuwaonaaaaa waziri wa kilimo awaoneee

  • @antonianyingo
    @antonianyingo2 ай бұрын

    Hongera kwa kazi nzuri, mnapatikana wapi

  • @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt
    @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt2 ай бұрын

    Tuko Dsm ilala jengo Machinga Complex ghorofa 3 karibu boss

  • @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt
    @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt2 ай бұрын

    Mawasiliano zaidi 0714569056

  • @mashaainsuranceagency5925
    @mashaainsuranceagency59252 ай бұрын

    MNAPATIKANA WAPI ?

  • @castromhilu6491
    @castromhilu64912 ай бұрын

    Shingapi hiyo mashine

  • @zitashio7920
    @zitashio79202 ай бұрын

    Sh ngap

  • @ReginaMasalu-hk8ho
    @ReginaMasalu-hk8ho2 ай бұрын

    Naomba kujua gharama za kilimo cha pilipili ya mwendokasi kwa heka moja na faida yake.

  • @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt
    @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt2 ай бұрын

    Tuwasiliane Kwa 0714569056

  • @joelsaganya4077
    @joelsaganya40772 ай бұрын

    Kwa kuanza mmelima eka ngapi? Ni gharama kasi gani kulima shamba la ukubwa huo?

  • @KELVINBAYNIT
    @KELVINBAYNIT2 ай бұрын

    Soko lake likoje kwa morogoro nasikia hazina soko

  • @nuruzani3201
    @nuruzani32012 ай бұрын

    Napataje nukiwa kenya

  • @VictorBernard-dj8ik
    @VictorBernard-dj8ik2 ай бұрын

    Zinapatikana kwa bei gan

  • @PeterKassele-ex9kw
    @PeterKassele-ex9kw2 ай бұрын

    shingap

  • @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt
    @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt2 ай бұрын

    Tuwasiliane no 0714569056

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz2 ай бұрын

    Mzuri Sana kweli 💖

  • @mrimimrimi58
    @mrimimrimi582 ай бұрын

    Mnapatikana wapi no zenu jaman

  • @gracekigulunde762
    @gracekigulunde7622 ай бұрын

    Naomba namba

  • @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt
    @TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt2 ай бұрын

    0714569056

  • @shazirynambombe7735
    @shazirynambombe77352 ай бұрын

    Naomba bei

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o2 ай бұрын

    Asante nimependa wazo lako la kutaka kuinua wengine

  • @glorynyarandu-ln8rc
    @glorynyarandu-ln8rc3 ай бұрын

    Tupe bei

  • @glorynyarandu-ln8rc
    @glorynyarandu-ln8rc3 ай бұрын

    Sema bei

  • @glorynyarandu-ln8rc
    @glorynyarandu-ln8rc3 ай бұрын

    Inauzwaje?

  • @shazirynambombe7735
    @shazirynambombe77353 ай бұрын

    Bei gan ya vifaa nane naonba majb hapa