Tanzania Kilimo digital Tv
Tanzania Kilimo digital Tv
TANZANIA KILIMO DIGITAL LIMITED
ni kampuni iliyosajiliwa na makao yake makuu Dar es salaam, tunajihusisha na shughuli za masoko ya bidhaa za kilimo pamoja na ufugaji, ikiwemo Biashara ya mazao pamoja na nyama ndani ya Tanzania pamoja na nje ya Tanzania
MOTTO : KILIMO BIASHARA NI FURSA
DIRA : kutatua changamoto zote zinazowakumba wakulima hasa masoko ya mazao Yao ili waweze kuzalisha katika ubora na Kwa wingi kupitia njia za kisasa
MALENGO
Baadhi ya Malengo yetu ni kama yafuatavyo
1:Kuleta suluhu dhidi ya changamoto zinazowakumba wakulima
2:kuuza vifaa vya kisasa na pembejeo vyenye tija katika uzalishaji wa kisasa
3.Kutoa elimu Kwa njia ya semina Kwa kutumia maafisa Ugani juu ya kilimo cha kisasa
4.Tunafanya Exportation na importation ya mazao na Mazao ya wanyama
5.Tunafanya Farm security ili kuhakikisha uzalishaji wenye faida
6.Tunafanya huduma zote za mifumo ya umwagiliaji
Пікірлер
inazwa bei gan
naomba mniunge kwenye kampuni yenu
Big up
Hiyo ni bei gani
Nimepend san hii ,,tatzo haujasema bei kak
Gharama za mafunzo zikoje na munapatikana wapi
Bei ya hiyo mashine ni shiling ngapi
Bei
Mutupe na bei
Bei gani
Bei gani
Kwa nini amuweki bei ili tuchukue hatu, wafanyabihashara ukitaja bei kuna shida
Sh ngapi mashine za miwa
Sh ngapi ya umeme na ya betrii sh ngapi?
Mko wapi, na je mnaweza kufika shambani ni kufanya demonstration
@@lydiathomas2905 tuko Dsm ilala jengo Machinga Complex ghorofa 3
Bei ya mashine hiyo ni sh. ngapi?
Bei zipoje
Machine ya maindi ikivuna
Bei
Nawakubali jamani waniuwe tu
Bei tafhadhari
tuwasiliane 0714569056
Amazing 👌
Dah swabra umela wp tupe dili na sisi
Jalibu kutowa hizo bati za kinyesi tuone
Bey
Bei
Bei gani?
Mnapatikana wapi Mimi nipo Arusha.
Shi ngap
Ziko za aina tofauti njoo WhatsApp tufowadie picha Kila moja na bei yake 0714569056
How much
Wakulima wakowapi sasa tunataka kuwaonaaaaa waziri wa kilimo awaoneee
Hongera kwa kazi nzuri, mnapatikana wapi
Tuko Dsm ilala jengo Machinga Complex ghorofa 3 karibu boss
Mawasiliano zaidi 0714569056
MNAPATIKANA WAPI ?
Shingapi hiyo mashine
Sh ngap
Naomba kujua gharama za kilimo cha pilipili ya mwendokasi kwa heka moja na faida yake.
Tuwasiliane Kwa 0714569056
Kwa kuanza mmelima eka ngapi? Ni gharama kasi gani kulima shamba la ukubwa huo?
Soko lake likoje kwa morogoro nasikia hazina soko
Napataje nukiwa kenya
Zinapatikana kwa bei gan
shingap
Tuwasiliane no 0714569056
Mzuri Sana kweli 💖
Mnapatikana wapi no zenu jaman
Naomba namba
0714569056
Naomba bei
Asante nimependa wazo lako la kutaka kuinua wengine
Tupe bei
Sema bei
Inauzwaje?
Bei gan ya vifaa nane naonba majb hapa